Hatimaye Rais Magufuli Afuta Machozi ya Wastara
Вставка
- Опубліковано 25 січ 2018
- Hatimaye Rais Magufuli Afuta Machozi ya Wastara
Rais John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wamechangia Sh. milioni 15 kwa ajili ya matibabu ya msanii Wastara Juma ambazo ziliwazilishwa na Katibu wa Rais, Ngusa Samike nyumbani kwa msanii huyo.
Pia aliwasilisha mchango wa Sh. milioni moja na laki tisa kutoka kwa wasaidizi wa Rais.
Subscribe muda huu / uwazi1
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Hakika tunaye Rais wa nchi Mungu akubariki
Nimelia wastara rais wenu ni mtu wa ajabu I cant believe this his realy a good president may Allah keep him for u all tanzania people
Mary Akinyi ameen my dear stay blessed with your entire family
I love my president
Big up Mr president I salute you for your good job. ..God be with you
pongezi sana kwako Mheshimiwa Mungu akubariki sana
pole sana kiukweli unateseka kama alivyoteseka marehemu mume wako
Sasa mmemuwekea na ulinzi jamani maanake siku hizi wenye bunduki wengi TZ.. kuonyesha michuzi namna hii on TV ni hatari..
mweshimiwa rais mungu akulinde
MashaAllah nice, Nimefurahi sana kwa kusaidiwa kwako, Allah Kareem, umeniliza dadaangu WASTARA, pole sana mpenzi inauma sana
Rais makufuli mungu akubariki sana kwa kujalisana raiya wako mungu akuzidishie maisha marefu
Mashaallah. Mungu anatupenda kutupa rais kama huyu. Alhamdulillah. Wastara mungu akupe khatua wende matibabu upone urudi salama.
Nimeria saana love you Tanzania
yaani ashukuriwe mungu kwa kweli kupata rais anayeguswa na Shida zetu watanzania mungu akubariki Sana baba Pole da wastara mungu yu pamoja nawe anasikia kilio chako
AMEN AMEN. God good. Finally Dada Wastara umepata hela za matibabu. MUNGU ambariki Sana Rais Magufuli na wadogo zake. BWANA YESU akuponye na urudie Hali Yako ya kawaida.
Mubarikiwe watanzania mnaupendo sana kuliko wakenya .pongeza sana
mungu awabariki Sana na azidi kuwaweka na awazudishie xaidi kwa maana mumetii agizo lamungu
Mungu nisamehe nilikuwa simpendi magufuli kumbe nilikosea leo amenikosha 😢😢😢 mpaka natowa machozi
Allah akusimamie Wastara upone, Mungu utulindie Rais wetu na azid kuwa na Moyo huohuo
Ubarikiwe sana mheshimiwa
haya ninavyokuwa nasema kuwa rais magu ni mtanzania namba moja mweny huruma na watu wake na nchi yake weng mnaniona kichaa mbowe lema nyarandu zito msigwa halima mnyika au nyie sio viongoz pole sana wastara mm ni masikin ila nakuombea sana upone mm kwako spajuh ila nko Dar nielekeze nitaleta elf kumi
dah,, hongereni sana kwa kuguswa ,pole sana dada mungu ni mwema utapona
gd
Inshallah mungu Awasaidie wanao kusaidia daaa
Najiuliza sana!!!!!
Wasanii hawapendani!!??????
Mbona sijaona mchango wao wa kwanza kwa mwenzao? Huyu?
Kama nilivyoona wakitoa kwenye harusi ya Shilole??? Au kuna nini??????
safi sana mr. maguri
Km binaadam kimekua kwa kweli pole wast ar mshukuru mungu , nampongeza sana muheshimiwa rais kwa nia yake na dhamira iko wazi shana mungu azidi kukutia ngumu JPM wetu kwa kazi zilikuwa nzuri zisizo kifani tuna rais wakijivunia
asante Rais wetu,umetimiza maandiko " Nilikuwa Mgonjwa ukaja kunitazama"
Hogera rais I salute ea frm kenya.gd hearted prezo.big up
MashaAllah mungu akuzidishie imani nyingi sana raisi wa Tanzania
mungu mbariki raisi wetu inshaallah JPM
😰😰😰😰Wastara najua unapita tu..... imeniuma ila Mungu anakuona ,anasikia na lzm ajibu tu
Asante rais wetu john pombe magufuli Mungu akuzidishie kwa pale ulipopunguza kwa ajiri ya mtanzania mwenzetu wastara.
hakika mungu nimwema hongera rais wetu pole Dada wastara usilie mungu atakusaidia kila hatua unayopiga usikate tamaa utapona kuumwa nimoja wapo yaibada
Ubarikiwe mheshimiwa. Asante
Good presdent,,Good bless you
Asante mungu asante saaaaaaaaaaaaaaaaanaaa mungu awabariki saaaaaaaana.
Mungu ni mkuu siku zote, binadam maisha yetu yako mikononi mwa Mungu Baba, tupatapo nafasi ya kutenda Mema Mungu atusaidie kutenda mema kama vile hatutapata nafasi tena. Mungu akubariki sana mheshimiwa Rais na wasaidizi wengine mlio guswa na swala la dada yetu na kumsaidia.!!!!
pole sana dada mungu takusimamia katika matibabu yako
Maashallah
Asante sana Rais wetu una huruma sana
Asante rais wangu rais bora rais rais wa watu zawadi toka kwa mungu ubarikiwe na familia yako Yote JPM,pole dada angu utapona
ubarikiwe Sana mweshimiwa rais mungu akuzidishie mara dufu, wastara milango inafungwa ,mungu hupanga mbinu zake za kufungua kama alivyomtuma magufuri kufungua, kila lakheri mungu akusaidie ktk matibabu yako amen
Allah kareem wastara MUNGU anakupenda Rudi kwa MUNGU na ufanye kazi ya MUNGU
stay blessed our president
Pole sana dada endelea kumtegemea mungu kwa kila jambo kwa uwezo wa mwenyezi mungu ipo siku ya takwisha, anyway kwa mapishi na mambo mengi njooni kwa channel yangu
Dah mpk nimelia mungu akusaidie wastara
Mungu ambariki Rais wetu na mke wake
Mashallaha mungu abariki raisi watazania
Magu baba mungu akuzidishie mema wastara dada ang usjal utapona mungu yu pamoja nawe
Magufuli kafanya jambo zuri! Pole wastara
ongera raisi wetu hakika mungu akulipe wastara mungu hamtupi mja wake Pole Sana naomba uwe na moyo wakusamehe
mungu hamtupi mja wake mungu akuwek miak 10000000 rais wetu
Ubarikiwe sana mheshimiwa Rais
Asante baba
Thx on this? But wasanii wako wapi, wanaonekana kumwaga fedha kwenye sherehe tu! OK fine bt UA next
Shukran ya Allah wacha mungu aitwe mungu Alihamdhulih hatimae mafanikio ya kujitibu mungu ana yaleta....dada wastara mungu akufanyie wepesi upone inshaallah.....mungu akubarik Sana raisi wa tz from +254
Mungu Ni mwema 🤗
Nimeshindwa kujizuia jamani machozi yanadondoka kwenye kioo cha simu yangu! pole wastara na hongera kwa mh rais kweli hujafa hujaumbika mungu atakupa ahueni dada yangu yote ni mapito tu😭😭😭
Kweli mficha Uch* hazai. Wastara MMungu amekutangulia sababu hukujikatia tamaa. MMungu awazidishie wote waliotoa. MMungu amzidishie Mhs Raisi na mkewe Mama wa Taifa.
Kwakweli Mungu amzidishie huyu baba na wote waliotoa lakini pia kwa sisi ambao tumeguswa ila kwa uwezo wetu kuwa mdogo Mungu aweze kutusaidia tuweze kukumbuka wengine asante bwana hushindwi na umuongoze pia dada yetu wastara aweze kuzitumia vizuri maana nikiongozi mbaya sana pesa. Mungu bariki Tanzania wabariki pia viongozi wote kwa ujumla Amina.
mheshimiwa hongera sana raisi wetu
Yaani sijawahi kuona rais kama wewe una moyo wa huruma sana sana sana mungu akuweke miaka 500000000 ubarikiwe sana rais wetu kwani unajali wananchi wako
Mungu awabariki kw hiki kilichofanyika kwa Dada yetu wastara!!!!
Hongera sana mh.Rais na wote waliomshika mkono wastara
asante RAisi wetu MUNGU akubariki,,wastara dada nami umeniliza MUNGU akutangulie ktk matibabu urudi salama kwa uwezo wa MUNGU
Hongore watara na rais wetu ni mtu wa watu nampenda sana
haki ya mungu anaye mchukia rais magufuli atakuwa shetani na bora aonde motoni
Kwa hli mh magufuli ebu tufute katiba ya miaka kumi ukae madarakani mpaka kufa kwako
Ongera sana Dada Wastara kwa kupata msaada huo na pia pongezi kwa mW: Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania JPM.
Aisha roho zao nikumwaga pesa kwenye masherehe2 ila wakumbuke Leo kwamwenzao kesho kwao .Mungu amponye wastara
Ma sha Allah Allah akupe subra dadangu
nacho mpendea magufuli ana huruma sana,mungu akupe miaka mia baba
Mh. Rais hakika Mungu akubariki.
asante sana rais wetu wanyonge, Mungu azid kukutunza wastara wetu upone haraka
hongera mr & mrs jpm
mungu akupiganie dada mungu ambariki raisi
Asante rais wetu mpendwa "wastara mungu akufanyie wepesi kwenye matibabu yako usisahau kuomba duwa endelevu nasi tunakuombea Dada yetu
Mungu akubariki Muheshimiwa rais magufuli
Asante sana mh Rais kwakumsaidia dada yetu kipenz!
asante
Mungu ambariki sana Rais wetu mpendwa ahsnte Mungu mjaalie afya njema na uzima na baraka umshushie hongera sana mheshimiwa Rais na watendaji wako
RAISI WETU MPENDWA, NILIKUPENDA KABLA HUJAWA RAISI NA SASA NAKUPENDA EVEN MORE! UBARIKIWE SANA
Your the President aisee! Proudly been here
Hakika Mungu Nimwema Sana. Mwenyezi Mungu akuzidishie Rais wetu
rais j p m mungu anakuona sasa hatutaki rais mwingine ni wewe tu mpaka akuitaji penda sana rais wangu mungu akupe miaka 100000
Mbarikiwe wote mlio changia
tunakushukuru raisi wetu kwa kuwajali wagonjwa na wote wenye shida mbalimbali tunaomba mungu azidi kukujalia afya njema Siku zote za maish Yako mungu akutie nguvu Dd wastara kwa matatizo uliyonayo
amen! JPM na Wote walioguswa na kutoa chochote Mungu awabarikini!
mungu akubariki muheshimiwa rais magufuli
hadi nimelia mwenzenu
Kumbe kura yangu sikuipoteza kumpa magufuri
God bless you my president it will reach a time when all Tanzanians will understand you properly.
Allah akuzidishie Raisi magufuli na uongozi wako
Batuli Ibrahim utakonda bure ndg yangu huyo ni rais na ataendelea kuwa hivyo maana ndivyo alivyo,lakini kwa kuwa roho kama yako zipo na zimeumbwa wala hatushangai lakini endelea kupoteza muda kwa kumchukia MTU asiye na hatia
+Sebastian Salamba aaah sebastian vp tena aisee sijakuelewa m mbona cjaponda hapo soma vizuri text uelewe jamani nimemaanisha Mwenyezi Mungu azidi kumuongezea Rais Magufuli na uongozi wake awe na moyo huo siku zote
ebu soma tena uelewe then unitake radhi😃😃
Batuli Ibrahim oiooo samahani nilikuelewa vibaya ndg yangu,kuna jamaa wanakera sana hawana shukrani
+Sebastian Salamba kawaidah ndugu angu siku zote mshamba haelewi we waache hivyo hivyo😄😄😄
Asante rais wa wanyonge mungu akutangulie
Mweshimiwa rais naamini mwenyezi mungu atakulipa kesho yamlikiama kwani hapa nimapito tu jitengezee njia baba japo tunajifanya kutoyaona uyafanyayo laniki tunajidanganya nakuita ndoto za mchana.Wastala mama kwakipindi hiki umeweza kujua rafiki mwema ni yupi kwako namuomba allah akujalie safari njema wende urudi salama mama nasi tulokuwa hatuna msaada wowote kwako tukopamoja nawe ktk maombi yetu mungu akusimamie zaidi wende urudi salama
Duuuuuh mpaka nimelia Pole sana wastara ongera sana Rais wetu
fatima said asante sana muheshimiwa RAS MAGUFULI mungu akuweke miaka 10000 pia pole sana mdgo wangu wastara juma
Duhu mweshimiwa asant sana nakupendaga rais wng
thnx my president
Pole da wactara yani umetowa machonzi mungu akupe nafuu ya haraka dda ongera kwa viongozi wenu
Allah akujalie heri Raisi wetu, na kwa hakika wewe ni mtu wa kuigwa. Watu wengi wanatumia zaidi ya mamilioni kutoa zawadi za Birthday, leo hii kumsaidia mwenzetu wameshindwa. Wasanii wetu mbadirike.!!
Allah akufanyie wepesi dada yetu upone Inshallah.
Allah amuongoze magu katika njia ya haki. Uislamu In shaa Allah
Allah akulepe mema mr: president
mungu akubaliki sana baba magufuri
Mungu anamakusudi kumuweka rais magufuri madarakani
Hadi nimelia namiy jmn mung akufanyie wepes da wastar Amiin ampe umri mref rais wet na mke wake Amiin.
barikiwa xanaa rais
Alhamdulillah