MashaAllah maneno ya maana sana na yenye umuhimu mkubwa sana aloyazungunza Zitto Kabwe.. every word every sentence is perfectly crafted. Tuzidi kushikamana muheshimiwa wetu Zitto na tuzidi kumuenzi kipenzi chetu Maalim Seif kipenzi cha umma. Mungu amrehemu Maalim na akupeni afya viongozi wetu muzidi kutuongoza Amin
Nenda maalim, sisi sote tumekuridhia, Allah s.w akupe nuru na malaika wema wawe ndio marafiki zako katika maisha yako ya sasa, nenda maalim waambie wale wote waliopoteza maisha katika uchaguzi wa 2020 wambie kuwa umeiwacha Zanzibar ikiwa na mshikamano, umeiwacha Zanzibar ikiwa na imani na Mapenzi na Rais Husein Mwinyi, waambie kuwa Zanzibar ipo kwenye furaha, waambie kuwa Zanzibar itakuwa imara na yenye kutenda haki katika mikono ya Dk.Hussein Mwinyi , tumeumizwa sana ila kazi ya mungu haina makosa😥😥 innalillahi wa inna ilayhi raajiun
Yaa Allah Yaa rrahman kwa utukufu na ukubwa wa majina yako haya msamehe na umrehemu mjaa wako huyu Maalim Seif Sharif Hamad na umruzuku PEPO YA FIRDAUS AAMIN YAARABBAL ALAMIN YAA RAZZAK YAA RRAHMAN YAA RRAHIM
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله داراخيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Wape awo walomzulumu engekuwa mtu anafufuka heeee engeshikwa mtu roho Hapo akakoma na dhulma walomfanyia huyo Malim ni rais si mumeona maziko yake Mumempa uraisi wake😭😭😭😭😭😭💕malim sefu lala salama baba
Hakika yote u.eyasema ila maneyo yamwisho yamenitowa sauti ya kilio huku wanangu na mke wangu wakisema ninite kimetokea hakika mauti ninguo kila aliye zaliwa lazima avae umeonge maneno makali mno ishaallah apunzike kwa amani
Dah Zito maneno kuntu yaan unacho kizungumza kuhusiana na Mambo yote aliyofnya maalim nahis km Zanzibar inaend kuw huru ssa kw hya maneno yako Wallah Allah ndiye ajuae Amin
Maneno mazuri yaliojaa hekma na upendo zito kabwe usituache wazanzibar hio niamana aliokuachia maalimsef tutamkumbuka daima
MashaAllah maneno ya maana sana na yenye umuhimu mkubwa sana aloyazungunza Zitto Kabwe.. every word every sentence is perfectly crafted. Tuzidi kushikamana muheshimiwa wetu Zitto na tuzidi kumuenzi kipenzi chetu Maalim Seif kipenzi cha umma. Mungu amrehemu Maalim na akupeni afya viongozi wetu muzidi kutuongoza Amin
Nenda maalim, sisi sote tumekuridhia, Allah s.w akupe nuru na malaika wema wawe ndio marafiki zako katika maisha yako ya sasa, nenda maalim waambie wale wote waliopoteza maisha katika uchaguzi wa 2020 wambie kuwa umeiwacha Zanzibar ikiwa na mshikamano, umeiwacha Zanzibar ikiwa na imani na Mapenzi na Rais Husein Mwinyi, waambie kuwa Zanzibar ipo kwenye furaha, waambie kuwa Zanzibar itakuwa imara na yenye kutenda haki katika mikono ya Dk.Hussein Mwinyi , tumeumizwa sana ila kazi ya mungu haina makosa😥😥 innalillahi wa inna ilayhi raajiun
Allah amsamehe mapungufu yake na Ampe pepo yake ya daraja la Juu yarabby🤲🤲
Maneno mazito sana yanaumiza na yanaingia moyoni daah Allah ampe pepo ya firdaus Maalim wetu ❤️
Amin yarby
Alipenda,umoja,hekhima,na,amani,siasa,iwe,upendo.sio,chuki,tz,bara, tunajifunza,nini ,juu,ya,umoja,WA,zanzibari,na,umoja,WA,vyama.,mpaka kuwa,na,umoja WA,kitaifa..visiwani..nawapongezaa.kwa,maalim,kuona,mbele,kwa,maslahi,mapana,
Ya, zanzibari.
Hato tokea tena kam maalim seif Sharif
Swadakta
Masha Allah so emotional speech..😭😭😭😭😭😭😭
Hatotokea tena kma maalim
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
INNALILLAHI wainnailaihi rajuun great speech tumeondokewa lakini mungu ndio mpangaji
Zitto kabwe kigoma bado tunaimani na wewe ukovizuli
Golden speech
Yaa Allah Yaa rrahman kwa utukufu na ukubwa wa majina yako haya msamehe na umrehemu mjaa wako huyu Maalim Seif Sharif Hamad na umruzuku PEPO YA FIRDAUS AAMIN YAARABBAL ALAMIN YAA RAZZAK YAA RRAHMAN YAA RRAHIM
Hii speech Ni Kali Sana na inasimumua lakin inajenga unasir na mshikamano
Perctly speech and unique ....
Hutba yatuliza sana
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله داراخيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
Hii hutba imenitoa machozi
Hii hutuba haisahauliki kwa mwenye kutafakari
Rest in peace Malim Seif and fully blessed.
Kka usiseme rest in peace kw muislam ni mila potof mila za kiyahun kinasara na kixirkina waislam tu atakiwa tuseme Inna Lillah Wa Inna Ilayh Rajioon.
Ahsante for your correction. Innna lillahi wa inna Ilahi rajioun - mungu amlaaze marhemu peponi
Zito asante sana kwa khutba yako
Mola amsameh mapungufu yake
Allahumma amyna
Allahumma amyna
Wape awo walomzulumu engekuwa mtu anafufuka heeee engeshikwa mtu roho Hapo akakoma na dhulma walomfanyia huyo Malim ni rais si mumeona maziko yake Mumempa uraisi wake😭😭😭😭😭😭💕malim sefu lala salama baba
Hakika yote u.eyasema ila maneyo yamwisho yamenitowa sauti ya kilio huku wanangu na mke wangu wakisema ninite kimetokea hakika mauti ninguo kila aliye zaliwa lazima avae umeonge maneno makali mno ishaallah apunzike kwa amani
Maneno machache lakini yenye Mana kubwa
Tunamuomb mung raisi hussein afuate nyayo za marehem seif sharifu.
Sichok kiskiliza hii hii leo mara ya 4 bdo hua naifungua ...
TUSISAHAU MAUTI MUNGU MSAMEHE MAKOSA YAKE AMPE KAUL THABIT MBELE YAKE NYUMA YETU
Maalim ametangulia mbele ya haki nasi tuko nyuma yake ila wenye hasara ni wale waliokkosea au kumdhulumu na wasiwahi kumuomba msamaha
SAsa Hawa policy ni wa Nini