Hv itakia nchi ya namna gani acheni uoga hatujui haki zetu au,makonda ni jesh kubwa metetezi wa wanyonge tuambien yuko wapi raisi wetu wa baadae au tuandamane maana mimi inaniuma sana mpaka nalia et.makonda popoye ulipo jitokezee bc baba ili tue na aman tunakuitaji san watanzania❤❤❤
Mungu sijawahi kukutana wala kumuona live makonda .niliwahi kukuomba kipindi ukimya wa JP Mungu Baba ila ukaona aje kwako .niliumia sana Baba.ila nakuomba sana Baba Mungu please.mpe uhai na uzima Paul Makonda uwiii naumia sana nitaumia nihurumie Mungu baba..hii iwe turn kwao wanaotaka akufe waumize wao now
Siku zote akitokea mmoja anayeinua jamii kama han wasaidizi ni rahisi sana kugeuziwa kibao sema mungu tunayemuamini hakuna binadamu atakayemuweza rpc wetu ❤❤❤
Mungu anawatazama sanaa na adhabu yenu iii njiani kaeni makini sanaaa Mungu yupo jamn sawa nawaonea huruma na pia naionea huruma sana nchi yetu Tanzania😢😢😢😢 dah yan binadamu bhn😮😮
Mrisho gambo km kweli umefanya hili tukio na huyo rafiki anaesadikika kuwa yupo karibu sana na Mh Makonda kwakweli Mungu hatokuacha bure. Km Kuna vigogo walikushawishi umuwekee sumu Mh Makonda kwakuhofia kwamba labda Mh Makonda anaweza kuchukua fomu agombee ubunge Arusha mjini umekosea sana 😢lisemwalo lipo anakudhulu ni mtu wako wa karibu sana tena unaye muamini. Hakika nyoyo za watu zitakulilia mrisho gambo km ni kweli 😢
Mbona sielewi sielewi haya?. Mimi ninacho amini kabisa akuna rafiki wa kweli chini ya jua. Yote tumuombe Mungu mkuu amnusuru Makonda kwa mabaya yote. Amen.
jmni msiseme hivo, Mrisho Gambo mtu wa watu hanaga shida. ni mpambanaji na ni mtu anapenda sana wanaotetea haki za watu. akikutana nae anamuunga mkono sana. pia ni marafiki na Makonda, alisema hivo walahasemi haki kabisa
Jamn Nchi hii ina watu wa namna gani,ina maana wamemfanya kama Magufuli,jamn msimuue maana mbona alishaacha siasa, inamaana kupewa ukuu wa mkoa ndio tayari, uwiiiiiiiii.
Mi napenda kuwaambia tusubiri tutapewa majibu na serikali katika kipindi hiki Kila mtu atasema lake tuwe na subira Mkuu wetu wa mkoa yupo salama tusubiri ni swala la Muda tu
Tatizo watu hawa hawakusoma, wala kujisomea maadili ya uandishi wa habari. Mwandishi wa habari aweza kuanzisha vita kabisaa. Uandishi ni kazi hatari kuliko dokta mpasuaji. Dokta ataua mtu mmoja, ila mwandishi aweza kuazisha vitina ikaua maelfu. Vita vingi duniani vimeanzishwa/ vimechochewa na waandishi kama hawa.
Hapa mnataka kuwachonganisha viongozi wa ccm.mmemzuru makonda nawanstaka mchonganisha gambo n wananchi jimbo lipoteze muoelekeo. Mbona lemayupo kimya sana intelleencia ifanye kazi yake na team lema.gambo ni kupoteza Dirac ya ccm hapo.gambo wanamuonea sababu ndiye alikuwa anafanya kazi za Gambon kuwa nyepesi
Hizo ndio lamli chonganishi mbona waganga wakienyeji wanakamatwa hata wahandishi kama hao wawe wanakamatwa nakufungiwa media zao wachonganishi wakubwa hao ila watambue selikali ipo na ipo kazini
Yan hii nchi, hakuna mtu anae weza kumuua makonda pasipo mkono wa watu 💪 ndani ya nchi
❤❤❤❤❤❤ makonda yukwapi sisi tunamtaka selikali tunamuomba tarifaa
Arusha 🇹🇿 mnauwa Makonda.... Pôle sana😢😢😢
I wish ungekuwa Raisi wetu makonda 🎉🎉
Hv itakia nchi ya namna gani acheni uoga hatujui haki zetu au,makonda ni jesh kubwa metetezi wa wanyonge tuambien yuko wapi raisi wetu wa baadae au tuandamane maana mimi inaniuma sana mpaka nalia et.makonda popoye ulipo jitokezee bc baba ili tue na aman tunakuitaji san watanzania❤❤❤
Mungu aendelee kukutunza kila iitwapo Leo hautakufa hata kidg
Mungu sijawahi kukutana wala kumuona live makonda .niliwahi kukuomba kipindi ukimya wa JP Mungu Baba ila ukaona aje kwako .niliumia sana Baba.ila nakuomba sana Baba Mungu please.mpe uhai na uzima Paul Makonda uwiii naumia sana nitaumia nihurumie Mungu baba..hii iwe turn kwao wanaotaka akufe waumize wao now
Mungu atakuponya kaka yentu tunakuombea sanaaa
Mungu akupiganie makonda
Ehh Mwenye Enzi Mungu tunakuomba umponye jamani uwiiiiii 😢
duuuh Mungu amlinde naamponye❤
Siku zote akitokea mmoja anayeinua jamii kama han wasaidizi ni rahisi sana kugeuziwa kibao sema mungu tunayemuamini hakuna binadamu atakayemuweza rpc wetu ❤❤❤
❤Mungu ahusike kumponye
MUNGU ☝️ akujalie Afya njema upone haraka uendelee kulitumikia Taifa letu Tanza🇹🇿 Mungu awe pamoja nawe popote ulipo
Mungu anawatazama sanaa na adhabu yenu iii njiani kaeni makini sanaaa Mungu yupo jamn sawa nawaonea huruma na pia naionea huruma sana nchi yetu Tanzania😢😢😢😢 dah yan binadamu bhn😮😮
Sawa je hadi leo baada ukweli kwamba yuko wapi hajulikani tu?
Muwe na kiasi jamani kwanini mnaongea mambo ya ajabu alimtaja nyie mna uakika acha uchonganishi
Kwa kwel mungu afya njema
🎉
Sio kweli jamani mbunge wetu kufanya hivyo watu wanamchafua tu Gambo anahofu ya mungu sio kabisa wanamzushia
🎉huyo liyemwekea sumu makonda ni sawa na yuda iskari yote aliyemsaliti yesu.....jehanam yamngoja.
Jamani mumuache mlisho gambo baba wawatu serekari inajua makonda aliko msipende kuwachafua watu kunasili kubwa serekalini 😭😭😭
Gambo hawezi maekea sumu makonda hawezi.Na hawezi Kula sumu anamwabudu mwenyezi mungu akusaidie😢😢Ewe mwenyezi mungu Akulinde kila utokapo na upitapo poul makonda.
Hakuna mtu mbaya kama aitwaye rafiki
Dah Sad....
Kwa jina la Yesu upone nguvu za giza zote ziteketee
Na kwa mkono wa Bwana ataponaaa amen🙏🙏🙏
Kwa kweli Mungu hatolala ataufichua huyo mbaya wa mkuu wetu baba wa wawanyonge Mungu tunaomba sikia kilio chetu
rafiki ndoo aduiyako
ili jambo ni wazii rafiki yako ndo adui yakoo😢
Asee 😂
Duuuuu apone kwakweli 😭
Hvi kweli Hiyo ilitendeka kama kwel itakuwaje
Inauma sana tukipata wa kutupambania wanyonge wanauawa wanataka nn selikali hii magufuli huyu tena sawa macho yetu wanapo tupeleka
wanangu alie mgusa makonda bado mnamlazia dam?
Acheni kwn Gambo n mpishi w makonda au kubuni maneno kuuza habari
Wapoteshaji wakubwa,Slaa fungia hii tv.
Mrisho gambo km kweli umefanya hili tukio na huyo rafiki anaesadikika kuwa yupo karibu sana na Mh Makonda kwakweli Mungu hatokuacha bure. Km Kuna vigogo walikushawishi umuwekee sumu Mh Makonda kwakuhofia kwamba labda Mh Makonda anaweza kuchukua fomu agombee ubunge Arusha mjini umekosea sana 😢lisemwalo lipo anakudhulu ni mtu wako wa karibu sana tena unaye muamini. Hakika nyoyo za watu zitakulilia mrisho gambo km ni kweli 😢
Your best friend could be your worse enemy, R.IP Nesta Robert Marley
Mbona sielewi sielewi haya?. Mimi ninacho amini kabisa akuna rafiki wa kweli chini ya jua. Yote tumuombe Mungu mkuu amnusuru Makonda kwa mabaya yote. Amen.
Walana wao kwao inatisha hii nchi
Mh Tanzania inayoo ngozwa na mama natanzania iyoongozwa najpm umefulaiwa na uongozi upi
Kwaiyo mpaka sasa mueshimiwa rais hajui kuwa mkoa wa arusha makonda hajulikan alipo?
Duuh! Siasa za bongo sio
Yesu amponye
Mmmmmmmm makubwa hayaaa
Mtauana wenyewe mpaka muishe
Kama kupewa sumu angepewa na wakina nape na makamba
MUNGU ATAJIBU TUU
Tunataman pia angekuwa lais wetu Ila ndo hivy
Lisemwalo lipooo
Awekae sumu ni gaidi kama wewe unakanusha, tuambie wew
Hako la x kakisiri kanamanisha Nini na black and white inawkilisha nini? Something wrong under the carpet!
Uliyemfanyia makonda hicho kitendo mungu ashughulike na wewe ?
Mh: Makonda huko uliko kama unaweza kuongea ni vema ukajitokeza na kusema upo wapi ili umma wa Arusha utulie.
Waandishi hacheni kutangaza vitu ambavyo hamna uwakika navyo
Kumbe mnahs 2 amna uwakika achen kupotosha watu wajinqa njie
jmni msiseme hivo, Mrisho Gambo mtu wa watu hanaga shida. ni mpambanaji na ni mtu anapenda sana wanaotetea haki za watu. akikutana nae anamuunga mkono sana. pia ni marafiki na Makonda, alisema hivo walahasemi haki kabisa
Sasa baada ya kufahamu kuwa mtu anaehusika kumwekea sumu paul makonda serikali imemchkulia hatua gani ?? Huu ni unafiki na uongo tuu
Duuh urafiki ndio chanzo watu wengine wamefanyiwa na watu wakaribu sio wambali hili tulifahamu ukicheza unapigwa😊
Inaweza kuwa n kweli na si kweli kwann gambo hiyo anae dai n gambo basi walikuwa wote bhb
Akuna Binadamu atakae hishi Daima, Makonda akifa na yeye atakufa tu
Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani
Ikochakula walikulia wapi na lini.
Hapo wanajaribu kumchonganisha gambo na serikali ili wao waendelee kufanya mambo Yao, Alie sema kwamba ni gambo huyo ndiye anaestahili kuchunguzwa.
Jmn mm ndo nazod kuumwa nilisikia mashujaaa wa inch wanafanyiwa hivyoooo
Huo ni upumbavu mrisho gambo hawezi kufanya huo upuuzi arusha mnatabia za akina mama
Rafiki wa katribu kea mtu huwa ni mke bwana
Bora umesema ukweli. Kama ni maombi ombeni
Jamn Nchi hii ina watu wa namna gani,ina maana wamemfanya kama Magufuli,jamn msimuue maana mbona alishaacha siasa, inamaana kupewa ukuu wa mkoa ndio tayari, uwiiiiiiiii.
Acheni uchonganishi.
Ukimfanya mwenzako hivi wewe utafika wapi?
Nahuyo nihatal,
Mi napenda kuwaambia tusubiri tutapewa majibu na serikali katika kipindi hiki Kila mtu atasema lake tuwe na subira Mkuu wetu wa mkoa yupo salama tusubiri ni swala la Muda tu
Akifa makonda hata yey iko siku atakufa kikulach
Wew unaushahidi na hicho unachokiongea?au unaropoka tu kwa kuwa uhuru huo unao acha kuchonganisha watu
DUUH PAUL MAKONDA MUNGU AKUNUSULU KATIKA JANGA BAYA SISI BINADAMU HATUNA MAZURI MTETEZI WA WANYONGE POLE SANAAAH
Pamoja nahayo yote je mricho ameshakatwa?
Nenda polisi.ukaisaidie
Washenz sana nyie hv mnajickiaje kuzusha taarifa za hovyo namna hyo
Tatizo watu hawa hawakusoma, wala kujisomea maadili ya uandishi wa habari. Mwandishi wa habari aweza kuanzisha vita kabisaa. Uandishi ni kazi hatari kuliko dokta mpasuaji. Dokta ataua mtu mmoja, ila mwandishi aweza kuazisha vitina ikaua maelfu. Vita vingi duniani vimeanzishwa/ vimechochewa na waandishi kama hawa.
😂😂😂
Makonda uko wapi? Ebu jitokeze utusalimie tumekumiss jembe letu
Unauhakika na unayo yasema ww kuwa gambo kumuwekea sum au unataka kupotisha ukweli mjinga ww
Sielewi kwa staili hii kama ni kweli mungu simama ukwelill uonekane
Ataishi milele yeye
Sheria yannchiihii yakijinga gamba upigwe bastola
Rafiki ndo mbaya wakooo wakooo
MARAFIKINI WABAYA SANA KTK JAMII NA NI WABAYA SANA WAUAJI. AKAMATWE ANYONGWE AFE KABISA NA ACHOMWE MOTO.
Gobrta Kamanda we umesema ukweli tusubiri tu
Umemkosea nn Hadi anasubutu kukupa Sumu,yaan anataka kukutoa uhai wako,makonda makonda mungu yupo na ww kk😭😭😭😭😭😭😭
Hizi midia mnaandika alie muwekea sumu makonda ni flani mnauhakika ifike hatua serikali mfungie midia na chanel kama hizi ni upuuzi
Kikulacho kinguoni mwako rafikiako sikuzote ndie adui yako
Mungu akunusuru kk makonda 😭 najikuta nalia jamani
Kila mtu anatembea pua yake imeangalia chini maana kuwa atakufa tu
Utakavyo kamatwa utoe ushahidi ndo utajua
Conspirasy theories.Ushahidi uko wapi? Nonsense
Hapa mnataka kuwachonganisha viongozi wa ccm.mmemzuru makonda nawanstaka mchonganisha gambo n wananchi jimbo lipoteze muoelekeo.
Mbona lemayupo kimya sana intelleencia ifanye kazi yake na team lema.gambo ni kupoteza Dirac ya ccm hapo.gambo wanamuonea sababu ndiye alikuwa anafanya kazi za Gambon kuwa nyepesi
Jamani nyie fimbo ya mbali haiui nyoka
Hii channel ni ya mataahira jamani,msipoteze muda kuiangalia kwakuwa haijawahi kutoa habari za maama
MMbunge gani ? ni JOSEPHAT GWAJIMA???
Hizo ndio lamli chonganishi mbona waganga wakienyeji wanakamatwa hata wahandishi kama hao wawe wanakamatwa nakufungiwa media zao wachonganishi wakubwa hao ila watambue selikali ipo na ipo kazini
Watu wa arusha adamaneni nendeni nyumbani kweke ili mujuwe si wanasema yuko rikizo