"Mnataka tudhibiti Makanisa, mbona Baa zimezagaa kila kichochoro hamlalamiki?" - Askofu GWAJIMA
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #ViongoziWaDini #Tanzania
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
• Patashika bomoabomoa y...
~-~~-~~~-~~-~
Hii ni nzuri sana katika imani
Very well said mchungaji gwajima we both need sehemu za kuabudiaaa katika maeneo husika kuwe na balanced
Askofu gwajima ni mtu mhimu sanaaaa na huko kwajiri kuhubiri amani ya Nchi yetu jamani ona point zake 3 alizo fikisha kwa Rais magufuri. Zote ni nzr sana hongera gwajima
Askofu Gwajima Mungu akubariki sana. Tunakupendaaaa ww kweli Ni Mtumishi wa Kristo. Endelea kuismamia kweli.
Thanks Bishop Gwajima, maneno yako yamejaa ufahamu na hekima kubwa.
Yaani unaujasiri sana na umejibu hoja kwa utulivu sana,nimeanza kukuelewa askofu Gwajima
Amen,,
Askofu Gwajima Namuelewagwa sana.
Safi sana watanzania wenzetu kwakujitolea kwaajiliyataifaletu
Amen baba Gwajima 🙏🙏
Inashangaza sana kuona mchungaji Limo anaomba madhehebu yapungue.kumbuka huko ulaya makanisa yanageuzwa kuwa misikiti. kweli mchungaji Gwajima uko sawa.
Silaha ya Bwana,UBARIKIWE!!
Ahsante Mungu kwa kutupa watanzania rais huyu mzur na genius and a real Patriot... We all love him and pray for him always
Askofu Gwajima hekima umepewa na Mungu zidi kubarikiwa
Gwajima mungu akubariki sanaaa
dadddddy Bishop. Gwajima you always talk POINTS
Nakupenda Gwajima na namshukuru Rais kwa hekima zake.
Ni wachache sana wenye dhati ya mioyo yao wanaoweza kukubali ukweli huu..Tunapaswa kuwa fair Hongera Bishop Gwajima.
kiukweli gwajima umeongea hongera sana
Gwajima nimekupenda sanaa, hasa kwa jinsi ulivyo jibu kuhusu makanisa kuwa mengi badala ya kumpungua
Yamekuwa mengi kwel HD kero kelele kila uchao
Mungu ibariki Tanzania, mbariki Rais wetu na viongoz wote, viongozi wa dini na watanzania wote tuzidi kuwa na Amani hii, Amen!
Ameeeenii Gwajimaa ni kichwaaaa
Tanzania ni sehemu bora sana kwa maisha ya mwanadamu.
hahahahaha
nimetafakari kauli yako umenikosha ,. ni kweli kabisa
Sio kweli, we mnafiki yaani mahali salama wanapopingwa risasi mchana kweupe😬😬😬
Heee
Gwajima live long.
Safi Sana Mchungaji Gwajima Hekima tupu Umeongea
Hiii Ndio Tanzania ya Ndoto Zangu
Mungu Akubariki Sana Muh: Rais Wetu
Maombi yangu naona Mungu akiyajibu
Stay blessed Gwajima
ubarikiwe gwajima joseph
Mashekh wote mlio pewa nafasi yakuhudhuria hicho kikao mnashindwa kuwaombea mashekh wenzenu watolewe inshaallah mungu atasimama nanyie siku yakiyma .
Namuelewa sana Gwajima, ametoa hoja kwa unyenyekevu na ujasiri mkuu
japo kwa upande wa wakatoliki pombe imeruhusiwa sasa sijui imekaaje
Ubarikiwe sana Gwajima Injiri lazima iubiliwe kote
Big up Bishop Gwajima,umesema point mhimu
Duh! Mi nakukubali sana Gwajima. Mashekhe mbona hamjawaombea msamaha kwa Mh Rais Mashekhe wetu wa Uamsho!!!?
Hongereni sana watu Wanadamu hasa Mliookoka maana Bila Yesu ambaye ndio njia pekee ya kwenda Mbinguni
Safi sana Gwajima yaan big up
Gwajima ni Bright sanaaaaa!
Nakupenda Askofu kwa kazi yako
safi sana gwajima kwa point zako
Hekima nyng askof i like ur speech
Barikwa baba nakuelewa sana naomba sehemu ya roho yako iwe kwangu
Mchungaji Gwajima ana Akili sana Ana Mafundisho Ambayo Duniani hapa hakuna Anayefundisha kama hayo hasa ukisoma Vitabu vyake wee acha jaribuni kuvisoma uone
We muongo was dunia
Mungu akubariki Mchungaji gwajima wewe ni Mchungaji pekee mwenye ujasiri mkubwa sana
Safi Askofu Gwajima
Askofu Gwagima uko vizuri sana injili lazima ihubiriwe kila Mahali pote.
Nimekuelewa sana baba
Kwanza namshanga sana mchungaji lymo anamshauri rais aachie democraticia wakati yeye hataki madhehebu mengine yawepo kweli nyani haoni kundule lake
Joel Joel kesoy huyo mchungaji lyimo vip?
Joel Joel kesoy ww ujitabui unachoongea
Nyumba ya ibada inatakiwa iwe kwa ajili ya waumini wa mtaa huo. Sio wanao abudu hawaishi maeneo hayo. Halafu wanaweka sauti kubwa paka masikilizano hakuna. Mziki mkubwa watu wote mnawasikiliza wao wakati hamuhitaji.
gwajima nakupenda kwa msimamo wako bila kuyumbishwa
Kauli za Gwajima ni nzuri sana na ninaamini hapa alikuwa hajajiingiza kwenye Siasa kama sasa hivi. Alikuwa anaongea kama Askofu bila kumumunya mumunya. Haiwezikani mtu kama Askofu amesimama kwenye Madhabahu/Mimbari unaongelea mambo ya CCM na CHADEMA. Ushauri wangu kwake aachane kabisa na Siasa atapata mafanikio sana.
Gwajima safi kwa kumsahisha lymo
Gwajima shikamoo
Gwajima nimekukubali
Hakika Mzee Gwajima wewe kichwa
ASKOFU GWAJIMA MIMI NAKUKUBARI SANA.MUNGU AKUBARIKI SANA.UNAUPENDO WA KWELI NA KUWAJALI WENGINE.ASANTE KWA KUMKUMBUKA ASKOFU MPEMBA. NA KUHUSU SEHEMU YA KUSALI AIRPOT WAMETUBAGUA WAKRISTO
Twende pamoja kama kuna mtu kaona jicho la mzee wa upako kwa gwajima 😂😂😂
Nnapendekeza pia kuna haja ya haya madhehebu kudhibitiwa, athari itokanayo na ongezeko kubwa la haya madhehebu ni kutengeneza watu wenye utegemezi wa kufikiri na kuwafanya watu kuwa na hofu ya kuhoji mambo, na kulemaza uwezo wa kufikiri kwa jina la imani na miujiza, pia baa ziwepo kwa utaratibu kwani unywaji uliopitiliza athari zake hufanana na hizo hapo juu nilizozisema, ninashauri angesisitiza ujenzi wa shule nyingi kuliko majengo ya makanisa, angeshauri ujenzi training center kama vituo vya veta ili kufanikisha kuhamisha teknolojia na ufahamu kwa vijana kuliko imani na mafundisho ya miujiza ambayo kimsingi hayana mchango mkubwa ktk mustakabali wa maendeleo ya taifa, leo hii tuna makanisa mengi kuliko shule na mahospitali, tunafundishwa miujiza zaid badala ya ufahamu wa ' know how' kifupi ni kwamba dini leo zinaongoza kwa mateka kuliko tunavofahamu kuhusiana na biashara ya utumwa kipind cha mkoloni.
Mchungaji Lyimo kaangusha sana Wana wa Mungu wote na waumini wa Yesu Kristo..Kaangusha pia wachagga wote ..
Gwajimaaaaa,nakuelewaga sn
Kwakweli tinahitaji kanisa airport!
OK
Safi sana ihii kiboko
*Gwajima* very nice
nice dady
Akirudi uyo nasie mtutoree mashehee wetu raisi wetu tuangarie wote wapiga kura wKo
Kwa kweli Ktk watu waliongea mambo ya msingi kabisa Ni Askofu gwajima simjui Mtu huyu Kwa kumuona live ingawa Na mfatilia ktk UA-cam wameongelea Kwa kutulia wakristo lazima tuabudu mda wote kama alivyo Fanya yesu kirsto Na sio Nara moja Kwa week .(huko Ni kupingana Na Yesu.
Safiii
Tuna taka watu ma elfu kama wewe Joseph Gwajima
asikof umejibu vizuri sijui ni shule umesoma au ni fslisafa ainagani unayoitumia
daaaaah,,,,ila kuna watu wana mawazo ya maana sana ,,,,
Asanthe baba ubalikiwe sana
point muhim
Ama Unampokea Yesu uende Juu Mbingu la sivyo shimoni au Kuzimu
baadhi ya waislamu jina wanatoa povu kwa Gwajima kuhusu sehemu ya kuabudia badala ya kutoa povu juu ya masheikh waliokalisha makanzu hapo wakati kuna wenzao wapo jela bila hatia....
Yaani askofu umenigusa sana , watu wanalewa eti hakuna shida watu wakiabudu shida sasa lipi jema tuwe na kizazi kinachomcha Mungu au cha walevi?? mie naona ingewezekana hata kila baada ya nyumba kumi kungekuwa na nyumba ya ibada iwe msikiti au kanisa watu wakaabudu badala ya kulewa,
Mimi ningekuwa mshauri wa Rais ningemshauri tu aachane na vyombo vya habari kwa sasa kwa wananchi wamemzoea sana. Kipindi cha kampeni hata weza kuwa na jipya zaidi raia watakuwa wanataka kujua mapya ya upinzani
gwajima na mzee wa upaku endeleeni kula sadaka za waumini msituletee udini wala ukabila......
Gwaji inakuuma
safi sana
Hmm wakristo mnaabudu kwa sauti kubwa sana na vinanda pianos nk mnafkir mkiekewa sehem yakuabudia makazani patakalika? Au airport? Na km mnaabudu kiroho bas haina haja yakutengewa sehem maalum ata kwa kiti chako tu unaeza kuabudu
Jamani me nauliza swali nani kaoa binti wa miaka sita au tisa iviii namtafuta nimwambie YESU ALISAMEHE DHAMBI ZA WATU NA ANASAMEHE NA ALIFUFUA WATU WENGI SANAA 😎😎😎
mzee wako
alaf kngne w aikwmbia yexu anaxamehe zambi nan anaexameh zambi yexu au baba yake yexu bimaana mungu.. achen utan na mungu nyie
hizo baa hata ilikoanza dunia zipo unashangaa baa
Huyu Askofu inaonesha kachukia suala la waislam kueka sehem za ibada ktk maeneo muhim!! sasa ibada inafanywa rohoni kanisa la nin?
Farida saleh Dada hangu husiwe na Ubinafsi halafu kama jambo hulijui ni vyema kukaa kimya.
hata vitabu vyadini vinataka hivyo kakimya kama jambo hulijui sipendi kunukuu zaidi maana utanifikilia vibaya.
sasa halie kuwa Ubinafsi ni gwajima au nyinyi hacheni humimi , baada ya kumpongeza anaomba sehemu ya ibada nyie mnacoment hujinga
huo ni Ubaguzi mnao huleta hivi nyinyi kweli mnamcha Mungu kweli ?
maana kama mngekuwa mnamcha Mungu msinge Comment nonsense .
sioni Ubaya mchungaji gwajima kutaka wakristo nao wapate sehemu ya kufanya ibada Kwa vile kabla hujasafiri nivizuri ukafanya ibada . Kwa hiyo wakristo nao wapate sehemu ya ibada sio vibaya.
Gwajima umefika bei
We lyimo sijui umesimama upande gani hutaki makanisa unataka bar ndo ziwe nyingi hutaki madhebu yawe mengi kwani lako ndo la Kwanza hapa Tanzania
Wachungaji Hanna Mbingu ya kupeleka watu Na wanaendelea kwa Sheria na ushuuda yesu vinginevyo hapa asubuhi kwenye na dam hizo mtazilipa zitatakwa juu yenu
Surat Imran 118-119
We gwajima unazingua kwan we muislam mbona unasema waislam wenzetu acha kujifanya muislam km unamaind njoo ktk uislam.
Siafiki ongezeko la nyumba za ibada ni baraka...
baba umeongea kitu cha ukweli sana
Mheshimwa Raising utuite na sisi tunaodai madeni yanayo hakikiwa tueleze waliotukwamisha kulipwa ,wanana madudu .
Makanisa nayo yamekuwa kama bar tu kila kona. Upuuzi mtupu kazi kudanganya watu
baa zinalipa kodi
Mashekhe wamekaa tu ata awa zungumzi kuhusu wenzao walio jela hawa muoni ngwajima hapo anavyo mwombea askofu mwenzake hao wamekaa tu wakati hii ndio nafasi.
Uoga
Hujawahi kuniangusha baba Askofu, inzi watakubari na comment zao utazijua tu humu.
nakamari zimezidi vijana hawataki kazi
Inzi wanakupeni tabu sana wakati wapo timamu sana 7bu wanasikia na wanaona mazuri mengi yanayofanyika!! Lkn nyie vipofu na viziwi , hamuyaoni Wala kuyasikia mazuri yoteyanayofanyika,, aibu sana
sukuma ndan wauza baa
Mambo mengi yanatokea
Mbona hao mashekhe hawaombei wenzao walio jela watolewe au japo wapewe hata dhamana
mbona sheikh ponda ujamualika umealika waislam poa poa tu
Ivi jamanii.. kama kubeti ni haram.. je ngurue pia si haram na kwenye bible vyote ivyo vimekatazwa... mm kwa kifupi naona ya kaisari tumuachie kaisari.. tukisema tuzame kwenye vitabu vya dini tutakuta tuna kosea sana maeneo mengi. Ilo la kubeti liachwe tuu.
Mzee wa upako anakuangalia vibaya Gwajima umemkosea nini!?
😆😆😆 uyu jamam anapiga vita kwel uslam
Makanisa mengi niyakitapeli yanawanyonya maskin walio wengi
Wewe huwa unatoa shilingi ngap sadaka