🔴LIVE: TARAKEA- ROMBO MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 20

  • @user-nn2cz6zc9o
    @user-nn2cz6zc9o 17 днів тому +6

    Mcheza kwao hutunzwa kura zote nizako❤

  • @GabrielSarya
    @GabrielSarya 17 днів тому +2

    Hongera sana Mhe Mbowe na Mhe Lema kwa mapambano

  • @user-jc2oh5ro2y
    @user-jc2oh5ro2y 17 днів тому +4

    Asante kwa kuamsha wananchi

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 17 днів тому +2

    Hapo sawa. Kwa kweli tunatakiwa kufuata mabadiliko. Change is inevitable.

  • @SimonMayunga-e3y
    @SimonMayunga-e3y 17 днів тому +1

    SAFI SANA, GONGELEA HAPO KWENYE AJILA, WATOTO WETU WANADHURA TU MTAANI

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi 17 днів тому +3

    Ccm inataka kuiba kura sisi kama vijana tuko tayari kwa Shari ccm wamecha anda kura bandia

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 17 днів тому +6

    Wananchi amkeni tuamke ni kweli inatakiwa ccm ipumzike,tuwape wengine nao Chadema ituongoze hata miaka 5 ijayo na kuendelea tuokoe rasilimali zetu mama kizimkazi na team yake wanauza kila kitu na kusababisha maisha magumu kwa wananchi! Ccm ipumzike! Mungu ibariki chadema na viongozi wake na wote wenye uzalendo wa kweli.

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 16 днів тому

    People's power🔥 ✌️

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 17 днів тому +1

    Great visionary!

  • @eunho9529
    @eunho9529 16 днів тому +1

    VIJANA jambo la kwanza na la msingi ni KUJIANDIKISHA ili kuweza kutimiza lengo mahususi la kuindoa ccm madarakani.

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 17 днів тому +1

    Great minds

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 16 днів тому

    Hahahah et maboya

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha 17 днів тому

    ✌️🔥

  • @FadhiliMushi-b7r
    @FadhiliMushi-b7r 17 днів тому +1

    Kimsingi rombo ilikuwa vema wakati chadema ilikuwa inaongoza rombo lakn serikali ya chama cha mapinduzu imegeuza rombo kuwa watu wajinga na wasio na akili

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 17 днів тому +1

    Wadau kubalini kataeni, natumiz ya serekali ya Tz ni ya juu sana, kuweni na huruma na upendo nyie viongozi,

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 17 днів тому +1

    Alafu inasikitisha sana, kuwa shule zetu utakuta shule ina wanafunzi mia 8, walimu 6, yani utafikir Tz haina waziri wa elimu, inauma sana, alafu kaajiriwa kapewa na dereva, gari bure, nk. Badilikeni ccm.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 16 днів тому

      @mayrfrimi4759 Ccm haiwezi kubadilika yenyewe ndugu! Usijidanganye kwamba ccm itabadilika! Ccm inatakiwa ibadilishwe tena kwa nguvu ya wananchi kupitia kura na kwa nguvu ya umma! na kulinda kura wasiibe kwa ghalama yoyote ile! Usicheke na ccm ule ni mfumo inatakiwa itolewe kwa nguvu ya umma siyo kuchekeana na ccm inacheza na maisha ya wananchi milioni 60 na zaidi! Kundi la watu wachache waliyoshika madaraka na vibaraka wao na machawa wao wanatesa wananchi milioni 60 na zaidi! Wewe ulishaona wapi watoto wao wanasoma shule za kawaida au kutibiwa hospitali za kawaida zisizo na huduma nzuri kwa Wananchi au zisizo na madawa!? Amka kijana,mzee mama unanganisha nguvu ya umma kuokoa Taifa na rasilimali zetu.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 17 днів тому

    Inasikitisha sana, hizi dharau za viongoz wa ccm, yani kweli wana rombo ni haki yao kuja kupigwa changa la macho kwa buku 5 kweli?? Huyu mmunge wetu anatuona kama sisi jatujui wanavyopiga hela ya wananchi,

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 17 днів тому

      Kosa kubwa Kwa watanganyika ni kuirudisha ccm madarakani.hicho ndiyo kitakuwa kifo chenu