MAJIBIZANO: DOTTO MAGARI AMVAA MZAZI MWENZA, MPWA WAKE NAYE AMLIPUA - PART 2
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- MAJIBIZANO: DOTTO MAGARI AMVAA MZAZI MWENZA, MPWA WAKE NAYE AMLIPUA - PART 2
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Inapofika mahali mambo ya ndani ya nyumba mpk kulea mtoto mfikishane kwenye media🙌🙌🙌 kuna tatizo sehemu
We acha tu hiki kizazi cha utaniambia nini+kizazi cha Instagram kina shida sana
Danga...uyoooo.....mwanamke wa kinondoni wanawake wauaji....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kinondoni kuna MANYAKUNYAKU tyu😂😂😂😂
Kinondoni kuna MANYAKUNYAKU tyu😂😂😂😂
NA MIMI SIKU MWANAMKE WANGU AKIPAFAHAMU WASAFI TV ,NITAKOMA AISEEEE 🙌🙌🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana aiseee
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
😅😅😅weweee namjuwa namwambia aende 😂😂😂
Duh uyo dada hana shukran
Kamaliza dotto na mim mwisho kuangalia interview....much respect bro @dottomagari
Umesikia alichoongea mpwa wa Dotto?
Kama mahakamani wamefika lakini pia analeta ukaidi matokeo yake ndio hayo kiburi so maungwana siku zote
Sema mademu wa saivi mungu atusaidie
ngoja nitafute nauli niende wasafi nina mengi😅
Wanaume muwe mnaangalia na watu wa kuzaa nae
Dida umemaliza vizuri na dotto,unategemea kwa kwa uchochezi huo unategemea utapata ushirikiano,,,UONGOZI WA WASAFI MEDIA UNGALIE KWA KINA INAPOTAKA KUMWAJILI MTANGAZAJI VINGINEVYO KUNA NA SIKU ITASHITAKIWA KWA MAPUNGUFU YA MTU
Nimecheka Hapo Eti Mtoto Bado Mdogo Atabakwa 🤣🤣🤣
Haya mambo ya kifamilia yanawekwa kwenye media vp jaman
Yaani kila kitu kimekua mtandaoni hakuna privato
Ni aibu sana kizazi hichi kutafuta sifa mtandaoni
Daah
Dida kazi unaiweza dada, hongera sana
Yake yanamshinda
Kali
Mweeeeee wengine mna bahati ya kuhudumiwa jamani dah, wengine tunapewa elfu4 hapo mtoto anaumwa, iyo ni Hela ya dawa tu, chakula ntajijua mwenyewe
Dotto hawa madem kama wameanza hii michezo watakumaliza
Kwani Wasafi mmeshakuwa Dawati
😂😂 Bongo Rahaa Sana yn ukionekana upo na maokoto tu unaanzwa kutaftwq na kiki,Uku kiki ya Manara vs dulla hapa kiki za ditto magar vs mzaz mwenza 😂 acha Tuishi nazo hiz Kiki😂😂
Kosa la wanawake wa siku hizi wakikuona umetoboa tu yaani utajua hujui aiseee...
Umeonaeee wanawake bhana 😂😂njaa mbaya
Uyodoto manenomeng mpaka mpakanduguzake wanamkataa pesa zinamwisho achakibuli mwenye kibulinimojatu apadunian ambae ni mnyaz mungu kuastarabu achaujinga
Ww ndoto co tatizo shda mwnmke mswahili tamaa znamponza atafikiriwa
Doto huna ujanja kubali yaishe acha uongo ndugu zako wamethibitisha humtunzi mjukuu wangu kumbuka tajiri na gari lake maskini na watoto.
Huyu Dotto" Kama hakupata Jinaa wangekuja huko kwa Media" dah! Maisha haya banaa..... Kama nikupata jina ni hivi wa ikaee😂😂😂😂
Mambo ya kitoto kila siku mbona tz mfatilie hizi story kwa kila studio
30000 kwa siku kumammae ni uongo😊😊😊😊
Dotto maneno mengi, ampe elfu 30 kwa siku sio kweli
Mtoto wa mama kizimkazi yamemkuta
😅😅
😂😂😂
Ugogo kumbe ni tatizo kwenye jamii yetu?
😂😂
Mmmh! doto unahela zamchezo kama mahakama imeashasema elfu60000 hayaomengine nimaamuza yako2
Mchepuko wang akipajuw wasafi nitakoma
Asingekua na Hela wangeshitaki wapi
Na hapa ipo....
Ndo man wanaum wengi maish yenu yanakuw mabay badae kwa sbb vilio vawanawak ni vingi sn 😢
Tunazngua sana wanaume na ndio maana tunapata majanga mengi kwakua machozi ya haw wanawake yanatup laana kubwq sana.sasa atakam mnapishana na mama aliekuzalia basi kijali kilichozaliwa
sai dotto magari 3 merry 1 halftime nangoja kuona merry kama atasawazisha ama otaishia hapo na mjomba dotto 😂😂😂😂
Muislam kuzini nakafiri faida nihiyo
Wanawake tatizo Sana.
Wanaume wengi wajonha sana na waongo. Sio wote.
Wasafi wasafi
Wanawake fanyeni kazi jamani
Hilo jambazi
Doto mwanaume...
Haw wanaooongea sana mitandaoni hua ni watu wa ovyo sana hwa kina doto sjui mwijaku sjui baba levo ni watu wa ovyo sana😂😂😂
Doto magari umejiponza ile tabia ya kuonesha mabunda ya pesa imekuponza
Dada Dotto Asante uyu jamaa Anyolewe zile Rasta zitendei haki
😏
2024 nimwaka wa waume kudhalilishwa naona
Dida msaidie hy mama Doto mbabaifu. AZIZA sema kweli jimalize huyo binamu yako wa damu kabisa. Ni kweli kabisa nyumba hana watoto hawasomeshi kumbuka kuna uzee fainal uzeeni.
Mbabaifu kwa uhakika gani?kwann uanglie upande mmoja,nyie mmezid sana kutak kutafuta huruma kwa maneno ya uongo mtakufa vby sana
@@XerinLogisticsNdugu hapo Dotto ni wazi mbabaifu kwann wafikie hatua ya kupelekana ustawi wa jamii kama kweli anawajibika kwa akili ya kawaida tu boss?
@@XerinLogistics Yaani unataka kusema hata Mpwa wake anamsingizia?
@@estonsaimon6671 bro unasem hivo kwasbb ajakukuta ila Mimi nasem hivo kwajli yalishamkuta mtu wangu wakaribu kabisa yan sijaadisiwa kwa macho yangu nimeshuhudia unajua nn,sis wanaume tuna mengi sana yakusema kwajili ya wanawak ila kama wanaume tunakaa kmya, huyo jamaa yangu aliambiwa kbs na mwanamke wake kua naweza kukusingizia kitu nawatu wakaamini hawa sio wakuamini
@@Myplusbee ok lbda nikuuliz itakuaje kma sio ndugu yake ila nimchezo ambao umepangwa?kwasbb wabongo kukufanyia uigizaji nikitu kidogo tu...cha pili itakuaje lbda huyo mwanamke kaamua tu kumchafua doto?itakuaj lbd huyo mwanamke bdo anamtaka dotto? Mara nyingi hua tunapenda san kutoa hukumu kweny familia ambzo hatujui chochote kinachoendelea..la mwisho uwenda kwl dotto alikua antoa hela kwa mwanamke ila lbd mwanamke aoneshi kuridhika na Kias anachopewa ikampelekea dotto kubdirik,kuna wakati Wanawake ndio uwa chanzo cha mwanaume kunadirika,halafu hao hao wanaenda kuchongo mdomo
Mambo ya family mnazingua wanawake jina siyo hela mnataka ampe hela kila mtu mjomba tafuta hela we dada
Waswahil hawa wakishaona unapa vichenji tuu wote ndio wanataka kukuegemea ww babu sio pow uyo na yy hajapew pesa ndio mana ana mucandia doto
Mambo mengine muyamalize kifamilia haina haja yakuyaletea mitandaoni
Ndiooo_🤦🏿♀️
Anatumia mdomo wake kumuonea huyu binti...duu watu wamuogope Mungu
Dotto pesa ya masharti iyo tusiongeye mingi ?
Jamani waheshimu wanawake .ndugunyake kabisa kamkana
Mshahara wa umaarufu ndio huo ndugu yangu Dotto Magari!
Yaani imeonyesha ni uongo hawezi mtu yeyote hawezi kumpa mwanamke elfu 30000 kwa siku kwa mwezi laki 9 ni muongo huyo
Dotto andaa daftari , kila unapotoa hela na akipokea, basi jina na tar na saini yake na Yako.....iwe kumbukumbu
Mbona mambo ni mengi sana sielewi😅😅😅
Haya haya haya doto ushazalilika
Dotto namkubali sana ila kusema vibaya makabila ya watu anakosea
Dotto umekwisha shemela kakumaliza
Kinachoniuma kwnn avae jezi ya Yanga 😅
Jaman wagogo tumefikiwa duuu nimeliaa sana doto magar
Matako yake uyo 😂😂😂😂 et mgogo
Marefuu 🤔
Huyo mwanamke anaongea sna,mm nahisi kuna sehem kuna tatizo kwa mwanaume mwenye akili huwez mtupa mtoto wako wa damu.mapenzi ni ya wawili huwez jua wanamgogoro gan wa ndan ambao hauwez wekwa hadharan,mm mbna na mgogoro na mzazi mwenzang lkn mtoto namhudumia kupitia ndugu zake yeye binafsi mama mtu hatuongei kabsa akiwa na shda huwa anatuma tyu MSG hajawai Fika nnapoishi ila huwa ananifatilia kila hatua nnayosonga ya kimaisha namm najua hilo lkn pamoja na yote hayo hamna anayefaham UGOMVI wetu ni nini iwe ndugu zake ama ndugu zang hamna anayejua labda km yeye alishawanong'oneza ndugu zake,na iko hvo na hakuwa mke wa ndoa ila ni mzazi mwenzang tyu
Kumbe Dotto maneno mengi tu mzaramo huyu 😂😂
Kaka una busara sana.
Sema wanawake miyeyusho sana
Sanaa yani
Dotto uwanja wa bure na manoti ya w2 pole yk maneno mengi puuuuuu
Wanawake Sasa uhuru wenu umezidi
Na mimi mwanamke nilozaa nae akija apo kwa dida ntakoma😂
Mwanamke anaonekana mshenzi anamdomo
Mzagamuo mnazagamuana kinazaliwa kiumbe kisha inakua shida na tafrani.
Dotto hua hukosi majibu...eti dukani pengn anaenda kuchukua vitu akiuza hapiki😅
MAMBO YA AIBU TUPUU!!!
Dotto mwanamke tu mwanaume lijali awez kumfagilia mwanaume mwenzie
Hivi watu hawajui maisha ya mtandaoni jamani dotto anajibrandi si kakubali atatoa mpe mda mbona mnayakuza
bongo ukishapata jina tu umekwisha vinatokea vinsholokoshwino kutokea sijui wapi uko 😂
Unafikiri wanawake wenye Akili wanafanyaga mambo kama haya ya kuzalilishana
Kwahiyo wasafi ndio ustawi wa jamii??
Mwanamke mkorofi huyo
Wagogo😂😂
Kupatwa Kwa Doto😂😂..mara nyingi mijanaume kama doto ni wababaishaji mno msidanganywe na mihela yake ya mtandaoni!! huyo doto chawa tu hana hela huyo pimbi
😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅
Wa 1 kulike na kukoment japo cjaona video
Hivi vyeo vingine bwana Chawa sikia sifa za infuenceer😂 Doto magari (*kizimkazi) mjomba anasema mpaka maaake anamtukana huyo ndio kioo cha jamiii
Waswahili 😅😂😂😂 Aya fanyeni uyo doto sio star mngenda wapi !!!!
Mama na baba wote ni jukumu letu some kuwahudumia watoto
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
UNAAAKILI KUBWA
Mchawi atoki mbali uwa uwa ni ndugu wadamu alafu family issue munaeka public WASAFI kama amuna Programe fungeni kipindi sijaona kituo cha Habari cha kipuzi kama ichi
Et mchaw atok mbali udumi wakuchekee😂
Shikeni adabu wanawke, leo ana hela ndo mnamjia juu
Hatimae madebe apata pa kufutia jasho,kwa kweli ni mtihani
Mjomba doto😅😅😅😅
Mimba za zinaa hazina kher
Uyu doto kama mkosa radhi
Wanawake nasisi vichaa
Nahicho anachokisema mpwa wa Doto msubirin majibu ya Doto
😂😂😂😂😂🔥
Waislamu Tanzania kupata mtoto nje za ndoa ni vitu vya kawaida subhanallah🇰🇪🇸🇴?
DUNIA HII
Yani watoto wa nje wanaongoza kuliko wa ndoa,mtihani huu
Na huyo mnavoishi na yeye sa ivi ni come we stay au kafunga ndoa?
Kumbe ni MJOMBA DOTTOangeitwa ANCLE DOTTO angekuwa hana shida shida imeanzia Kwnye MJOMBA
Et mgogo😂😂😂😂
Kuna wanawake wengingine ukiwa nao kwenye mahusiano unatafutwa kudhalilika
Mjomba dotto 😂
Hao wote njaa
Wanawake fanyeeni kazi acheni ujinga kila kitu mitandaoni mmh kazi ipo
Fanyeni kazi wadada acheni kukaa kama Gori kipa
Mimi wananikela kweli. Mimi nina mtoto namsomesha shule ya pesa nyingi na sijawahi mlalamikia babake.
Angekuwa sio star mngeenda huko wasafi..??😂😂