Hakika kimbilio na tumaini pekee ni Bwana, maana kwake hatutaibika wala kutikisika daima. Mungu awatie nguvu sana WAZAZI wetu na kuwapa MAISHA marefu. Mmekuwa sababu ya uponyaji wa wengi. Mbarikiwe sana. Ameeeeeeen!
Kwakweli mtumishi ni mfano wa kuigwa amesimama bila kuteterka pamoja na changamoto lakini bado amesimama katika katika kupigania imani Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.
Be blessed abundantly of your touching songs,may God's grace be with in Jesus christ Name
Dah waooh nice song
Hakika kimbilio na tumaini pekee ni Bwana, maana kwake hatutaibika wala kutikisika daima. Mungu awatie nguvu sana WAZAZI wetu na kuwapa MAISHA marefu. Mmekuwa sababu ya uponyaji wa wengi. Mbarikiwe sana. Ameeeeeeen!
Mbarikiwe sana, mzidi kutetea haki za wanyonge muendelee kusikiliza MUNGU, IMAGINE KAMA YA KINA DANIEL
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu, zina mguso wenye uvuvio wa nguvu za Roho Mtakatifu.
Kwakweli mtumishi ni mfano wa kuigwa amesimama bila kuteterka pamoja na changamoto lakini bado amesimama katika katika kupigania imani Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.
Amina mama,mumenibariki saana
Pia naguswa sana na umoja wenu, usiotikisika. Mungu wet aliyeziumba mbingu na nchi azidi kuwaongoza na kuwainua
Waooo Hakika Kwa Mungu Ndiko Kuna Kimbilio La Kweli 🙏🙏
Jaman huyu mama nyimbo zake zinabariki sana pamoja na mapito bado hajamwacha mungu dah nampenda sana zaid
Mbarikiwe sana jamani nyimbo zenu zimenitia moyo sana hasa kipindi hiki cha mapito nayopitia🙏🤲
Nabarikiwa sana na nyimbo zako mtumishi wa Mungu
Waoooo🎉 wimbo wenye mafuta
Ameen mama salome 1:00
Yesu awakumbuke na awe faraja na ushindi wa maisha yenu nawaombea neema na baraka zabwana ziwafunike
MUNGU wa mbinguni awabariki sana
Z❤❤❤❤❤🎉🎉nakupenda nyimbo zako za bariki
Amen
Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen
Napenda sana msimamo wenu namwomba anipe msimamo mkali kama huo
Hongera sanaaa
Aminaa mubarikiwe san watumishi wa mungu
Neema ni nyingi sana Mama katika nyimbo
☺☺😊😊😊
Naona huyu bwana ana maumivi.
MUNGU NGUVU YAKO IMALIZE YOTE.
Kwa kweli nimebarikiwa na hizo nyimbo mungu awatie nguvu
Neema na baraka ziwe Kinga kwa yote mnayopitia.Dunia ni tambala bovu
Ameeeeeeeni nice song
Hatuwezi wenyewe tushike baba yetu
Aminasana
Amina
Mungu.aendelee kuwatunza.
Mbarikiwa ahubiri nakufunfisha kama much Moses magembe aache mbwembe
❤❤❤❤❤❤
Amen Amen Amen
Lije lolote hakuna kuludi nyuma (HII IMEENDA).🎉🎉🎉🎉
Xafi sana watumishi wabwana
Napenda upigaji wa viombo au mitambo
Safiiiiiiiii 😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉
Ila naona kuendelea kuvaa mavazi yanayofanana na magereza sio NZURI maana umeshakuwa huru lifanye hili jambo kulisahau moyoni MWAKO
Mubarikiwe hakika
Kazi yenu njema baba na mama mwakipesile
Kikosi kazi
Aminaaaaaa 🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭
Mgongo wa mke wa mbarikiwa mbona uko kama na vifungo? Huo ni ugonjwa gani? Poleni
💪🙏
Akikani mngu anatenda yote
Mamaaaaa
Mpaka nime download hizi nyimbo maana inanitia moyo🎉🎉🎉
Watching you from Zambia🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎❤️❤️❤️
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
mbona sijamuona sifa kwy ndege jamani?? au yeye anaogopa kupanda ndege??
Wapendwa walikuwa wakiende kutibiwa hospitalini. Sifa Yuko mzima wa afya.
Pambana kiki inalipa na mkeo
Jaribu hata wewe kama kiki inalipa hata kwa kupoteza mtoto wa pekee. Omba yasikukute
Kiki kwenye hatari..?
Unakosea sana hakuna anae penda matatizo inamana hata mtoto wake alikufa ili mtumishi apate kiki ? Nimejisikia vibaya
Ivi jamni iyo free uwain man gani?
Wewe acha kuwaza ya freemason.
Free mbarikiwa maana yake,,,,mbarikiwa aachiwe huru asisumbuliwe kama anavyosumbuliwa
Amen
❤❤❤❤