"Mnataka tudhibiti Makanisa, mbona Baa zimezagaa kila kichochoro hamlalamiki?" - Askofu GWAJIMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #ViongoziWaDini #Tanzania
    ~-~~-~~~-~~-~
    Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
    • Patashika bomoabomoa y...
    ~-~~-~~~-~~-~

КОМЕНТАРІ • 216

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 2 роки тому +2

    Hii ni nzuri sana katika imani

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 5 років тому +2

    Very well said mchungaji gwajima we both need sehemu za kuabudiaaa katika maeneo husika kuwe na balanced

  • @imma4real576
    @imma4real576 5 років тому +5

    Askofu gwajima ni mtu mhimu sanaaaa na huko kwajiri kuhubiri amani ya Nchi yetu jamani ona point zake 3 alizo fikisha kwa Rais magufuri. Zote ni nzr sana hongera gwajima

  • @lingtonadamson344
    @lingtonadamson344 5 років тому +2

    Askofu Gwajima Mungu akubariki sana. Tunakupendaaaa ww kweli Ni Mtumishi wa Kristo. Endelea kuismamia kweli.

  • @evwilsonaugustinepuregospe7709
    @evwilsonaugustinepuregospe7709 5 років тому +4

    Thanks Bishop Gwajima, maneno yako yamejaa ufahamu na hekima kubwa.

  • @mtegaya2118
    @mtegaya2118 5 років тому +27

    Yaani unaujasiri sana na umejibu hoja kwa utulivu sana,nimeanza kukuelewa askofu Gwajima

  • @williamemanuel9564
    @williamemanuel9564 5 років тому +2

    Amen,,
    Askofu Gwajima Namuelewagwa sana.

  • @sudiomari5881
    @sudiomari5881 8 місяців тому

    Safi sana watanzania wenzetu kwakujitolea kwaajiliyataifaletu

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Рік тому

    Amen baba Gwajima 🙏🙏

  • @ericamwakyokile1889
    @ericamwakyokile1889 5 років тому +2

    Inashangaza sana kuona mchungaji Limo anaomba madhehebu yapungue.kumbuka huko ulaya makanisa yanageuzwa kuwa misikiti. kweli mchungaji Gwajima uko sawa.

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 5 років тому +2

    Silaha ya Bwana,UBARIKIWE!!

  • @adonisoden2054
    @adonisoden2054 5 років тому +1

    Ahsante Mungu kwa kutupa watanzania rais huyu mzur na genius and a real Patriot... We all love him and pray for him always

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 5 років тому +6

    Askofu Gwajima hekima umepewa na Mungu zidi kubarikiwa

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 років тому +2

    Gwajima mungu akubariki sanaaa

  • @Pastorlenhardkyamba
    @Pastorlenhardkyamba 5 років тому +1

    dadddddy Bishop. Gwajima you always talk POINTS

  • @dawillygene
    @dawillygene 5 років тому +2

    Nakupenda Gwajima na namshukuru Rais kwa hekima zake.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 5 років тому +2

    Ni wachache sana wenye dhati ya mioyo yao wanaoweza kukubali ukweli huu..Tunapaswa kuwa fair Hongera Bishop Gwajima.

  • @sangainelekasi495
    @sangainelekasi495 5 років тому +2

    kiukweli gwajima umeongea hongera sana

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 років тому +12

    Gwajima nimekupenda sanaa, hasa kwa jinsi ulivyo jibu kuhusu makanisa kuwa mengi badala ya kumpungua

    • @alimassea612
      @alimassea612 5 років тому

      Yamekuwa mengi kwel HD kero kelele kila uchao

  • @mgayajofreyj9788
    @mgayajofreyj9788 5 років тому +1

    Mungu ibariki Tanzania, mbariki Rais wetu na viongoz wote, viongozi wa dini na watanzania wote tuzidi kuwa na Amani hii, Amen!

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo2316 5 років тому +10

    Ameeeenii Gwajimaa ni kichwaaaa

  • @bahatib.kidesela5423
    @bahatib.kidesela5423 5 років тому +23

    Tanzania ni sehemu bora sana kwa maisha ya mwanadamu.

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 2 роки тому

    Gwajima live long.

  • @thobiasgindu5492
    @thobiasgindu5492 5 років тому +1

    Safi Sana Mchungaji Gwajima Hekima tupu Umeongea

  • @frankmakori1481
    @frankmakori1481 5 років тому +3

    Hiii Ndio Tanzania ya Ndoto Zangu
    Mungu Akubariki Sana Muh: Rais Wetu
    Maombi yangu naona Mungu akiyajibu

  • @josephnyarobi3913
    @josephnyarobi3913 5 років тому +2

    Stay blessed Gwajima

  • @mbelwajonathan9989
    @mbelwajonathan9989 5 років тому +1

    ubarikiwe gwajima joseph

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 5 років тому +1

    Mashekh wote mlio pewa nafasi yakuhudhuria hicho kikao mnashindwa kuwaombea mashekh wenzenu watolewe inshaallah mungu atasimama nanyie siku yakiyma .

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 5 років тому +7

    Namuelewa sana Gwajima, ametoa hoja kwa unyenyekevu na ujasiri mkuu

    • @msafiriaugustino2957
      @msafiriaugustino2957 5 років тому

      japo kwa upande wa wakatoliki pombe imeruhusiwa sasa sijui imekaaje

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 5 років тому +1

    Ubarikiwe sana Gwajima Injiri lazima iubiliwe kote

  • @yusuphstephenkulwa5217
    @yusuphstephenkulwa5217 4 роки тому

    Big up Bishop Gwajima,umesema point mhimu

  • @salminiyussuf989
    @salminiyussuf989 5 років тому +1

    Duh! Mi nakukubali sana Gwajima. Mashekhe mbona hamjawaombea msamaha kwa Mh Rais Mashekhe wetu wa Uamsho!!!?

  • @kaayaester9739
    @kaayaester9739 5 років тому +1

    Hongereni sana watu Wanadamu hasa Mliookoka maana Bila Yesu ambaye ndio njia pekee ya kwenda Mbinguni

  • @jenimakoi5250
    @jenimakoi5250 5 років тому

    Safi sana Gwajima yaan big up

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo7460 5 років тому +1

    Gwajima ni Bright sanaaaaa!

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 4 роки тому

    Nakupenda Askofu kwa kazi yako

  • @sawanjema4889
    @sawanjema4889 5 років тому

    safi sana gwajima kwa point zako

  • @jomikomike1682
    @jomikomike1682 5 років тому

    Hekima nyng askof i like ur speech

  • @msingimtombozi9013
    @msingimtombozi9013 5 років тому

    Barikwa baba nakuelewa sana naomba sehemu ya roho yako iwe kwangu

  • @kaayaester9739
    @kaayaester9739 5 років тому +1

    Mchungaji Gwajima ana Akili sana Ana Mafundisho Ambayo Duniani hapa hakuna Anayefundisha kama hayo hasa ukisoma Vitabu vyake wee acha jaribuni kuvisoma uone

  • @lazackbrown1645
    @lazackbrown1645 5 років тому +4

    Mungu akubariki Mchungaji gwajima wewe ni Mchungaji pekee mwenye ujasiri mkubwa sana

  • @eusebiuskipilipili3128
    @eusebiuskipilipili3128 5 років тому +1

    Safi Askofu Gwajima

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 5 років тому +2

    Askofu Gwagima uko vizuri sana injili lazima ihubiriwe kila Mahali pote.

  • @claralassonn8833
    @claralassonn8833 5 років тому

    Nimekuelewa sana baba

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 років тому +21

    Kwanza namshanga sana mchungaji lymo anamshauri rais aachie democraticia wakati yeye hataki madhehebu mengine yawepo kweli nyani haoni kundule lake

    • @mtanzaniamzalendo7001
      @mtanzaniamzalendo7001 5 років тому

      Joel Joel kesoy huyo mchungaji lyimo vip?

    • @meryevance6744
      @meryevance6744 5 років тому +1

      Joel Joel kesoy ww ujitabui unachoongea

    • @aishakiety8911
      @aishakiety8911 5 років тому

      Nyumba ya ibada inatakiwa iwe kwa ajili ya waumini wa mtaa huo. Sio wanao abudu hawaishi maeneo hayo. Halafu wanaweka sauti kubwa paka masikilizano hakuna. Mziki mkubwa watu wote mnawasikiliza wao wakati hamuhitaji.

  • @kasyupamwakibibi1615
    @kasyupamwakibibi1615 5 років тому +1

    gwajima nakupenda kwa msimamo wako bila kuyumbishwa

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 4 роки тому

    Kauli za Gwajima ni nzuri sana na ninaamini hapa alikuwa hajajiingiza kwenye Siasa kama sasa hivi. Alikuwa anaongea kama Askofu bila kumumunya mumunya. Haiwezikani mtu kama Askofu amesimama kwenye Madhabahu/Mimbari unaongelea mambo ya CCM na CHADEMA. Ushauri wangu kwake aachane kabisa na Siasa atapata mafanikio sana.

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 5 років тому +1

    Gwajima safi kwa kumsahisha lymo

  • @elibarikielia4434
    @elibarikielia4434 5 років тому +3

    Gwajima shikamoo

  • @alexjosephat9030
    @alexjosephat9030 5 років тому +1

    Gwajima nimekukubali

  • @mhs-thehydraulicsolutionsf7243
    @mhs-thehydraulicsolutionsf7243 5 років тому +12

    Hakika Mzee Gwajima wewe kichwa

  • @ericamwakyokile1889
    @ericamwakyokile1889 5 років тому +1

    ASKOFU GWAJIMA MIMI NAKUKUBARI SANA.MUNGU AKUBARIKI SANA.UNAUPENDO WA KWELI NA KUWAJALI WENGINE.ASANTE KWA KUMKUMBUKA ASKOFU MPEMBA. NA KUHUSU SEHEMU YA KUSALI AIRPOT WAMETUBAGUA WAKRISTO

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 5 років тому +2

    Twende pamoja kama kuna mtu kaona jicho la mzee wa upako kwa gwajima 😂😂😂

  • @davidlekasi5668
    @davidlekasi5668 5 років тому

    Nnapendekeza pia kuna haja ya haya madhehebu kudhibitiwa, athari itokanayo na ongezeko kubwa la haya madhehebu ni kutengeneza watu wenye utegemezi wa kufikiri na kuwafanya watu kuwa na hofu ya kuhoji mambo, na kulemaza uwezo wa kufikiri kwa jina la imani na miujiza, pia baa ziwepo kwa utaratibu kwani unywaji uliopitiliza athari zake hufanana na hizo hapo juu nilizozisema, ninashauri angesisitiza ujenzi wa shule nyingi kuliko majengo ya makanisa, angeshauri ujenzi training center kama vituo vya veta ili kufanikisha kuhamisha teknolojia na ufahamu kwa vijana kuliko imani na mafundisho ya miujiza ambayo kimsingi hayana mchango mkubwa ktk mustakabali wa maendeleo ya taifa, leo hii tuna makanisa mengi kuliko shule na mahospitali, tunafundishwa miujiza zaid badala ya ufahamu wa ' know how' kifupi ni kwamba dini leo zinaongoza kwa mateka kuliko tunavofahamu kuhusiana na biashara ya utumwa kipind cha mkoloni.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 5 років тому

    Mchungaji Lyimo kaangusha sana Wana wa Mungu wote na waumini wa Yesu Kristo..Kaangusha pia wachagga wote ..

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 років тому +1

    Gwajimaaaaa,nakuelewaga sn
    Kwakweli tinahitaji kanisa airport!

  • @manonisita1302
    @manonisita1302 5 років тому

    OK

  • @muhungamasengo9691
    @muhungamasengo9691 5 років тому

    Safi sana ihii kiboko

  • @unstoppabledewinner7257
    @unstoppabledewinner7257 5 років тому +2

    *Gwajima* very nice

  • @ngoroshowinfrid2220
    @ngoroshowinfrid2220 5 років тому

    nice dady

  • @kassimali1943
    @kassimali1943 5 років тому

    Akirudi uyo nasie mtutoree mashehee wetu raisi wetu tuangarie wote wapiga kura wKo

  • @adamumjomba82
    @adamumjomba82 5 років тому +6

    Kwa kweli Ktk watu waliongea mambo ya msingi kabisa Ni Askofu gwajima simjui Mtu huyu Kwa kumuona live ingawa Na mfatilia ktk UA-cam wameongelea Kwa kutulia wakristo lazima tuabudu mda wote kama alivyo Fanya yesu kirsto Na sio Nara moja Kwa week .(huko Ni kupingana Na Yesu.

  • @bonifacekisinga5908
    @bonifacekisinga5908 5 років тому

    Safiii

    • @jejesalama7970
      @jejesalama7970 5 років тому

      Tuna taka watu ma elfu kama wewe Joseph Gwajima

  • @hasankikwesha2393
    @hasankikwesha2393 5 років тому +1

    asikof umejibu vizuri sijui ni shule umesoma au ni fslisafa ainagani unayoitumia

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 5 років тому

    daaaaah,,,,ila kuna watu wana mawazo ya maana sana ,,,,

  • @avitagodfley7816
    @avitagodfley7816 5 років тому

    Asanthe baba ubalikiwe sana

  • @musahaule4225
    @musahaule4225 5 років тому

    point muhim

  • @kaayaester9739
    @kaayaester9739 5 років тому +1

    Ama Unampokea Yesu uende Juu Mbingu la sivyo shimoni au Kuzimu

  • @alexkway9333
    @alexkway9333 5 років тому +1

    baadhi ya waislamu jina wanatoa povu kwa Gwajima kuhusu sehemu ya kuabudia badala ya kutoa povu juu ya masheikh waliokalisha makanzu hapo wakati kuna wenzao wapo jela bila hatia....

  • @dawillygene
    @dawillygene 5 років тому +2

    Yaani askofu umenigusa sana , watu wanalewa eti hakuna shida watu wakiabudu shida sasa lipi jema tuwe na kizazi kinachomcha Mungu au cha walevi?? mie naona ingewezekana hata kila baada ya nyumba kumi kungekuwa na nyumba ya ibada iwe msikiti au kanisa watu wakaabudu badala ya kulewa,

  • @babalababa306
    @babalababa306 5 років тому +1

    Mimi ningekuwa mshauri wa Rais ningemshauri tu aachane na vyombo vya habari kwa sasa kwa wananchi wamemzoea sana. Kipindi cha kampeni hata weza kuwa na jipya zaidi raia watakuwa wanataka kujua mapya ya upinzani

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 5 років тому

    gwajima na mzee wa upaku endeleeni kula sadaka za waumini msituletee udini wala ukabila......

  • @shabanaman8556
    @shabanaman8556 5 років тому

    Gwaji inakuuma

  • @josephpatrick6582
    @josephpatrick6582 5 років тому

    safi sana

  • @mahdsalim
    @mahdsalim 5 років тому

    Hmm wakristo mnaabudu kwa sauti kubwa sana na vinanda pianos nk mnafkir mkiekewa sehem yakuabudia makazani patakalika? Au airport? Na km mnaabudu kiroho bas haina haja yakutengewa sehem maalum ata kwa kiti chako tu unaeza kuabudu

  • @emysonofj2116
    @emysonofj2116 5 років тому

    Jamani me nauliza swali nani kaoa binti wa miaka sita au tisa iviii namtafuta nimwambie YESU ALISAMEHE DHAMBI ZA WATU NA ANASAMEHE NA ALIFUFUA WATU WENGI SANAA 😎😎😎

    • @Ramadhan12623
      @Ramadhan12623 5 років тому

      mzee wako

    • @Ramadhan12623
      @Ramadhan12623 5 років тому

      alaf kngne w aikwmbia yexu anaxamehe zambi nan anaexameh zambi yexu au baba yake yexu bimaana mungu.. achen utan na mungu nyie

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 5 років тому

    hizo baa hata ilikoanza dunia zipo unashangaa baa

  • @ibnually7428
    @ibnually7428 5 років тому

    Huyu Askofu inaonesha kachukia suala la waislam kueka sehem za ibada ktk maeneo muhim!! sasa ibada inafanywa rohoni kanisa la nin?

  • @magnussanga
    @magnussanga 5 років тому

    Farida saleh Dada hangu husiwe na Ubinafsi halafu kama jambo hulijui ni vyema kukaa kimya.
    hata vitabu vyadini vinataka hivyo kakimya kama jambo hulijui sipendi kunukuu zaidi maana utanifikilia vibaya.

    • @magnussanga
      @magnussanga 5 років тому

      sasa halie kuwa Ubinafsi ni gwajima au nyinyi hacheni humimi , baada ya kumpongeza anaomba sehemu ya ibada nyie mnacoment hujinga
      huo ni Ubaguzi mnao huleta hivi nyinyi kweli mnamcha Mungu kweli ?
      maana kama mngekuwa mnamcha Mungu msinge Comment nonsense .

  • @adamumjomba82
    @adamumjomba82 5 років тому +2

    sioni Ubaya mchungaji gwajima kutaka wakristo nao wapate sehemu ya kufanya ibada Kwa vile kabla hujasafiri nivizuri ukafanya ibada . Kwa hiyo wakristo nao wapate sehemu ya ibada sio vibaya.

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 4 роки тому

    Gwajima umefika bei

  • @TajiriOne
    @TajiriOne 5 років тому

    We lyimo sijui umesimama upande gani hutaki makanisa unataka bar ndo ziwe nyingi hutaki madhebu yawe mengi kwani lako ndo la Kwanza hapa Tanzania

  • @givenrugora6334
    @givenrugora6334 5 років тому

    Wachungaji Hanna Mbingu ya kupeleka watu Na wanaendelea kwa Sheria na ushuuda yesu vinginevyo hapa asubuhi kwenye na dam hizo mtazilipa zitatakwa juu yenu

  • @fizomakuya4142
    @fizomakuya4142 5 років тому

    Surat Imran 118-119

  • @shabanaman8556
    @shabanaman8556 5 років тому

    We gwajima unazingua kwan we muislam mbona unasema waislam wenzetu acha kujifanya muislam km unamaind njoo ktk uislam.

  • @josee8224
    @josee8224 5 років тому

    Siafiki ongezeko la nyumba za ibada ni baraka...

  • @maombitv4118
    @maombitv4118 5 років тому

    baba umeongea kitu cha ukweli sana

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 років тому

    Mheshimwa Raising utuite na sisi tunaodai madeni yanayo hakikiwa tueleze waliotukwamisha kulipwa ,wanana madudu .

  • @chechemoto
    @chechemoto 5 років тому +1

    Makanisa nayo yamekuwa kama bar tu kila kona. Upuuzi mtupu kazi kudanganya watu

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises2176 5 років тому

    baa zinalipa kodi

  • @salumumuhamedy9905
    @salumumuhamedy9905 5 років тому

    Mashekhe wamekaa tu ata awa zungumzi kuhusu wenzao walio jela hawa muoni ngwajima hapo anavyo mwombea askofu mwenzake hao wamekaa tu wakati hii ndio nafasi.

  • @josej9888
    @josej9888 5 років тому +4

    Hujawahi kuniangusha baba Askofu, inzi watakubari na comment zao utazijua tu humu.

    • @emmanuelmkongo8301
      @emmanuelmkongo8301 5 років тому

      nakamari zimezidi vijana hawataki kazi

    • @tadeimwaipaja1191
      @tadeimwaipaja1191 5 років тому

      Inzi wanakupeni tabu sana wakati wapo timamu sana 7bu wanasikia na wanaona mazuri mengi yanayofanyika!! Lkn nyie vipofu na viziwi , hamuyaoni Wala kuyasikia mazuri yoteyanayofanyika,, aibu sana

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 5 років тому +2

    sukuma ndan wauza baa

  • @benardjulias8289
    @benardjulias8289 5 років тому

    Mambo mengi yanatokea

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 5 років тому

    Mbona hao mashekhe hawaombei wenzao walio jela watolewe au japo wapewe hata dhamana

  • @uberdar967
    @uberdar967 5 років тому +1

    mbona sheikh ponda ujamualika umealika waislam poa poa tu

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli8482 5 років тому

    Ivi jamanii.. kama kubeti ni haram.. je ngurue pia si haram na kwenye bible vyote ivyo vimekatazwa... mm kwa kifupi naona ya kaisari tumuachie kaisari.. tukisema tuzame kwenye vitabu vya dini tutakuta tuna kosea sana maeneo mengi. Ilo la kubeti liachwe tuu.

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 5 років тому

    Mzee wa upako anakuangalia vibaya Gwajima umemkosea nini!?

  • @officialfeysaly1256
    @officialfeysaly1256 5 років тому

    😆😆😆 uyu jamam anapiga vita kwel uslam

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 5 років тому

    Makanisa mengi niyakitapeli yanawanyonya maskin walio wengi