BARUA hii ya Wazi kwa mwanangu Dorcas naitabaruku kwa wazazi na walezi wanaowahudumia watoto wenye ulemavu na changamoto za kiafya za aina yoyote ile. Wasipoteze tumaini Wala kukata tamaa, watambue bado watoto wao ni baraka na zawadi kutoka kwa Mungu.
Tuombeane dada yangu, maana tatizo lako halina tofauti na langu, utofauti wake ni umri tu wa Hawa watoto, jinsia moja. Namwamini mungu wangu, na Nina Imani IPO siku moja nitaona Nuru ktk maisha ya Binti yangu na Binti yako. Mungu anakusudi nasi. Amina🙏
Mungu akubariki sana dada.......YEEEEEEESSSS....ACHA GIZA NALO LITANDE....BADO NITAKWABUDU....YAHWE, ADONAI, ELIROI oooooh He Is and Will be Our Maker, the Great Creator of All and our Great Father. My dear, umenipa sababu zaidi ya kumshukuru, kumwabudu na kumuishia huyu Mungu mkuu. He is in control. Love you soo much my sis' in Christ.
God allows us to accept suffering that cames from you...May God who allowed Rehema and his husband to accept Dorcas suffering be with us ...We love you Dorcas from Nairobi Kenya
Mimi nilipitia wakati huu. Mme wangu akaenda kwa mchungaji na watu wengi walioniheshimu kusema kuwa mtoto siyo wake akiwa na picha ya mwanaume aliyemuita ni baba wa mtoto. Ambapo sikuwa nikimjua mwanaume yeyote isipokuwa ni yeye. Mwanangu nilinunua virutubisho, alinisaidia mwanzoni baadae ikawa mzigo wangu. Nilitakiwa kazini lkn nilipokosa binti kuna nyakati hata babake hakuta kunishikia kwa muda tu nikaripoti kazini nirudi nyumbani kwani yeye alikuwa akisimamia biashara za familia ambazo zilikuwa hazimfungi kuhusu kuhudhuria. Nililia mara nyingi lkn Mungu hakuniacha. Hadi leo namtukuza Mungu kwani Mungu ni mkuu. Anatukuzwa katika mazingira yote. Mungu ambariki mmeo.
You are not alone...my child has been going through convulsion since he was 9months.,God has been there for us ...we won!God has been faithful and He is faithful
NIMELIA SANA 😭 MUNGU ATUSAIDIE HAKIKA MUNGU YEYE NDIYE AJUAYE MWISHO WETU CHANGAMOTO ZISIFANYE TUKAMUACHA MUNGU ILA NI TUJIFUNZE KUSHUKURU KWA KILA KITU😭😭EE MUNGU NISAIDIE 🙏
Nilimpoteza mama yangu mwaka jana,ilikua ngumu sana.Mungu akanipa wimbo unaoitwa NAKUSHUKURU TU. Hata kwa haya mengine Mungu ana sababu. Kwa yote Mungu anatupa yawe mazuri au kinyume na matarajio yetu wacha tumshukuru tu.
Niliuandika wimbo unaosema "Mungu WA Ishara" maana mungu aliniponya cancer..nakuelewa unaposema kwamba mungu alikusukuma kuandika "Chanzo" Dorcas ataishi kuwa WA baraka kwa familia yako
Kwanza MUNGU akutunze ipo sku atapona kabsa namin hivyo unavyomtumikia MUNGU ipo sku atakupa kicheko dada angu tunza sms yangu atapona kabsa kabsa Amina nakumbuka sku mama angu anafalik tulikuwa tunapiga wimbo wako wa neema yako tu na sana skiliza wimbo wa chukuma kila sku ukicheza na mm nacheza hakika YESU ameskia kilioa chako ❤
Wow Rehema my sister in Christ you are truely a servant of God being able to praise God geneuenly eventhough you were going through this hardship, God bless
Nimejifunza kwamba kila jambo linafanyika wa wema wa Mungu japo wakati mwingine kulipokea mtu huwa na maswali juu ya Mungu ila tunapokubaliana nacho basi Mungu hubadilisha kua furaha,amani isiyo na kikomo...ubarikiwe sana mtumishi Rehema karibu hapa Kenya tena na tena
Vulnerability 🥹🥹. Wuuueeeh. When God gives us songs through His servants that bless us, yet they are going through it themselves 🥹😭. For sure, His grace is sufficient for us 🥹, if and when we're found faithful 🥹🧡. May God help me to be found faithful in tough times 🥹🙌🏾🙇🏾♀️🧡. Thank you WoG 🥹🧡🧡. I value you 🧡 and love my God in you 🥹🧡💯.
I love all Rehema's songs, but this letter has made me cry over the song after interpreting it again based on Dorcas' story. May God's favour always be upon her ❤ and all the other kids
Nikiwa Sina hata nimuone tu walau najisia furaha ila nikiomba siku moja Mungu amufungulie mlango na anakuwa huyo mwanae wanae wote anakuwaga nao pale aiseee Mungu amekutia nguvu mpaka hapo utukufu kwa Mungu ila kama mnaweza kumfikia huyo mama mtabarikiwa Sana Mungu ni mwema 💕💕💞
DHI is going to be a blessing to so many parents. May God continue blessing you Rehema and your entire family for coming up with a way to help make easier other parents and children lives. To more grace and more blessings 🙌 From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you.❤
Nimejikuta nalia kwa Sauti Kubwa Sana,Nikafikia ku waza Mimi Gisi nilivyo Komah 😭😭😭😭😭,Nimekoma Kuwa mtoto wama jozi siku zote Ila Nilipo Gunduwa kuwa Mungu ni Umoja tu,Sikukata Tama nimejipa moyo na Nikasonga mbele Adi Leo apa nilipo Asante Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏 Nitazidi kukuamini
Learned something through you sister Rehema and your family, God is faithful, he knows the reason why he does everything, and I believe he is going to do something big for you and through you he is lifting up, he has lifted up and he is going to be lifted up.
Bless Dorcas, every child has a purpose, I am so touched by how you have turned this to help others. God enlarge your territories and add more finances in order this can be done all over Africa and the world. I will definitely buy your album I wanted one or two songs but they seemed to have been in an album. I am greatful that your songs are on iTunes.
Nimesikiliza hii nikiwa na watu machozi yamemwagikia moyoni Kuna mama anapitia wakati kama huu huaga anakaa pale maeneo ya mlimani city kuomba msaada mwanae siokubwa Sana akitoka shule anafika pale akae na mama yake wakiomba msaada na badae waende nyumbani chochote wayachopata wanashukru yule ananiumizaga Sana nikiwa nacho Huwa Nampa
What i also believe is God has a reason for everything..through Dorcas, other children living with the condition may get the refuge and Through that God remembers all.🎉
God,s still remains faithful/true dear sister Rehema our God is still by yo side yo baby Dorcas is a precious gift to you/yo husband from Almighty God may God manifest His glory through yo baby Dorcas beyond yo expectations for she has a purpose/destiny ordained for her by God to fulfil on earth in Christ Jesus Mighty name empowered by the HolySpirit of God she will become all God ordained her to become for His glory she is highly favoured/blessed by God through Christ Jesus Shalom
Nakupenda Mtumishi wa Mungu @Rehema Simfukwe ❤❤❤Mungu hajakuacha atakuwa nanyi hadi mwisho wa dahari,usife moyo acha Mungu atukuzwe ndani yako katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth,ninajua unachopitia kwa sababu mimi pia nina msalaba wangu, nakupenda mtumishi wa Mungu ❤❤❤
This has blessed me. Indeed all things work for the good of those who love God. The blessing of Dorcus in your life has given birth to something bigger that will be a blessing to many. More love and grace. 🇰🇪
We love you, my sister Rehema ❤. You're a blessing to our generation. You're a great WoG...i have learnt a lot through you may God keep you for his own glory.
May the Lord be glorified, Dorcus is a door for so many children with physical disability to enjoy life in a special way. Rehema may all that you need to keep this dream alive find way to your hands in Jesus name. Esther from Kenya, you bless my heart immensely
Mungu wa neema mungu wa upendo mungu unaeweza yote duniani na hata mbinguni tunakujuwa ww naomba umsaidie huyu mtoto wa madame rehema na watoto wote duniani wenye changamoto ya ulemavu lakini pia nakuomba ulinzi na ubaliki uzao wa tumbo langu milele
My Dear Rehema ,this can only work out for your good because you love The Lord and are called according to His purpose. We pray God performs the supernatural for you in Jesus Matchless Name.
This is a good initiative Rehema it clearly shows Disability is not inability,May God see you through in this initiative and May God keep blessing Dorcas and your family through out this journey, may you recieve well wishers to support the foundation,Mungu akubariki na neema yake izidi kua nawe.
BARUA hii ya Wazi kwa mwanangu Dorcas naitabaruku kwa wazazi na walezi wanaowahudumia watoto wenye ulemavu na changamoto za kiafya za aina yoyote ile. Wasipoteze tumaini Wala kukata tamaa, watambue bado watoto wao ni baraka na zawadi kutoka kwa Mungu.
Dada Rehema wewe ni mwanamke shujaa na ametaka hadithi hiyo iufikie ulimwengu ili wengine wafarijike na kukua imani
Dah ..nazidi kumwelewa Mungu
Mungu attends jambo jipya kwenye maisha ya Dorcas
Sawa dada Ukweli Mchungu.Mungu akutunze
Tuombeane dada yangu, maana tatizo lako halina tofauti na langu, utofauti wake ni umri tu wa Hawa watoto, jinsia moja. Namwamini mungu wangu, na Nina Imani IPO siku moja nitaona Nuru ktk maisha ya Binti yangu na Binti yako. Mungu anakusudi nasi. Amina🙏
Najikuta nalia😢😢😢
Am a nurse working in maternity, may God use me to help all mothers and babies
Mungu akubariki sana dada.......YEEEEEEESSSS....ACHA GIZA NALO LITANDE....BADO NITAKWABUDU....YAHWE, ADONAI, ELIROI oooooh He Is and Will be Our Maker, the Great Creator of All and our Great Father.
My dear, umenipa sababu zaidi ya kumshukuru, kumwabudu na kumuishia huyu Mungu mkuu. He is in control.
Love you soo much my sis' in Christ.
God allows us to accept suffering that cames from you...May God who allowed Rehema and his husband to accept Dorcas suffering be with us ...We love you Dorcas from Nairobi Kenya
MUNGU anabaki kuwa MUNGU hata kama hakujibu kama ulivyotaka 📌Wewe ni Mwanamke jasiri umeponya wengi uzidi kubarikiwa🙏🏾🥰🔥
Mimi nilipitia wakati huu. Mme wangu akaenda kwa mchungaji na watu wengi walioniheshimu kusema kuwa mtoto siyo wake akiwa na picha ya mwanaume aliyemuita ni baba wa mtoto. Ambapo sikuwa nikimjua mwanaume yeyote isipokuwa ni yeye. Mwanangu nilinunua virutubisho, alinisaidia mwanzoni baadae ikawa mzigo wangu. Nilitakiwa kazini lkn nilipokosa binti kuna nyakati hata babake hakuta kunishikia kwa muda tu nikaripoti kazini nirudi nyumbani kwani yeye alikuwa akisimamia biashara za familia ambazo zilikuwa hazimfungi kuhusu kuhudhuria. Nililia mara nyingi lkn Mungu hakuniacha.
Hadi leo namtukuza Mungu kwani Mungu ni mkuu. Anatukuzwa katika mazingira yote. Mungu ambariki mmeo.
You are not alone...my child has been going through convulsion since he was 9months.,God has been there for us ...we won!God has been faithful and He is faithful
Katika yote wewe BADO NI MUNGU🙌🙌🙏🙏🌹🌹🌹❤️❤️
God knew Dorcas before she was born...may name of God Be praised
Why am I cutting onions😢😢😢😢😢
Great inspiration "worshiping Almighty God in the darkness hour"you are a strong woman of God.much love from me❤❤❤
NIMELIA SANA 😭 MUNGU ATUSAIDIE HAKIKA MUNGU YEYE NDIYE AJUAYE MWISHO WETU CHANGAMOTO ZISIFANYE TUKAMUACHA MUNGU ILA NI TUJIFUNZE KUSHUKURU KWA KILA KITU😭😭EE MUNGU NISAIDIE 🙏
Nilimpoteza mama yangu mwaka jana,ilikua ngumu sana.Mungu akanipa wimbo unaoitwa NAKUSHUKURU TU. Hata kwa haya mengine Mungu ana sababu. Kwa yote Mungu anatupa yawe mazuri au kinyume na matarajio yetu wacha tumshukuru tu.
Niliuandika wimbo unaosema "Mungu WA Ishara" maana mungu aliniponya cancer..nakuelewa unaposema kwamba mungu alikusukuma kuandika "Chanzo"
Dorcas ataishi kuwa WA baraka kwa familia yako
Yesu ameshinda
@rehemasimfukwe kweli kabisa..unanibariki Sana mungu akujalie neema kuu umtumikie
Kwanza MUNGU akutunze ipo sku atapona kabsa namin hivyo unavyomtumikia MUNGU ipo sku atakupa kicheko dada angu tunza sms yangu atapona kabsa kabsa Amina nakumbuka sku mama angu anafalik tulikuwa tunapiga wimbo wako wa neema yako tu na sana skiliza wimbo wa chukuma kila sku ukicheza na mm nacheza hakika YESU ameskia kilioa chako ❤
Wow, what a testimony! Mungu ndiye chanzo cha uhai wa kila mwana.
Wow Rehema my sister in Christ you are truely a servant of God being able to praise God geneuenly eventhough you were going through this hardship, God bless
Nimejifunza kwamba kila jambo linafanyika wa wema wa Mungu japo wakati mwingine kulipokea mtu huwa na maswali juu ya Mungu ila tunapokubaliana nacho basi Mungu hubadilisha kua furaha,amani isiyo na kikomo...ubarikiwe sana mtumishi Rehema karibu hapa Kenya tena na tena
Vulnerability 🥹🥹. Wuuueeeh. When God gives us songs through His servants that bless us, yet they are going through it themselves 🥹😭. For sure, His grace is sufficient for us 🥹, if and when we're found faithful 🥹🧡. May God help me to be found faithful in tough times 🥹🙌🏾🙇🏾♀️🧡.
Thank you WoG 🥹🧡🧡. I value you 🧡 and love my God in you 🥹🧡💯.
To God be the glory
And his name be glorified❤
@@rehemasimfukwe
IMAGINE NIMENUNUA PAMPERS FOR 13YRS SASA,
BUT GOD HAS BEEN ON MY SIDE
Keep on trust him
Endelea kumwamini Mungu wakati usiodhani atatenda
Asubuhi inakuja iliyojaa furaha Na Shuhuda ,Usizimie moyo endelea kumtumaini Mungu yeremia 17:7
Mungu unapo zulu wengine nakusihi ukaikumbuke hii familia na mtoto wao ukawazidishie nguvu na ujasiri kuwa na imani juu yako ukawavushe salama🙏🏿
"We know that all things work together for the good of those who love God, who are called according to his purpose.”
I love all Rehema's songs, but this letter has made me cry over the song after interpreting it again based on Dorcas' story. May God's favour always be upon her ❤ and all the other kids
To God be the glory
I relate so well it's being 4yrs of pain and anguish still trusting in the almighty God for a miracle.
Mungu yupo pamoja nanyi,endeleeni kumuamini tu,Dorcas ni shujaa.
WHAT GOD CAN'T DO, DOESN'T EXIST
I am lost for words, May God who sees beyond our imagination continue holding you dear sister. Chanzo cha uhai wangu ni kukuabudu bwana. Joshua, Kenya
God has a reason and a purpose for every story. I see a blessed woman of God.
Mungu akubariki
Chanzo cha uwai wangu, blessed my sister God is good all the time
Nikiwa Sina hata nimuone tu walau najisia furaha ila nikiomba siku moja Mungu amufungulie mlango na anakuwa huyo mwanae wanae wote anakuwaga nao pale aiseee Mungu amekutia nguvu mpaka hapo utukufu kwa Mungu ila kama mnaweza kumfikia huyo mama mtabarikiwa Sana Mungu ni mwema 💕💕💞
DHI is going to be a blessing to so many parents. May God continue blessing you Rehema and your entire family for coming up with a way to help make easier other parents and children lives. To more grace and more blessings 🙌 From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you.❤
Napenda sana nyimbo za simfukwe, Nimepitia meng japo hatufanani na hatutanana Pooleeh san , yes don't forget you can you will you must
Nimejikuta nalia kwa Sauti Kubwa Sana,Nikafikia ku waza Mimi Gisi nilivyo Komah
😭😭😭😭😭,Nimekoma Kuwa mtoto wama jozi siku zote Ila Nilipo Gunduwa kuwa Mungu ni Umoja tu,Sikukata Tama nimejipa moyo na Nikasonga mbele Adi Leo apa nilipo
Asante Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Nitazidi kukuamini
Katika yote wewe bado ni mungu. May God bless you sister Rehema.
Dorcus is so beautiful... may God heal her
Learned something through you sister Rehema and your family, God is faithful, he knows the reason why he does everything, and I believe he is going to do something big for you and through you he is lifting up, he has lifted up and he is going to be lifted up.
Mungu ni mponyaji Dada rehema naamin Dorcas atakua sawa
Kupitia wewe umeinua Imani watu wengi sana .Mungu alijua utashinda
More grace and strength as we raise our differently abled children.Sometimes it's from our greatest pain that something beautiful is birthed.
God of miracles, thank you for this family. Let your grace be sufficient
😢😢 Yesu anayo sababu azidi jumtunza Dorcas
Bless Dorcas, every child has a purpose, I am so touched by how you have turned this to help others. God enlarge your territories and add more finances in order this can be done all over Africa and the world. I will definitely buy your album I wanted one or two songs but they seemed to have been in an album. I am greatful that your songs are on iTunes.
Ameen
Mungu azidi kuwatia nguvu, mumlee vyema mtoto Dorcas
Nimesikiliza hii nikiwa na watu machozi yamemwagikia moyoni Kuna mama anapitia wakati kama huu huaga anakaa pale maeneo ya mlimani city kuomba msaada mwanae siokubwa Sana akitoka shule anafika pale akae na mama yake wakiomba msaada na badae waende nyumbani chochote wayachopata wanashukru yule ananiumizaga Sana nikiwa nacho Huwa Nampa
Tunaamini mungu nizaidi yatunavyofikiri atatenda kwa dorcas naitakua ushuhuda
Mungu akutie nguvu Dada utumishi wako so bule
Barikiwa sana dada angu mzurii,, shemeji yangu ,,, watoto wako na watu wote wanaokuzunguka Mungu azid kuwatunza 🙏
Wow! This is so profound.
Dorcas tunampenda Sana 🙏
Dorcas is adorable and bears the image of God, Thank you for loving her through and through.
Everything happens with a reason
He is God and we don't question Him,may His will be done on the life of dorcus and her parent
Amen
What i also believe is God has a reason for everything..through Dorcas, other children living with the condition may get the refuge and Through that God remembers all.🎉
God,s still remains faithful/true dear sister Rehema our God is still by yo side yo baby Dorcas is a precious gift to you/yo husband from Almighty God may God manifest His glory through yo baby Dorcas beyond yo expectations for she has a purpose/destiny ordained for her by God to fulfil on earth in Christ Jesus Mighty name empowered by the HolySpirit of God she will become all God ordained her to become for His glory she is highly favoured/blessed by God through Christ Jesus Shalom
😢😢😢nimeshika tumbo tu
Nakupenda Mtumishi wa Mungu @Rehema Simfukwe ❤❤❤Mungu hajakuacha atakuwa nanyi hadi mwisho wa dahari,usife moyo acha Mungu atukuzwe ndani yako katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth,ninajua unachopitia kwa sababu mimi pia nina msalaba wangu, nakupenda mtumishi wa Mungu ❤❤❤
Yesu ameshinda
Dada yangu I'm so proud of you
Best mother I love you for sure🙌🙌
YESU ANATOSHA, YESU ANAPONYA, YESU ATAKUPATIA USHUHUDA, JUST BELIEVE!
Ameeen Ameeen
Wageni by Paul clement
#Letsgoforward
Mungu azidi kukutia nguvu.
This has blessed me. Indeed all things work for the good of those who love God. The blessing of Dorcus in your life has given birth to something bigger that will be a blessing to many. More love and grace. 🇰🇪
mwenyezi mungu ampe maisha marefu na ampe kila kitu kutoka kwenye hitaji lak la moyoni
Mungu akutie nguvu dada yangu usikate tamaa 🙏🙏
So touching,may God grace you up.
Amen
We love you, my sister Rehema ❤. You're a blessing to our generation.
You're a great WoG...i have learnt a lot through you may God keep you for his own glory.
Mungu akupe nguvu🙇♀️🙇♀️
Yesu ameshinda
Hallelujah😭😭
May the Lord be glorified, Dorcus is a door for so many children with physical disability to enjoy life in a special way. Rehema may all that you need to keep this dream alive find way to your hands in Jesus name.
Esther from Kenya, you bless my heart immensely
Mungu wa neema mungu wa upendo mungu unaeweza yote duniani na hata mbinguni tunakujuwa ww naomba umsaidie huyu mtoto wa madame rehema na watoto wote duniani wenye changamoto ya ulemavu lakini pia nakuomba ulinzi na ubaliki uzao wa tumbo langu milele
Mwenyez Mungu azid kumpigania
I believe dolcas was sent to bring the light,and hope for the children with this condition ❤..
Definately
Kazi njema dada,.
Mungu apewe sifa na azidi kukutia nguvu.Upendo mwingi kukoka 🇰🇪 ❤
Mungu ni mwaminifu sana
glory to God🥂
My Dear Rehema ,this can only work out for your good because you love The Lord and are called according to His purpose.
We pray God performs the supernatural for you in Jesus Matchless Name.
Amen
Mungu azidi kukupa imani Neema yake yakutosha..
I am really blessed by listening to this.....barikiwa sana Mtumishi wa mungu.......haki nimebarikiwa kusikiza hii............you have inspired me 🙏
Ameen
Bwana Yesu mkumbuke mtoto Doricas
Mungu ni mkubwa sana Sister Rey
Mungu ni mwema Kwa kila hali 😢
You're blessed Rehema
This is a good initiative Rehema it clearly shows Disability is not inability,May God see you through in this initiative and May God keep blessing Dorcas and your family through out this journey, may you recieve well wishers to support the foundation,Mungu akubariki na neema yake izidi kua nawe.
Mungu ni jibu wa matatizo yote huku duniani, endelea kumwamini Mungu dada
MUNGU ndiye JIBU LETU 🙏
MUNGU Asimame nanyie
Mungu ni mwema kwako mtumishi wa Mungu. Aendelee kukufariji❤
Be blessed
God before your period for family's DORCAS
Huyu MUNGU mwache aitwe MUNGU tu.🙏
Mungu Ni Mwema 🙏
❤❤❤
Pole sana Mama Dorcas, Ubarikiwe sana🙏😥
Mungu amlinde Dorcas
❤❤❤❤ Mungu ni mwema
Mungu azidi kuwatunza vyema
Let God be God🙏🙏😭😭
Mungu awatanguliee sana watumishi wa MUNGU ❤❤
Ubarikiwe Sana mama dorcas