MBUNGE ANAETUHUMIWA KUMPA SUMU PAUL MAKONDA | NI RAFIKI YAKE ANAEMUAMINI SANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 106

  • @ReobenGilberth
    @ReobenGilberth 2 місяці тому +7

    Yan hii nchi, hakuna mtu anae weza kumuua makonda pasipo mkono wa watu 💪 ndani ya nchi

  • @msalice4451
    @msalice4451 2 місяці тому +6

    ❤❤❤❤❤❤ makonda yukwapi sisi tunamtaka selikali tunamuomba tarifaa

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula 2 місяці тому +8

    Arusha 🇹🇿 mnauwa Makonda.... Pôle sana😢😢😢

  • @JenipherPatrick-t3y
    @JenipherPatrick-t3y 2 місяці тому

    I wish ungekuwa Raisi wetu makonda 🎉🎉

  • @ConsolataPaul-u7e
    @ConsolataPaul-u7e 2 місяці тому +1

    Hv itakia nchi ya namna gani acheni uoga hatujui haki zetu au,makonda ni jesh kubwa metetezi wa wanyonge tuambien yuko wapi raisi wetu wa baadae au tuandamane maana mimi inaniuma sana mpaka nalia et.makonda popoye ulipo jitokezee bc baba ili tue na aman tunakuitaji san watanzania❤❤❤

  • @RaphaelbahatiChasama
    @RaphaelbahatiChasama 2 місяці тому

    Mungu aendelee kukutunza kila iitwapo Leo hautakufa hata kidg

  • @aishajumanne2698
    @aishajumanne2698 2 місяці тому +4

    Mungu sijawahi kukutana wala kumuona live makonda .niliwahi kukuomba kipindi ukimya wa JP Mungu Baba ila ukaona aje kwako .niliumia sana Baba.ila nakuomba sana Baba Mungu please.mpe uhai na uzima Paul Makonda uwiii naumia sana nitaumia nihurumie Mungu baba..hii iwe turn kwao wanaotaka akufe waumize wao now

  • @AnnaFanuel-i1u
    @AnnaFanuel-i1u 2 місяці тому

    Mungu atakuponya kaka yentu tunakuombea sanaaa

  • @ADOLFSENYE-zb9ts
    @ADOLFSENYE-zb9ts 2 місяці тому

    Mungu akupiganie makonda

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 2 місяці тому

    Ehh Mwenye Enzi Mungu tunakuomba umponye jamani uwiiiiii 😢

  • @Amirikuwoko
    @Amirikuwoko 2 місяці тому

    duuuh Mungu amlinde naamponye❤

  • @MaaniBoniphas
    @MaaniBoniphas 2 місяці тому

    Siku zote akitokea mmoja anayeinua jamii kama han wasaidizi ni rahisi sana kugeuziwa kibao sema mungu tunayemuamini hakuna binadamu atakayemuweza rpc wetu ❤❤❤

  • @Amirikuwoko
    @Amirikuwoko 2 місяці тому

    ❤Mungu ahusike kumponye

  • @aminafrancismwandu5789
    @aminafrancismwandu5789 2 місяці тому +1

    MUNGU ☝️ akujalie Afya njema upone haraka uendelee kulitumikia Taifa letu Tanza🇹🇿 Mungu awe pamoja nawe popote ulipo

  • @CHARLESMAHERI
    @CHARLESMAHERI 2 місяці тому

    Mungu anawatazama sanaa na adhabu yenu iii njiani kaeni makini sanaaa Mungu yupo jamn sawa nawaonea huruma na pia naionea huruma sana nchi yetu Tanzania😢😢😢😢 dah yan binadamu bhn😮😮

  • @JumaSalindano
    @JumaSalindano 2 місяці тому

    Sawa je hadi leo baada ukweli kwamba yuko wapi hajulikani tu?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 місяці тому +4

    Muwe na kiasi jamani kwanini mnaongea mambo ya ajabu alimtaja nyie mna uakika acha uchonganishi

  • @AgripinaBarani
    @AgripinaBarani 2 місяці тому

    Kwa kwel mungu afya njema

  • @Masero-v9l
    @Masero-v9l 2 місяці тому

    🎉

  • @maryroyer9297
    @maryroyer9297 2 місяці тому

    Sio kweli jamani mbunge wetu kufanya hivyo watu wanamchafua tu Gambo anahofu ya mungu sio kabisa wanamzushia

  • @praygodmagoma
    @praygodmagoma 2 місяці тому

    🎉huyo liyemwekea sumu makonda ni sawa na yuda iskari yote aliyemsaliti yesu.....jehanam yamngoja.

  • @LuciaMwangambaku
    @LuciaMwangambaku 2 місяці тому

    Jamani mumuache mlisho gambo baba wawatu serekari inajua makonda aliko msipende kuwachafua watu kunasili kubwa serekalini 😭😭😭

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 2 місяці тому +2

    Gambo hawezi maekea sumu makonda hawezi.Na hawezi Kula sumu anamwabudu mwenyezi mungu akusaidie😢😢Ewe mwenyezi mungu Akulinde kila utokapo na upitapo poul makonda.

  • @sakysaky1800
    @sakysaky1800 2 місяці тому

    Dah Sad....

  • @rachelraphael1355
    @rachelraphael1355 2 місяці тому

    Kwa jina la Yesu upone nguvu za giza zote ziteketee

    • @CHARLESMAHERI
      @CHARLESMAHERI 2 місяці тому

      Na kwa mkono wa Bwana ataponaaa amen🙏🙏🙏

  • @WilliamMarai-o8c
    @WilliamMarai-o8c 2 місяці тому

    Kwa kweli Mungu hatolala ataufichua huyo mbaya wa mkuu wetu baba wa wawanyonge Mungu tunaomba sikia kilio chetu

  • @IreneLeonard-rl3jq
    @IreneLeonard-rl3jq 2 місяці тому

    rafiki ndoo aduiyako

  • @erickpaskali
    @erickpaskali 2 місяці тому

    ili jambo ni wazii rafiki yako ndo adui yakoo😢

  • @ShukuruKimathi-p5v
    @ShukuruKimathi-p5v 2 місяці тому

    Asee 😂

  • @Dashuu-q1l
    @Dashuu-q1l 2 місяці тому

    Duuuuu apone kwakweli 😭

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 місяці тому

    Hvi kweli Hiyo ilitendeka kama kwel itakuwaje

  • @mariakisinza
    @mariakisinza 2 місяці тому

    Inauma sana tukipata wa kutupambania wanyonge wanauawa wanataka nn selikali hii magufuli huyu tena sawa macho yetu wanapo tupeleka

  • @erickpaskali
    @erickpaskali 2 місяці тому

    wanangu alie mgusa makonda bado mnamlazia dam?

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 місяці тому

    Acheni kwn Gambo n mpishi w makonda au kubuni maneno kuuza habari

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 місяці тому +1

    Wapoteshaji wakubwa,Slaa fungia hii tv.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 місяці тому +1

    Mrisho gambo km kweli umefanya hili tukio na huyo rafiki anaesadikika kuwa yupo karibu sana na Mh Makonda kwakweli Mungu hatokuacha bure. Km Kuna vigogo walikushawishi umuwekee sumu Mh Makonda kwakuhofia kwamba labda Mh Makonda anaweza kuchukua fomu agombee ubunge Arusha mjini umekosea sana 😢lisemwalo lipo anakudhulu ni mtu wako wa karibu sana tena unaye muamini. Hakika nyoyo za watu zitakulilia mrisho gambo km ni kweli 😢

  • @DeogratiusMelchior
    @DeogratiusMelchior 2 місяці тому

    Your best friend could be your worse enemy, R.IP Nesta Robert Marley

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 місяці тому +2

    Mbona sielewi sielewi haya?. Mimi ninacho amini kabisa akuna rafiki wa kweli chini ya jua. Yote tumuombe Mungu mkuu amnusuru Makonda kwa mabaya yote. Amen.

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 місяці тому

    Walana wao kwao inatisha hii nchi

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 2 місяці тому +1

    Mh Tanzania inayoo ngozwa na mama natanzania iyoongozwa najpm umefulaiwa na uongozi upi

  • @norobo205
    @norobo205 2 місяці тому

    Kwaiyo mpaka sasa mueshimiwa rais hajui kuwa mkoa wa arusha makonda hajulikan alipo?

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 2 місяці тому

    Duuh! Siasa za bongo sio

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 2 місяці тому

    Yesu amponye

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Mmmmmmmm makubwa hayaaa

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah 2 місяці тому +1

    Mtauana wenyewe mpaka muishe

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 2 місяці тому

    Kama kupewa sumu angepewa na wakina nape na makamba

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 місяці тому

    MUNGU ATAJIBU TUU

  • @mariakisinza
    @mariakisinza 2 місяці тому

    Tunataman pia angekuwa lais wetu Ila ndo hivy

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 2 місяці тому

    Lisemwalo lipooo

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 2 місяці тому

    Awekae sumu ni gaidi kama wewe unakanusha, tuambie wew

  • @amossafari4838
    @amossafari4838 2 місяці тому

    Hako la x kakisiri kanamanisha Nini na black and white inawkilisha nini? Something wrong under the carpet!

  • @DevothaNdabila
    @DevothaNdabila 2 місяці тому

    Uliyemfanyia makonda hicho kitendo mungu ashughulike na wewe ?

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 2 місяці тому

    Mh: Makonda huko uliko kama unaweza kuongea ni vema ukajitokeza na kusema upo wapi ili umma wa Arusha utulie.

  • @florarwegerera8025
    @florarwegerera8025 2 місяці тому +1

    Waandishi hacheni kutangaza vitu ambavyo hamna uwakika navyo

  • @FredrickUlilo
    @FredrickUlilo 2 місяці тому +1

    Kumbe mnahs 2 amna uwakika achen kupotosha watu wajinqa njie

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 місяці тому

    jmni msiseme hivo, Mrisho Gambo mtu wa watu hanaga shida. ni mpambanaji na ni mtu anapenda sana wanaotetea haki za watu. akikutana nae anamuunga mkono sana. pia ni marafiki na Makonda, alisema hivo walahasemi haki kabisa

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 2 місяці тому

    Sasa baada ya kufahamu kuwa mtu anaehusika kumwekea sumu paul makonda serikali imemchkulia hatua gani ?? Huu ni unafiki na uongo tuu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 місяці тому

    Duuh urafiki ndio chanzo watu wengine wamefanyiwa na watu wakaribu sio wambali hili tulifahamu ukicheza unapigwa😊

    • @CHARLESMAHERI
      @CHARLESMAHERI 2 місяці тому

      Inaweza kuwa n kweli na si kweli kwann gambo hiyo anae dai n gambo basi walikuwa wote bhb

  • @mashaurifloribert1396
    @mashaurifloribert1396 2 місяці тому

    Akuna Binadamu atakae hishi Daima, Makonda akifa na yeye atakufa tu

  • @fatinaselemani9859
    @fatinaselemani9859 2 місяці тому

    Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 місяці тому

    Ikochakula walikulia wapi na lini.

  • @OdhiamboLazaro-y8o
    @OdhiamboLazaro-y8o 2 місяці тому +1

    Hapo wanajaribu kumchonganisha gambo na serikali ili wao waendelee kufanya mambo Yao, Alie sema kwamba ni gambo huyo ndiye anaestahili kuchunguzwa.

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 2 місяці тому

    Jmn mm ndo nazod kuumwa nilisikia mashujaaa wa inch wanafanyiwa hivyoooo

  • @UvccmmkoaKagera
    @UvccmmkoaKagera 2 місяці тому

    Huo ni upumbavu mrisho gambo hawezi kufanya huo upuuzi arusha mnatabia za akina mama

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Rafiki wa katribu kea mtu huwa ni mke bwana

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 місяці тому

    Bora umesema ukweli. Kama ni maombi ombeni

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 місяці тому

    Jamn Nchi hii ina watu wa namna gani,ina maana wamemfanya kama Magufuli,jamn msimuue maana mbona alishaacha siasa, inamaana kupewa ukuu wa mkoa ndio tayari, uwiiiiiiiii.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 місяці тому

    Acheni uchonganishi.

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 2 місяці тому +2

    Ukimfanya mwenzako hivi wewe utafika wapi?

  • @MsumalAloyce
    @MsumalAloyce 2 місяці тому

    Nahuyo nihatal,

  • @gbrotaKamanda
    @gbrotaKamanda 2 місяці тому

    Mi napenda kuwaambia tusubiri tutapewa majibu na serikali katika kipindi hiki Kila mtu atasema lake tuwe na subira Mkuu wetu wa mkoa yupo salama tusubiri ni swala la Muda tu

  • @DelisonShija
    @DelisonShija 2 місяці тому

    Akifa makonda hata yey iko siku atakufa kikulach

  • @PoulFred
    @PoulFred 2 місяці тому +1

    Wew unaushahidi na hicho unachokiongea?au unaropoka tu kwa kuwa uhuru huo unao acha kuchonganisha watu

  • @MahendeMwita-n5i
    @MahendeMwita-n5i 2 місяці тому

    DUUH PAUL MAKONDA MUNGU AKUNUSULU KATIKA JANGA BAYA SISI BINADAMU HATUNA MAZURI MTETEZI WA WANYONGE POLE SANAAAH

  • @moshinkwabi
    @moshinkwabi 2 місяці тому

    Pamoja nahayo yote je mricho ameshakatwa?

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 місяці тому

    Nenda polisi.ukaisaidie

  • @JAHAZIYAH-TV
    @JAHAZIYAH-TV 2 місяці тому

    Washenz sana nyie hv mnajickiaje kuzusha taarifa za hovyo namna hyo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 2 місяці тому

    Tatizo watu hawa hawakusoma, wala kujisomea maadili ya uandishi wa habari. Mwandishi wa habari aweza kuanzisha vita kabisaa. Uandishi ni kazi hatari kuliko dokta mpasuaji. Dokta ataua mtu mmoja, ila mwandishi aweza kuazisha vitina ikaua maelfu. Vita vingi duniani vimeanzishwa/ vimechochewa na waandishi kama hawa.

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 2 місяці тому +1

    😂😂😂

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 2 місяці тому

    Makonda uko wapi? Ebu jitokeze utusalimie tumekumiss jembe letu

  • @kkhalifairumba2932
    @kkhalifairumba2932 2 місяці тому

    Unauhakika na unayo yasema ww kuwa gambo kumuwekea sum au unataka kupotisha ukweli mjinga ww

  • @LEONARDINARUGAIMUKAMU
    @LEONARDINARUGAIMUKAMU 2 місяці тому +1

    Sielewi kwa staili hii kama ni kweli mungu simama ukwelill uonekane

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 2 місяці тому

    Ataishi milele yeye

  • @RashidShinza
    @RashidShinza 2 місяці тому

    Sheria yannchiihii yakijinga gamba upigwe bastola

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 2 місяці тому

    Rafiki ndo mbaya wakooo wakooo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 місяці тому

    MARAFIKINI WABAYA SANA KTK JAMII NA NI WABAYA SANA WAUAJI. AKAMATWE ANYONGWE AFE KABISA NA ACHOMWE MOTO.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 місяці тому

    Gobrta Kamanda we umesema ukweli tusubiri tu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 місяці тому

    Umemkosea nn Hadi anasubutu kukupa Sumu,yaan anataka kukutoa uhai wako,makonda makonda mungu yupo na ww kk😭😭😭😭😭😭😭

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 2 місяці тому

    Hizi midia mnaandika alie muwekea sumu makonda ni flani mnauhakika ifike hatua serikali mfungie midia na chanel kama hizi ni upuuzi

  • @leylam2121
    @leylam2121 2 місяці тому

    Kikulacho kinguoni mwako rafikiako sikuzote ndie adui yako

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 місяці тому +1

    Mungu akunusuru kk makonda 😭 najikuta nalia jamani

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 місяці тому

    Kila mtu anatembea pua yake imeangalia chini maana kuwa atakufa tu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 місяці тому +1

    Utakavyo kamatwa utoe ushahidi ndo utajua

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 2 місяці тому

    Conspirasy theories.Ushahidi uko wapi? Nonsense

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 місяці тому +1

    Hapa mnataka kuwachonganisha viongozi wa ccm.mmemzuru makonda nawanstaka mchonganisha gambo n wananchi jimbo lipoteze muoelekeo.
    Mbona lemayupo kimya sana intelleencia ifanye kazi yake na team lema.gambo ni kupoteza Dirac ya ccm hapo.gambo wanamuonea sababu ndiye alikuwa anafanya kazi za Gambon kuwa nyepesi

  • @AllaudinMeghji
    @AllaudinMeghji 2 місяці тому

    Jamani nyie fimbo ya mbali haiui nyoka

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 2 місяці тому

    Hii channel ni ya mataahira jamani,msipoteze muda kuiangalia kwakuwa haijawahi kutoa habari za maama

  • @zebrakacole5822
    @zebrakacole5822 2 місяці тому

    MMbunge gani ? ni JOSEPHAT GWAJIMA???

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba 2 місяці тому

    Hizo ndio lamli chonganishi mbona waganga wakienyeji wanakamatwa hata wahandishi kama hao wawe wanakamatwa nakufungiwa media zao wachonganishi wakubwa hao ila watambue selikali ipo na ipo kazini

  • @jonasimwanzi
    @jonasimwanzi 2 місяці тому

    Watu wa arusha adamaneni nendeni nyumbani kweke ili mujuwe si wanasema yuko rikizo