Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??
@@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.
Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤
Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya
Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂
Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes. Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.
Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.
Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee
Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu
Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".
Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.
Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa
They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations. His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission. The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.
Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂
Ikiwezekana andika maswali kwanza hiyo itakusaidia kuwa sawa...usitoke kwenye mstari na kuaibika...jamaa anajitahidi kuongea kiswahili basi usifanye kwa lugha ya kigeni na huku unae mhoji anazungumza lugha yako ilipasa wewe ndio uwe unamrekebisha... however it is a good interview once again I must say...
Jesse anaroho nzuri mungu akubariki tunakupenda watanzania 🇹🇿🇴🇲
Wawooo 😘 thanks
So nice iloveyou Tanzania 🇹🇿
Mtangazaji hongera 😍😍😍ni mzuri na rangi yako 😘😘😘😘😘😘nimekupendaaa🫂♥️
Wema huu hauozi, ujana wako hadi uzeen utakuwa mtu Wa furaha saana.MashaAlla watu wa pepon hawa.❤❤❤
Mungu ambariki awe muislam
Mungu akubariki sana na karibu Tanzania 🇹🇿 yetu
Mimi nimemuewa Jessy,hii sio biashara!ni mapenzi!nimenda tabia zako my boy,all the best and my prayers in shaa Allah salama
You're welcome to Tanzania. You're a good person
jess Mungu akubali una roho mzuri sana mashallha karibu Tanzaniq
Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??
Kwel kabisa
Mkweli kbs
@@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.
Jecy mungu akubariki sana kijana 🎉🎉🎉❤
me nampenda mtangazaj jaman jins anavyo tangaza
kama ww unamawazo kama mimi nipe like jmn
Asante kwa upendo wako Jesse,Mungu akubariki
Kama muzungu anajifunza Kiswahili, what about us Africans? Nimeshukuru kwa sababu I’m in intermediate level now, I’m definitely learning it🇸🇸
OOOh..... VERY COOL ... Jamaa ni poa sana na anamtazamo mzuri kimaisha na anachokifanya kuwasaidia wengine ..NI KITU KIKUBWA SAAANA...#BLESSINGSS👌👍👊👊
Story ni ya kweli kabisa god bless you jese
god??
@@eggysulle7988It’s God /GOD
Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤
Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya
Hakika hajielewi
anajibrand sii unajua wakinadada
@@KIMBY3-z8c 😀😀
Yaaaa haiko sawa hyo my sister,
Ume eleweka lugha lazima atumie Ile inayo tumika na mhojiwa
Mungu azidi kukutia nguvu jessy, loved 😍 ♥️ ❤️
Huyo ni.mwafrica ana dam ya kiafrica mana babake ni misri
Masha Allah karibu Tanzania kaka
Karibu sana sana Tanzania 🇹🇿
Mungu akubariki Jesse karibu sana Tanzania nimekupenda Bure I wish nikuone live 🎉🎉🎉🎉❤❤
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Mungu ibariki TANZANIA, Mungu ibariki AFRIKA. Karibu Tanzania Kaka nchi ya Amani.
Mungu akubariki Jesse
Watching from Kenya i like the guy.venye anasaidia hao watoto,hope anaeza kunja Kenya pia kusaidia pia
I hope one day atafika na Kenya pia
Love you 😘 sana kwa kupenda nchi yangu
Karibu Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana❤️❤️❤️
❤❤ ss tunawapenda wale waotupenda, piya kma uko n ofu ya MUNGU
Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂
Wow nimemekupenda bure jesse❤️♥️💖💓💕👌🙏
Jese Mungu akubariki Kwa yote unayoyafanya...... May Lord our God bless you for what you're doing.... Additional money
Jess upo vizuri sana dogo
Hata mimi mkenya jamani naipenda tanzania ❤❤
Hata mm mtanzania nakupenda sn ww unae ipenda tz❤
@@asiamohd5516 basi tupendane kwa ajili ya allah ❤️❤️
❤❤
Njoo tukae.
@@norahfrank wapi 😂😂😂😂
Very good Mr Jessie
Wow kiswahili kizurisana jamani😘😘😘
Nakupenda buree tabia zako nzuri sanaa kwanza hulewi naomba uingie uislamu
Huo ni ubinafsi fanya sehemu yako ktk maisha uache rekodi
Afu mwanangu aume😂😂😂😂unashobo
Kwa hiyo wakisto sisi ni nyau
Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes.
Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.
Great guy....i support the guy....i wish to get him & give him a word
We are all connected in love ❤
Good job brother 💚
Jesse hongera kwa vigezo vyako ,vyakuowa karibu Tanzania tunakupenda sanaaaa unaonekana unaroho nzuri
Ongera sana
Hongera sana kwa jese kujua kiswahili vizuri sana atakuwa balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania uko kwao
Ongera sana
Pole sana jese
Jesse ni mcheshi kweli karibu sana Tanzania❤
ubarikiwe Sana jesse na pole Sana mungu akusaidie Sana Sana mkasa
uliokpata
Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.
Kwakweli mtangazaji nj wetu na atabakia hapo daima
Nampenda sana huyu mtangazaji ❤❤❤❤
Asante sana kwa lupita vita ukeketaji
Karibu Tanzanian tuna amani sana
Thank Jesse tuna kupenda sana am from Tanzania 🇹🇿 but I work house media in Omani well come Tanzania
Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee
Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu
Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".
@@DavidKilusu-p4dKabisa Hatamkija Kujua Tayari Mambo yameharibika, Wana mbinu Nyingi Sana.
Asante kuitangaza vizuri tanzania
Mambo ni 🔥🔥🔥maisha marefu kwako ❤❤❤❤❤
Mungu akusaidie sna
You are born naturally with humanity love.
Definitely
Mashaallh mashaallh inapendeza kwakweli
Mungu atakulipa Inshaallah
Karibu Sana Tanzania waambie waje ss tuko poaa sana
Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.
I love you Jesse ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯👍
Jess tuna kupenda pia god bless you
Tanzania 🇹🇿 hakuna matata❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤karibu
Kalibu tanzania
Mungu akutunze kijana unaroho nzur❤
Asante kalibu tena tanzania
KARIBU SANA TANZANIA, UNA ROHO NZURI SANA JESE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Karibu Tz. Utawaoa wengi nahivi una kasura kazuri mh! Hatari😂😂😂
Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi mno,.🇹🇿❤
Thanks my brother Jeysi
Upo vizuri jese
Kiswahili kizuri kuliko mtangazaji, mtangazaji anauliza kwa kingereza halafu anajibiwa kiswahili😂
Ndo hao wanataka kujionyesha kama ana jua kingereza
Watanzania tukijua kingereza kidogo tuu ni shida,ndyo mana tunatekwa na wazungu
😂😂😂
Karibu tanzania jese ❤❤
Tunapenda wazungu ambao hawachagui rangi nyeusi kma huyu jamaa,anaheshima xana huyu mwamba,tunaeza pea mtu kma huyu uraia kuishi bila shida kwa nchi
Hawa jamaa niwazuri ila nenda kwao ukaisho nao utajuta waulizeni dada zenu
@@MaalimYussuf-qy9icsio wote wabaya na sio wafrika wote wema
Jamani mwanamke hatongozi anatongozwa wanawake wasasa mmekuaje jamani!
@@MaalimYussuf-qy9ichahaahahaha Haswa wanajua nchi yetuu ina vityu vizur Tanzania Imebarikiwaa kaishi kwao kwakwer wanabadilika😂😂
Mungu akubariki Jesse akuinue
Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa
Yani watuwasiejielewa wanababaika na ngozi wanapagawa hawawatu hawanaga utu ni tabiambayati hawa
Hakika kabbisaa ,hawa wanakuwa wapelelezi wa muda mrefu sana ,na riport zao ni za miaka 100 mbele ...
Mpe hongera zake. Kiukweli amefanya kazi kubwa na nzuri
Dada ongea kiswahili moja kwa moja kingereza cha nini?
Jasse nipe no yako❤ nakupendaaaa jess we unanitesaaaaa😂😂😂😂😂 mzungu kachachawa na shepu mtumeeee
Mashaallah ❤❤❤
Ubarikiwe mno kaka,, I hope GOD is with you in all your life , be blessed brother
Karibu tanzania❤❤❤
Karibu tz baby zungu❤
They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations.
His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission.
The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.
Big up
Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂
Pole sana
Mtangazaji leo umezingua sijui unataka uonekane unajua kiingereza, mtu anaongea kiswahili wew unamuuliza kwa kiingereza
Jesse barikiwa sana
Mtangazaji kwa ubora wake nimependa maswali❤
Kwa Imani yako Mungu akubariki
Dah umejifunza kiswahili vizuri Sanaa, usikate tamaaa
Hakika nchi yetu ninzuri sana👍
Bravo à toi ❤❤❤❤
Hongera kijana fanyaka utabarikiwa sana
Baki na sisi Tanzania Jessy
Ubarikiwe sana
Wow🎉 nice interview ❤
Ikiwezekana andika maswali kwanza hiyo itakusaidia kuwa sawa...usitoke kwenye mstari na kuaibika...jamaa anajitahidi kuongea kiswahili basi usifanye kwa lugha ya kigeni na huku unae mhoji anazungumza lugha yako ilipasa wewe ndio uwe unamrekebisha... however it is a good interview once again I must say...
Ni mambo ya aibu, huyo mtangazaji English yenyewe hajui basi ni aibu tupu
Jess Allah akuhifadhi
Tanzania bad Sana yani baadaa ya kujivunia kishwahi chetu kinapenya kimataifa sasa waandishi sasa
Jessy
Mungu akujalie umpate mke anayokufaa na upate uraia
Jese MUNGU akubariki sana kwa moyo huo
Wamejaribu kuniua .. mtangazaji waooo
Mtangazaji, tumia tu Kiswahili dada, Kiingereza kimekulemea.
😂😂😂😂Wat mek you😂😂
Jesse huyo kijana wa Kikurya huyo moja kwa moja toka Butiama..😂❤️❤️👏🏾
Haaaa wee kurya boy tena
Wa Kenya 🇰🇪 wanawake wanameza mate 😁😁😁wanavyo penda wazungu
😂😂😂😂😂
Wanawake wengi afrika sio Kenya tu pliz!
Wanawake qengi sio Kenya tu😊
Waaaoòooooo mungu akuxjdishie❤❤❤
Uyu jamaa anaimani mungu ambaliki sana 🙏🏼