Mi hata sijui niandike nini maana Nina mengi sana yakulaumu lakin yote kwa yote nawaombea huko waliko ndugu zetu wasiwauwe kwa maana familia inawategemea mungu awafunike kwa damu ya yesu!
kila mtu akitekwa anakutwa kafa kuna nini kinaendeleaaa serikali itupe majibu hii nchi inaweza ikageuka vita maana watu watachoka haya matukio ya cruizer nyeupe ,dar cruser nyeupe singida gari ile ile ,watu wataanza kuzichoma moto izi cruizer
Usiku mwingine Yaa Rabbi tunakuomba uzidi kuwanusuru wajomba zangu kweli tunakosa kulala ,kula kwa hofu yote juu ya ndugu zetu Yaa Rabbi, Tusikie maombi yetu tumechoka mateso na nafsi Yaa Rabbi turudishie wajomba zetu kwa uwezo wa Yaa Rabbi yawezekana ,Yaa Allah Yaa Allah Yaa Allah dhihirisha hilo sasa
Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar Yaa Rabbbi tunakuomba siku hii nyingine tena tukiwa tuko na mawazo juu ya ndugu zetu wapendwa wetu , Allah we ndio muumba wa vyote wale wenye nia ovu na wajomba zangu Yaa rabbi waondoshee roho ya kishetani waturudishie wapendwa wetu tunawahitaji sana Yaa Allah
@@HanifaOman-oo4pl kaka yangu mi tulimpata ilikuwa kimbembe unaifikili tulikubali kirahisi rahisi na walikuwa wamemficha kituo Cha police tazara. Mi nilienda Hadi kwa karibu mkuu wizara ya mambo ya ndani aliwabana wakawa TU wanajiuma uma kumbe wameshampeleka mtwara na Huko mtwara ndio Kuna pango kubwa la kuwafichia mbona walimludisha ilikuwa binde sio ya kitoto hao police ndio watekaji wakubwa kama ni ushahidi nianao mi wa kaka yangu wahuni vibaka magaidi wakubwa hao
Mwanadarasa wangu Haruna Mungu akulinde utoke huko salama pamoja na mwenzako
Polen sana ndugu zangu wa singida kwel hii serikal haina musaada ee mungu ishikilie nchi yetu
Inshallah biidhni llah watapatikana..Allah awape subra kwa wakati huu mgum
Mi hata sijui niandike nini maana Nina mengi sana yakulaumu lakin yote kwa yote nawaombea huko waliko ndugu zetu wasiwauwe kwa maana familia inawategemea mungu awafunike kwa damu ya yesu!
Haya mambo yanerudi upya aisee kwa kasi kubwa sana aisee😢😢😢😢😢
Polen sna Allah awalinde popote walipo mung awatie nguvu familia hiz
Pole sana haruna na ndgyetu juma mungu awatangulie huko mliko kama wanataka chochote wasema kwa familia husika kuliloni kukaa kimyaa
Allah warudishe anko zangu warud salama
Subhanallah poleni sana...yarrab walinde waja wako huko walipo .
Daa mungu awafanyie wepesi
Jamani poleni sana tunaomba mwenyezi mungu awalinde huko waliko
Allahu akibarr😭 hunimtihani Tz jamani watuwanatekwatu
Siwafahamu.lkn roho yangu inaniuma saaana.YA ALLAH TUSAIDIE VIUMBE WAKO.
kila mtu akitekwa anakutwa kafa kuna nini kinaendeleaaa serikali itupe majibu hii nchi inaweza ikageuka vita maana watu watachoka haya matukio ya cruizer nyeupe ,dar cruser nyeupe singida gari ile ile ,watu wataanza kuzichoma moto izi cruizer
Yaa Rabbi , wewe ndio muweza wa vyote Muumba wetu weka mkono wako Yaa Rabbi wajomba zangu wanusurike kwa hili
Usiku mwingine Yaa Rabbi tunakuomba uzidi kuwanusuru wajomba zangu kweli tunakosa kulala ,kula kwa hofu yote juu ya ndugu zetu Yaa Rabbi, Tusikie maombi yetu tumechoka mateso na nafsi Yaa Rabbi turudishie wajomba zetu kwa uwezo wa Yaa Rabbi yawezekana ,Yaa Allah Yaa Allah Yaa Allah dhihirisha hilo sasa
Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar
Yaa Rabbbi tunakuomba siku hii nyingine tena tukiwa tuko na mawazo juu ya ndugu zetu wapendwa wetu , Allah we ndio muumba wa vyote wale wenye nia ovu na wajomba zangu Yaa rabbi waondoshee roho ya kishetani waturudishie wapendwa wetu tunawahitaji sana Yaa Allah
Amyn yarabiaalMyn😭😭🤲
Hivi nida zilikuwa zinakazi gani mbona watu wasiojilikana wamekuwa wengi afu wako tanzania tu
Mpaka mda wahuyu mama kuisha tutakua tumechoka sana
Poleni sana
Watekaji wanatumwa Tumwombe Mungu amfute kwenye uso wa nchi hii huyo aliye chanzo watu wa Mungu waishi
Allah subhana ndiye mpangaji wakila jambo mungu asaidie wawe salama huko waliko
Wasiojulikana wanatuharibia nchi na uongozi wa mama yetu kipenzi Samia Suluhu Hasani
Ewe mwenyez mungu awasimamie popote pale maana wewe ni muweza wayote yaarabi wanusuru ndugu zangu yaarabi
Eee MUNGU walinde huko waliko Amen
Mungu awasaidie jmnii wanusurike
Mambo ya wasio julikana😢😢
Asalam aleykum poleni ndugu na jamaa
Heche oyeeee wa tanzania mtayakumbuka manenoyahawa ndugu heche na tundurisu
hao ni polisi hata kaka yangu na mimi walimteka hivo hivo na wanatumiaga hiyo hiyo cruser nyeupe yaani huo ni uhuni hatari
Alludi huyo kaka yako?
@@HanifaOman-oo4pl kaka yangu mi tulimpata ilikuwa kimbembe unaifikili tulikubali kirahisi rahisi na walikuwa wamemficha kituo Cha police tazara. Mi nilienda Hadi kwa karibu mkuu wizara ya mambo ya ndani aliwabana wakawa TU wanajiuma uma kumbe wameshampeleka mtwara na Huko mtwara ndio Kuna pango kubwa la kuwafichia mbona walimludisha ilikuwa binde sio ya kitoto hao police ndio watekaji wakubwa kama ni ushahidi nianao mi wa kaka yangu wahuni vibaka magaidi wakubwa hao
Aliwahi kusema tundu lissu, lakini uwelewa wetu ulikua mdogo saana kuelewa maelezo yake.
Nchi hii kazi ipo,tunahitaji ukombozi
Mungu simama n'as familia inateseka tunakesha kuwaza
Hukushika namba ya gari namba
Allah awafanyie wepesi warudi salama 😭😭😭
Polis wako fit. Kupamba na na chadema. Na. Sio. Watekaji
Sasa usalama wa taifa mkoa unausiana na nin boya
Kwa kweli inasikitisha sanaaaa
Da! Inauma sanna!
Jamaniii vipi kuhusu hawa ndugu zetu walipatikana???
Kazi zimeanza hata Jana heche alikisema
Nimepokea kwa MASIKITIKO MAKUBWA sanaa
Naww Leo unasema hivi 😂😂😂
Kuna watu wanataka ela kwa nguvu apo
Saivi umekuwa km mchezo wa kuingiza pia utaambiwa ni watu wasiojulikana kila mtu anafanya anavotaka
SubhnAllah 😢😢
Wengine wamekula pesa za vikoba wanakimbiaga
Ni uchunguzi huo na utamaliza miaka uzembe hakunq lolote litafanyika
Pesa na mapenzi ni tatizo. Tuwaombee wapatikane salama
Kabisa.
hapo waandae tu msiba ukitekwa saivi unakutwa marehemu
Kwani wasiojulikana wamerud jaman
Watanzania ACHENI kuuwana BILA sababu
Tatizo lipo hapo siri wanaijuwa walowachukua why wawachukue hao tu ujue lazma kuna jambo mungu atusaidie maana so mchezo dunia hii
Viongozi wahapo wanajua vzur tu hii ndio selikali mliyoitaka ya mama yenu magu ulale mahali pema wambie mambo yabangi mirungi fasta utawaona
Mbona kamchezo kaa kutekwa kanazidi vip tena mana hii sio poa
Tanzania nchi ya amani😓
Si wa2 wapo huru wanajifanyia wanavotaka? Wakati unajiuliza ilo jiulize pia ule mzigo uliokamatwa ( kgs) wahusika ni akina nani?
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
mola tunusuru
Police wamesahau kazi yao
Usalama wa raia na Mali zao Iko wapi
Police wajibu hayo wanalinda raia wepi? Kwanini wasiyo julikana police ndo wanajua
Duuh
Jeshi la polisi ambao ndio usalama wa raia na malizao lipo wapi? Na liafanya kazi gani?
Makonda mwenezi 7ya awe katibu mkuu
Aulizwe huyo aliyesema aliagizwa kuchukua gari
Hana analolijua Zaid ya kuelekezwa gar ilipak sehem sio nyumban
sasa na yeye sikapigiwa na alietekwa atafanya nini
MUNGU baba tenda miujiza
Lazima kuna siri nyuma ya hilo jambo tena sio dogo.. Ujambazi au madawa ya kulevya
Biashara..... zile kilo zote haiwezi kuacha watu salama
Mkuu naweza kukuunga mkono make serikali inamkono mrefu! Eti biashara ya mbaooooooooo!!!
1:29
Pesa huja na starehe na matatizo humo humo ndani
Fid Q ft zahil zorro report za mtaani
.