NIMESOMEA AFYA YA MENO HAPA UJERUMANI | TULIKUTANA ZANZIBAR | UKIFIKA ULAYA KIMBILIA KUSOMA
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Maggeh ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Zanzibar mpaka kufika Ujerumani
Ambapo alikua akifanya kazi ya hotel lakini kwa sasa yeye ni daktari msaidizi wa meno.
Ambapo aliona fursa na akaamua kuitumia.
Amesisitiza kukimbilia kusoma unapofika Ughaibuni na kua ukikimbilia kutafuta pesa, pesa pesa huwa haitoshi.
Amewaasa vijana kuangalia aina ya mwenza ambae mtafanana ndoto na malengo ili maisha yaweze kua mazuri.
Thank you Maggeh for allowing this to be online
www.oda.international
Interview ya kisomi, inanukia shule, comment chache 😂😂 Hongera sana Maggy, Mungu azidi kukuinua.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Shena
Mwenyezi Mungu akujaalie tunajifunza mengi sanaaa.
My friend Maggeh new
Hongera Magdalene
Maggheh New jamani my friend from Germany woow
Mwenyezi mungu akutangulie katika family yako
Nice interview da shena na da maggy 🥰🥰
Hongera Magdalena kwa jitiada zako.
Hackiki dada sheana
UA-cam yake ni: Maggeh New
Kastaki da shena
Mbona hatuwasikii
Dental Nurse waingereza wanawaita.
Maggie
Hivi da shena kipindi hiki huwa kinakuwa lini na lini na huku Tanzania inakuwa muda gani
Dawa ya meno zinaleta ushoga
😳😳😳😳
Aliyekoroga kafa. Pole
Yaani wabongo bhana🙌 Hata pampers wanakwambia ety zinaleta ushoga
Nlipojifungua nkaambiwa nsitumie Ety jaman😂