Mapitio ya Mashairi ya wimbo mpya wa Dizasta Vina ( Kesho ). Sanaa yake anaijua yeye zaidi 🗣️🗣️🗣️

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 тра 2023

КОМЕНТАРІ • 35

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +21

    Wimbo ni mkuuuuubwa kupita hizi tafsiri

    • @kiduaalute603
      @kiduaalute603 Рік тому +1

      Vina unahitajika studio na Jr mfanye jambo kwenye confession of a mad son

  • @babawaubatizo1938
    @babawaubatizo1938 11 місяців тому +5

    Jr junior anaipenda hip hop toka moyoni kabisa.

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Рік тому +5

    Jamaa huyu dizasta anacheza mechi zake peke yake🔥

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 Рік тому +5

    Fanya, umchek ufanye nae interview kama ya masaa 2

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Рік тому +3

    Tafadhari Ndugu Mtangazaji J R junior 🎤 Mpatie Interview #DIZASTA_VINA 🇹🇿

  • @shayopoul1612
    @shayopoul1612 11 місяців тому +2

    Umetisha sana

  • @user-wu3wy3bd1f
    @user-wu3wy3bd1f 11 місяців тому +1

    D ni rapa namba moja bongo akuna legend alie wai fanya kama yeye

  • @nivambwingo4426
    @nivambwingo4426 Рік тому +1

    Uchambuzi wa kibabe sana jr

  • @lionking3015
    @lionking3015 Рік тому +2

    Dizasta vina is a lyrical genius. Vina vimepitia skonga

  • @fikilimatei4503
    @fikilimatei4503 11 місяців тому +1

    Mwamba ni fundi sana

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Рік тому +2

    Hip hop kwenye ramani.
    mistari ya dizasta, huwa ukiichambua unapata sana vitu.

  • @hakizimanamoosa1157
    @hakizimanamoosa1157 Рік тому +2

    Disasta vina respect sana

  • @agrasbalandya9389
    @agrasbalandya9389 Рік тому +2

    Nilitegemea mwaliko unautuma kumwendea akuje hapo studio

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому +2

    DIZASTA 🔥🔥🔥🔥

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 Рік тому +3

    Dizasta ilibidi awepo ummpe hata masaa 2 then we ukisoma ye anatupa maana zaidi ingekuwa boob kubwa ❤

    • @nickyvanich6214
      @nickyvanich6214 Рік тому +1

      Msanii mwenye falsafa makini hawezi toa maana ya mziki wake, huo ni mtihani katoa, sasa kazi kwa hadhira kuitafuta maana.

  • @jossporah7079
    @jossporah7079 Рік тому +1

    Jamaa ni fundi xnaa,,,moto,

  • @user-so3lj5lk4m
    @user-so3lj5lk4m 6 місяців тому

    Mimi sipingi kazi zake

  • @emanuellawrence7462
    @emanuellawrence7462 Рік тому +1

    Jina lina sadifu yaliomo dizzasta

  • @petermakoye8918
    @petermakoye8918 8 місяців тому +1

    Dizasta ndo jina logo ya mtaa ina shine kuta

  • @nakali79
    @nakali79 Рік тому +1

    Dizasta vina, ni emcee wa kweli, sema tz vyombo vya habari nchini vinawapa, nafasi mafala inaacha kuwapa nafasi kubwa walimu kama "dizasta vina"

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 Рік тому

    Vina

  • @mckoba2428
    @mckoba2428 6 місяців тому

    Mi naomba dizasta awe anachambua mwenyewe izi ngoma maana akili yake sio y kawaida

  • @edigergabriel3711
    @edigergabriel3711 Рік тому

    Badman

  • @christophertz
    @christophertz Рік тому +2

    10:53 samahani Kesho sio wimbo mpya ni wa kitambo sana

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Рік тому +1

      Wimbo wa kitambo sema Lyrical video ndio imetoka juzi

    • @princegabriel3770
      @princegabriel3770 Рік тому +1

      Hiv kitambo sana inaanza miaka mingap? maana Verteller haina hata miezi 7

  • @christophertz
    @christophertz Рік тому

    🙌🏿

  • @cholobrighter104
    @cholobrighter104 Рік тому +4

    ...✍🏻

    • @OptatusHaule-hk2zg
      @OptatusHaule-hk2zg Рік тому +1

      Andaa EP Kisha kutanisha hii kichwa.. iwe ngoma hata nne tu..
      Weewe na d Vina...
      Tutapambania hiyo project

  • @dickorichards6133
    @dickorichards6133 Рік тому

    si ni ngungi kuna mda mnamwaaacha tu tu na mamistar yake Joh70

  • @edigergabriel3711
    @edigergabriel3711 Рік тому

    Badman