Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU
Вставка
- Опубліковано 6 лип 2024
- Mwalimu Lightness Isojick anafundisha Skuli ya Msingi ya Blue Rhino International iliyoko kaskazini mwa Tanzania. Yeye ni mwenyeji wa Karatu kutoka kabila la Iraqw. Anasimulia hapa kuhusu lugha na fasihi ya watu wake.
From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa
Hatimaye wairaqw tumefka Majuu
Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy
Asante dada historia nzuri kujua❤
We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu
Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa
Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja
Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.
Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo
Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?
@@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.
@@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.
Mungu wao juwa hatr xnaa
Loa a amen aga akhasika
Desi Laway
Duh! mungu mke Jua
Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa
Loa a amen Bara khuaka
Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful
Kwanini anasema Luga na anaweza kusema Lugha
Subhanallah
Kuna nn
60% ya kiswahili ni kiarabu sio 40%