Ubarikiwe mtumishi ndio maana tunawaambia wale wasio okoka na wasio Amini Yesu Kristo yupo na anatenda kazi wakati wote.Sema wanamchukulia kama mtu tu na wanasoma biblia kama gazeti na kushindwa kuamini.
Wokovu ni kitu endelevu sio swala la mara moja: Atakayevumilia MPAKA MWISHO ndiye ATAKAYEOKOKA. Dumisha wokovu kwa matendo ya Upendo kwa Mungu na Jirani.
Povu linakutoka kwasababu tu huyu bwana ameritadi. Muda wako ukifika na ukapata hiyo neema ya kuokolewa alafu ukaiacha utajutia hilo kosa. Ujanja ni kumtumainia Yesu kwani huyo ndio ataokoa dunia na kusamehe dhambi kama hutaki imekula kwako.
Usimfananishe Yesu na utume muulize Muhammad ndio atakwambia Yesu ni nani. Kama hujui maandiko au uelewi basi Acha mihemko. Issa bin Mariam ndio mtume wa Allah lakini Yesu kama Yesu hamjui huyo Allah wa waarabu au waislam.
Sema ndg msimuliaji yuko smart sana story haichoshiii
❤Bwana Yesu asifiwe !...Stay blessed bro Davista...
Shukran mtumish kwa kuendelea kutufungua
Ubarikiwe mtumishi ndio maana tunawaambia wale wasio okoka na wasio Amini Yesu Kristo yupo na anatenda kazi wakati wote.Sema wanamchukulia kama mtu tu na wanasoma biblia kama gazeti na kushindwa kuamini.
Ubarikiwe
Kuokoka ni kukutana na yesu kristo kibinafsi na kuishi maisha yanayo ambatana na neno lake, ambayo ni bibilia.
Shetani hana chochote kizuri. Bora tu nipambane na hali yangu 😂😂😂
Yes sure
Amen
Mungu ni mkubwa, Yesu anatoa watu mbali, mtumikie Mungu ndugu maisha yako yaliyo baki.
Jesus is the way the truth and the life ❤
Mr dm 🎉
Hii ni story ya ukweli kabisa.
Mie nataka namba ya mzee wako 😂😂😂
Namuelewa sanaa anaposema Chuma ulete kwa Wakristo peke yao nilishaexperience hilo jamboo
❤❤
Yesu atukuzwe
Bapa tu bapa tusipoe davistar
Twende nalo braza✌
Amen mtumishi!
Yesu ni mwana wa Mungu sio Mungu mwana
Wokovu ni kitu endelevu sio swala la mara moja: Atakayevumilia MPAKA MWISHO ndiye ATAKAYEOKOKA. Dumisha wokovu kwa matendo ya Upendo kwa Mungu na Jirani.
Omba kibali cha kuonana na waziri mkuu umpe ushuhuda huo, pengine naye ataokoka nakuwa mkristo kwasababu mkewake ni mkristo
Achana nao wanaishi vema TU hawaitaji msaada wako
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimefikamo vipi wamayo😂
tuliamo usikizemo kipindi, nipo 254 pia😂😂
Hahaha wamayo sijui anaendeleaje?😂
People take it personal,Yesu Kristo niwa watu wote namaanisha WOTE..Yesu sio wa dini ya kikristo Yesu Ni KRISTO..wadini zote ata ya wasio Na dini.
uyu mzee muongo sana na ni laghai. sasa anawaibia wakristo kwa kujiaminisha kaokoka... dunia imeisha😂😂😂
Kwani kuna ubaya ya kuwa mkiristo kama ulikuwa muisilamu....hata wakristo wengine huslim na kuwa waisilamu
Povu linakutoka kwasababu tu huyu bwana ameritadi. Muda wako ukifika na ukapata hiyo neema ya kuokolewa alafu ukaiacha utajutia hilo kosa. Ujanja ni kumtumainia Yesu kwani huyo ndio ataokoa dunia na kusamehe dhambi kama hutaki imekula kwako.
J.B.B.1999
MUNGU Naomba unionyeshe Uyu MTU ni Wa aina Gani asije tupoteza Davista Matar Wetu Mazingira yasiyo julikana🙏
Kira ck m nasemaga stori zako ww za udini t kusifia
Zinakukera?
Acha kufatilia ukiona hivyo jua haikuhusu, wengine hatuwezi kusali na Majini nyie mnaweza sikilizeni story za waganga endelevu ndio zitawafaa
Huyu mama niwale wanao ona ndotoni kwa hivyo usiku aliona kila kitu
Wewe umepotea.
😂
Hakuna kuokoka hapa duniani, yesu ni mtume tu hana uwezo wowote .wala sio mtoto wa mungu.
Usimfananishe Yesu na utume muulize Muhammad ndio atakwambia Yesu ni nani. Kama hujui maandiko au uelewi basi Acha mihemko. Issa bin Mariam ndio mtume wa Allah lakini Yesu kama Yesu hamjui huyo Allah wa waarabu au waislam.
👂👁🗨