MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
Kwa usajili huu Matola na Mgunda msikae mbali soon mtaitwa mmalizie ligi😂😂😂kama unaamini weka like yako apa
Hahaha wasjee wakasafiri wakaenda mkoan
Acha kuongea ukwel
Afu wana anza GSM amewekeza timu nyingi
😂😂😂😂mbavu zng awachelewi kufukuza kocha wakila 10 safi
😂😂😂😂
Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee
🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.
MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi
hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa
Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅
Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅
😂😂😂
Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme
😅😅😅😅Sio kalibu
Kalibu - karibu
Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama
Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi
jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.
Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo
Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi
@@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah
Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana
Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben
Kweli Ata mm simtaki
Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛
Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni
Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂
Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!
Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.
You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..
My team on fire
ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube
Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa
Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana
Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉
Level za juu sana hiz !!!
Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂
Mm nilisha achaga kitambo
@@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅
Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤
Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga
Kalibu sana yanga dubeeeeee
🎉
Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛
YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE
Kila la kheri dube😂😂😂😂
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵
Tmu inapenda sifa hii😅
Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏
Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚
dube ana furaha sana😂😂
Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya
Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂
Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌
Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉
Amiiin inshallah
Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂
dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa
Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao
Kalibu yimu ya makombe dube ❤
Dubereeeeee
Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰
Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫
Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏
Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂
Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚
Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛
wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅
Dubeeeeee
Oyooo
Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz
Wananchiiiiiiii
👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏
Kumbe Dube anajua kuongea Kiswahili vizuri kabisaa wow
Allaah Akbar
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚
Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂
Yangaa 🎉🎉🎉
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi
Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛
Welcome dube
💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena
Nlisema sikusema endelea
Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.
Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉
Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥
Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪
Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah
ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga
Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉
Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛
Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂
Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
hii taasis iko pw xn dah yng raha
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu
🔥🔥🔥
Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA
Dube yuko na smile sio poa😂😂😂
Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚
Aisha ulale na wewe
Amekusikia
@@barikilangoy4737 hahahaha
Tafta no yake
Mmmmh ushaaanza na wewe
Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥
Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha
Kalibu dube lyondio yanga utambulishauo siokule kw.kolo
Katibu kiboko ya kolo
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
Kwahyo hyo midoli ya magari ndoile migari mikubwa tuliyoiona kwenye utambulisho, ila Yanga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂
Nliwaza izi gari vp kumbe matoy😂😂😂
Kama una stress
Angalia match za yanga
Alhamndulilah namshukuru M/Mungu
Masha Allah
Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African
Hiv vigali ndo vinatusumbuwa
Kijana ana mwili wa kazi,jirani zetu wanasajiri watoto kutoka nje😅
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Yanga Iko mbali sana kwahaya niliyoyaona daar
🎉🎉🎉tunaomba na ya chama ...
PRINCE DUBE 🙌