Shuhudia Askari Wapya Wakiruka Vikwazo Mbele ya Mkuu wa Majeshi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #wizarayaulinzi #jwtz #jkt

КОМЕНТАРІ • 94

  • @JuniorJumbo-cx7fw
    @JuniorJumbo-cx7fw Рік тому +2

    Yesa amani yetu mungu awape nguvu daima🇹🇿🙏🙏🙏👏👏👏

  • @hamzarajabu1961
    @hamzarajabu1961 2 роки тому +5

    Vijana wameiva ❤️🇹🇿
    Much respect RTS KIHANGAIKO 💪

  • @epmprince3272
    @epmprince3272 2 роки тому +7

    Tanzania damu yangu bendera ndio moyo wangu salute

  • @abdulkannady1705
    @abdulkannady1705 2 роки тому +8

    JWTZ pekee ndiyo huwa wananifanya nisikie raha kulipa kodi. Naona kabisa kodi yangu inavyotumika vizuri. Safi sana kwa hii chaneli

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 2 роки тому

      Hujui unachokiongea bora ukae kimya tu kuliko kuknekana mropokaji tu

  • @JumaMtilikwa
    @JumaMtilikwa 2 місяці тому

    Heshima kwenu napenda sana mungu ibarik tz

  • @KadishuBoy-yo2um
    @KadishuBoy-yo2um Рік тому +2

    Tanzania is number one

  • @kenyBway-y2l
    @kenyBway-y2l 2 місяці тому

    Mungu awape nguvu yakutisha

  • @johnlaizer3839
    @johnlaizer3839 2 роки тому +8

    Nafasi za kujitolea zinakuja lini jamani Mana natamani kutumikia TAIFA langu damu yangu inarangi ya jeshi

    • @johnlaizer3839
      @johnlaizer3839 2 роки тому +1

      Ukiwa hujasemeehwa ebu jaribu kukaa kimya vitu vingine havikuhusu hata kidogo so fanya yako

  • @EmanuelAsheliPolikalipoPolikal
    @EmanuelAsheliPolikalipoPolikal 20 днів тому

    Mungu awatie nguvu

  • @husseinnkuna6401
    @husseinnkuna6401 Рік тому +1

    Naipenda nchi yangu jeshi imara🇹🇿🇹🇿

  • @mushijacksonijacksoni6299
    @mushijacksonijacksoni6299 2 роки тому

    Aseee bg up sanaaa

  • @gloryjoel7877
    @gloryjoel7877 2 роки тому +1

    It wsnt easy hongeren asee

  • @championchumalaizer4116
    @championchumalaizer4116 2 роки тому +2

    kweli ila inatakiwa wawe wakakamavu mda wote kwaajili ya nchi yetu ongera sana vijana wetu

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 2 роки тому +5

    Wanatakiwa kuwa wakakamavu hivyo wakati wote,,,,,,tatizo wakishapata ajira wengi wao tunaona wanapata vitambi na kutokwa na ukakamavu

  • @keygunodacks1276
    @keygunodacks1276 2 роки тому +1

    Safi Sana Tanzania tialala

  • @mdl6463
    @mdl6463 2 роки тому +5

    Nilitamani sana jeshi ila mkono wangu kovu kubwa sana

    • @hajikhamishaji7548
      @hajikhamishaji7548 2 роки тому

      Natamani Sana kuilinda tZ Ila ubaguzi umetawala na mwenye uwenyeji ndio ataefanikiwa

  • @vincentmuisyo544
    @vincentmuisyo544 2 роки тому +3

    God bless all soldiers

  • @kijanawakisouth838
    @kijanawakisouth838 2 роки тому +1

    Kongo wajifunze kitu hapa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 роки тому +1

    VIVA TANZANIA 🇹🇿💪🇹🇿VIVA WAZALENDO 🖤💪🖤

  • @frankngilangwa4092
    @frankngilangwa4092 2 роки тому +9

    TANZANIA IS A STRONG COUNTRY IN AFRICA ❤🌹

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 2 роки тому +2

    Najivunia Jeshi Letu

  • @sibelinktoelisha4502
    @sibelinktoelisha4502 2 роки тому

    Fine

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 Рік тому

    Safi makamanda

  • @ignaspius
    @ignaspius 2 роки тому +1

    Dahhh kumbe hapo mtu anaweza kufa aisee😯😯

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 2 роки тому

      Ndio utasikia tulikuwa na wanafunzi 200 ,wanfunzi 140 wamehitumu,40 walitoroka na 20 walifariki

  • @atkajuma2672
    @atkajuma2672 2 роки тому +1

    Mgambo jkt

  • @samwelrotti6504
    @samwelrotti6504 2 роки тому

    Napenda

  • @samueltabitha1151
    @samueltabitha1151 2 роки тому

    wooooooh

  • @hajikhamishaji7548
    @hajikhamishaji7548 2 роки тому +1

    Nakipenda Sana tZ yangu Ila ubaguzi umetawala nilitamani Sana kuwa mlinzi wa haki hapa Ila uwenyeji unasumbua sikupata nafac ilhali vigezo vyote ninavyo

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 2 роки тому

      Sio peke yako mwenye vigezo mpo wengi na kunaidadi inayotakiwa hata hivyo tambue wameenda wenzio wenye vigezo kama wewe usikate tamaa lakini MUNGU ndo hupanga ukafanye kazi gani.

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 2 роки тому

    Na wanajeshi wa kimalekani nao wana fanya kama ivi au tunajifariji?

  • @kanjostjastin884
    @kanjostjastin884 2 роки тому +1

    🤔🤔🤔kwaiyo ukikosea zoezi unapata🔥

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 роки тому

      Hiyo ni sayansi, ukikosea formula unaliwa kichwa

  • @jumamkamba1922
    @jumamkamba1922 2 роки тому

    Nimeipenda

  • @jidaboy
    @jidaboy Рік тому

    Makomando wetu ulinzi upo wa kutoxha Tanzania yetu

  • @BhaiMwadidu
    @BhaiMwadidu 2 роки тому

    Hamna k2

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 2 місяці тому

    HAPA NAELEWA HAYA MAFUNZO SABABU NILIPITIA CHINI YA KAMA DA SHIPAVU ALBERT BALLAAT KWA ASKARI WA MIAKA YA NYUMA WATAMKUMBUKA HICHO KIFAA

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 2 роки тому

    Hawa nawaelewasana
    Sio police wanakamata
    Ukiwandani
    Wakikuta pesa
    Wanapitanayo

  • @petroibrahim5520
    @petroibrahim5520 2 роки тому

    Hii channel popote ilipo iingie kwa mangi ihudumiwe kinywaj chochote nakuja kulipa

  • @godfreysongoro7918
    @godfreysongoro7918 2 роки тому

    Hua naumia sana kukosa Nafasi ya Kupata Mafunzo ya Kijeshi. Bas tu

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 роки тому

    Hizo bunduki mnachezea na kumalizia risasi chini !. Kwanini msiende vituo vya afya kusaidia wagonjwa

    • @musaomary4610
      @musaomary4610 2 роки тому +1

      Hv ww unakielewa unachokisema kweli

    • @musaomary4610
      @musaomary4610 2 роки тому +1

      Nenda ww uone kama wanacheza au laa

    • @aidanfrancis3127
      @aidanfrancis3127 2 роки тому

      kila huko hospitalini huwezi kuwa daktari bila kufanya training na hivyohivyo!

  • @bennirichog
    @bennirichog 2 роки тому

    Saf sana

  • @johnlaizer3839
    @johnlaizer3839 2 роки тому

    Jamani naitaji Sana izo nafasi

  • @changuchake7406
    @changuchake7406 2 роки тому

    JAMANI JAMANI SIO VIZURI KUPOSTI HIVI VITU USHAURI TU

  • @mbongobanda9265
    @mbongobanda9265 2 роки тому

    kwenyee vita vya kweli wanakulaa sabunii

    • @ZAMB334
      @ZAMB334 2 роки тому

      Wanakulaje

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 2 роки тому

      mpuuzi kama wew muoga ndo huwa mnapigwa makofi na wake zenu alafu mnazani watu wote wako kama wew muoga hujiamini fara wew.

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 роки тому

    ♥️🙏

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 роки тому

    Hata hivyo kiinteligensia sio sahihi kupost hizi picha

    • @Puxladen
      @Puxladen 2 роки тому +1

      N'a hakuna nchi dunian ambayo haipost Koo kuwaa mpole intelijensia ni ishu zingine kabisaa

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 2 роки тому

      @@Puxladen if you want to win a hundred battle first you must know your enemy...so keep on....showing them your strength 😂😂😂😂😂

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 роки тому +1

      Arent the U.S, Russia,China , UK, even some asian countries do the same? Hii ni just basic tu.. nothing special from it.

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 2 роки тому

      @@jasonwatz7457 Do you think china, us, and those Asia countries you guess are showing those weekness that l see in a video?🤔

    • @challobruno5768
      @challobruno5768 2 роки тому +1

      @@eaglecrown1101 you are on point

  • @kherikingo9434
    @kherikingo9434 2 роки тому

    Uraaaaaaaaaàa

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 2 роки тому

    Ebwana nyie msituekee maonesho ya kijeshi ya karne ya 3! Saivi tuekeeni supersonic fighters jet, atomic bombs, advance air difence systems, modern tanks, anti tanks, artilleries, ivo ndo vitu kutuonesha tukajua yes tupo vzr. Lkn mnatuekea watu wanaruka ruka km vichale hakuna jeshi ilo duniani saivi watu wapo kwenye arms race. Sio kukusanya watu wakaruka ruka

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 2 роки тому

      Jeshi siyo promotion

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 роки тому

      @@clementiddi5708 nani kakudanganya nchi zote duniani zinafanya military parede wanaonsha vifaa nilivyokutajia hapo. Ww unasema jeshi sio promotion unaishi dunia gani ndugi yangu?

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 роки тому

      @@clementiddi5708 huangalii hata TV nchi kama Iran, north Korea juzi tu Urusi kafanya military parede wanaita siku ya ushindi kaonesha nilivokutajia hapo. North Korea Japan na US deli wanafanya military drill wanatumia vifaa vya kijeshi vikubwa sana, sasa ww unasema jeshi sio promotion?

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 роки тому

      Unaishi nchi gani we kima.. usijione uko smart sana na kitecno chako. Kiufupi, acha dharau mtoto wa mama

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 роки тому

      @@josephlorri431 acha upuuzi usilete mipasho kama msenge wa kale! tetea unaloliamini kwa hoja sio mipasho

  • @samwelrotti6504
    @samwelrotti6504 2 роки тому

    Napenda