BEHIND THE SCENE: ONA DUBE ALIVYOREKODIWA NA VIJANA WA YANGA KWENYE UTAMBULISHO WAKE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лип 2024
  • #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 297

  • @michaelchiza6795
    @michaelchiza6795 7 днів тому +190

    Kwa usajili huu Matola na Mgunda msikae mbali soon mtaitwa mmalizie ligi😂😂😂kama unaamini weka like yako apa

  • @user-jx4hu7bd2c
    @user-jx4hu7bd2c 7 днів тому +37

    Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 7 днів тому +17

    🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.

  • @halimasawa611
    @halimasawa611 7 днів тому +4

    MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 7 днів тому +13

    hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi
    hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga

  • @dallovision
    @dallovision 7 днів тому +34

    Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 7 днів тому +30

    Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori 7 днів тому +23

    Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme

    • @SaraJinalangu
      @SaraJinalangu 7 днів тому

      😅😅😅😅Sio kalibu
      Kalibu - karibu
      Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 7 днів тому +9

    Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 7 днів тому +6

    jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 7 днів тому +20

    Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 7 днів тому +10

    Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛

    • @daudimolleltutafungatu5486
      @daudimolleltutafungatu5486 7 днів тому

      Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo

    • @user-zo8ws7dy7g
      @user-zo8ws7dy7g 7 днів тому +2

      Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi

    • @malietamalieta9658
      @malietamalieta9658 7 днів тому

      @@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah

    • @giddychanga
      @giddychanga 7 днів тому

      Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana
      Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan 7 днів тому

      Kweli Ata mm simtaki

  • @BiasharaZetuPoint
    @BiasharaZetuPoint 7 днів тому +8

    Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛

  • @user-zo8ws7dy7g
    @user-zo8ws7dy7g 7 днів тому +4

    Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 7 днів тому +15

    Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 7 днів тому +5

    Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!

  • @User255tv
    @User255tv 7 днів тому +8

    Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.

  • @Le_petery
    @Le_petery 7 днів тому +6

    You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..

  • @ayeshakhan1636
    @ayeshakhan1636 7 днів тому +16

    My team on fire

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 7 днів тому +13

    ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 7 днів тому +4

    Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 7 днів тому +4

    Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana

  • @ip_header
    @ip_header 7 днів тому +6

    Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 7 днів тому +5

    Level za juu sana hiz !!!

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 7 днів тому +11

    Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂

    • @michaeljpm5597
      @michaeljpm5597 7 днів тому +1

      Mm nilisha achaga kitambo

    • @erickkantona4791
      @erickkantona4791 6 днів тому

      @@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 7 днів тому +5

    Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤

  • @user-wp5kv9sf5o
    @user-wp5kv9sf5o 7 днів тому +10

    Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori 7 днів тому +8

    Kalibu sana yanga dubeeeeee
    🎉

  • @titomtokoma803
    @titomtokoma803 7 днів тому +31

    Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 7 днів тому +9

    Kila la kheri dube😂😂😂😂

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 7 днів тому +4

    Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 7 днів тому +3

    Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵

  • @hildaelkana7132
    @hildaelkana7132 7 днів тому +4

    Tmu inapenda sifa hii😅

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 7 днів тому +2

    Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏

  • @user-qt7yd2ws9u
    @user-qt7yd2ws9u 7 днів тому +8

    Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @DanielShedrack-e5v
    @DanielShedrack-e5v 7 днів тому

    Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 7 днів тому +3

    dube ana furaha sana😂😂

  • @Jeyb07.
    @Jeyb07. 7 днів тому +8

    Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya

  • @chemstry409
    @chemstry409 7 днів тому +6

    Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 7 днів тому +3

      Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 7 днів тому

      Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 7 днів тому

      Amiiin inshallah

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 7 днів тому +4

    Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @arafatymakamenyange2665
    @arafatymakamenyange2665 7 днів тому +5

    dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 7 днів тому

      Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 7 днів тому +3

    Kalibu yimu ya makombe dube ❤

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 7 днів тому +10

    Dubereeeeee

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 7 днів тому +2

    Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 7 днів тому

    Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫

  • @bensonchota3461
    @bensonchota3461 7 днів тому +1

    Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 7 днів тому +1

    Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂

  • @musamakuhana2200
    @musamakuhana2200 7 днів тому +3

    Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @frankndaturu5910
    @frankndaturu5910 6 днів тому

    Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛

  • @JOHNAroyce
    @JOHNAroyce 7 днів тому +5

    wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅

  • @MoBecca-l2g
    @MoBecca-l2g 7 днів тому +9

    Dubeeeeee

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 7 днів тому +7

    Oyooo

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i 7 днів тому +2

    Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz

  • @MaishaMedstz
    @MaishaMedstz 7 днів тому +8

    Wananchiiiiiiii

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi 6 днів тому

    👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏

  • @ceciliaathanas751
    @ceciliaathanas751 7 днів тому

    Kumbe Dube anajua kuongea Kiswahili vizuri kabisaa wow

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 7 днів тому +4

    Allaah Akbar

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 7 днів тому

    Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 7 днів тому

    Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 днів тому +1

    Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 7 днів тому +3

    Yangaa 🎉🎉🎉

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 7 днів тому +6

    Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 7 днів тому

    Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛

  • @meddymachozy1815
    @meddymachozy1815 7 днів тому +3

    Welcome dube

  • @user-fc7zp2nd4m
    @user-fc7zp2nd4m 7 днів тому +2

    💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena

  • @ThomasWebiro-rs5yr
    @ThomasWebiro-rs5yr 7 днів тому +12

    Nlisema sikusema endelea

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 7 днів тому

    Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 7 днів тому

    Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 7 днів тому

    Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 7 днів тому +1

    Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 7 днів тому

      Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah

  • @jumakhatib892
    @jumakhatib892 4 дні тому

    ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 днів тому

    Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉

  • @MSHAURIALLY
    @MSHAURIALLY 7 днів тому +2

    Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛

    • @puridangote2701
      @puridangote2701 7 днів тому

      Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂

  • @IbrahimMussa-c3t
    @IbrahimMussa-c3t 7 днів тому

    Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 днів тому

    Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛

  • @Jumachilowe
    @Jumachilowe 7 днів тому +3

    hii taasis iko pw xn dah yng raha

  • @SadKazimbaya
    @SadKazimbaya 7 днів тому

    Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 7 днів тому

    Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels1631 7 днів тому +3

    🔥🔥🔥

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 7 днів тому

    Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 7 днів тому

    Dube yuko na smile sio poa😂😂😂

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 7 днів тому +7

    Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 7 днів тому

    Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥

  • @AdamSteven-z6n
    @AdamSteven-z6n 7 днів тому +1

    Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 7 днів тому +2

    Kalibu dube lyondio yanga utambulishauo siokule kw.kolo

  • @francofisinge137
    @francofisinge137 7 днів тому +3

    Katibu kiboko ya kolo

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 7 днів тому

    DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!

  • @kigura_jr
    @kigura_jr 7 днів тому

    Kwahyo hyo midoli ya magari ndoile migari mikubwa tuliyoiona kwenye utambulisho, ila Yanga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 7 днів тому

    Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂

  • @chollejr_
    @chollejr_ 6 днів тому

    Nliwaza izi gari vp kumbe matoy😂😂😂

  • @JuliusTemu
    @JuliusTemu 7 днів тому +1

    Kama una stress
    Angalia match za yanga

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 7 днів тому

    Alhamndulilah namshukuru M/Mungu

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x 6 днів тому

    Masha Allah

  • @SixmundPonera-ft8ts
    @SixmundPonera-ft8ts 7 днів тому

    Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 7 днів тому +2

    Hiv vigali ndo vinatusumbuwa

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 7 днів тому

    Kijana ana mwili wa kazi,jirani zetu wanasajiri watoto kutoka nje😅

  • @safiaothman7506
    @safiaothman7506 7 днів тому +3

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @josephmussa406
    @josephmussa406 7 днів тому

    Yanga Iko mbali sana kwahaya niliyoyaona daar

  • @shedracklaizer9256
    @shedracklaizer9256 7 днів тому

    🎉🎉🎉tunaomba na ya chama ...

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 6 днів тому

    PRINCE DUBE 🙌