@@tvstation6472 inaonyesha wewe ni muislam ila bado hujaamini kisawasawa. Sisi tunaekwambia haya yametukuta tukafanya wingi wa kuleta adhkaar na ibada na Allah akatuponyesha kwa njia hii
Umezungumza ukweli , n'asie tunasumbuliwa pia kiasi kwamba yanatoka Sasa kwa mama yanaingia kwa watoto pindi wewe umefocus kwenye izo ibadat , bado tiba nimhim kwa saabu nimtihani endelevu unakuja unawaathir nawatoto pia. Usikimbilie kudhania sijaamini Bali yapo maradhi madogo nayapo maradhi tayari yashakua. Allah aturidhie sote
Mimi shida yangu mikono hufa ganzi haswa nnapo leta tasbihi kwa mkono wa kulia na siwezi kuleta tasbihi kwa mkono wa shoto nini tatizo na ntasaidikaje in shaa Allah
A.a..ww...MahaaAlaah.sijui ni wewe...kuna wakti ulipouwa clazs eght uliongoza ukatiwa magazetii...i can recall da name many yrs bac hukkoooo...MashaaAllaah..saa hizi umekuwa na family MashaaAllaah..ndie...au....mote mohammad mote
Waowenyewe ni mashetani viyumbe yaani mambo yao niyaki shetani na shetani hana haja nae maana kishaingia mwenyewe shetani ataka watu waloshika dini yaani ibada ya mungu na kamahidi mungu kuwa atatupoteza.
@@myunaniniahmad6463 Wala usinipe pole.wewe ni mangapi hujui hapo ulipo?Twajifunza mambo kila kukicha. Naona ustadh wangu ana shida labda maanake kaishikilia mpaka yamtatiza kufungua kurasa.. Kama hajambo alhamdulillah.
Wee ni mjinga, kiislamu hairuusiwi kusema mtu nafsi, yaani kuthania mtu kitu kibaya wakati huna uwakika, uslamu kuna kila mafundisho, toka apa uwende kanisani
Subhana Allah ila majini yanatesa sana watu poleni dada zangu
Asalamualaykum warahmatullah wabarakatuh mimi naomba kisomo kwenye sim sababu niko Oman, shkh inawezekana ???
Poleni wenzangu lakini utakapofuata dini kikamilifu na kufanya ibada pamoja na kuleta wingi wa dhikri shetani hakuchezei ila waislam leo tumejisahau
Unaongea ndugu, yasikukute. Km unayo hata ufanye adhkr asbui najioni jua tuu hujafanya tiba , Ivo utasumbuka tuu. Haya kua nayo nifedheha tuu.
@@tvstation6472 inaonyesha wewe ni muislam ila bado hujaamini kisawasawa. Sisi tunaekwambia haya yametukuta tukafanya wingi wa kuleta adhkaar na ibada na Allah akatuponyesha kwa njia hii
@@tvstation6472 fanya na wewe mola atakuvusha na mitihani hii kwa siku nilikua naleta istigfaar mara 30 elfu mola akanivua na mitihani hii
Umezungumza ukweli , n'asie tunasumbuliwa pia kiasi kwamba yanatoka Sasa kwa mama yanaingia kwa watoto pindi wewe umefocus kwenye izo ibadat , bado tiba nimhim kwa saabu nimtihani endelevu unakuja unawaathir nawatoto pia. Usikimbilie kudhania sijaamini Bali yapo maradhi madogo nayapo maradhi tayari yashakua. Allah aturidhie sote
@@maryamalli9090 inshAllah nitazidisha maana .....
In Sha Allah Mola ajalie kher karibu tena na tena nyumbani Kenya 🇰🇪.
Mimi shida yangu mikono hufa ganzi haswa nnapo leta tasbihi kwa mkono wa kulia na siwezi kuleta tasbihi kwa mkono wa shoto nini tatizo na ntasaidikaje in shaa Allah
Ma~Sheikh tumcheni Allah njaa itatupeleka pabaja ndugi zangu waislamu
una maana gani kusema hivi
A.a..ww...MahaaAlaah.sijui ni wewe...kuna wakti ulipouwa clazs eght uliongoza ukatiwa magazetii...i can recall da name many yrs bac hukkoooo...MashaaAllaah..saa hizi umekuwa na family MashaaAllaah..ndie...au....mote mohammad mote
@@fatmaali4390waaleikum musalam shukran Alhamdulillah
شكرا ياشيخ عثمان بارك الله فيك وزادك الله
Amiiin 🤲🤲🤲
Allah akbar, sheikh naweza tanzania kimatibabu natokea kenya
Na mbona hawa wazungu awasumbuliwe na hayo majine?na mbona sana huwa ni wanawake sana ama wakinamama.? Huwa kunanini?
Husumbuliwa sana ila hawajijui... Hlfu Allah subhanahuwataala huwalinda kupitia wanaoitakidi lkn kinga yao sio kubwa kama kinga ya muislamu
Waowenyewe ni mashetani viyumbe yaani mambo yao niyaki shetani na shetani hana haja nae maana kishaingia mwenyewe shetani ataka watu waloshika dini yaani ibada ya mungu na kamahidi mungu kuwa atatupoteza.
Mashaallaah Mungu atunusuru in shaallaah
sheikh asalaam ghalyk warhamatullah wabarakat mungu akupe afya njema nasi sote kwan uko sehemu gani sheikh kuna dungu yang anamatatizo
Asalam Aleikum warahmatuLLAH.. Sheikh Othman Michael karibuni Uganda pia
Inshaallah tutafika
Aslam Alaikum ww sheikh Karibuni Rwanda
Tunaomba hukija kenya hupitie njia yanamanga nipo namanga ninamtoto mgonjwa
Suratul baqara ndiyo kiboko ya majini
Utakuwa Burundi wakati gani?
Sheikh, assalaam aleikum hio fimbo ni ya nini kijana mdogo? Kuuliza tu.
😃😂😂😂😂
Kubeba bakora ni sunna kwa wanaume. Na kwa waarabu ni kituchakawaida. Pole yako kama hukupata kujua.
@@myunaniniahmad6463 Wala usinipe pole.wewe ni mangapi hujui hapo ulipo?Twajifunza mambo kila kukicha. Naona ustadh wangu ana shida labda maanake kaishikilia mpaka yamtatiza kufungua kurasa.. Kama hajambo alhamdulillah.
@@nduxmaryam nawe utanipa pole kwanisilo lijua , kawaida 2 dear. Nimengi 2 nisiyi yajua mungu ndo ajuae yote.
shekh vipi ikiwa jinni ameacha sihri huenda hakuondoka nao ingekua vizur ungehakikisha kua wameondok pamoja na sihri yake
Shekh Mimi usoma Qur'an usingizini linanopokuja jinamizi
Asalam.alaikum.shehe.karibu.piyakwetu.burundi
S.a njo na kwetu
🇴🇲🇴🇲🇴🇲
wallah nimelia cjui hata sababu n nn
Mimi mwili umenisisimka 😭
Subhanallah
Taqbir
Assalamu alagkum 🤲🤲🤲🤲
kutoka shehe mpaka hawo wanawake wote washirikina .shehe mwenyewe afaa kusomewa ruqya
Wee ni mjinga, kiislamu hairuusiwi kusema mtu nafsi, yaani kuthania mtu kitu kibaya wakati huna uwakika, uslamu kuna kila mafundisho, toka apa uwende kanisani
Sheikh nataka niongee na ww ila number yako haingii...ntakupataje.
Niko Mombasa kenya
Assalam alaykum.Shekh na huku pemba tunaomb ufanunuzi kwa haya mambo
Pemba tena! Yaani waje Pemba khaswaa!khaswaa!? Mmmmh...haya.
sheikh tunaomba utuekee kituo cha afya zanzibar
Assalamualleykum warahmatullah wabarakatuh shekhe mimi nimezaa watoto wawili wanakufa tuu tenaa naota ndoto nzeni mtoto anakufaa kwasasa nipo Oman naomba wasiliano yako plz maana nimepitiyaa mengi sanaaa
Pole sana dada ila wahitaj kbadli mfumo wako wa maisha na upate kisomo
Inna lillah wainna iilaihi rejion audhu billahi minthalik
Hiyo ni sleeping paralysis sio jina mizi
Mimi naitwa Rahma naombamunisaidie nnamatatizo naomba munisaidie
Mtihani
Asalam Aleikum mimi ninayo shida zote hizo naomba nakupata vipi
Aslm Alkm shesk mm nilirudi Kenya sipati mtu wakuongea nae nitumaniwe dawa
angalia sms sangu mm Ali kutoka kenya
Tusidanganyane shetan hatoki kW kisomo ht sku moja lbda atake tu kuslimu lkn si kW kunfosi atakaa pemben hlf anarudi mm hzo fani za majini nd zng nawaamrisha ninavotk mm lkn si kW hvo shekh hebu niite tuungane uone ninavowasarif majini
nilikwa nahimani nitakupata lakini shikujaliwa ukuona
Shekhe fanya na ziara ya kwenda zanzibar pia tunataka ziara hio
Ivi ukiota unasoma maana yk nn? Naitwa rahma asalaam aleiku
Mashaalh
Twaomba utujulishe utakuja lini kenya sehemu ipi tusaidike shekh
Kabla uchaguzi inshallah
Shekh mm mume wangu hataki kuniletea sijui kwann nateseka
Subhanallah Astaghfiru llah 🙏
Jamani nakwetu uganda in kasese district 🇺🇬🙏🙏
Tunakuja inshallah
Bwera
@@ShaffikAbdul ndio kabisa hapo mpondwe
@@othmanmichaelonline2866 insha Allah
@@othmanmichaelonline2866 Assalamu Alykum warahmatullah Afwan sheikh Kenya Mombasa utakuwa mtaa gani?
Mbona wame jifunika
Ulitaka wakuje nusu uchi kama mnavyo enda kanisani? Yaani mmezoea zinaa mpaka mnalazimisha waislamu wawe wazinifu