#Live
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #arisendshinetanzania #2024mwakawambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Amen nimepokea kwa jina la yesu
Asante mungu naomba mungu wangu anipe kazi ili nikombowe familia yangu 20:16
Asante mungu naomba mungu wangu anipe kazi ili nikombowe familia yangu
Amina naomba Mungu unifungulie kiuchumi familia yangu mdogo wangu kamarinza chuwo hapate KZN kiraka mama yangu mfunguwe kiuchumi naomba Mungu nifanikiwe kiuchumi nipate Ela nifunguwe biashara zangu 3 na nipate watoto na chumba wangu harundi kaniacha kupitia mazabao aya
Mungu nipe furaha ktk maisha yangu timiza ndoto zangu. Fungua maisha yangu Leo hii
Mungu unipe wateja wengi na kazini niitwe mapema.nimiliki kazi 4 kiurahisi sana .na mabosi wanipende na waning'ang'anie san
Asante Yesu imekuwa kwangu leo nimepokea
Mungu nakuomba unipe nguv ya maombi ktkt jina la YESU, ameen.
Naomba mungu anipe kazi nzuri KATIKA maisha yangu napatika RDC
Mungu nakuomba uniongoze ktkt njian iliyo salama kwa jina yesu ameen
Amen 🙏 napokea na Mimi
Mungu asante. Kwauzima wako
Mungu anipe kazi yangu ya shule na niitwe kuanza kazi.
Amen 🙏
Mungu nipe kazi kipindi hiki kigumu nilichokua nacho
Mung kamnyenyue mama kwenye kitanda Cha wagojwa
Nipate mtaji kiurahisi na nipate wateja wengi na biashara yangu ikue kiurahisi sana
Amina Amina Amina Amina
🙏🙏🙌❤
Eu sou fatima sou uma negosiante eu tenho 10 anos a vender capulanas mas nao estou aver o resultado entao estou a pedir para que o senhor ori para mim meu deseju era de chegar ai mas nou consigo nao tenho dinhero para chegar ai, eu gosto das suas orasoes sempre escoto sempre as suas orasoes entao peso para que ori para mim
Nipate kazi za masaa 3 kiurahisi na niitwe Kila nilipoenda kufanya kazi . wanitafute kiurahisi sana
Mabosi wote wa kazini kwangu wasitulie walipo . wanitafute kiurahisi sana na mapema.
Napokea uponyaji huu Kwa mama yangu mzazi ameen
Mung anipe mume bola nafamily bola sitaki wanaume wakunilagai two washidwa kupitia jina layesu nafamily yanngu ikombolewe kupitia maomb haya watoto wang wafaulu wote
Naomba kujua hiki kipindi muda wake ni saa ngapi
Saa tatu usiku,na saa nane usiku.
Saa tatu usiku ya Tanzania 🇹🇿
Amen 🙏
Naomba fulaha anitafute niende kazini