CAG Mstaafu Prof. Assad Aingilia Kati Uwekezaji wa Bandari Atoa Maneno Mazito, Mwabukusi na Wenzak..
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- CAG Mstaafu Prof. Assad Aingilia Kati Uwekezaji wa Bandari Atoa Maneno Mazito, Mwabukusi na Wenzak..
.
.
.
.
.
.
.
#cagmstaafu #profmussaassad #uwekezajiwabandari #wakilimwabukusi #mwabukusi #bandari
Prof Akumbuke Nchi yetu imesumbuka sana na masuala ya mikataba mpaka Sasa inatugharimu sana
Mungu ibriki Tanzania
Dahhh
Naombeni like zangu nimewahi
Kweli baba tozo na ushuru mwingi haukuzi uchumi kwa hili nakuunga mkono
Hatuutaki huo mkataba halafu usiwaulize wazanzibar kuhusu mkataba wa bandali
Kama watanzania tumekataa na sio lazima
Hayo aliyo SEMA hayawezi kurekebishika yangekuwa mapema Msingi wa mikataba inayokuja ni huo ulio sainiwa
Ushauri huo ulitakiwa kabla ya mkataba kusainiwa huyu prof Ana uwezo mkubwa,
Tiki Tv naona na bandari mmeamua tusipitwe, mtuletee na Lissu saaa
Huyo CAG mustaafu ni pumbavu sana,anaingiza udini kwa kazi ya serkali.Basiaendelee kuwa muislamu mujinga..
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Wewe ndio mjinga
Mitajihiya hutolewa kwaubaguzi ukijulikana ww wachadema hupewi
Darasa zuri sana
Kabisa
Kwani ni lazima tuwape bandari hao warabu sisi kama watanzania hatutaki tutawapa bandari wawekezaji wengine sio lazima warabu
Hapo sasa
Waarabu .hapana
@@mkudeww ndo wamekutuma uje ujibu comment zetu pumbavu ww Sasa bandari hatuna haja ya kumpa mzungu Wala hao wasenge warabu tutabaki nazo wenyewe watanganyika mzungu mwarabu wote sawa tu coz wako kimaslahi yao na si ya watanzania tunasemajee tumechoka upumbavu wenu
@@mkudeww ndo ungekunywa hiyo sumu ufe dakika hii ingewezekana unyongwe kabisa kenge ww
Mahakama ishawapiga chini tayari na Mwarabu anakuja kupiga kazi
Mzee kama huna Cha kuongea heri unyamaze watanzania wa Sasa sio wale wa zamani
Tena anyamaze kabisa
Nguvu moja 💪💪💪
@@abdallahrashid169 wewe pimbi Tu huna ulijualo,,
@jumakap mzee kachoka anaongea pumba tupu ndy maana JPM alimshutukia Kama walewale......
@@hamisijuma3276 kaa kimya huna ulijualo
Kwahiyo tunaandaliwa kisaikolojia ehh
Uandaliwe Kwa lipi?
Msiishie kwa huyo Professerial bali mlete na Tundu Lissu hapa ili kibalance equation.
Upo Sahihi.
Tatizo ni kwamba DPWorld Wameahidi kwamba Watajenga Msikiti Mbeya Mjini na Pia Zanzibar.
Sasa kama Ni Faida itayotokana na Mapato ya Bahari na Bandari Wange balance Kwa kujenga Makanisa Pia.
Shida ni kwamba Ukiwa Na Ulevi wa Dini Haki ikitolewa kwako ni Sawa lakini Haki hiyo hiyo akipewa asije wa Dini yako Unaona Siyo Sawa Wakati Rasilimali ni Zetu Sote kama Taifa..
Heri Wangeahidi Kujenga Shule, Hospital, Barabara na Madaraja Vitu vinavyotumiwa na Watu Wote.
@@saturinimushi4746kwani hivyo vitu vyote tunashimdwa kujenga sisi wenyewe mbona tunakila kitu tunahaja gani yakusubiri kuja kujengewa na hao warabu?
Hata hivyo prof. ni mchumi siyo mwanasheria. Hivyo amechangia kama mchumi, tatizo amebeza utaalam wa wanasheria. I think Kwa kubeza wanasheria ktk mambo ambayo hata serikali imeshaona kuwa kweli Yana kasoro, inampunguzia credit.
@@saturinimushi4746 mpumbavu sana wewe mbona hujazungumzia Mou ya serikali na makanisa,,,,mjinga sana
@@mediasocialite Hilo suala Lina mitazamo yote,,,,ujinga wenu mnaliangalia katika mtizamo mmoja (legal perspective, economic perspective, political perspective)
Hivi huyu CAG alistaafu au alitenguliwa?😢😢
Alitenguliwa kama nijuavyo
Kisheria huitwa mstaafu
Huyo alitolewa na mamlaka Kwa chuki tu baada ya kuwaambia ukweli kuwa Bunge ni dhaifu katika kuisimamia serikali kuhusu ripoti zinazotolewa na CAG kuhusu wizi na ufisadi wa Fedha na Mali ya umma, alipoitwa na Bunge kwenda na kutakiwa kufuta kauli yake alikataa na kuendelea kusimamia kile alichoamini kuhusu udhaifu wa Bunge ndio wakamfanyia figisu tena Kwa kuvunja Katiba wakamtoa, hakuna asiyelijua Hilo,,,,,
Ameyumba
Sana
Kweli
Proffesor ameongea vizuri! Kuwa na KPI mikataba ya chini, lakini pia nakubaliana na proffesor kwa sababu ya hofu ya huko nyuma ni vizuri wakaweka uko kama ville miaka 20, 15 nk
Professor anaweza kuwa mawazo yake. Lakini mimi nasema kama mtanganyika nakataaDP WORLD kwa sababu DP WORLD pamoja nayo yote DP WORLD hana makesi mengi sana. Anakesi na Jibuti, Somalia, Kenya na sehemu nyingi. Kwani hso hawataki mapato hayo mazuri, kwa sababu hiyo mama unataka kutuletea kesi na DP WORLD. Kwanza hatuwataki toka mwanzo. Ndiyo sababu amewafanya msiweze kusoma huyo Mkataba ili mkaukubali kimbumbu ili aje apate mapato kutokana na makesi
@@DR.SAIFILLAH.5363kumbe kunatahira lingine hapa lisilo ona tatizo juu ya mkataba😂😂
@@DR.SAIFILLAH.5363kwa hiyo kwako ww bandari inauzwa kwa waarabu nisawa?aliekuroga kafa😅
Naunga mkono🤝
Kenya na Somali dp world kuna kesi gani muongo wewe
Wewe mtanganyika huwataki DP, Sisi watanzania tunawataka,,
Prof. bado hujajibu maswali tata khsu mkataba. Mkataba wa DPW hautoi mwanya kwa mwekezaj mwingine, wanapewa zoote za Tanganyk, kwa nin za Znzb no? Muda wa mkataba hakuna, mikataba midogo ni siri, hapo vipi tunaelewa nn?
Ni kweli Prof Shivji, mhadhiri university 47yrs hajui mkataba mbovu au wenye faida?
Jambo hili liitishiwe mdahalo wa wazi kati ya manguli wa sheria na mikataba vs wanasheria wa uwekezaji ili tupate uhalisia kamili.
Prof Assad vs Prof Shivji na team zao, waje uwanjani.
Ndio katika wale aliowaeleza prof kuwa hamuelewi,,,
@@mediasocialite huyo ni prof bwana
Mahakama ishawapiga chini, mnataka mdahalo gani tena,,,
Haujausoma mkataba na wanaleta Mambo ya udini
Warabu wenyewe hawawapendi kama nn wako kimaslahi yao tu
@@mediasocialite wewe ndio mjinga, Hilo suala Lina mitazamo yote,,,, legal perspective, economic perspective, political perspective
Wewe na wapumbavu wenzako ndio mnaoleta udini, DP world ni wawekezaji tu
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Duu nimekuelewa
Pro Asad,naamini unaweza kuwa mshaur no moja was ikulu laki kwa serikali hii watakunyima mbingu bure
Wape somo kina lisu
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
pro, musa assadi kichele
😂
ni kweli kwa watumishi wa serikali wengi hawafanyi kazi kwa tija
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Huyu Prof.mbona simuelewi?Samia ameuza bandari zote za Tanzania/Tanganyika kwa DPW,hata bandari za Ziwa Victoria,Tanganyika,Nyasa.Sijui mukataba wa Afrika Mashariki unakubalia inchi binafsi kuuza bandari zake za Ziwa Victoria bila kufahamisha Inchi zingine.
Kama mmeshindwa kuongoza nchi mpaka mmezeeka matumbo hamna jipya
Miaka yote Nilikua sijamuelewa, hivi Sasa nimemuelewa vizuri.Kumbe ndio sababu Hayati Magufuli aliielewa Nia iliyokuwepo Moyoni mwake.
Usisahau kuwa Magu aliiielewa pia Nia ya Lissu iliyokuwa Moyoni kwake,,,
Assadi huna akili kwahiyo kusomana wanaweza hao waarabu tu sisi hatuwezi kufanya jibu kwanini imesainiwa kabla ya kupita bungeni na Kwa wananchi
Huyu c ndio yule wakati wa magu katolewa.
Sasa ni mstaafu eti?
Tulia usiyempenda kaja
Kisheria ni mstaafu
Pia mahakama imetoa tamko kwamba Hayati Magufuli alimtengua kimakosa
@@alexanderjustine1523ndo mmemtuma awasafishe madudu yenu😂😂
@@mariamnyange199🤝👏👏
Kuna watu wanapitisha mizigo yao bure pale bandarini wanaogopa wawekezaji wakija hakuna bure Tena
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hullo gulio?
Kina fulani, mtu wenu kaingia choo cha kiume, mistetee uzuzu.
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Kwanini watu Kama nyinyi mmewekwa mbali na raisi
Si mwendazake alimfanyia figisu na kumtoa CAG baada ya kuliambia Bunge ni dhaifu katika kuisimamia serikali kuhusu wizi na ufisadi wa Fedha na Mali za umma
Vichwa kama hivi ni adimu sana sasa hivi,,,,pokea maua yako prof.
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Hivi vichwa ndio vya kusikilizwa sio źe comed siasa
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Bandari lazima tuwape wawekezaji mana wanaopinga wanaogopa maslah yao yatakufa
Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili
Hata wewe cag hufai kabisa ,mkataba gani hauna ukomo?kama sio kuuza
Umemsikiliza vizuri au ujinga wako unakuelekeza vinginevyo?
Baba fikiria hata kugombea urais
Hicho kichwa bwana,,,