MZUNGU APAGAWA NA TANZANIA, AOMBA URAIA KWA RAISI SAMIA, ONA KISWAHILI CHAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 902

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Рік тому +58

    Jesse anaroho nzuri mungu akubariki tunakupenda watanzania 🇹🇿🇴🇲

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 11 місяців тому +3

    Wawooo 😘 thanks
    So nice iloveyou Tanzania 🇹🇿

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Рік тому +11

    Mtangazaji hongera 😍😍😍ni mzuri na rangi yako 😘😘😘😘😘😘nimekupendaaa🫂♥️

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Рік тому +12

    Wema huu hauozi, ujana wako hadi uzeen utakuwa mtu Wa furaha saana.MashaAlla watu wa pepon hawa.❤❤❤

  • @matatomlik1846
    @matatomlik1846 Рік тому +28

    Mungu akubariki sana na karibu Tanzania 🇹🇿 yetu

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Рік тому +11

    Mimi nimemuewa Jessy,hii sio biashara!ni mapenzi!nimenda tabia zako my boy,all the best and my prayers in shaa Allah salama

  • @oswaldsambaya4422
    @oswaldsambaya4422 11 місяців тому +5

    You're welcome to Tanzania. You're a good person

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv 11 місяців тому +6

    jess Mungu akubali una roho mzuri sana mashallha karibu Tanzaniq

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Рік тому +39

    Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Рік тому +1

      Kwel kabisa

    • @ZamoMartin-i2e
      @ZamoMartin-i2e Рік тому

      Mkweli kbs

    • @tinapius1865
      @tinapius1865 11 місяців тому

      @@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.

  • @jawahirkahinmadar1459
    @jawahirkahinmadar1459 11 місяців тому +4

    Jecy mungu akubariki sana kijana 🎉🎉🎉❤

  • @hallowkij5677
    @hallowkij5677 Рік тому +17

    me nampenda mtangazaj jaman jins anavyo tangaza
    kama ww unamawazo kama mimi nipe like jmn

  • @fainesbrown6854
    @fainesbrown6854 11 місяців тому

    Asante kwa upendo wako Jesse,Mungu akubariki

  • @cptornado5267
    @cptornado5267 11 місяців тому +3

    Kama muzungu anajifunza Kiswahili, what about us Africans? Nimeshukuru kwa sababu I’m in intermediate level now, I’m definitely learning it🇸🇸

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Рік тому +1

    OOOh..... VERY COOL ... Jamaa ni poa sana na anamtazamo mzuri kimaisha na anachokifanya kuwasaidia wengine ..NI KITU KIKUBWA SAAANA...#BLESSINGSS👌👍👊👊

  • @EsterMwendawila-wj2ks
    @EsterMwendawila-wj2ks Рік тому +41

    Story ni ya kweli kabisa god bless you jese

  • @Mapesa01
    @Mapesa01 11 місяців тому +2

    Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤

  • @alexndabatinya7953
    @alexndabatinya7953 11 місяців тому +58

    Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya

  • @ThaBroski
    @ThaBroski 7 місяців тому

    Mungu azidi kukutia nguvu jessy, loved 😍 ♥️ ❤️

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Рік тому +8

    Huyo ni.mwafrica ana dam ya kiafrica mana babake ni misri

  • @oman7710
    @oman7710 11 місяців тому +2

    Masha Allah karibu Tanzania kaka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +12

    Karibu sana sana Tanzania 🇹🇿

  • @PhinaAthuman
    @PhinaAthuman 11 місяців тому

    Mungu akubariki Jesse karibu sana Tanzania nimekupenda Bure I wish nikuone live 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 11 місяців тому +5

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Mungu ibariki TANZANIA, Mungu ibariki AFRIKA. Karibu Tanzania Kaka nchi ya Amani.

  • @RahelLemburis
    @RahelLemburis 6 місяців тому

    Mungu akubariki Jesse

  • @sarahkahaki1913
    @sarahkahaki1913 Рік тому +4

    Watching from Kenya i like the guy.venye anasaidia hao watoto,hope anaeza kunja Kenya pia kusaidia pia

  • @SaumuAlly-i6u
    @SaumuAlly-i6u 11 місяців тому +2

    Love you 😘 sana kwa kupenda nchi yangu

  • @salamamsusa
    @salamamsusa Рік тому +17

    Karibu Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana❤️❤️❤️

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Рік тому +2

    ❤❤ ss tunawapenda wale waotupenda, piya kma uko n ofu ya MUNGU

  • @zainawangu5838
    @zainawangu5838 Рік тому +5

    Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂

  • @ThaBroski
    @ThaBroski 7 місяців тому

    Wow nimemekupenda bure jesse❤️♥️💖💓💕👌🙏

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz Рік тому +6

    Jese Mungu akubariki Kwa yote unayoyafanya...... May Lord our God bless you for what you're doing.... Additional money

  • @NoelKomba-s9d
    @NoelKomba-s9d 11 днів тому

    Jess upo vizuri sana dogo

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v Рік тому +18

    Hata mimi mkenya jamani naipenda tanzania ❤❤

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 Рік тому +1

      Hata mm mtanzania nakupenda sn ww unae ipenda tz❤

    • @FaizaSalim-y6v
      @FaizaSalim-y6v Рік тому

      @@asiamohd5516 basi tupendane kwa ajili ya allah ❤️❤️

    • @aishadotto3640
      @aishadotto3640 11 місяців тому

      ❤❤

    • @norahfrank
      @norahfrank 11 місяців тому

      Njoo tukae.

    • @FaizaSalim-y6v
      @FaizaSalim-y6v 11 місяців тому

      @@norahfrank wapi 😂😂😂😂

  • @HAPPINESSCHUWA
    @HAPPINESSCHUWA 11 місяців тому

    Very good Mr Jessie

  • @MariaKojoa-dx3ru
    @MariaKojoa-dx3ru Рік тому +5

    Wow kiswahili kizurisana jamani😘😘😘

  • @HassanAli-rw5go
    @HassanAli-rw5go Рік тому +8

    Nakupenda buree tabia zako nzuri sanaa kwanza hulewi naomba uingie uislamu

    • @domymerinyo8165
      @domymerinyo8165 Рік тому +1

      Huo ni ubinafsi fanya sehemu yako ktk maisha uache rekodi

    • @MpekaThomas
      @MpekaThomas Рік тому

      Afu mwanangu aume😂😂😂😂unashobo

    • @esthermachangu4970
      @esthermachangu4970 11 місяців тому

      Kwa hiyo wakisto sisi ni nyau

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Рік тому +5

    Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes.
    Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.

  • @cipriano3040
    @cipriano3040 11 місяців тому

    Great guy....i support the guy....i wish to get him & give him a word

  • @samwelyremy4103
    @samwelyremy4103 11 місяців тому +3

    We are all connected in love ❤
    Good job brother 💚

  • @dianamvuzwa-eh9ov
    @dianamvuzwa-eh9ov 11 місяців тому +1

    Jesse hongera kwa vigezo vyako ,vyakuowa karibu Tanzania tunakupenda sanaaaa unaonekana unaroho nzuri

  • @cleophacemahendeka4937
    @cleophacemahendeka4937 11 місяців тому +4

    Hongera sana kwa jese kujua kiswahili vizuri sana atakuwa balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania uko kwao

  • @PeterNzinza
    @PeterNzinza 8 місяців тому

    Pole sana jese

  • @laurenciazacharia9197
    @laurenciazacharia9197 Рік тому +7

    Jesse ni mcheshi kweli karibu sana Tanzania❤

    • @OmanOman-m9n
      @OmanOman-m9n Рік тому +1

      ubarikiwe Sana jesse na pole Sana mungu akusaidie Sana Sana mkasa

    • @OmanOman-m9n
      @OmanOman-m9n Рік тому

      uliokpata

  • @bahatidominic8923
    @bahatidominic8923 Рік тому +1

    Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.

    • @lailaabeid717
      @lailaabeid717 Рік тому

      Kwakweli mtangazaji nj wetu na atabakia hapo daima

  • @zuhuraibrahim2529
    @zuhuraibrahim2529 Рік тому +7

    Nampenda sana huyu mtangazaji ❤❤❤❤

  • @rozinamoshi9651
    @rozinamoshi9651 11 місяців тому

    Asante sana kwa lupita vita ukeketaji

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty Рік тому +10

    Karibu Tanzanian tuna amani sana

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 Рік тому +1

    Thank Jesse tuna kupenda sana am from Tanzania 🇹🇿 but I work house media in Omani well come Tanzania

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Рік тому +16

    Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Рік тому +2

      Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu

    • @DavidKilusu-p4d
      @DavidKilusu-p4d Рік тому +1

      Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 Рік тому

      ​@@DavidKilusu-p4dKabisa Hatamkija Kujua Tayari Mambo yameharibika, Wana mbinu Nyingi Sana.

  • @AbouDahya
    @AbouDahya 11 місяців тому

    Asante kuitangaza vizuri tanzania

  • @ZainbZainb-s6f
    @ZainbZainb-s6f Рік тому +3

    Mambo ni 🔥🔥🔥maisha marefu kwako ❤❤❤❤❤

  • @Saleh-nd3kl
    @Saleh-nd3kl 7 місяців тому

    Mungu akusaidie sna

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 Рік тому +31

    You are born naturally with humanity love.

  • @AsmaKassim-bj9hm
    @AsmaKassim-bj9hm 11 місяців тому +1

    Mashaallh mashaallh inapendeza kwakweli

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg Рік тому +6

    Karibu Sana Tanzania waambie waje ss tuko poaa sana

  • @magesajohn3402
    @magesajohn3402 11 місяців тому +1

    Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx Рік тому +3

    I love you Jesse ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯👍

  • @EsterMwendawila-wj2ks
    @EsterMwendawila-wj2ks Рік тому +2

    Jess tuna kupenda pia god bless you

  • @graceamran326
    @graceamran326 Рік тому +4

    Tanzania 🇹🇿 hakuna matata❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤karibu

  • @MustaqimMuhsin
    @MustaqimMuhsin 11 місяців тому +1

    Kalibu tanzania

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Рік тому +7

    Mungu akutunze kijana unaroho nzur❤

  • @FideBugomola
    @FideBugomola 11 місяців тому

    Asante kalibu tena tanzania

  • @vero57
    @vero57 Рік тому +13

    KARIBU SANA TANZANIA, UNA ROHO NZURI SANA JESE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Рік тому

    Karibu Tz. Utawaoa wengi nahivi una kasura kazuri mh! Hatari😂😂😂

  • @athanaschacha.9424
    @athanaschacha.9424 Рік тому +20

    Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi mno,.🇹🇿❤

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Рік тому

    Thanks my brother Jeysi

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Рік тому

    Upo vizuri jese

  • @DrPiusTV
    @DrPiusTV 11 місяців тому +9

    Kiswahili kizuri kuliko mtangazaji, mtangazaji anauliza kwa kingereza halafu anajibiwa kiswahili😂

    • @jeffyjerry8129
      @jeffyjerry8129 11 місяців тому

      Ndo hao wanataka kujionyesha kama ana jua kingereza

    • @TatuRajabu-cz6jz
      @TatuRajabu-cz6jz 11 місяців тому

      Watanzania tukijua kingereza kidogo tuu ni shida,ndyo mana tunatekwa na wazungu

    • @NuhuMohammed-nu6ni
      @NuhuMohammed-nu6ni 8 місяців тому

      😂😂😂

  • @Happykiliwe
    @Happykiliwe Рік тому +2

    Karibu tanzania jese ❤❤

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 Рік тому +24

    Tunapenda wazungu ambao hawachagui rangi nyeusi kma huyu jamaa,anaheshima xana huyu mwamba,tunaeza pea mtu kma huyu uraia kuishi bila shida kwa nchi

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Рік тому +1

      Hawa jamaa niwazuri ila nenda kwao ukaisho nao utajuta waulizeni dada zenu

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Рік тому +1

      ​@@MaalimYussuf-qy9icsio wote wabaya na sio wafrika wote wema

    • @ZainakasimNgasu-bu8ml
      @ZainakasimNgasu-bu8ml Рік тому

      Jamani mwanamke hatongozi anatongozwa wanawake wasasa mmekuaje jamani!

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 11 місяців тому

      ​@@MaalimYussuf-qy9ichahaahahaha Haswa wanajua nchi yetuu ina vityu vizur Tanzania Imebarikiwaa kaishi kwao kwakwer wanabadilika😂😂

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Рік тому +2

    Mungu akubariki Jesse akuinue

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Рік тому +10

    Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Рік тому +2

      Yani watuwasiejielewa wanababaika na ngozi wanapagawa hawawatu hawanaga utu ni tabiambayati hawa

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 Рік тому

      Hakika kabbisaa ,hawa wanakuwa wapelelezi wa muda mrefu sana ,na riport zao ni za miaka 100 mbele ...

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya Рік тому +1

    Mpe hongera zake. Kiukweli amefanya kazi kubwa na nzuri

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Рік тому +3

    Dada ongea kiswahili moja kwa moja kingereza cha nini?

  • @FatmaJuma-w6g
    @FatmaJuma-w6g 11 місяців тому +1

    Jasse nipe no yako❤ nakupendaaaa jess we unanitesaaaaa😂😂😂😂😂 mzungu kachachawa na shepu mtumeeee

  • @YusraHamadi
    @YusraHamadi Рік тому +3

    Mashaallah ❤❤❤

  • @chachamtiba1069
    @chachamtiba1069 Рік тому +1

    Ubarikiwe mno kaka,, I hope GOD is with you in all your life , be blessed brother

  • @navioma4882
    @navioma4882 Рік тому +4

    Karibu tanzania❤❤❤

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 місяців тому

    Karibu tz baby zungu❤

  • @WaweruG
    @WaweruG 11 місяців тому +7

    They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations.
    His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission.
    The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.

    • @abdouaishafuzna2345
      @abdouaishafuzna2345 11 місяців тому

      Big up

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 11 місяців тому

      Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂

  • @clementphilipo3340
    @clementphilipo3340 7 місяців тому

    Pole sana

  • @mapromedia_
    @mapromedia_ Рік тому +3

    Mtangazaji leo umezingua sijui unataka uonekane unajua kiingereza, mtu anaongea kiswahili wew unamuuliza kwa kiingereza

  • @JudithCristopher
    @JudithCristopher 5 місяців тому

    Jesse barikiwa sana

  • @Naima-g1n
    @Naima-g1n Рік тому +3

    Mtangazaji kwa ubora wake nimependa maswali❤

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Рік тому +1

    Kwa Imani yako Mungu akubariki

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage9664 Рік тому +3

    Dah umejifunza kiswahili vizuri Sanaa, usikate tamaaa

  • @rechosamwel241
    @rechosamwel241 11 місяців тому +2

    Hakika nchi yetu ninzuri sana👍

  • @sofiamasseelyas7553
    @sofiamasseelyas7553 Рік тому +16

    Bravo à toi ❤❤❤❤

  • @linluxe101
    @linluxe101 9 місяців тому

    Wow🎉 nice interview ❤

  • @xtra100
    @xtra100 Рік тому +6

    Ikiwezekana andika maswali kwanza hiyo itakusaidia kuwa sawa...usitoke kwenye mstari na kuaibika...jamaa anajitahidi kuongea kiswahili basi usifanye kwa lugha ya kigeni na huku unae mhoji anazungumza lugha yako ilipasa wewe ndio uwe unamrekebisha... however it is a good interview once again I must say...

    • @likimaro6
      @likimaro6 Рік тому

      Ni mambo ya aibu, huyo mtangazaji English yenyewe hajui basi ni aibu tupu

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Рік тому

    Jess Allah akuhifadhi

  • @EvaristoNgimba-nq1ld
    @EvaristoNgimba-nq1ld Рік тому +4

    Tanzania bad Sana yani baadaa ya kujivunia kishwahi chetu kinapenya kimataifa sasa waandishi sasa

  • @zamzamharoon332
    @zamzamharoon332 11 місяців тому

    Jessy
    Mungu akujalie umpate mke anayokufaa na upate uraia

  • @Bishopdavidndaki7184
    @Bishopdavidndaki7184 Рік тому +9

    Jese MUNGU akubariki sana kwa moyo huo

  • @mariawilson2698
    @mariawilson2698 Рік тому +1

    Wamejaribu kuniua .. mtangazaji waooo

  • @sirisya
    @sirisya Рік тому +2

    Mtangazaji, tumia tu Kiswahili dada, Kiingereza kimekulemea.

  • @berthatz
    @berthatz Рік тому +2

    Jesse huyo kijana wa Kikurya huyo moja kwa moja toka Butiama..😂❤️❤️👏🏾

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro6016 Рік тому +11

    Wa Kenya 🇰🇪 wanawake wanameza mate 😁😁😁wanavyo penda wazungu

  • @Amina124-gm9nx
    @Amina124-gm9nx Рік тому +2

    Waaaoòooooo mungu akuxjdishie❤❤❤

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 Рік тому +5

    Uyu jamaa anaimani mungu ambaliki sana 🙏🏼