Hadithi ya makandokando kwenye mjadala wa DP World| GG Podcast
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Ukali wa mjadala haumo kwenye NINI kipo ndani ya mkataba baina ya Tanzania kushirikiana na Dubai kwenye uendeshaji na uendelezaji wa bandari, bali upo kwenye NANI wamo mkataba wenyewe. Mwandishi na mwanahistoria Mohamed Said anazungumzia ilikoanzia na inakoelekea hadithi ya makandokando haya.
Allah akupe umri mrefu sheikh Mohammed Said ili tuendelee kunufaika na ujuzi wako labda tutazinduka usingizini maana information is power
Hii ni njama YA Nyerere na inajulikana musiseme kua musiletewe udini baadhi yenu munao comment,, sisi zanzibar tumechoka na muungano hatuutaki kabisa ipo siku ishaallah
Nyerere alitudhihirishia kua haipendi zanzibar haipendi uislam
Sheikh Mohd mm nashauri ufanye kipindi na mama Maria Nyerere atueleze yeye anafahamu nini juu ya mchango wa Waislam kwa mwalim Nyerere.
Bora tuvunje muungano maana watanganyika hawana imani na nia njema na wazanzibari.
Hujaelewa wewe
Wala wewe hujaelewa vile vile@@derimkongwa5965
Mzee jifunze vizuri historia ,acha kukurupuka
Hakuna gwiji wa hostoria ya kweli tanzania kama mohamed said.
Acheni kabisa hizo mambo kwani ninyi ndio mnaanzisha mambo ya udini. Zungumzieni mambo ya MKATABA TU. SAWA NDUNGU ZANGU WAISLAM?
Waisilam wanapenda kuwazungumzia wakristu.wana udini sana
Wawafatilie kwakipi kwani wananini kamasilolote sichechote
Labda wee si Mkristo uanaehudhiria Kanisa. Waislamu wawazungumzia Wakristo nje ya Msikiti, ama Wakristo huwazungumzia Waislamu ndani ya Kanisa na nje yake. Kama hujui njoo tukuoneshe.
Wakristo hata ktk vikao vyao wanajadili waislamu na mali zao watapora vipi kupitia mahakama TRA au ugaidi
Ukweli unauma
Mzee, tuliitaji hekima yako yuu ya swala la bandari na sio udini wako. Watanganyika tunapigania haki ya vizazi vyetu vijavyo.
Kizazi gn ulichonacho kenge wewe. Wewe ungekuwepo enzi ya Nouh ushakufa tayari nyiye mliomtabisha .
Wanao chafua nchi hii ni Chadema tu na ndio wanao toa kauli chfu hasa za udini na ukabila
Tumia akili sio hisia
Hayo yanini mkataba mubovu hatuutaki chaudini pelekeni huko
Nimefurahi kuzungumza ukweli
Ningepata mtu anifahamishe huu mkataba wa kanisa na serikali ya tz pls
Kikweli watanzani hawajazungumzia dini. Watu wanazungumzia masharti mabovu ya mkataba. Ninyi mnapata wapi hahari ya dini?. Waislam tusipoacha mambo ya kuzuazua basi sisi ndio tutaanzisha mambo ya udini ndani ya tanzania. MASHEHE ZETU ACHENI MAMBO HAYO!!!!!.
Sahihi kabisa..kama ni waarabu kuwekeza wapo mbugani tokea mwaka 92, kujengwa bwawa la Nyerere lipo chini ya Misri..mara hii jibu kwa hoja mkataba una mapungufu au hauna sio unasema Tu udini
Hakika kaka mimi nakuelewa sana unasema kweli jamani ebu tuache kuingiza mambo ya udini kwenye ilijambo tatizo ketu sio dini wala uislam
Kwa hiyo huu ukweli anaouzungumza ww uliwahi kumsikia Nyerere anasema? Kwani si kulikuwa na jumuiya ya Kiislaam kiongozi wake Sheikh Swaleh Bin Ameir Nyerere kwa kuona maendeleo mazuri kwa Uislaam akaivunja? Na Mali za wa Islaam kutaifishwa? Sasa ww hoja yako nn kutuhumu Waislaam? Fuatilia historia vizuri.
Sawa, lakini hili ni biashara inanyonya wa TZ.
Rasully llah (S.A.W) yakuloo (Alkafirunaa millatully waheda)
Fact and true 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mazungumzo haya yamiasha hisia za wengi waliosikia na watakao sikia ninawaomba tuwe makini kunapojadili tuvumiliane hizi chokochoko za udini ni hatari kwa usalama wa taifa siyo jambo la kufanyia ushabiki.
Na viongozi wetu waache kutumia udini kama silaha.
Wakemee mjadala wa kidini.
Tunafanya uchanguzi tangu uhuru kiongozi huchanguliwa na waislamu na wakristo hakuna udini.
Wote bila kujali dini tukutane kwenye masilahi ya taifa Kwa vizazi vijavyo.
Dini isitufanye tuwe wajinga.
Udini unakuja wanapo jadili masuala haya waislamu tu Kaka?? Mbona askofu mwakipesile anaongea mazito juu ya udin hasa uislam na hakuna and dauti acha udini we nakujiona wakiristo mupo swa mapuwa ww
Wakiristo Siku zote wanajizima data
Wao Wakijadili Maslahi ya Kitaifa kidini dini wanaona sio Udini ila kwa wengine ndio unazuka Udini
Nashindwa Kuelewa
Msituone wajinga kukaa kimya tunajua mengi , tukiamua tunaweza waislam, wakristo ndio chimbuko la yote haya
Waislamu tatizo lenu ni uongo. Katibu mkuu wa baraza la mitihani la taifa ni muislamu. Nini kimebadilika? Halafu wewe mzee mbona tunawalaumu wazungu kwa ubeberu? Huyu mzee anafikiri DP Wotld ni ya waislamu, anafikiri inakuja kujenga misikiti au itakuwa inagawa pesa na ajira kwa waislamu. Hiyo ni kampuni ya watu wenye hisa toka mataifa na dini mbali mbali. Lengo lao ni kupata faida ya pesa na siyo kueneza dini. Ni mzee asiye na busara hata kidogoo. Yaani kuikataa DP World ni kukataa waislamu? Na watu wanachopinga, ni vipengee vya mkataba. Anavyoongea, utafikiri ni mwarabu. Pambafu kweli na mwongo mkubwa.
Nyerere alipokua anapiga kelele za udini alimasnisha waislam Wakae kimya hata wakifanywa chochote tatizo hamumjui kwasababu kauweka ugalatia juu akaukanyaga uislam uliomueka juu someni vitabu vyake alivyotunga mwenyewe au kile cha (jimbo kuu la daresalam) mwenyewe amesema nilazima kanisa aliweke juu wakati akimjibu pedre John sivalon wakati alipo muuliza utalifanyia nini kanisa?!
Nakweli katudhalilisha sana waislam wenyewe tunajua! Nahata viongozi wakubwa wamekua wakitamka wazi hadharani wakionesha chuki zao juu ya uislam akiwemo Lukuvi tena akiwa kanisani !! Kama hamjui chuo kikuu cha Dar ni cha waislam muhimbili ya waislam mpaka ikulu ya Dar ilikua chuo cha Kil Islam sema wengi hawajui ila ipo siku haki itakaa juu kama sio sisi basi wajao wataiweka hakii juu !!!
ohoo nahisi magaidi wanafurahia warabu kuchua ubia
Ni mwalimu mzuri wa historia.
But hapa ni ishu seriously haitubadilishi mindset. Hapa ni msimamo wangu binfsi sipependi MUUNGANO. Naburuzwa jamani hee!!
Kwa hiyo haya yote mkataba wa namna hii umeletwa na udini maana mimi siamini kuwa katka udini naona kuwa viongozi wetu wawe wapole waache mihemuko maana wananchi wanauliza vifungu vya mkataba ambao unaonyesha kuwa mkataba unatatizo kumbe kuna mambo ya siri
Mbona mzee hazungumzi kuhusu huo mkataba faida na hasara
Uislam kama ulivyo ukristo unaharibiwa na wanafiki ndani dini zenyewe.
Wacristo na Waisilamu Wana tufanya Sisi Tusio Amini Dini zao Kwamba Hatuna haki na Nchi hii
Bwana Ibin Saidi kuna mambo unachanganya vibaya hivyo akiwa mwislaam atuibie tu akitujengea miskiti inatosha? Hapana hivyo unasema mkataba hauna dosari?
Sioni Logic ya haya maongezi, ninachoona ni wazanzibari wawili wanajadili mambo ya Tanganyika tuu.. kama wadubai wazuri wapeni bandari yenu huko Zanzibar.. na huu muungano Bora ufe.. badala ya kujadili maisha nyie mnajadili dini
Uyo mzee sio mzanzibari bali nimtu wa mainland (Tanganyika) upande wa Tanga kwahio ondoa chuki zako dhidi ya Zanzibar
Sikiliza kwa makini na kama unawazo la kupinga,basi andika
Shdq yenu mmekalia kuzungumzia udini. Kikawaida huwezi kuwa muasisi bila kuwa na sapoti mzee kwani mlitaka awe mwenyew ndio mumsifu
Achani kufikiri kua waislam watafaidi ikiwa bandali yetu watgawiwa waarabu bure kinacho daiwa ni mkataba mbovu ambao unagawa mali ya nchi bure kwa waarabu wa dubai
MGOGORO WA BANDARI TATIZO LAKE NI VIFUNGU VIBOVU VILIVYOMO NA SIYO TOFAUTI ZA KII AMANI. UELEWE VEMA JAMANI.
KUNA WAISLAM WALIO UELEWA MKATABA NAO WANAUPINGA.
Dijibout mbona Hawa dp world nishida
Hivo vifungu unavyosenea vina maslahi kwetu ....sasa mnasemaje ????? Kisasi ni sasa
Hiyo baraza la mitihani kama kweli inadoofisha uislamu imekuwake inaandaa mitihani ya dini ya kiislamu ? Acha kuwa mwongo ndugu
Hutumpingi Mwarabu wala Hatuwakatai Waarabu Na Dini sio ya Mwarabu Bali DINI ni ya Mwenyezi MUNGU Wote Tunaipenda sana Tunacho hoji ni Mkataba wenyewe ndio maana wenye Akili wote Wana hoji Pr Lipumba/ shiviji pia wana hoji Tusichonganishwe
Changamoto inabaki kuwa muda ushapita na watu washachukua mkondo mwengine kabisa wa historia ya nchi hii. Hata mambo kama haya ni kama paukwa tu na Shekh anaonekana kama mtu anayezusha tu khabari hizo. Wapo waliotaka tufike hapa, na huenda hata huyo Nyerere akifufuka leo atapinga kila kitu [ tujadili na mashinikizo ya Makoloni yalikuwepo tangu ]. Kilichobaki sio kuzungumza juu ya makosa ya wakristo wala kudhulumiwa kwa waislamu ila kuliunganisha taifa pamoja .Mimi nawaza hivi habari hizi wakristo wanapozisikia watachukua mkondo gani angali nao mamboa wameyakuta tu? MTU ASIYEJUA HISTORIA YAKE AKIVUTWA HUKU ANAKWENDA , AKIVUTWA KULE ANAKWENDA
Labda nikuambie kitu kadinari pengo anayafaham haya na wengi katika wakristo walio na nyadhifa kukwa wanayajua haya , sheikh kajaribu kuwarejesha watanzania katika ummoja kwani wamesikika viongozi kadha wa kisiasa kama mboe akisema suala la udini na ukabila akifingamanisha na DP WORLD, nawakati yeye alitakiwa kuzungumza mkataba tuu , sio mafungamano ya udini na ukabila nawakati watu wanajua historia kubwa jinsi waislam walivyo pambania uhuru
Ndugu zangu waislamu someni msije mkalishwa matango pori. Ishu sio kwa sababu muwekezaji mwarabu, ishu jinsi mkataba ulivyo. Kama mkataba ungekua haunashida wala hakuna mtu angepinga.
Labda tuache kabisa mkataba wa kuendeleza bandari tusiwape wala waarabu au wazungu
Kuhusu elimu kumbuka nyerere alitaifisha shule zote za wakristu na Mali zao zungumzia na hilo
sio zote alitaifisha za
mission za
seminary zikabaki!
wakiristo walikuwa hawana haja ya kugombana na wazungu wakoloni,maana wazungu walikuwa wakiwapa watu wa makanisa good chase!na kanisa likisaidiana na wazungu ktk kutawala!!!
Acheni porojo za udini chambueni mkataba
Some mkataba mzee
Hakuna udini ninachoona hapa marumbano wenzetu wanaojua sheria wanasema mkataba ni mbovu kwani bala hakuna waislamu watanzania wote bala na visiwani tuwe makini kwenye suala hili la bandali ili wanasiasa wasitugawe kwa propaganda wanazoleta kuingiza udini kwenye ishu inayohusu maisha yetu na vizazi vyetu kama watanzania nilichoona mbinu nyingi ovu zinatumika na wanasiasa wasiopenda muungano wetu kwa kujalibu kuingiza suala la bandali na udini tuwe waangalifu na tuache kutumiwa
TUMEFIKIA HAPA KWA SABABU YA MFUMO KRISTO HUWO NDIO UKWELI.
Ebu fafanuwa vizuri unachokisema
✌️👊👍。
Shekhe hapa tunashauriana habari ya mkataba sio dini jamani hiyo history mbona unaisumulia mara nyingi kwasasa tunaongelea mkataba wa DP world 🌎 sio dini msitake watu kuanzisha vitu vingine please tuko na mkataba!!!!
JAMANI JE HAO WENGINE WAMEKULA MATUNDA YA CAKE YA TANZANIA???
Mashallah
Unaelewa nini ww kaa kimya subiri kufa tuache vijana wetu wakuwe nyinyi ndiyo mliwabeba mabwana watu kibao na mnambeba bwana mmoja mnakuuzwa mtu mmoja anawauza
Emotions apart, " vyombo husika" using sober professional cadres wazungumze na huyu Ustaadh kwa nia njema ya kujenga Mama Tz..na kisha kuishauri Govt..waache vitisho..These are issues C za KUPUUZA!!😮😮
Good advise
Na vitabu unavyovisema ni vile vinavyofundisha uendeshaji wa dola na utoaji haki kwa misingi ya kiislamu
Inaliza , inahudhunisha. jambo hili wala sio dogo. Niombe tushikamane maana asiye pitiwa na ubaguzi hawezi jua hili
kama ni waarabu kuwekeza wapo mbugani tokea mwaka 92, wapo Serengeti mlisikia watu wakikemea kwa nguvu hivi? kujengwa bwawa la Nyerere lipo chini ya Misri..mara hii jibu kwa hoja mkataba una mapungufu au hauna sio unasema Tu udini
Haya mkianza hivyo vita zitaanzia kwenye nyumba zetu😢
Sahau Tanzania hakuna dini familia tumeungana mpaka kufikia baba muisilamu watoto wakristo mama hana dini hujawahi kuona familia kama hizi hapa tanganyika labda zanzibar hakuna lakini hapa tuko wengi
Hivi wahariri wrote wa magazeti yaliyomshambulia Mwinyi walikuwa waisiliamu? Jamani tuwe wakweli . Hivi serikali sasa na bunge ni vya wakiristo tu.Wewe mzee ndiyo unaanzisha matatizo ya ubaguzi. Kwa nini ufikirie kujengewa misikiti na DP World.
Kwa nini usifikirie kwamba suala la kupata misikiti kupitia DW ni suala udini??
Umeshindwa kuchambua mkataba hujauelewa au una udini? Unataka tuukubali tu bila kujali, huo ni udini WENU.
Ma ustadhi mdichanganye mambo hakuna anaelataa DP world kinachokataliwa ni mkataba shehel hapo kuna wahuni wanapiga upatu sio lingine ndugu zangu kwa upande wangu ninavuoelewa !!!!!
Endeleeni kupanda chuki ya udini,ila mtashindwa!.Wakristo na Waislam ni ndugu, ila viongozi wa kidini,hasa wa Kiislam ndio wanaotaka kuleta mpasuko.
Sisi ni ndugu ila si kwa kila jambo tambua hilo kungali mapema
Acheni kuongea udini mshaulini mama yenu aache ujinga na tamaa ya kuuza nchi yetu
Jamanieee.....Mzee huyu anazungumza ukweli mtupu. Ubaguzi wa kidini hauna maana. Sisi sote ni Waafrika na hizi dini tumeletewa na wageni sasa dini kwanini tuzitumie kutubagua? Tujadiliane kama waafrika je ambao si waaislam wala wakristo mtawaweka wapi?
Ninavyojua mimi wanaotajwa ni waarabu kwa kua mkataba huu unahusisha mwatanania na waarabu, napenda ieleweke kua uisilam ni uislam na waarabu ni waarabu. Tusizue mambo. Huo ni uchonganishi. ACHENI KABISA!!!!.
Akili yako haiwezi kugundua hilo na ndio maana huoni kwa undani wa mambo. Jiulize kwanini makanisa yamecharuka kuhusu suala la bandari! Kwa upande wa CHADEMA wao walizungumza kisiasa zaidi hawakuleta udini bali walijaribu kuziteka akili za watanganyika ndio maana wakaleta habari za Uzanzibari na Utanganyika na pia kwavile hawakubaliki Kule Zanzibar wakaona kusema SAMIA hana uchungu na maliasili za Tanganyika watavutia watanganyika wengi sana kihisia. Makanisa Tanzania kila akiwa madarakani muislamu basi wanaleta tafrani.
Nadhani kwa maoni yangu
Huyu Mzee anazeeka vibaya
Mkataba wa hao waarabu na uislam unahusiana nini??
Naona huo ndiyo udini na ubaguzi anaouchichea
Watu anaongelea uchumi, siasa na mazingira yaliotumika kuhusu mambo ya Muungano na nchi ya zanzibar. Yarekebishwe kwanini waarabu hawakupewa kwa tender
Hovyo wanatakiwa tuondolewe hata km angepewa yeye nje ya taratibu akiwa ni mtanzania wanapaswa kunyanganywa
Taratibu zifuatwe
We Mzee ni pumbavu kabisa na huyo mwenzio hapo, wapumbavu wote wa2
Mimi ni MKRISTO,ila waislamu nawakubali Kwa asilimia mia Moja kabisa,na ndio kanuni ya KiMungu.wote sisi ni binadamu na ni ndugu kabisa
Hatujazungumzia dini ya mtu ishu nikataba mbovu au diyo
Masharti ya mkataba ndio magumu ndugu yangu
Hapo unapewa historia ili mjue kwanin DP hatakiwi. Someni hivyo vitabu mlivyoambiwa
Ndo maana naichukia bakwata kutoka moyon maana najua ni ya nyerere aln.!!!
Kama kweli mashart ya mkataba ni magumu ,ivi mmeyaona nyinyi tu serkali yote na watalamu wake hawakuona? Ebu mjtathmini tena ttzo nn km sio chuki ,udini na uzanzibar pmja na warabu
Hao kama walikataliwa mwanzo wakapeleka somalia embu fikirieni leo somalia kuna nn zaidi ya machafuko kisa wazamiaji haramu
Naomba niwambushe walioleta waarabu bara ni nani kama siyo hao mamwiyi wenu na ndiyo ikawa mwanzo wa utumwa maana ndiyo walikuwa wa kwanza kufanya biashara ya watumwa
Yalikua yana mda! Lakin haya yasasa hayaelewek yataisha lini? Mwarabu aliwatoboa wazee wetu. Hatuwatak wanasifambaya kwenye inchiye
Kwahiyo wewe unawapenda wazungu wanaowafundisha ushoga unazioenda hizo ndo tabia nzuri Kwa upande wako,itakuwa wazungu wameshakuharibu marinda hayo😂😂😂
Wanao pinga wotewakristo ndicho tunacho kiona kwamba niudini
Kwani Haruna lipumba naye ni Mcristo naye Anapinga Mkataba
Hapa kinachosumbia ni Udini tu hakuna jengine
Tatizo letu waislamu ni kuwa hatuna uislamu. Kama tungekuwa na uislamu yasingetufika haya.
Inatisha jmn warabu wanawauwa watu weusi uko dafuru wanauwawa nawarabu naistoshe nidini 1
Waarabu wametajwa kwa sababu wametuingiza mkataba ambao unatuibia,,kutaja waarabu,waafrika hata wazungu sio kosa wala udini..jamani tuache choko choko za udini zisije tupeleka kubaya..Tuipende nchi yetu..unaojadiliwa ni mkataba mbovu,..na waliotuingiza mkenge ni waarabu sio waislam..
Kabisa kabisa na pia sio Waarabu wote ni Waislamu na vile vile sio Wazungu wote ni Wakristo. Hawa watu waache choko choko za Udini hazitatusaidia chochote zaidi ya kujenga chuki tu baina yetu
UONGO WA MKATABA WA BANDARI!!
Ndugu zangu tutambue wanasiasa na wadau wao wanatuhadaa, hakuna mkataba wa bandari.
Hizo ni porojo za wapotashsji wasioitakia mema nchi hii. fatilia hutuba za waziri mkuu ni rahisi kugundua hilo. na ndiyo maana hakuna yoyote anayeweza kuutoa huo mkataba hadharani na akaonesha mapungufu yake.
Wanachokifanya ni kuwahadaa watanzania kwa kutumia mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiinchi kati ya Tanzania na Dubai wakidanganya eti ndiyo mkataba wa bandari jambo ambalo ni uongo wa wazi kabisa.
Hao wapiga porojo wana ajenda yao ya siri kuwavuruga watanzania ili kuimarsha chama chao na hata kuzuia mapema usije ukafanyika mkataba wa usimamizi mpya wa kampuni inayotajwa ambayo inaonekana wazi kwa umahiri kiutendaji na uwezo wake kiuchumi na kiteknolojia itawrza kudhibiti wezi wanaoiba hapo ambao asilimia kubwa ukichunguza utagundua ni watu wanaotoka ktk kanda inayowaunga mkono wapiga porojo hao.
Wezi hao ni watu wao wanaonufaika na hiyo hali iliyokuwepo sasa bandarini hapo na ndiyo maana hauwezi ukasikia wakiutaja ufisadi unaofanyika bandarini hapo zaidi wao kung'ang'ana na upotoshaji huku wasiojua kuna mchezo gani unaofanyika na wapiga porojo hao wao wanabaki kuwa wasindikizaji kwa kufata mkumbo wakihisi wanasapoti uzalendo kumbe na wao wanasaidia harakati za kuzuia serikali isiingie mkataba wa usimamizi mpya wa bandari ili kuwabakisha wezi warndelee kutupiga bandarini hapo.
Bunge linajadili maridhiano au mkataba.huo ndio mkataba sio maridhiano.soma vizuri majukumu ya bunge.shida moja tu ya uislamu wa Africa mnajikuta Kila kitu akifanya mwaraabu ni sahihi kwenu ukimkosoa unasema ni udini.toa hoja za vipengele vya mkataba mama.
@@masamaki-jw6og serikali imeshasema kupitia kwa waziri mkuu mkataba wa bandari bado haujafanyika na kilichopelekwa bungeni sio mkataba wa bandari ni makubaliano ya ushirikiano wa kiinchi kati ya Tanzania na Dubai ili kufungua milango ya kibishara kama tulivyofanya kwa nchi nyengine,.
Mkataba wa kuwapa usimamizi wa bandari utafata baadae kama tutaridhiana sisi na Dubai. Je sasa mnavyolazimisha tuwaamini nyinyi wapiga domo kama nani?!
Naona mmeshachoka kuwaibia watanzania hasa ktk hayo meneo mliopachikana, sasa mnataka kuiharibu amani kwa kuhamasisha uasi dhidi ya serikali kinuke tuchinjane wenyewe kwa wenyewe ili mabwana zenu wanaowatuma waje kusomba rasilimali zenu na nyinyi muwe vibaraka wao huko maporini na nchi yetu ya Tanzania iwe kama Congo?!
Msijidanganye mkilianzisha hamtafika popote mnabweka kama mambwa koko, nyinyi asilimia kubwa ni waoga, juzi mlitangaza maandamano nchi nzima mbona mlijifungia vyumbani kama wali, baraka ya wingi tu kwenye mikutano yenu ya kupumbazana na kijazana upumbavu.
Mikusanyiko yenu haitishii chichote, hamjafikia hata theluthi ya ukali wa nyuki, nyinyi ni kama nzi tu kimba lililonyewa kando ya choo, kwa jinsi mnavyoogopa kufa mkisogelewa tu wote mnatimka kila mmoja na njia yake.
Tambua Tanzania hakuna pakujifichia, kila kwenye pori la nchi hii kuna askari shupavu na makini walioapa kwa kuyasabilia maisha yao ili kuilinda nchi hii, sasa jaribuni muone kama hamjazimika kama moto wa kibatali.
Enzi zile za baba yetu kipenzi Mwendazake hayati Magufuli aliwahi kuwatahadharisha mkilianzisha balaa lenu badi hatotoka mtu.
Kila mzalendo anayeitakia mema nchi hii tayari ameshawashitukia na hakuna mzalendo atakayeweza kuwaunga mkono, nyinyi ni wanafki mmeng'ang'ana kuwatetea wezi badala ya maslahi ya taifa.
Tanzania ni moja na watanzania wote ni wamoja, umoja wetu na amani yetu ndiyo ngao yetu. Tanzania itadumu daima.
Waziri Mkuu, hakuonesha Facts, data, wala reaches za kupanguwa hoja ya mezani, alitishatisha tuu, hakuna mdubai kuingia bandari kwa limkataba la ovyo hivyo☹️☹️☹️☹️😏
Umeandika kwa kirefu lakini sijaambulia kitu.
Ni kweli kuhusu wezi Tanzania bara wamezidi nao ndio waliopeleka wezi zanzibar hilo tuukubali
Mkataba wa Bandari sio wa Dini Ni wa Kisheria na tueleze mspungufu yake Kisheria na sio kidini
hakuna mkataba wa bandari, hizo ni porojo za wapotashsji wasioitakia mema nchi hii. fatilia hutuba za waziri mkuu. na ndiyo maana hakuna yoyote anayeweza kuutoa huo mkataba hadharani na akaonesha mapungufu yake, wanachokifanya ni kuwahadaa watanzania kwa kutumia mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiinchi kati ya Tanzania na Dubai. Hao wapiga porojo wana ajenda ya siri kuwavuruga watanzania ili kuimarsha chama chao na hata kuzuia usimamizi mpya wa kampuni inayotajwa ambayo inaonekana wazi itazuia wezi wanaoiba hapo ambao asilimia kubwa ukichunguza utagundua ni watu wanaotoka ktk kanda inayowaunga mkono wapiga porojo hao, hao ni watu wao wanaonufaika na hiyo hali iliyokuwepo hapo na ndiyo maana hauwezi ukasikia wakiutaja ufisadi unaofanyika bandarini hapo zaidi wao kung'ang'ana na upotoshaji huku wasiojua kuna mchezo gani unaofanyika wanabaki kuwa wasindikizaji kwa kufata mkumbo wakihisi wanasapoti uzalendo kumbe na wao wanasaidia harakati za kuwabakisha wezi bandarini.
Umejieleza sana, lakini naweza kusema umetumia vibaya muda wako.
Hawa watu wamejaaa udini sijawahi ona, kumbe lengo sio kujadili mkataba bali udini, nyie mtaacha lini udini
Babu upo Sawa. Nawasihi wote tuyasahihishe yanayokera ktk mkataba huo ili Kwa pamoja tusonge mbele Kwa umoja wetu tuliorithi toka Kwa Waasisi wetu WA Taiga letu. insha'Allah tutaelewana.
M/mungu akujaalie Kila la kheri Leo na kesho inshallah(baba yangu)Habib mwamba
Mkuu umeongea vizuri lakini hata aliyekuwepo Bandarini Nazri Karamagi ni Muislam. Hapa sio udini tusiendekeze hayo. Hapa ni vipengere vya Mkataba ndo vijadiliwe, lakini pia Kumtaja Rais kusiwepo kwa sababu ahusiki na Makando kando haya. Yeye alimpa Jukumu msaidizi wake (Waziri) naye ana wasaidizi wake Wanasheria ambao nadhani ndo walizembea kupitia Mkataba ule.
Naona mambo yanazungumzika na yanajadilika . Tuwe watulivu na tuzungumze wala hatuhutaji kuhesabu Waislam ni wangapi na Wakristo ni wangapi, hebu tutazame Utanzania kwanza.
Na vitabu unavyovisema ni vile vinavyofundisha uendeshaji wa dola na utoaji haki kwa misingi ya kiislamu
Hivi kujadili huu Mkataba na kuupinga inahusiana vipi na Uislamu au Ukristo? Ninyi ndio mnaoleta Udini sasa. Yaani hata kama Mkataba una utata mnataka watu waukubali tu kisa eti umeletwa na Waarabu? Kwani mnadhani DP World wanafanya kazi Waislamu peke yake? Acheni Udini jadilini maslahi mapana ya Nchi. Mimi ni Mwislamu na naukubali sana uwekezaji lakini huu Mkataba ni muhimu sana ujadiliwe
Wanaingizia Kisingizio watu wanazunguzia mkataba wengine wanaingiza udini
😅 wanachekesha
Daah huyu Mzee Mohamed Said pamoja na kuwa mwanahistoria mzuri sana, lakini huwa hawezi kuangalia jambo lolote bila kuvaa miwani ya dini. Kwa mfano, hili la bandari mbona halina udini wowote jamani?
Mzee kanishangaza sana hata Mimi. Kumbe nchi hii kuna watu wana UDINI hivi?? Mimi hata kwenye uchaguzi sijawahi fikiria dini ya mtu kabisaaaa! Nahisi sina wivu na dini yangu, inabidi niamke aisee.
sijui unaelewa au huwelewi au ndio unafanya makusudi. jifiche kwenye hiko kichaka lakini baadae utajutia ubinafsi wako. kwani hujui aliye wasema waislamu na wazanzibar badala ya kujadili mkataba? ikiwa Lema alikiri na kuonesha kuwa Samia ni rais wetu wote kwani hujui alikuwa anamaanisha nini. chokoeni tu nafasi ni yenu
Usitegemee jipya kwa huyu ni mdini sana vipi mkataba umepatikanaje???
Udini ni lugha yenu na hasa huyu bw said
@@josephrutta6834 umeona eeh. Tatizo ss wakristo tunachukulia wote ni watz kumbe wenzetu wana agenda yao pembeni wanawachagua viongozi kwa dini zao😄
Udini upo mbona hampingi mkataba wa MoU wa makanisa na serikali kama ninyi mna tetea maslahi ya nchi mbona hamkulalamikia jueni kuwa nchi hii si yenu kwanza mko wachache sana asilimia zaidi ya sitini ni waislamu tuheshimiane tusidhulumiane wala tusikwazane..!
Jaman me naamini kunawaisilamu wasomi sana nyie haumuoni mkataba ni mbovu ,mkataba gani hauvunjiki,, mkataba gani hauna consideration ,mkataba gani hauna time,,,, tusilete udini na uzanzibar na ubara ,, dibouti wanalia adi Leo na mkataba wa DP world kwani dijibouti ni nchi ya kikristu
Yaani Shekh Mohd wewe madini ya Tanzania nzima yawekwe kushoto na ww ukae kulia basi bado ww unathamani zaidi kuliko hayo madini.
mbona nashindwa kuelewa!!? Mimi nilifikiri hapa cha muhimu zaidi ni mkataba wa DP World! mambo ya dini yanakujaje!!?🤷
Yote haya bro
Yameletwa na wanasisa
Pale wanaposema
Wa Zanzibar wanauza Tanzania
Hivyo yameleta fikra tofauti
Mzee kila ulichokisema kinadhihilisha tatizo la udini ambalo waislamu mnataka kulileta ndani ya nchi. Mimi ni mkristo na maisha yangu yote miaka 56 marafiki zangu wengi ni waislamu na hatujakuwa na tatizo la kidini. Wakristo hatuna shida wala muda wa kuiongelea kuran au uislamu MARA nyingi nimeona ndugu zetu waislamu wakiwaongelea wakristo na kuongelea biblia. Wote tunajua kuwa dini ikiingizwa kwenye siasa ni HATARI KUBWA… ndio maana tukasema nchi yetu haina dini. Na serikali haihusiani kabisa na swala la kujenga shule au vyuo vya kidini hilo ni swala la taasisi, waumini, na dini husika. Swala la mkataba linahojiwa na watu wote waislamu na wakristo… wote hawapingi waarabu kuja kusaidia kuboresha utendaji na ufanisi wa Bandari zetu KINACHOHOJIWA ni baadhi ya vipengere vilivyomo ktk mkataba kuwa havina tija kwa Taifa. Mzee unaonyesha kuwa ulitaka Nyerere alete udini kisa alishirikiana na waislamu ktk Uhuru wetu… Nyerere hakuamini ktk kuendesha nchi ktk misingi ya kidini… kuwepo kwa wakristo wengi wenye Elimu ndani ya serikali wakati huo ilikuwa sio Nyerere alilileta bali lilitokana na wakristo wengi walikuwa na Elimu nzuri kutoka ktk shule za wamisionari. Tatizo waislamu wengi wakati huo walijikita sana ktk Elimu ya madrasa/dini. Ningesema mengi ila nadhani unapotosha umma na sio kitu kizuri… UNALETA UDINI KTK SWALA HALIHUSIANI KABISA NA DINI ZETU… madhara ya mkataba hayatajali dini ya mtu, yanaathari kubwa kwa wote waislamu/wakristo.
Huyu mzee sijamuelewa maana tunazungumzia kuwa kunavifungu vya mkataba wenyewe haupo sawa yaani kuna tatizo sasa yeye ndiyo kaleta zaidi mambo ya udini badala angesisitiza watu kuwa pamoja
Halafu huyu mzee anataka atuthibitishie kwamba Dini ya Ukristo ni ya ubaguzi wa rangi akidai kwamba Uislamu hauna ubaguzi wa rangi. Mbona sasa Waarabu walifanya Biashara ya Watumwa kwa Babu zetu kama hawana ubaguzi wa rangi?
Wote Wazungu na Waarabu na watu weupe walitubagua na kututawala na hii wala haihusiani chochote na Dini.
Kwanza hao DP World anaozungumzia watendaji wengi ni Wazungu na watu wa nje wala sio Waarabu kama anavyodhani. Kwani Mkataba wa DP World utakunufaisha nini wewe kama Mwislamu au Mkristo?
Nimeishi Arabuni wengi hawana elimu bali wanatumia Wazungu na Wahindi kufanya kazi za Kitaalamu. Watu weusi wengi wanabaguliwa sana.
Ongeeni ibovu wa mkataba dini ni vikundi vya kumwendea mwenyezi mungu kila mtu aabudu anachoona ni haki kwake
Mbona viongoz wenu wa juu wa dini wanaweka mbele udini kuliko maslahi ya taifa na hamuwakemei? Huend mnapiga makofi.
Kwani mkataba si umepelekwa kanisani kujadiliwa nn ..!
Je uhuru uliokusudiwa na Skyse na wazee wengine ulikuwa kwa ajili ya Dini ya Kiisilamu? Je hayo yasingewatokea waisilamu yasingewatokea wakristo?
Mchungaji Mtikila alimpinga sana Nyerere, Mtei alipishana na Nyerere, Tundulisu alimpinga sana JPM lakini hawa wote ni Wakristo... Kwa nini Raisi akiwa muisilamu akipingwa mnasema anapingwa dini yake?
Kwa hakika ndugu Mohamed ameongea kwa hisia kali lakini kwa uungwana. Ebu wahusika kwa Nia njema waujadili mkataba ibara kwa ibara bila kileta yale ya Nje Mkataba- Uislamu, Uzanzibar nk. Watu wazima tena wasomi Watanzania wanastahili kuwa na akiba ya maneo, kuwa wakweli na warejee katika dhamira yao ya ndani kabisa.
Waambie hao wapumbavu wanaoibeza dini ya uislam ilihali imefanya kaz kubwa ktk kuleta uhuru wa nchi hii lakin leo anaonekana nyerere tu
Mohamed saidi si mdini kama mayo coment!!ila siku zote ukiongelea kuhusu uislam u,utaitwa mdini!!l
Maana maana ya udini kwa tsfsiri ni kuutaja UISLAM!!
Mohames Saidi yeye kila siku kuhubiri udini tu Badala ya kujadili mkataba na vipengele vyake vyenye utata mnadjili dini na ukabila mnacheza ngoma ya CCM
Asante Sheikh Mohammed kwa kutujuvya na kutuzindua kumbe kuna madudu makubwa ya serikali ya Tanzania dhidi ya raia wake wasiokua “ WAKATOLIKI” inakuaje kuweka “ memorandum of understanding “ na Makanisa ya kuwasaidia mabilioni ya fedha ya walipakodi kwa Wakristo tu wakati wanasema serikali haina dini?
Na hizo pesa ndio zilileta vita somalia mpaka sasa vita hijaisha Nyerere alisababisha nchi ikatulia
Tunaomba copy za mkataba wa makanisa na serikali tuijadili hapa
Ili waislamu nawawo waingie mkataba na oac.
Mzee Wewe Unaongelea Misaada.Hizo Nifikra Za Watu Waoishi Kwa Misaada.Hizo Ni Fikira Za Kitumwa.Usimwaminie Mwarabu.Huyu Ni Mtesi Wetu Mpaka Leo.
Tatizo ni kuficha historia ya ukweli na misha halisi aliopatia uraisi M/Nyerere ikifuatiwa na khiana baada ya Uhuru.
Sheria na nguvu za kuitawala Tanzania ilitengenezwa toka baada ya uhuru na serikali ya mwanzo ya Nyerere,iliyolipa nguvu kanisa,kuingia mkataba kama wa MOA,wa kuliaaidia kanisa kwa pesa za walipa kodi,leo ubalozi wa Vaticani upo Dar,waislamu wanazuuliwa hata kujiunga na jumuiya ya kimataifa ya kiislamu,OIC,mkataba wa bandari mwezi huu wa Zanzibar chini ya ufaransa/wazungu/wagalatia/wakristo hujasikia pingamizi,kwa kuwa kama ulivyosema mkataba wa Dar chini ya Dubai/waarabu/waislamu,ndio imekuwa shida???,kuwa na imani hii sio haki.
Upumbavu wa huyu mzee unatokana na kuangalia mambo kwa miwani ya udini.
Anasujudu sana waarabu
Mumekua na kiburi Sana wakiristo Sasa hivi Tena munatuonesha hadhara nnasi
We are caught in the same trape as the primitive man was trapped. We are all attached to something. Why don't we get out of those trapes .....religious trapes!!!
Mkoloni tuliyemuondoa hapa Tanzania alikuwa mkristo na Nyerere sialikuwa mkristo mbona tumfukuza wingereza ambaye ni mkristo ....waarabu ni waslamu ni kweli lakini sisi tunatetea bandari zetu kwakuwa mkataba ni mbovu si dini hapa...tunapotetea chetu hatuna cha uislamu au ukristo tuna utanganyika....sasa mmejisahau mnaleta udini ...Ok mnacheza na moto
Hakunakatibaya Tanzania inayodailazima kiongozi awemkiristo aumwislamu hawa wazee yawezekana waombewe kiongozi waTanzania anaweza aukuwamwisilamu aumkiristo audini yoyote zikiwemo dini zajadi tulizozikuta hapaduniani inahitajika busara mujadarahuu sivilaka.vyakutuondoa kwenyemujadara wakinacho ongelewa naserikali nawananchiwake swalanikuishauri seikali.