Wazazi wawili wakikubuliana na kushirikiana kulea mtoto mwenye CP (cerebral palsy) huku wakimuomba Mungu wanainuliwa Sana,yaan Mimi huyu mwanangu awali nilijua nalia tuu baada ya kufunguka mind kwamba Ni assignment kutoka kwa Mungu tulimpea mtoto kwa kumfurahia na kumpenda,Mungu akanipa mume tuliyeshirikiana kwa moyo mmoja na hili ndio lilinitia moyo zaid japo tulikuwa katika Hali duni ya kimaisha LAKINI GOD GOD GOD OOH Jesus😭😭 Mungu Ni mtoshelevu mno ametuinua kimaisha tunaishi maisha ambayo hatukuwah kuwaza tutaishi lakini Mungu wa huruma ametuhurumia.. nikajiuliza Ni zawadi gan nitatoa mbele za Mungu nikagundua hakuna Ila kuyatoa maisha yangu kumtumikia..nakushukuru Mungu NIMEOKOKA and I declare how powerful is his name (YESU)❤
Ni kweli kabisa octavian, mimi nina mtoto amezaliwa ana kichwa kikubwa ana miaka nane sasa hawezi chochote akai chini, aongedi waka atembei namlea mimi mwenyewe, namshukuru Mungu Baraka zimefunguka sana kupitia yeye Mungu ameniinuliwa watu wananisaidia na nimeokoka, hawa watoto bila ya kuwa na Mungu ni ngumu mno kuwalea
Dear Sis Rehema Your song carries power and annointing because you not sing from a place of inspiration but rather theu are your declarations too and you sing from the place of being pressed like oil...NIKO IMARA IS MY ALL TIME SONG OF VICTORY❤❤ MUNGU AMUINUE MUME WAKO FOR SERVING GOD WITH YOU ,FOR ALLOWING YOU TO PEACEFULLY SERVE GOD NYIE NI BARAKA
Mung alimpa ayubmtumish wake mwaminifu lakin haikumfanya ayub kukata tamaaa bado alimtukuza mungu katika maisha yake kwaiyo hyu dada ni mfano wa kuigwa she is strong woman sometimes mung anakupitisha sehem ili akupime iman yako je utamtumikia amalaah kwa hal ya kawaida angeacha huduma
Na sasa nina samwel japo nae nilipitia changamoto ngum wakat wa ujauzito wake mpaka ukuaj wake nilikimbizwa na ambulanc ad muhimbil kwa ajil ya mtoto samwel lakin mung alinitia nguv oooh groly to god my lord nandika hii mesej macho yananitoka mung hkupitish sehem ambayo
Nakumbuka ooh my god am feel pain in my heart nalia kwa uchungu ndan ya moyo wang kwa changamoto nimepitia lakin still mung ni mwaminifu katika maisha yang nakumbuka nilifanyiwa operation 2020 my first born mtoto alipata birth asphyxia ambay result yake ni CP lakin hakuish alifarik the next day baada yakujifungua nililia sana niliumia sana nilikataa kukubaliana na matokeo lakin daktar akaniambia mshukuru mung kwa kila jambo ana amkusud yake shida aliyopata mtoto ungepata tab kumlea mung atakupa mwengine
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Mungu anakusudi kwa kila jambo ila ni ombi langu kila mtu akamuelewa Mungu kile alichomfanyia kwamba si kibaya bali ni kwa utukufu badae.....Mungu alikawai kutokwenda kumuona lazaro mpaka akapata habari amekufa hivyo si kwamba Mungu hakua na uwezo wa moja kwa moja ila alikusudia ili watu wamwamini kua yy ndio huo ufufuo na uzima na hata leo bado tunaamini alivyofanya kwa lazaro Wimbo wa chanzo sikua naijua ila wakati nkiwa kwa ibada ya sara k aliimba nyimbo hii na ikanigusa sana nkatamani kuitafuta nani aliyeimba nkaona ni rehema simfukwe hivyo nlikimbilia youtube nkasubscribe,nkadownload naiskiza kila mara maana imebeba ujumbe mzito kwamba kuna wakati wakudhiliwa na kufanikiwa .. Nmebarikiwa sana kwa ushuhuda hapa kenya tunakukaribisha mara nyingine
Wazazi wawili wakikubuliana na kushirikiana kulea mtoto mwenye CP (cerebral palsy) huku wakimuomba Mungu wanainuliwa Sana,yaan Mimi huyu mwanangu awali nilijua nalia tuu baada ya kufunguka mind kwamba Ni assignment kutoka kwa Mungu tulimpea mtoto kwa kumfurahia na kumpenda,Mungu akanipa mume tuliyeshirikiana kwa moyo mmoja na hili ndio lilinitia moyo zaid japo tulikuwa katika Hali duni ya kimaisha LAKINI GOD GOD GOD OOH Jesus😭😭 Mungu Ni mtoshelevu mno ametuinua kimaisha tunaishi maisha ambayo hatukuwah kuwaza tutaishi lakini Mungu wa huruma ametuhurumia.. nikajiuliza Ni zawadi gan nitatoa mbele za Mungu nikagundua hakuna Ila kuyatoa maisha yangu kumtumikia..nakushukuru Mungu NIMEOKOKA and I declare how powerful is his name (YESU)❤
ubarikiwe sana kwa ushuhuda huu....nyie ni baraka sana kwaajili ya Utukufu wa jina MUNGU mwenye nguvu
Ulichokisema ni kweli
Hakika ni baraka hawa watoto ❤
Ni kweli kabisa octavian, mimi nina mtoto amezaliwa ana kichwa kikubwa ana miaka nane sasa hawezi chochote akai chini, aongedi waka atembei namlea mimi mwenyewe, namshukuru Mungu Baraka zimefunguka sana kupitia yeye Mungu ameniinuliwa watu wananisaidia na nimeokoka, hawa watoto bila ya kuwa na Mungu ni ngumu mno kuwalea
Amen 🙏
Munguawapebarakanamaishmarefu❤
Neema ya Mungu imfunike dorcas na unyenyekevu wakiungu ukukumbatie rehema huduma yako ni njema sana
Mungu azidi kukupa upeo ktk Hilo akuongezee maarifa zaid hongera sana mama
Mungu aendelee kuwatunza watumishi wa Mungu
Mmebarikiwa sana watumishi wa MUNGU🙌🙌🙌....nyie ni ushuhuda sana kwaajili ya Utukufu wa MUNGU mwenye nguvu🙏
Hakika Mungu alikupa mume kushinda hiyo changamoto, Mungu awazidishie baraka familia❤❤
Amina sana Mungu azidi kuwatia nguvu sana .hekima ya Kiungu izidi kuwafunika na kuenda pamoja nanyi kwa jina la Yesu.
Thats why every day Holly spirit directs me to listen to the spiritual song chanzo cha uhai wangu,thank you Jesus for the life or our babies
Pole sana My Sister 💕 kiukweli umepita pazito haikuwa rahisi ni neema ya Mungu
Ameeeen Ubarikiwe Sasa baba na mama
Yaani umenitia nguvu sana, Mungu awabariki
Good is Soo much good ...he always makes me think twice I don't get answers .......Guys Tumshike Yesu
Mungu ni Mungu tu!
Neema endelea kunyenyekea kwa Mungu na mumeo pia tunatamani huu upendo udum
I just cried before the video ended 😢😢
Hongereni sana kwa ushuhuda huu hakika Mungu ni mwema. Na kumtegemea Mungu kuna lipa❤
Inawezekana. Nawafurahia na nawaombea Mfaulu kwa kila mfanyalo kutimiza kusudi la Mungu
Very encouranging.
Mungu awatie nguvu watumishi, neema ya BWANA inatosha🙏
Dear Sis Rehema Your song carries power and annointing because you not sing from a place of inspiration but rather theu are your declarations too and you sing from the place of being pressed like oil...NIKO IMARA IS MY ALL TIME SONG OF VICTORY❤❤
MUNGU AMUINUE MUME WAKO FOR SERVING GOD WITH YOU ,FOR ALLOWING YOU TO PEACEFULLY SERVE GOD
NYIE NI BARAKA
Mungu akuinue zaidi nami ❤❤❤
Mung alimpa ayubmtumish wake mwaminifu lakin haikumfanya ayub kukata tamaaa bado alimtukuza mungu katika maisha yake kwaiyo hyu dada ni mfano wa kuigwa she is strong woman sometimes mung anakupitisha sehem ili akupime iman yako je utamtumikia amalaah kwa hal ya kawaida angeacha huduma
Aisee...MUNGU akawe kiongozi ktk hiyo taasisi
Na sasa nina samwel japo nae nilipitia changamoto ngum wakat wa ujauzito wake mpaka ukuaj wake nilikimbizwa na ambulanc ad muhimbil kwa ajil ya mtoto samwel lakin mung alinitia nguv oooh groly to god my lord nandika hii mesej macho yananitoka mung hkupitish sehem ambayo
Nakumbuka ooh my god am feel pain in my heart nalia kwa uchungu ndan ya moyo wang kwa changamoto nimepitia lakin still mung ni mwaminifu katika maisha yang nakumbuka nilifanyiwa operation 2020 my first born mtoto alipata birth asphyxia ambay result yake ni CP lakin hakuish alifarik the next day baada yakujifungua nililia sana niliumia sana nilikataa kukubaliana na matokeo lakin daktar akaniambia mshukuru mung kwa kila jambo ana amkusud yake shida aliyopata mtoto ungepata tab kumlea mung atakupa mwengine
Mungu amtunze Dorcas na familia yote akubariki saaana
Oooh God...Glory to God❤❤❤
Mungu ameniamini ❤😊
Mwanangu anaitwa DOR CAS amepitia changamoto ngumu sana wazazi wangu hawakuniacha
Namshukuru MUNGU leo yuppo formsix
Alikua ana shida gani? Pole sana na hongera
Awwwww Mimi pia. I have a Cp girl too. 7 years old now. God is faithful
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya
Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya
Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Mungu wa neema❤
Glory to Jehovah ❤
❤❤nyie ni zawadi kwa taifa🙌
This story shed my tears 😭I have my sis is the same as Dorcus Mungu ni mwema ktk yote🙏
Sifa,utukufu n'a heshima vimirudiliye MUNGU WA BINGUNI
Nimetiwa Nguvu sanasitanung'unika tena
Nimepitia hiyo changamoto, ninamkunbuka mtoto wangu Blessing,tulipitia but still tulimshukuru Mungu hata Kwa hilo. Mungu siku zote huwa ni mwema
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kweli amepata na mume big time
Hakika nimepata ujasiri mkubwa kupitia hii familiya
3:46
Sisi ni special Moms
Kuna platform ipo kila sku jmatatu hadi jmapili asubuhi saa 3 asubuhi ingia youtube channel ya pastor Jerry eze kwa iman muombee Mungu Atamponya
Unaweza pia angalia testimony za cerebral palsy na amini ukipokea kwa ajili ya mwanao
Yes
Sikujua kuna watu wameokoka na bado wanabatiza watoto wadogo. Ama mimj ndio sielewi hapo.
Huyu ni mlutheri cyo Tag so wanabatiza watt wakiwa wadogo
Mmenitia nguvu mnooo
Mungu anakusudi kwa kila jambo ila ni ombi langu kila mtu akamuelewa Mungu kile alichomfanyia kwamba si kibaya bali ni kwa utukufu badae.....Mungu alikawai kutokwenda kumuona lazaro mpaka akapata habari amekufa hivyo si kwamba Mungu hakua na uwezo wa moja kwa moja ila alikusudia ili watu wamwamini kua yy ndio huo ufufuo na uzima na hata leo bado tunaamini alivyofanya kwa lazaro
Wimbo wa chanzo sikua naijua ila wakati nkiwa kwa ibada ya sara k aliimba nyimbo hii na ikanigusa sana nkatamani kuitafuta nani aliyeimba nkaona ni rehema simfukwe hivyo nlikimbilia youtube nkasubscribe,nkadownload naiskiza kila mara maana imebeba ujumbe mzito kwamba kuna wakati wakudhiliwa na kufanikiwa ..
Nmebarikiwa sana kwa ushuhuda hapa kenya tunakukaribisha mara nyingine