Rose Muhando afunguka SIRI nzito "OLE WAKO USEME, NAKUUWA / Rais Magufuli alivyoingia MADARAKANI
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- Rose Muhando afunguka SIRI nzito "OLE WAKO USEME, NAKUUWA / Rais Magufuli alivyoingia MADARAKANI
#KuelekeaYeriko #RoseMuhando #ShuhudaZaKweli #UpendoMedia #AmaniKwaWote
Waoh a lady with wisdom Tena mipango ya mungu ni yaa maana Kama ni rose uyu ako hapa saa hii kweli seed ya mungu haipoteagi bless you siz rose much love from kenya
Nampenda sn Dada Rose, Mungu Akubariki na azidi kukutumia kwa viwango vya juu.
Salam kutoka Kenya. Thank you dada, you have encouraged me
Amina Mungu akubariki sana mtumishi dada Rozi 🇹🇿🇹🇿❤❤❤
wawawa nakupendea ujasiri wako
Hakika 🌹 Una kitu cha Mungu ndani yako. Nimejifunza kitu kutoka kwako
Mubalikiwe sana upendo tv ❤❤❤❤
She a gospel teacher. Heard this word from n preacher. God bless rose
Rose mungu aendelee kukubaliki.
Mungu ni mwema,pole dada Rose kwa mapito uliyopitia.mungu azidi kukubariki na kukulinda
🌹 you are the chosen one of God 🙏 I'll love 💗 God with my holy hat amen amen thanks 👍 you .
I love how all your answers are based on the bible.
So rich with God's word.
Umenijenga mama Rose.
Pole sana dada Rose kwa mavitu uliyopitia nimejifunza kitu kutoka kwako amen
Wow Malikia Rose
oh my goodness God is good all the time
Mungu akutie nguvu mwisho wà yote uje upokee taji ya uzima mbinguni,nakuombea
Wow wacha mungu aitwe mungu
Mungu awe pamoja nawe na akubariki sana uendelehe na uimbaji wako
Rose mama nakupend Sana na katika kukupenda ujue Kuna kitu , kwanza napenda vile unaongeaga kihuduma,"Biblia inasema" ❤️
You deserve Mama.
Ubalikiwe sana
Nimejifunza kitu kutoka kwa rose.
Saluti kwa kwel
Pole sana mama mungu yupo nawewe Popote
Napenda Rose muhando..she is a pretty woman💗💓💓❤💯💥👏👏👏
Kweli Maisha hupangwa na mungu si mwanadam wakenya hazwa waimbaji tunakupenda saana
Dada Rose hayo mapambo muombe roho mtakatifu akuongoze hizo nywele kupaka kucha rangi na aina zote za mapambo ni machukizo kwa Bwana kama mlivyo funga mkamuomba mungu akawajibu kuhusu mwaka utakapo anza kulekodi, hivyo hivyo muombe mungu kuhusu mapambo atakujibu usije ukatumika bule kama yule msanii wa naigeria wa nyimbo za injili osinachi mwisho wa siku unaambulia kuto kufika mbinguni
We are sorr woman of God. Na hata mimi kama mchungaji hapa kenya umekuwa my mentor but ipochipuka niliumwa na nikakosa imani na watumishi wengine actually .Nilihuku nami nisamehe kwako na kwa Mungu na kanisa lake
Mam rose mungu akubari sasa natamani kukuona siku moja
Endelea kumwimbia Mungu fungu la kumi usikose
Dada nimekusikiliza sana ubarikiwe sana mimi nikiwa hp nimepokea sana kuna mengi tuliyasikia kumbe yalikua yana kutengeneza ili uwaimarishe ndugu zako barikiwa
Nakusubiri Sana MTOKO WA PASAKA, MUNGU anipe kibali nisikose
Nakubar mkubwa
Unajua najiuliza maswali inakuaje my anaanza tu kukupangia maisha na kukupiga bila sababu mbona Kama Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia mbona Kama hufunguki
Unaeza niunganisha naye dada rose
Upendo TV. Mnapatikana maeneo gani. Hapa Dar es salaam???
Da.mmmh usimuache huyu Yesu aliyekupenda mapema.
Rose muhando
Dada roso inatia huruma
Baba yangu anampenda sana huyu mama by furaha mwakabenga
Ni nani huyo mtu alikuwa amejifanya yeye ndiye muumba wa watu au Tanzania??
Kweli Ni Mwinjilisti
KKKT
Nawapata. Laivu
Amina
Mikono.yarosmuhando chetani.ameicoma..firimasoni
Natamani sana nijione namtukuza Mungu kupitia nyimbo kama wewe dada Rose ila uwezo wa kufika studio Sina,,,ila Nina Imani Mungu yupo enzini
Kuna kitu rose ameruka part one hakuna her marriage story just that ako na watoi watu tunatakaga kuskia the hardship of marriege coz this celebs hupitia mengi kwa ndoa
Alifukuzwa kwao na ndugu zake after kubadilisha dini Toka msilamu na kua mkristo, sasa akaishi kama watoto engine huko mjini na huko ndiko alizalishwa ila hakuwai olewa
Muichimu mgu