MWANASIASA nguli wa UK akosolewa kwa kudai MAGHARIBI walichokoza VITA vya Ukraine, anamkubali PUTIN

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 158

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 5 днів тому +11

    Asante sana sky na dj smaa the best channel

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 5 днів тому +27

    Nilikuwa simpendi Farage kwa kauli zake za ubaguzi, lakini katika hili amesana ukweli, western wamem provoke Putin, haina ubishi.

  • @mohamedabdulkadir6186
    @mohamedabdulkadir6186 5 днів тому +18

    SNS to the world🎉...Kweli huyu DJ SMAA kiboko

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 5 днів тому +23

    Baada ya crown media ninayoipenda ni Sns

  • @remybuyenzi1856
    @remybuyenzi1856 5 днів тому +27

    Msema kweli kila siku atapingwa na Marekani na Ulaya

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 5 днів тому +6

    ❤❤❤kasema kweli kabisa na maisha yake yapo hatarini mungu amsimamie❤

  • @MaugadoMaugado
    @MaugadoMaugado 5 днів тому +9

    Uko sahih mzee

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk 5 днів тому +15

    Wapo wanamkubalu putin ata uko magharibi na marekan

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 4 дні тому +2

    MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 4 дні тому +1

    asante sana dj 🇨🇦

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 5 днів тому +21

    Uwongo ndio Democrats ya Marekani na Nato.

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 5 днів тому +28

    SHIDA YA MASHOGA UKIONGEA UKWELI APOAPO UMEGEUKA ADUI KWANI WALIZOEA KUUDANGANYA ULIMWENGU

  • @saphinamirambo8171
    @saphinamirambo8171 5 днів тому +2

    Nimekubali bj sma

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 5 днів тому +7

    Hatari sana

  • @tosh48
    @tosh48 4 дні тому +2

    Big up SNS

  • @maneno-my4lu4dt8i
    @maneno-my4lu4dt8i 4 дні тому +3

    Siku zote ukweli watu hatuupendi😢

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 5 днів тому +1

    Sns ni number one
    💯💯💯💯💯💯

  • @swedikagusa9300
    @swedikagusa9300 4 дні тому +1

    bro sky tunashukulu kwa kuweka vjana wajuz ktka jukwa la siasa za dunia ni jambo kubwa xana lakupongwe mimi napenda wanavyo tofautiana mitazamo

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 5 днів тому +8

    Magharibi c waongo na propaganda za media ....Uongo ni dalili ya siku za mwisho....

  • @ericmutalemwa8040
    @ericmutalemwa8040 5 днів тому +5

    That is the reality everybody know

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 5 днів тому +2

    Yupo sahihi

  • @richq8678
    @richq8678 5 днів тому +1

    Alooo nyie watu acheni tyuu niwaombee kwa mungu maana Sina feza ila yooh❤ mnanikisha sana

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 5 днів тому +3

    Ukweli na uongo kamwe haviwezi kaa sehem moja, sawa na maji na mafuta hata siku moja haviwezi kaa sehem moja!! Dunia ya sasa si ile ya Afghanistan na Iraq au Libya

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d 5 днів тому +4

    Ingekuwa afrika wangeingia na na viatu

  • @kefamariba6622
    @kefamariba6622 3 дні тому

    The man has said the truth. Anyway nation kin could not allow that

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 4 дні тому +1

    Sma kama kawaida yako, Facts na logic

  • @user-ct4xj8ty7t
    @user-ct4xj8ty7t 5 днів тому +1

    Yupo sahii

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 5 днів тому +4

    Asiofaa kafaaaaa 😂❤❤❤.
    Wasiemuhitaji . Wamemuhitajii😅

  • @LuganoAmwamsojo
    @LuganoAmwamsojo 4 дні тому +1

    ❤❤❤❤

  • @user-tu6kb6de4u
    @user-tu6kb6de4u 3 дні тому

    Please kindly bring discussion on Vietnam war

  • @mjukuuwaaloyce4743
    @mjukuuwaaloyce4743 5 днів тому +4

    Me nakumbuka wakati wa operation tuliona wakitafuta mabomu yaliyo tegwa je ni nani aliye yatega??? Hawa nato ndio chanzo na hiyo ndi maana ya operation

  • @meshackgeorge6646
    @meshackgeorge6646 2 дні тому

    Smaaa noma na bwana masubiiii wanatupa madin sanaaaa

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 4 дні тому +1

    Ukweli utabaki kuwa Ukweli, wanajikuta wanauongea bila kupenda

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v 5 днів тому +3

    Km wanaupigia upatu ushoga hawawezi kua wakweli kwa jambo lolote wamagaribi watapinga chochote kinachoenda kinyume na matakwa yao

  • @user-hw9yq5so9z
    @user-hw9yq5so9z 5 днів тому +1

    Bro tunaomba sitori zakenwa Kenya

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 5 днів тому +1

    Awa jamaa wanapaswa kujua uongo unakikomo chake😂 ila nimeenjoy sna wakipeana doz wenyew kwa wenyew kwanza

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 5 днів тому +3

    Putin point zinaongezeka hata wao wanamwelewa kwa kazi yake

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 3 дні тому

    Very true

  • @mjukuuwaaloyce4743
    @mjukuuwaaloyce4743 5 днів тому +5

    Kumbukumbu ya mwanzo kabisa wakati wa kuanza operation ya mpaka kati ya urusi na Ukraine na mrusi alikuta mabomu je mtegaji ni nani????nipeni jibu hapoo

    • @allykirunginyamka9171
      @allykirunginyamka9171 4 дні тому

      Hii vita hawaijuii, akili zao ni fupo sana kufikiria chanzo au. Watu wa na lengo gani kuanzisha hii vita.

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 4 дні тому +1

    Hata wakimkosoa kwa jaziba lakini meseji sent

  • @zacharynjuguna8709
    @zacharynjuguna8709 4 дні тому

    Ukraine has Gold Haiti natural resources Gaza natural Gass..

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o 5 днів тому +2

    Uraya wamezoea vitu vya Kona Kona wameona wamtumie zelenski kuibomoa urusi ili wachukue mali za bule bule maana urusi anamali nyingi na Hana mambo ya Kona Kona mkisainiana biashara mnafanya biashara kweli sio hao ulaya mifumo yao sio ya kutuinua Africa kiuchumi isipokua kutunyonya angalia mikopo ya mabenk sio yakumuinua mwananchi msipokua kumumiza kabisa yote hii mifumo yakutokea huko

  • @MbojiHokororo-vl5uf
    @MbojiHokororo-vl5uf 5 днів тому +1

    Garage yupo VIZURI, Kama aliweza kutabiri vita Ukraine/urusi miaka 10 ikiyopita nikutokana na mwenendo wa EU NA NATO,

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 4 дні тому +1

    Kawapasua kwani hawajui waliyatimba wenyewe, acha putini awahangaishe

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому +1

    Tatizo la wazungu ukiwambia ukweli wanakuatack kwa matusi na kejeli hawana hoja. Putin hata sisi huku masikini tunamuelewa sana kuliko ulaya na Nato

  • @MbojiHokororo-vl5uf
    @MbojiHokororo-vl5uf 5 днів тому +1

    Watu huwa hawapendi ukweli au kuambiwa ukweli

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 5 днів тому +1

    Kiukweli mchabuzi upo sahihi kabisa ugomvi huu unaendelenzwa na Mataifa ya maghalibi

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 5 днів тому

    Nigel faraj he man of true

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 5 днів тому +1

    Uraaaaaa

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1dj 4 дні тому +1

    tunakuelewa mkuu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 5 днів тому +2

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿👏

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 5 днів тому

    Best best

  • @BillySmart-tk1wu
    @BillySmart-tk1wu 5 днів тому +1

    Wengi tu wanamkubali PUTIN Ila wanakificha 😅😅😅 nawatasema mpaka waseme #russia #africa.... Isnt is fault is BORIS JOHNSON who provoking this WAR we know the true

  • @JoelFortunatus-du8ww
    @JoelFortunatus-du8ww 5 днів тому +3

    Hata huyo mkosoaji anaongea hamalizi anapuliza na kung'ata sio kwamba urusi 🇷🇺 ilikiwa na kosa kuivmia Ukraine 🇺🇦 urusi 🇷🇺 alienda kuwakomboa warusi wanaongea kirusi ila alivyo sema kwamba NATO ndio ilichochea vita na ndoo Bado inachochea Yuko sahihi

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 5 днів тому +5

    Ivi ni kweli madem wanapenda hela au sipendwi😢

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman6486 5 днів тому +1

    Adi Morgan kamshambulia

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 5 днів тому +1

    Wazee wa double standard 😂😂😂

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 5 днів тому +1

    Wakiambiwa ukweli wanaupinga miongoni mwao ni wao wanasema ukweli kisha wanatengwa na kuzushiwa kesi, mizengwe kibao km walivo ya kw Donald Trump

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 5 днів тому +3

    Wakwanza leo 😂

  • @MuraniSalim
    @MuraniSalim 5 днів тому

    Fact 10:40

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 5 днів тому +2

    Sasa mim ninachojiulza kwann hio ukraine hawaiingizi NATO??

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 5 днів тому

    Mungu atawaanika watakuja kusema yote

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 5 днів тому

    Hata ashambuliwe ukweli umefika

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 дні тому

    Amesema ukwelii kbs yn ila lazima wamchukie kwasababu katowa kauli za ukwelii mtupu

  • @timonleo9720
    @timonleo9720 5 днів тому

    Putin is master mind

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 4 дні тому

    Magharibi wameumbuka walijifanya sana wanatetea uhuru wa maoni, kumbe wanasema wengine ili wajue ya webgine sasa zamu yao nao wawaache watu watoe maoni yao tuwajue nao walivyo wasimtishe

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 5 днів тому +1

    Sasa wanaongea ukweli wenyewe

  • @samwelynzaly1175
    @samwelynzaly1175 5 днів тому

    Mpaka mseme si Kaz tu Amna maneno Ni vitendo tu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 5 днів тому

    Nchi za Ulaya zinamkubali huyu mwamba lakin wanamuogopa mmarekani tu. Na huyu wakimfukuza uengereza atakimbilia urusi.

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 5 днів тому

    Lete vitu dj sma qamekula za uso 😂😂😂😂😂

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому

    Uingo na hadaa ndio vinaongoza dunia

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому

    Wacha wamtukane anaongea ukweli kaamua kua mkweli bass

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 5 днів тому

    Asema kweli puten pekeyake ❤

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s 5 днів тому +1

    DJ sma huna mbaya kila habari unayoitoa nondo.halafu nimekwambia achana na machawa na mashoga wanaotumwa kukupinga ili kukuchafua.sisi tutadeal nao

    • @djsma255
      @djsma255 4 дні тому +1

      🤝

    • @user-gi2jv4kl7s
      @user-gi2jv4kl7s 4 дні тому

      @@djsma255 fanya kazi mtegemee mungu tu.unakipaji kikubwa Sana na una akili kubwa mno kwenye uchambuzi mm nakufatilia Sana Dj muda mrefu tu Hawa wengine juzi tu ndo wameanza kukufahamu.na ndio Mana Wana kuattack sana.wachambuzi n wengi TZ lkn km serekali inatoa tuzo kwenye wachambuzi 10, Wallahi DJ sma na wewe unastahiki..Dj sma mm na miss Sana harakati zako vile ukisema nilikua Kenya kesho nitakuja Senegal kwasbb y kushare mawazo na watu na kutafuta habari pia za kina hii Ina nifanya hata mm nielewe kua life Ni kupambana One day naweza nikafanikiwa.so!! Unatufunza mengi tu DJ.but majitu yasiyo challenge akili yanataka kukurejesha nyuma inaumiza sana..Ila one day watakuelewa ingawaje wao humu ndo the first kununua bando na kusikikiza taarifa za SNS..pig up DJ sma sky Ally n frenk good jop under leader DJ sma.

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 5 днів тому +3

    Ukweli lazima usemwe from 🇧🇮💐🙏

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 5 днів тому

    Mpuuzi huyo

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v 5 днів тому

    Kaka hawangilii chanzo chanzo wanakianzisha wao ukilipiza wewe unakua mwenye hatia umesahau chanzo cha mauji ya rwanda alieanzisha yukoadarakani tena anaendeleza ushenzi kwa jirani yake alielipiza alihukumiwa

  • @abdallahngoe
    @abdallahngoe 5 днів тому

    Ushahidi na fact za SNS ndo utofauti wa yeye na wengine. Bro ile tunzo ulistahili kabisa

  • @victorngulwa2311
    @victorngulwa2311 5 днів тому

    Unatoka Sana nje ya maada
    Chambua hoja

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 дні тому

    Putin uwe makini na mtu huyu asije kuwa ametumwa na NATO ikawa ni mbinu tu za kivira

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 4 дні тому +1

    Ukweli ndio uongo na Uongo ndio ukweli tuko katika akhiri zaman Dj Sma unajua ninachokisema

  • @user-gc6ps6jn7m
    @user-gc6ps6jn7m 5 днів тому

    Rabda ujui tu bro mimi ninajua cna cku moja nipe nafasi nikupe story kwanini putin kuivamia Ukraine na sio urusi kuivamia Ukraine hapa kuna vitu viwili tofauti pili uyo kasuku pia anatengeneza njia za siasa tramp ni atali cna anaweza kuigawanya america sio nato tu

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment8002 5 днів тому

    Na muuseme ukweli wa siasa za tz

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 днів тому

      Hawajipendi???? 😂😂

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому

      Wataanzia wapi tz nchi yetu ni kama kakakuona

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d 5 днів тому

    Marekan ndio nchi yenye uongo

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 5 днів тому

      Mbona unadandia treni sio Marekani bali mlengo au sera za mambo ya nje ya Chama au uongo I wa Fulani ndio mbaya kama ni Marekani mbona Trump alikuwa fresh tu na huyo Putin ila Obama na Biden ndio wamezingua halafu kama Marekani alikosea kuvamia Iraq,Libya,Afghans basi hata Urusi walikosea pia maana isiwe Mkuki kwa nguruwe

    • @user-lv4cx1sc5d
      @user-lv4cx1sc5d 5 днів тому

      Labda wew

    • @radjamtaki5597
      @radjamtaki5597 5 днів тому

      @@mwlpierreunataka kusemaje labda????kuna watu mnahtaj elimu sana,jarbu kufatilia mambo vzur ndo uanze kutoa coment

    • @joycelinelyimo-fenske8745
      @joycelinelyimo-fenske8745 5 днів тому

      N vibaraka wake

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 5 днів тому

      @@radjamtaki5597 nafuatilia sana kama hujui au hunijui maana Marekani aliwavamia wote hao kwa sababu ya kuvunja mikataba ya uchimbaji wa mafuta walioita ni yakinyonyaji ambayo walitia saini na serekali zao wenyewe wakati wauongozi wa watu waliotangulia ambayo waliona sio unyinyaji wakapata walichotaka yaani wakati una njaa unahitaji kushiba ukishashiba unataka mengi sasa ni bora ungekaza tangu mwanzo ikaingia mkataba mzuri kuliko kufanya ujanja ujanja kama wenzao Saudia,Kuwait,Jordan nk

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k 5 днів тому

    Ukweli utabaki kua ukweli tu daima

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 5 днів тому +1

    Ushoga bhana sasahapo alichokosea nini? Marekani na NATO ndo wachokozi

  • @minanifreddy6969
    @minanifreddy6969 5 днів тому +1

    Sio kweli hamsemi kweli mnaongelea kwa ushabiki...Eti fyuzi 😂😂😂

    • @RamadhaniMohamedi-de2vc
      @RamadhaniMohamedi-de2vc 5 днів тому +1

      Toa ukweli wako wewe unataka tuwe mashoga au kwani umelazimishwa kufutilia Sns sikiliza BBC.

    • @BimkubwaMohd-ef6hr
      @BimkubwaMohd-ef6hr 5 днів тому +3

      Pita kushoto we bado mpuuzi

    • @BimkubwaMohd-ef6hr
      @BimkubwaMohd-ef6hr 5 днів тому

      Huez kuelimika hata ukielimishwa
      Huez kutofautish ukwel upi na uongo ni upi pole san

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 5 днів тому

      Achana nae mmawia huyo kutoka msumbiji wagumu kuelewa😂😂😂

    • @saidswalehe932
      @saidswalehe932 5 днів тому

      Ok,huenda fuse haisemi ukweli vp huyo mzungu naye?.Au nayy ni fuse?

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 4 дні тому

    Babu wewe Sky na Dj smaa, mmetawaliwa na chuki but the truth ni kwamba hapo akili yenu inaishia watu walikuepo miaka 50 ilopita.
    Dj smaa nakurudilia ukiona ADUI yako anakusifu jua ..., kaona udhaifu wako, Mark my words.

    • @djsma255
      @djsma255 4 дні тому

      Keep ur words....yangu yananitosha

    • @Ankobiotics
      @Ankobiotics День тому

      @@djsma255 Usiogope kusema ukweli. Kwa nini unashangilia ujambazi wa Urusi?

  • @JASTA9790
    @JASTA9790 5 днів тому +4

    We dj siku ukiacha na ww itikadi zako za kiisilam utaeleweka maana mchambuzi hua haegemei ww sio mwana siasa

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 5 днів тому +6

      utakuwa ulipata zero form 4 maana huelewi kitu 😂

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 5 днів тому +4

      Sasa udini gani na ww au ni akili huna

    • @mountaincoffee7
      @mountaincoffee7 5 днів тому +3

      😂 Kuna watu wagumu kuelewa. Din inahusiana na Nini kwenye madini ambayo hujawai PATA popote Toka uzaliwe elewa kuwa smaaa nachukua nafasi pia kufundisha. Kwa upande wapili hata kama mtu hajaenda mskitn au kanisan. Wapo wanaojifunza kitu wew huku sio mahali Pako 😂😂 dj smaa pmj kwaelmu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 днів тому +2

      Well said Jasta, nimekupenda bure 😊

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 5 днів тому +2

      Ww unajua maaana ya kuegemea kaegemea wapi apo na wakat anachambua interview au ayo maneno anayotafsiri ni katunga kweli walimu wana tabu kama mwanafunzi ndo yuko hivi unaweza ukampiga shoka dara sani

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 2 дні тому

    ukweli umesha fika,,wapinge wasipinge ukweli umewafikia

  • @YusriAllyMuhammadahmad
    @YusriAllyMuhammadahmad День тому

    Ni kweli wao wamenchokoza russia

  • @omeraJR
    @omeraJR 5 днів тому +1

    Hii channel imekuwa ya propaganda qmmk ila mjue tu 🦅🦅 tupo around for next 1000 years kenge nyie na kama sio shoga tuguse 😎

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 5 днів тому

      Bob hakuna wakumtisha hii dunia kama hutak pita hiv au shobo na sns😂😂😂😂😂😂

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому

      Mbona hueleweki kama popo

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 5 днів тому

      ​@@user-rt1wf6se5fkwani we shoga babu