Bahati mie ni mwalimu wa muziki kama taaluma na nakwambia sauti yako nzuri sana. hio sauti ya bezi ndo hubariki watu katika muziki wako. Hio ni karama Mungu alikupa
You are a good story teller. Ata mtu hawezi boeka kukuskiliza. No wonder in most of your songs its a story with lessons. You are my most favourite gospel artist of all times❤❤❤
Mtangazaji, next time, acha mtu ajieleze hadi amalizie story yake bila ya kumkatisha. Kama hujui mambo ya utangazaji, andika mtu akusaidie. Usiwe unamalizia story ya mtu ikiwa sio hako nyamaza hadi amalizie. Ukiingia kwenye story ya pili , eleza kuwa ni Prt 2 inaendelea bila ya mtu kujieleza tena. Utachosha watu sana. Achia mtu ajieleze kabisa bila ya maswali mob na watu watafurahia sana. Nairobi tunapenda mpangilio. Bahati Bukuku dadangu, MUNGU anakupenda sana na wewe ni mbarikiwa sana, na umekuwa blessings to many souls. GOD bless you more.
Nyimbo iyi ni nyakati zamwisho ni nyimbo ambayo na pendaka Sana kabisa C'est une meilleure chanson de votre carrière maman bahati bukuku 🇹🇿🇹🇿 je vous regarde depuis la Mauritanie 🇲🇷🇲🇷🇲🇷
😪napenda Sana nyimbo nyimbo z ako Dada na pia nashkuru mungu kwa kua hata nikiimba watu husema ninaimba Kama bahati bukuku labda nivile naskiza nyimbo Zako sana anyway God bless you mama🙏❤️❤️❤️
This woman of God blesses ma life so much,,may God keep shinning upon u mum as u continue gving us worship n praise songs to the world..God keep u mad 💞💞💞 frm Kenya ukunda
Ulikoka ukiwa darasa la sita,nilikuwa na mchumba nilipomwambia mtoto wangu alisema Mama naomba uniombee wokovu,nilipomwambia mchumba wangu akaniambia huyo mtoto anajui wokovh n nini ni mwache🥲nilimwacha huyo chumba kwa ajili hilo
Bahati kusema wewe ni mrembo ulizaliwa uongo tuwache ❤❤
Mtangazaji jamani .. tunataka kumsikiliza Bahati.. jifunze kuachia mgeni nafasi/muda ajieleze bila kuingilia kati(interruption) ni sana...
Otherwise am blessed.
Anasinya
Mtangazaj naye anaboa,unamkatishakatisha bahat kwnn,acha story ijieleze
Mtangazaji hajui kazi yake huyu
Kaka mtangazaji ( kaka -Obedi) ni kweli unamkata kata sana..for the future let them talk first. Ila tunashukuru sana..
Me too nabieka xna na uyu mtangazaji anakatakata
Bahati mie ni mwalimu wa muziki kama taaluma na nakwambia sauti yako nzuri sana. hio sauti ya bezi ndo hubariki watu katika muziki wako. Hio ni karama Mungu alikupa
You are a good story teller. Ata mtu hawezi boeka kukuskiliza. No wonder in most of your songs its a story with lessons. You are my most favourite gospel artist of all times❤❤❤
Kwa miaka mingi wanamwita Bahati mama. Kumbe ni mbichi sana tofauti na anavyochukuliwa na watu.
Ila wewe dada ni mzuri jamani. Bwana Yesu aendelee kukutunza
Bahati leo nimekupenda sana na nimekuangalia kutwa nzima nikiwa Birmingham city Uk
Wewe nimwanamke mrembo na jasiri kwelikweli 😍😘
Bahati njoo kenya uchape bonge la show
Mtangazaji, next time, acha mtu ajieleze hadi amalizie story yake bila ya kumkatisha. Kama hujui mambo ya utangazaji, andika mtu akusaidie. Usiwe unamalizia story ya mtu ikiwa sio hako nyamaza hadi amalizie. Ukiingia kwenye story ya pili , eleza kuwa ni Prt 2 inaendelea bila ya mtu kujieleza tena. Utachosha watu sana. Achia mtu ajieleze kabisa bila ya maswali mob na watu watafurahia sana. Nairobi tunapenda mpangilio.
Bahati Bukuku dadangu, MUNGU anakupenda sana na wewe ni mbarikiwa sana, na umekuwa blessings to many souls. GOD bless you more.
Ahsante sana Kwa kutupa ushuuda wako inatufanya tuendelee kuwa imara ndani ya Yesu pia hongera kwa moyo wa ushujaa.
Kipaji toka kwa Mungu huwa hakizimwi. Nyimbo za Mtumishi Bahati ni uinjilist tosha.
Uinjilisti upi wakati yeye mwenyewe hajaokoka??
@@HelbethMlelwa hivi umeskiza story yote au una tatizo la maskio
Pole sana mama kwakipindi kizito umepitiya nishule lisilokuwa lakawaida tumesaidiwa na sisi Pia, ubalikiwe sana kutoka Burundi
Mtangazajiii jmn unezidi unakatisha katisha sana yaniii sana muachee aongee bahatiiiiiii
Bahati weeee mrembo sanaaaaa!
Glory to God!
Mungu azid kukubark nakupenda sana❤ dadaang Bahati nimejifunza mengi jarbu lako ni njia kwa wengi
hakika Mungu anatutoa mbali sana, nabarikiwa sana na huduma yako dada.
Among my best swahili women singers! Love you Bahati Bukuku❤
Nakupenda sn wajina wangu,be blessed much,ila mtangazaji unanboa sn why unamkatisha katisha si uache mtu asimulie jmn khaaa
My favourite gospel singer in tz mob love from kenya it was nice hearing ur story
Nyimbo iyi ni nyakati zamwisho ni nyimbo ambayo na pendaka Sana kabisa
C'est une meilleure chanson de votre carrière maman bahati bukuku 🇹🇿🇹🇿 je vous regarde depuis la Mauritanie 🇲🇷🇲🇷🇲🇷
Mungu Ni mwaminifu Sana Sana jamni sintakata tamaa najua nitafika
Napenda sana nyimbo zako...Ubarikiwe Bahati,unanitia moyo sana.
My no 1...of all time Gospel Singer kwa wamama Much lovee to u madam Bukuku ❤️❤️❤️
Bahati Mungu akubariki sana. Pia unasura nzuri.
🤣🤣🤣🤣🤣
Watching from Kenya,l like this lady of GOD my big mentor
Jaman bahati nampenda sana maana anaimba vzr
Nyimbo za da Bahati nzuri sana na sauti yake naipenda sanaaaaa
Jamani mtangazaji daah!!unaingilia mno mtumishi wa Mungu mpaka interview inaboa....samahani Kwa hilo mpendwa
Anaboa sana hajui communication skills
Hongera sana Bahati kwa kupambana na maisha,we bonge la mwimbaji daa!
Axteee kwa kutuleteaa bahati bukuku tunaomba utuletee martha mwaipaja
Màashaallha da bahati nakupenda sana Mungu awe na ww💕💕💕
Dar natamani Sana namimi nisaidiwe kwenye uimbaji wangu jamani Duu hongera sana dada Bahati
Bahati ni good story teller ananichekesha.
Interview imekaa vzr maana mtangazaji anajaribu kumuweka kwenye line ili kuweza kunogeza usikilizaji na utazamaji 👏👏👏👏🙏
Ilove your songs God bless you
Majina wangu nakupenda Sana my❤️
Waaah dada umetoka mbali...barikiwa sana
Niliwahi kufika kwa akina bahati pale mbeya daah wakalimu sana na huwezi kukosa cha kujifunza ...
Your name reflects the divine spirit..stay blessed Bahati
Kweli sister bahati ukihaza safari Songa mbele🔥🔥🔥🔥
Mtangazaji anabore sana
Bahati huwa nakupenda sana toka zamani ningekuwa mkubwa ningekuoa
Ila ukweli n kwamba wewe ndie msanii namba 1 wa gospel tanzania
Yaani bahati is that young wao. We love u unatubariki saana
Dada,unafurahisha saana ,wingi wananita bukuku nyimbo zako zinabariki♥️
Mtangazaji unazongua sanaa
Shukrani kwa sponsor alifanya kazi nzuri amekutambulisha kwa mtaifa
😪napenda Sana nyimbo nyimbo z ako Dada na pia nashkuru mungu kwa kua hata nikiimba watu husema ninaimba Kama bahati bukuku labda nivile naskiza nyimbo Zako sana anyway God bless you mama🙏❤️❤️❤️
kumbe jennifer amekutangulia kwa uimbaji na venye we ni ngwinji,bravo lady much love from kenya
Bahati kweli ni wa Mbinguni 😘😊😍
Mtangazaji Una ongeya saana acha tu msikilize muusika tafadhali
mtangazaji mtangazaji punguza kukatiza acha mwenyewe ajielezeee
Your songs never disappoint my dear much love from Kenya.... 💯♥️
Kwakwerii nabarikiwaaaa sanaananyimbo zakee..bahatii Bukukii Mimi Bishop Alex
Nimrembo sana mashaAllah tabarakaAllah
Big lesson to young womens
The best interview,mcheshi huyu.
Bahati safi sana.
Mtihani Bahati kweli history yako kali
Madam you are an beautiful Inspiration. Love your music 💗 from Kenya
Nakupenda dada angu Bahati
Ghai,,yaani ndugu saba wameondoka? Aki hao ni wengi lakini kazi ya mungu haina makosa,,pole sana
This woman of God blesses ma life so much,,may God keep shinning upon u mum as u continue gving us worship n praise songs to the world..God keep u mad 💞💞💞 frm Kenya ukunda
Your testimony is approve that God can use anything unexpected.
Exactly
Barikiwa sana kazi yenu njema
Wengi wakuvunjapo moyo Mungu hukutia moyo na ndivo unavyo paa angani. Upoteapo njia ndivo kupata njia
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu Bahati Bukuku. Nakupenda Sana. Napenda Huduma yako. Yesu akutunze. Usajighweghe fijho Kikolo!!!
We mtangazaji jiongeze sana au urudi shule, unakatitiza mtu Hadi unaboa
Kila mtu amelalamikia hilo swala yaani imeshakuwa ni km story
Mimi ni kavugho Bahati, n'a kupenda Sana mama,
Your songs have been a blessing in my life.
Bahati mungu akubariki
she is so beautiful😍
Inapendeza kwkwl ubalikiwe
Nakupenda bahati👏👏👏
God bless you
Ubarikiwe Dada, naipenda sauti yako, so expensive sound....big up❤
Ubarikiwe.......Mama,tunakutaka kenya tena
Mrembo huyu kweli
Like your voice dear
Love❤😍 Bahati bukuku from🇧🇮🇧🇮✌✌ tuko pamoja tano kwa tano
Ulikoka ukiwa darasa la sita,nilikuwa na mchumba nilipomwambia mtoto wangu alisema Mama naomba uniombee wokovu,nilipomwambia mchumba wangu akaniambia huyo mtoto anajui wokovh n nini ni mwache🥲nilimwacha huyo chumba kwa ajili hilo
Wahaya husema eibala libi liita nyinalo, unaitwa BAHATI hakka una bahat na mbnguni utaingia kwa BAHATI
Mwandishi unaingilia maswali sana kuliko anavyojieleza mwache ajieleze kidogo then uliza
Kweli
Kabisa. Mpka anaboa🌚
😄😄😄😄 bahati eti maisha vurugu vurugu tu !! 😄😄😄🤩🤩
Nakupenda xn Bahati ni mzuri xn we Dada
Safi sana Bahati,ulimsangalufu fijo
Bahati Mungu Azidi Kukuongoza Katika Safari.Yako Ya Kwenda Yeliko
Much love ❤ sauti yako yapendeza jamani, God bless you 🙏
I love your voice mama
Namis this woman of God
❤❤❤❤
Duu! I Love the story Hongera sn Bahati
Waooo pacha wangu
Mungu ni mwanifu ❤
Good story kwakweli
Ndaga ghwakukaja👏👏
Hongera kwa interview nzuri
Nampenda huyu dada saaana 🙏🙏
Mtangaji una Maneno mengi ujui KAZI yako mwache mgeni wako ajieleze wacha trik za kijinga!
Bahati umetoka mbali mama ubarikiwe