Napenda sana kuishi na mtoto wngu ila kwasasa sikai nae niko mkoani kikazi yuko na mama yake, nilipenda sana kumlea mtoto wangu ila najua sijachelewa nitamlea na kumfundisha maadili
Asante sana Mimi nakumbuka nilikuwa namwambia baba siku moja nitapanda ndege ,nitajenga nyumba alikuwa anacheka tu alikuwa anachukulia kama utani ila namshukuru Mungu nilijitabilia na ikawa ,pia wazazi wajitahidi kuombe vitu wanavyotamani watoto kufanya wakiwa wakubwa
mimi ni baba nimeyaskia haya maneno mr joel ila yupo mama wawatoto wangu hajayaskia na wala hanauwo muda naunakuta anatumia maneno makali sana kwa watoto asa hapo minajifunza naenda kujenga yeye anabomoa nifanyaje?? h ma wawatoto wangu w
Joel masomo yako ni halisi lakini wakati mwingine jamii haipo hivyo kuruhusu malezi yanyooke. Je kama watoto hawaishi na wazazi wao au wanaishi na mzazi mmoja?
mtotowangu nikiwekapesandani anaibaanaenda kununuapipi nifanyeje
Wa kwanza kwenye comment
Napenda sana kuishi na mtoto wngu ila kwasasa sikai nae niko mkoani kikazi yuko na mama yake, nilipenda sana kumlea mtoto wangu ila najua sijachelewa nitamlea na kumfundisha maadili
Tupe video Yote🙏
Barikiwa sana kaka
Jamani joel unatupa mawazo mazr mungu akuweke miaka mingi
Aisee asante sana aisee❤❤❤ ubarikiwe sana kaka.
Asante kwa somo nzuri
Nakubali broh
Yeah brother ❣️☝️
Asante Sana
Shukrani kaka uko sahihi.
Hakika
NAOMBA URUDIE SOMO LA MIND REPROGRAMMING🙏.
Asante sana Mimi nakumbuka nilikuwa namwambia baba siku moja nitapanda ndege ,nitajenga nyumba alikuwa anacheka tu alikuwa anachukulia kama utani ila namshukuru Mungu nilijitabilia na ikawa ,pia wazazi wajitahidi kuombe vitu wanavyotamani watoto kufanya wakiwa wakubwa
Amen,Dada
Barikiwa sana kaka kwa kutufundisha wazazi
Shukrani Ndugu Nanauka
True
Kaka Joel Mungu akubariki sana
Asante mr joel kwahil somo
Asante sana brother, nimejifunza kitu. Mungu akubariki 👌🙏🏿
Asantee sana 🙏🏻🙏🏻
Asante mwalimi kwa kunifunza hili ili niwaelewe watoto wanghu kwasababu mimi wazazi wanghu hawakunipa muda kama huu wakunisikiliza
Asante
mimi ni baba nimeyaskia haya maneno mr joel ila yupo mama wawatoto wangu hajayaskia na wala hanauwo muda naunakuta anatumia maneno makali sana kwa watoto asa hapo minajifunza naenda kujenga yeye anabomoa nifanyaje??
h
ma wawatoto wangu w
chukua wanao lea mwenyewe
Joel masomo yako ni halisi lakini wakati mwingine jamii haipo hivyo kuruhusu malezi yanyooke. Je kama watoto hawaishi na wazazi wao au wanaishi na mzazi mmoja?
Asante sana