Aziza Mbonde Amina atapona kwa Jina la lipitalo majina yote ambalo ni jina la YESU na kila Silaha itakayo tumwa kweke kwa njia moja au nyingine ambayo Ni kinyume Chache haita faulu itagawanyika kwa njia 7 Amen
ahsante ndugu kwa wimbo mzuri, kila kilicho na mwanzo hakika kina mwisho wake nichukue fursa hii kukutakia afueni ya haraka ndugu, jipe moyo na usikate tamaa maana Mungu aliyeanzisha kazi ndani yako, ni lazima aitimize jaribu ulilo nalo kwa sasa lisikufanya ukose imani kwa Mungu. Kuna kitu kizuri Mungu anakuandalia mpendwa.
This what I went through 2012, lakini mungu ni nani🙏 mungu wa wajane nani baba wa yatima.... I glorified you God.. Yenye walinifanyia uliwageuzia wao wenyewe,usicheze na machozi ya mjane na yatima..... Thank you lord.
just try when I make classification is just my sister bahat bukuku from Tanzania, good song b'se people don't want to tolerant when they faced with the problem
kama uko pmj na mimi kumuombea apone haraka ganga like
Michael tungi...Atapona araka mtumishi wa Mungu ,mwenyezi Mungu ampunguzie maumivu na apone araka aendeleze kusambaza injiri kwa njia ya nyimbo.Amina
Aziza Mbonde et anaumwa
Mungu akubariki kweli una tugusa mala ona wanavyo mwabudu
Aziza Mbonde Amina atapona kwa Jina la lipitalo majina yote ambalo ni jina la YESU na kila Silaha itakayo tumwa kweke kwa njia moja au nyingine ambayo Ni kinyume Chache haita faulu itagawanyika kwa njia 7 Amen
@@sophialazaro3632 Alipatanga accident
Watu wa Mungu km kuna mtu anahisi anapata faraja kubwa ndani ya moyo wake anaposikiliza wimbo huu mzuri mnoo ungana nami....
safi sn
Safi sana sana
Ni kweli kabisa,kilicho na mwanzo mpaka kiwe na mwisho,wimbo nzuri sana yakutia moyo
Marcos Silva
Mateso ni ya mda mfupi tu - yanamwisho na yatapita . Tumaini ni kwa MUNGU !
Any team strong who listen 🎶 👀 tufumilie madada zangu hii mateso ni ya mda,,,tusikate tamaa 😢😢😢😢😢
ahsante ndugu kwa wimbo mzuri, kila kilicho na mwanzo hakika kina mwisho wake
nichukue fursa hii kukutakia afueni ya haraka ndugu, jipe moyo na usikate tamaa maana Mungu aliyeanzisha kazi ndani yako, ni lazima aitimize
jaribu ulilo nalo kwa sasa lisikufanya ukose imani kwa Mungu. Kuna kitu kizuri Mungu anakuandalia mpendwa.
Amen My lovely brother.... Mungu atanyosha mkono wake wauponyaji utapona kaka
This what I went through 2012, lakini mungu ni nani🙏 mungu wa wajane nani baba wa yatima.... I glorified you God.. Yenye walinifanyia uliwageuzia wao wenyewe,usicheze na machozi ya mjane na yatima..... Thank you lord.
Amen yupo mungu ndugu ata kusaidia na akuponye kwa Jina La yesu maana anawesa
Nampnda huyo jamaa mpka cjielew aiseee,,,,,mwenyez mung nakuachia ww utakalo lifanyike kwa paschal cassian
Ni kweli mtupu!
Yatapita. Ninakukubali sana Cassian.
Nabarikuwa sana ndugu.naomba mungu wambinguni akuponye in Jesus name.
kwa kweli yanamwisho kwa maana nikilingalisha huu wimbo na nilikotoka kweli yanapita tuu
Alphonce .R S.Sangisangi kweli kabisa hata mim nimeguswa sana asante mungu
Hakika Mateso yana mwisho wake....tumtangulize Mungu kila mahali....
Mwenyez mungu akuponye upone haraka maana hamna kinachoshindikana kwake,amen
Amina Amina 🙏🙏yana mwisho
Amen mtumishi wa Mungu,, kweli kila aina ya mateso ni jarinu na pia inamwisho wake,,Mungu ni mwaminifu hatatuacha tuteseke
Mimi nakuombea sana kazi njema na jina la yesu liiinuliwe
huu wimbo unanibariki sana na kunitoa machoz kweli mungu yupo asante pascal cassian mungu azidi kukutumia
Wakati ukifika hata mateso yawe marefu kupita mlimaa Kilimanjaro yanaisha kwa sku moja Amina🙏🙏🙏🙏
Kweli kabisa mateso na mwisho na yanapita ukimwamini Mungu
Hakika usikate tamaa kwa mateso unayopitia yape muda yapita kupitia kwa maombi na imani yana mwisho
kwa kweli mungu yupo wakati nlipoteza wazazi wangu tuliona mengi lkn mungu anaweza yote ya na mwisho 😭😭🙏🙏
Amen barikiwa Sana ndugu mungu akufanyie wepesi kweli
Hakika yatapita mungu akutie nguvu mtumishi napenda sana nyimbo zako zina ujumbe wakubariki
mungu alijiijua imani yako ndo sababu akailuhusu ajali ikupate mungu naazidi kukupigania
Amen. Ndiyo ya na mwinsho wake🙏❤️
kaka nyimbo zako nzuri sana zinabariki
Hakika yana mwisho mungu akubariki mtumishi
Mungu wa mbinguni akubariki
Hakika mateso Yana mwisho ju mungu yu nasi
mwenyezi mungu akufanyie wepesi kaka upone. yatapita tu kwauwezo wamungu
Ninabarikiwa sana na wimbo huu, ubarikiwe
Exactly, it has the end ❤ i like your songs Amen AMEN
hakika yana mwisho wake yatapita kwa jina LA Yesu ubarikiwe mtumishi
Ayaninayopitia yanapita Mungu yupo mtetezi wawanyonge atanipigania
Came here after listening to this song in a vehicle...feeling so blessed
Amen nabarikiwa kutoka kenya kweli mateso Yana mwisho wake Amen asaaante jehova
Kiukweli nimeupenda mzuri
Huyu Jamaa namkubali sana Pascal Cassian
My brethren the suffering and hardship u are going through one day will Come to an end. Good song
Kweli kabisa hakuna kitu kisicho kuwa na mwisho.mungu ni mwaminifu kila kitu kitapita bali neno la mungu itabaki milele na milele Ameen
ni kweli yanamwisho wake, mateso ya mwenye haki ni mengi lakn Mungu humponya nayo yote, barikiwa mtumishi
Solile Kanyelele kweli kabisa yanapita maskini mungu tupe uvumilifu faith
Mungu akuondolee yakupatayo mizigo naakutue
Hata haya unayopitia kwa sasa Vumilia yatakwisha endelea kumtumainia Yesu Kristo Usikate Tamaa!!
Wimbo wa wamaidha asante bro wapi likes za 2020
Mungu akubaliki ujumbe mzuri sana umenibaliki
Kila gumu linamwisho wake na kila jaribu litapita
Mungu akuaguzie uponyaji
Pokea uponyaji kwa JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI
hakika yanapita kaka yangu utapona urudi tena kwenye karama yako kwani tunabarikiwa na nymbo kama hizi za faraja
Pascal kassian allways i appriciate you servant of God.
Ubarikwe sana m2mish wa mungu🙏🏻🙏🏻🙏🙏❤️❤️
a song of encouragement. barikiwa man of God i love the song
Mungu akubariki mtumishi zaid sana akupe kusonga mbele kazi yako si ndogo asante kwa wimbo mzuri exactly ever problem had an expired date.
balikiwa
Mungu akuponye, hakuna linaloshindikana mbele za mungu, usichoke kupga goti kuomba uponyaji
amina barikiwa mpendwa kweli yana mwisho wake.
Kweli. Mateso yanamwisho wake, jambo kubwa ni kusima imara ktk Bwana
mwenyenzi Mungu akurudishie afya yako kwa utukufu wake. jina LA Yesu lihimidiwe Haleluya
Sito kata Tamaa Yupo Mungu
Kweli haya mateso ya mwisho wake barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Vumilia Pascal ushauri wangu nenda kwa kwa Prof. Tb Joshua amini itabaki kuwa story
Mungu akufanyie wepesi upone kaka nyimbo zako zinanibariki mno ameen
Ee Roho mtakatifu nitangulie nimalise mwendo salama
Mungu hakuponye mtumish
Nyimbo zako mtumishi huwa zanibariki sana baba wa mbinguni mkumbuke mtumishi wako arudi kukufanyia kazi yako
Asante kaka yatapita yana mwisho
Sura na muonekano vinaonesha kua u mtumishi vema sana Mungu wetu akuzidishie baraka ameni
Amen mteso yanamwisho wake,barikw mtumish
Amen yatapita tu
Amen
ni baba ya watima kweli, ubarikiwe sana kwa ujumbe
wimbo mzuri sana, ahsante sana kwa ujumbe mzuri
Kweli yana mwisho
Kabisa yana mwisho....Amina
Hakika yana mwisho wake mtumainie bwana
Ngoja nivumilie yatapita nitakuja kupata haja ya moyo wang. Pona halaka baba mungu ata kusaidia
Huu wimbo unagusa hali uliyo nayo kwani baadhi ya maneno unakugusa kabisa kaka ucjali watanzania tunakuombea upone uje usimlie ukuu wake
Ee Mungu fanya uponyaji kwa pascal
Kazi nzur kaka yata pita
😢😢😢😢😢kweli MUNGU ako
Honger kijana
Kaka hakika unajua kuimba kwani naona ukweli na hali alisi.
Yote ni mimapito tuu mtumishii mungu you pamoja nawe
man yet s time has com for this
Mungu akupe wepesi katika magumu unayopitia
🙏🙏🙏
napenda sana uimbaji wako kasian
Nyakati za mwisho
umenbarik san uu wimbo n.kunitia moyo ubarikiwe san
kweli kabisa yanamwisho wake haya mateso
Balikiwa sana
Brown Mhadisa yanamwisho kwani. ubarikiwe
Nice song bro.
Wimbo umenibariki keep up brother
dah kweli ni mapito
Aise kijana moto fire
ubarikiwe
just try when I make classification is just my sister bahat bukuku from Tanzania, good song b'se people don't want to tolerant when they faced with the problem
Haya mateso yataishaa2
Mungu akuponye haraka kk,we like you song
Mtumishi Mungu akupe afya tunakupenda sana
hajanifumilie yana mwisho wake
Good job
Wimbo mzurisana, Hongera mtumishi wa Mungu lakini nimetafuta sana albam yako hii haipo madukani Kwa nini?
Jehova akubariki mtumishi
yana mwisho
Cassian my name is cassian
much blessed
kweli yana mwisho ,nyimbo nzuri sana
nice song very encouraging .keep the fire burning.
kwel ni baba wayatim ubarikiw