Kazi nzuri sana kaka.. Ramani imetulia.. Izo sehemu za korido ukiondoa viatu pia unaweza ukaweka meza ya kupiga pasi au sehemu ya watoto kujisomea. Viatu vinapendeza zaidi endapo korido yake ikiwa karibu na mlango wa kutoka nje. Ramani imetulia iko vizuri.. Inshallah mungu akijalia 2024 nitakupa kazi na mimi..
Kazi nzuri sana kaka.. Ramani imetulia.. Izo sehemu za korido ukiondoa viatu pia unaweza ukaweka meza ya kupiga pasi au sehemu ya watoto kujisomea. Viatu vinapendeza zaidi endapo korido yake ikiwa karibu na mlango wa kutoka nje. Ramani imetulia iko vizuri.. Inshallah mungu akijalia 2024 nitakupa kazi na mimi..
Safi sana bro
Habari nimependa hiyo ramani pia Nina kazi hiyo
Ntakutafuta nikirud Niko Oman
Unaweza saana we jamaa
safi sana
Hupokei fundi
Metisha sana kak mpka apo ime tumia tofali ngap
Shukrani fund
Habari za majukumu bro. Samahani napenda kujua hiyo jumba mpaka hapo ilipofikia imegharimu shilingi ngapi?plz
Bei gan msingi kama huo bei ya ufundi
Tofali ngapi xa nyumba nzima
Mpaka hapo umetumia sh ngapi?
Nahiitaji hii ramani plz
Lazima nikutafu
Tofali ngapi hapo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Ikiisha pia tuonyeshe ilivyopauliwa
Penda sana uko vixuri broo
Ivo ilivo ikikaa mezi6 bilakueaka linta inaalibika sauliza samahani natakujua