🅻🅸🆅🅴 : MAHOJIANO YA TUNDU LISSU YANAFANYIKA MUDA HUU...
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Great thinker,,💥💥💥
Mh tundu lisu mungu aendelee kukutunza akubariki sana kama wetu ✌️✌️
Odemba nakuelewa sana interview zako.. ila Leo umekaa kiuchawa zaidi in short umepuyanga.....
Mshukuru lissu anakujibu na kupambana nawe hivyohivyo licha ya aina ya maswali unayomuuliza. Wengine hapo huwa wanaishia kusema, no comment!!!!!!!!
Lisuuuuuu✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Hakuna matching kati ya mwandishi na Lissu. Akili ndogo vs akili kubwa. Anampapasa tu. Tz hakuna mwandishi wa kumhoji Tundu Lissu. Anaweza kuhojiwa na watu wenye uwezo mkubwa kama Jenerali Ulimwengu. The rest wanajaribu
Mwandishi sio professional hata kidogo i wish angekuwa mtu timamu zaidi tungepata madini zaidi
Alisoma SAUT huyu, ila kichwani ni bure kabisa. Hajifunzi kupitia mentorship
Lisu mungu azdi kukulinda
Maswali mazuri sana kweli wewe ni mtangaji hongela sana
Msigwa kuhama Chadema, yeye mwenyewe anaumia sana. Amehama kwa hamaki, alikosa councilling baada ya kushindwa uchaguzi. Ameniambia huko aliko yale magwanda anayovaa, anaona sijui kavalishwa mnyama gani.
😂😂😂😂😂
Mwandishi unauliza swali kabla hajamaliza kujibu unauliza lingine ni kama husikilizi majibu ta swali lako lilitangulia
huyu jamaa
kaingizwa t km wanvyoingizwa wengn han elim yyt
huju jmaa mshamb
ccm huyo
Inatakiwa Lisu awe na kipindi TBC
Huyu ndugu anamsimamo mkuu
Huyu mwandishi vipi mbona simuelewi, au anamengine nyuma ya pazia..!!!???
Mheshimiwa Dr Tundu Antipas Mugwayi Lisu
Dr Tundu Antipas Mugwayi Lisu
Mwandishi ni maandazi kabisa
Wengine wakizidiwa na maswali chokonozi huishia kusema no comment. 😂😂😂
Mh tundu lisu kamanda wetu mungu akubariki sana Aishi miaka mingi yenye Amani na furaha tele ✌️✌️
Mr Future President. President wa moyo wangu tangu kitambo . Much respect to you Tundu Lissu
We mwandishi gani,unauliza swali, wakati ajamaliza kujibu swali, ufai kbs wewe Akili ndogo kwa akili kubwa,odemba akili ndogo
MHOJAJI MPE NAFASI AONGEE HOJA YOTE KABLA YA SWALI LINGINE
Mwandishi unakera --- unajali kuukiza maswali tu bila kujali majibu au unajibiwaje ---- sasa wasikilizaji wako,tunataka kusikia majibu ya maswali ya huyo unaye muuliza " kama utauliza tu maswali bila kujali majibu au yanajibuwa vipi,itakuwa haina maana "
Akili ndogo inahoji akili kubwa
Kabisaa
Ni mjinga tu atakukubalia hiyo convincing questions trick,uchawa wa kusisitizia tu twawala.
mwandishi hajatulia leo
Kaka odemba uko vizur sana lkn naomba nikuulize Alois nyanda Yuko wap?
Atarudi.chadema.wanasiasa.wanakuwa.kama.nyumba.leo.wako.kenya.kesho.tanzania
Akiona.vipi.atarudi.wasitiane.maneno.mbaya
Huyu MC angejiandaa na angeandaa maswali kama ilivyokua kwenye uchaguzi wa TLS huu mdahalo ungekua mzuri sana
Kajiandaa sana. Huoni anasoma maswali makuu. Ya nyongeza ndiyo hajaandika. Issue kubwa hapa ni uwezo wake na Lissu haviendani. Lissu ni mtu na nusu. Hakuna wa kufanya naye mahojiano. Anayeweza kumhoji labda watu kama kina Jeneral Ulimwengu na wengine wachache, na sio Odemba. Juzi juzi Kikeke mwenyewe alionekana kama mtoto kwenye kujenga hoja. Mwulize Nape atakusimulia alichokutana nacho kwenye mdahalo wake miaka ya nyuma
VIVA KOMREDI LISSU.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Vipi ikitokea ukachaguliwa kuwa raisi wa inchi hii utaviamuru vipi vyombo vya dora kwa tukio la shambulio lako?
Unauliza jibu hapo iyo fasta tu watajisalimisha wenyewe
Mtangazaji hamna kitu
Mh Tundu Lisu wewe ni zaidi ya Mwanasiasa, Mtu makini huna longolongo wala ubabaishaji
mbn huy jamaa mshmba muandish gni huy kimbel mbel kashauliz swali mtu hajmliz kuongea anaingilia
kasom wap huy
Mwandishi jaribu kuacha Lissu ajibu maswali kikamilifu
Huyu mwandishi, huwa cmuelew, akawahoji ssm
Anazingua sana...anauliza maswali juu ya maswali na kama ana pre set answers
Odemba, kwa nini umeshupalia sana join the chain, wakati unajua ni nani wa kukujibu? Wewe hukuchangia cho chote, lakini umekuwa mpiga kelele kuliko cc tuliochangia, why?
Hajielew huyo
Richard Quest!?
Miaka 63 ya utawala wa ccm anaeonekana na uchu wa madaraka ni mtu ambayo hajawahi kutawala we bana kichwa kubwa akili nukta
huyu muandishi yani kashindwa kuonyesha professionalism kama mwandish kudakiadakia
Hakika LISSU umejaliwa kipaji na ufahamu wa sheria.
We mwandishi gani,unauliza swali, wakati ajamaliza kujibu swali, ufai kbs wewe
Sawa kijana wetu odemba ukovizuri mama amezaa moto anae jiamiini
Mwandishi,Bure kabisa
MwanaMalkia 😆😆😅
Wewe mwandishi ebu tulia mtu ajibu swali lako bila kumkatisha katisha
😂😂 nimekusikiliza kwa bidii, nahisi, japo sina hakika. Kua dalili za misinginiliyokuunganisha na Chama chako yamevunjwa, je? Ndo baibai?
Public coments
Lisu is the only Patriotic citizen, Samia is hiding beside her own shadow, she is squandering Tanzanian mainland money for Zanzibar's, because Zanzibar hasn't potential economic resources.
- Ujerumani walikamata wanasiasa wa mrengo wa Afd tena wanataka kuipiga marufuku.
- America unaweza pigwa risasi na polisi pasipo kosa.
- Saa hii uingereza uki retweet jambo yenye serikali haitaki unastakiwa kama gaidi.
-Aliyekuwa mwana jesi uko america Scott alivamiwa na FBI kwa nyumba yake waka chukuwa vita kadha kwa sababu anapinga vita ya Urusi na Ukraine.
Sasa Tundu Lissu atuambie hao wanatumia sheria gani?
Kwani ktk inchi ninani mmiliki wa majeshi ndani ya inchi? Na kama itakuwa ni raisi ndiye mmiliki wa majeshi Sasa itakuwaje asiwe na amli ktk majeshi?
kichwa ufuto 😂 review tena maelezo yake utaelewa
KILA AKIULIZWA SWALA LA FEDHA ANAZUNGUKA KULIJIBU. MUULIZE KATIBU. !!
Ulitaka ajibu nini? Kwenu yakiulizwa mambo ya jikoni huwa anajibu nani? Bila shaka sio wewe.
Hujaeleweka Godfrey
Nani mwingine aliyetangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa chadema nje ya Lissu?
Wenje
Ama kweli mfadhili mbwa atakulindia usiku kuliko mtu kama lisu usimtowe roho samia kwa uchu wa kupata uraisi mdomo mchafu kauli chafu
wenye uerewa kama wako ndio watakuona una maono mzuli
We tako kaa kimya