Kazi njema. Ningeshauri kwa kuwa kila chumba ni master, hicho choo ya public kiwe ni choo tu pasiwe na bafu. Sitegemei mgeni aje kusalimia kwa muda mfupi atake kuoga.
Hapo hapana nyumba haiko sawa IPO chini sana utafikili nyumba ya kijijini japokua kijijini Napo wamestuka unavojenga nyumba ya mtu boss tafakali kua baadae kutakua na ongezeko la nyumba ktk hayo maeneo
Masha allah ❤❤❤🎉
Blessed bro 👊🏾📌
Mashaa Allah uko vizuri sana
Kazi nzur sana❤❤❤
Kazi njema. Ningeshauri kwa kuwa kila chumba ni master, hicho choo ya public kiwe ni choo tu pasiwe na bafu. Sitegemei mgeni aje kusalimia kwa muda mfupi atake kuoga.
Uko vizuri sana nigekuona mwanzo ila duu acha tuu😢aya maisha
Kazi nzuri sana nasubiria ikimalizika tuone ndio tujuwe kunaendaje.
Umeeleweka Engineer....ila itapandeza Iwapo utashisha Uzi mzima mpaka coz ya 3
Nakubali mr house shosho
Hapo hapana nyumba haiko sawa IPO chini sana utafikili nyumba ya kijijini japokua kijijini Napo wamestuka unavojenga nyumba ya mtu boss tafakali kua baadae kutakua na ongezeko la nyumba ktk hayo maeneo
Ina uzuri sana nimeipenda
Msingi unaubana sana bro
master hio nyumba haina tie beam?
Hii Ina kula tofari ngapi
Msingi ongeza
❤🎉
Msingi uko wapi tuoneshe msingi
Ramani ya msingi iko aje?
Watsap hamjibu chochote
Msingi uko wapi
😅😅😅😅