"...Kuolewa si kuvaa,kula wala kunywa.Kuolewa ni stara...."Fuatilia filam hii yenye mafunzo na burudani pia USISAHAU Ku SUBSCRIBE,SHARE kwa marafiki na COMMENT
Napongeza wasanii wotee na nafurahia filamu zenu. Vile hamukuacha asili zenu. Pongezi sanaaa kwa kutukumbusha zamaa za nyanya na babu zetuu. From Mombasa kenya 👍🏼
Mie si mkojani , wala mpemba lakini napenda sana kujifunza maneno mapya , lahaja mpya , lafudhi mpya , Hongereni sana kwa Management nzima iliyofanikisha kuwaweka pamoja mtufunze , tumechoka huku bara na Blogs na Online TV zimejaa udaku wa Diamond , Zari , Hamisa , Lulu , Irene Uwoya , taabani roho yangu . Hongereni sana kwa kutupa vya asili yetu .
Niwape rai Jufe, nashukuru kutuwekea kazi kama hii bali pia naelewa kazi hizi zimechukua gharama za kifedha na wakati kukamilisa. Basi mungeweka namba ya tigo/easy pesa kwa anaetaka kutabaruku chochote, sio kwa lazima bali hiyari kwa anaetaka kufanya hivyo
Asante kwa ushauri mzuri ,wazo hili ni zuri na tutalifanyia kazi tunajua mnatupenda sana na muko tayari kutupa sapot ili tuendelee kufanya vitu vizuri zaidi...shukran
Hongera Mwinyi kwa msimamo wako kama mzazi na wazazi wafuate msimamo huo huo ili kweza kurjesha mila na tamaduni zetu za kipemba na kizanzibari kwa ujumla
Shukrani kwa movie nzuri yenye mafunzo teletele yatakikana uwe na subra kila jambo mungu alilipanga kwa wakati wake ona sasa umekosa mwana na maji ya moto penda sana kazi zako mzee mwinyi
Napongeza wasanii wotee na nafurahia filamu zenu. Vile hamukuacha asili zenu. Pongezi sanaaa kwa kutukumbusha zamaa za nyanya na babu zetuu. From Mombasa kenya 👍🏼
Mie si mkojani , wala mpemba lakini napenda sana kujifunza maneno mapya , lahaja mpya , lafudhi mpya , Hongereni sana kwa Management nzima iliyofanikisha kuwaweka pamoja mtufunze , tumechoka huku bara na Blogs na Online TV zimejaa udaku wa Diamond , Zari , Hamisa , Lulu , Irene Uwoya , taabani roho yangu .
Hongereni sana kwa kutupa vya asili yetu .
Chayo Gasperi umeonaee
Sie wa bara ndio zinatupa raha
Wallahi nafarijika mno kusikia lafudhi na lahaja ya kikwetu Kojani big up sana Mwinyi Mpeku na wote mnao tuwakilisha.
@Rukaiya Rukaiya Naam dada angu
Tunawakilisha pemba nzima sik kojani tu
@@abbassalim2426 naelewa sana labda hujaielewa comment yangu
Shukran
@@JufeFilmCompany Tupo pamoja sana
Mashallah kazi nzuri sana mungu azidi kuwazidishia vipaji wana kwetu
Amin amin kwa sote
Best actors mwinyi mkuu, kitatange, kachara they need be awarded wallahi MashaAllah great jobs you are doing MashaAllah
bona tuzo upati wana kuonea ila pambana tu haya maisha sote tuna pita move zako nzuri sana zakuelemisha
na kuburudisha.
Mwinyi mpeku nakukubali sana ww ni fundi
Nataman kumuona mzee mwinyi na kachala Jaman nitafurah Sana hyo siku
Hongereni sana filamu nzuri, Sisi wengine tunafurahi tukiona mnapiga hatua
Salim Bakar r
film iko poa 100%
love to watch your films,natumai mutakuja na mfumo wa series soon inshallah all
love jufe film production.
Niwape rai Jufe, nashukuru kutuwekea kazi kama hii bali pia naelewa kazi hizi zimechukua gharama za kifedha na wakati kukamilisa. Basi mungeweka namba ya tigo/easy pesa kwa anaetaka kutabaruku chochote, sio kwa lazima bali hiyari kwa anaetaka kufanya hivyo
Kweli kizuri chajiuza
Asante kwa ushauri mzuri ,wazo hili ni zuri na tutalifanyia kazi tunajua mnatupenda sana na muko tayari kutupa sapot ili tuendelee kufanya vitu vizuri zaidi...shukran
kama tunajikubali wapemba kama tunajua gongen like hapa
Hongera Mwinyi kwa msimamo wako kama mzazi na wazazi wafuate msimamo huo huo ili kweza kurjesha mila na tamaduni zetu za kipemba na kizanzibari kwa ujumla
Filam nzuri huyu mama yupo sawa kweli kweli ina mafunzo mazuri kiukweli BIG UP
Mbona pemba kuna watoto wazur namna hii
Mhhh noma
#NAJIVUNIA KUWA MPEMBA2020
Hahaaa aaahh aaa mm sie ntaekae olewa atakae olewa ni mwanangu # mwinyi
Tamaha mbaya Sana wallah
mambo haya yameshatokea sana kwa watu wengi kwa tamaa ya mali daah.
Mashallah Allah barik nyote lkn Mwinyi na kachara Mungu awape maisha marefu na wapenda sana.
Munanifurahisha jufe kazi nzuriiiiiiiii wapemba twajuaaaa abaa pemba nkwetuuuu
kumpata mwanamke mwenye msimamo wa kumjua mungu ni raha ktk nyumba
Mcheza kwao hutunzwaa muko juu wapemba wezangu🥰🥰🥰
raya shaib
02
Mwinyi, Kachara, hongereni sana kwa kazi nzuri. Nawapendaga sana. Pigeni kazi.
Mwinyi mpeku aka chotara wa kojan😂 hongereni sana kw kazi nzr...kiukweli nawakubali sanaa. Allah awafungulie zaid
Amin
Mnyamaa kiswabi nakubali kazi kazi sema
Bahati haina kwao
hupendi mpaka mke wa watu
#NAJIVUNIA KUWAMPEMBA
Shukrani kwa movie nzuri yenye mafunzo teletele yatakikana uwe na subra kila jambo mungu alilipanga kwa wakati wake ona sasa umekosa mwana na maji ya moto penda sana kazi zako mzee mwinyi
sume sume kajal
@@ibrahiothman938 Kajal ndo nini au umenitukana kikwenu sheikh
sume sume hahahahahaha
Salum maziwa uko pw
Shukran sana kwa Movie nzuri yenye Mafunzo tele,Hongereni sana kwa Kazi nzuri.
Mbona hukokoti bero.hihiiiiiiiiii.panga safi sanaaaaaa pemba nkwetuuuu
Hahhahaha anaumwa na tumbo
Hatari
Iko safi sana hii tutajifunza mengi tu inaeleweka hii safi sana wasanii
Bonge la movie, mzuri sana inamafunzo ya kutosha
Mke wa kiswabi maaashallah nimempenda buree
Alhamdulilah InshAllah heri subra ndio muhimu
MaashAllah,maneno yako mazuri Sheikh,kijana wacha zako mwinyi kuwa Allah
Mashallah mwinyi na kitatange na kachara hakika mnatukonga nyoyo
Big up muko vzr ktk mafunzo na ucheshi hadi mbavu znauma
Ndoivo lakini huyu bibi kijecha nasikia kasha kufa inalilah wainnalilah rajun mungu amjalie mapunzko mema
Mwinyi uko juu.. kachara weeeeee😂😂😂😂
Kazi mzur mashallah ilove u pemb ,pemb my home.
Hongereni nyote mulioshiriki
Hii noma duuh nmependa jaman
Majan ya mgomba ndy chakula cha Leo
Mkee wake Kiswabi mzuri masha Allah nataka nimuone siku moja
Mko vizuri sana
Nakupenda mwakombo100
Mbn mukosawa nyinyi tena vibaya sana
Congratulation Jufe. Good work, a lots to learn from this movie.
Yeah, this is so real, it's amazing I am a huge fan too . I love Pemba's accent
Ni movie ila kma ni kweli hyu dada ana hizi tabia bc natangaza ndoa ,mana wanawake kma hawa walikufa tangia vita vya pili vya dunia hukooo
Jamani Pemba kuna watoto wazuri ntk nje nioe
hahaha we nenda zako kalale maana komba waomboleza uko...respect,, u Pemba nkwetuuuuuuuuuu
😂😂😂
tunapenda sana kazi zako mwinyi.
Shukran
Dah hongera kiswabi
Masha Allah nimefurahi kuangalia Pemba Movie 🎥 kutoka hapa Münich Germany 🇩🇪
Muko sw mungu aswazidshie kipaji
Like xn move zetu za pba munajua asa site za kuect bana 100 mia
Tamaa mbaya
Masha'Allah film nzuri sana.
Huu mchezo mzuri... Mashallah
😂😂😂 ukitaka kupunguz stress tizama hizi film kucheka km kote
Ma Sha Allah,
Mmh leo nimefurahi tuliisubiri zamani
Najivunia kuwa nanyi wapemba wenzangu
Hahaha...Kachara noma sana.
Wallh kachara anawapiga Kiswahili Wallah ww ni nomaa sanaa
Proud of my tribe😍😍
Me too ila nimemaliza kenya😣
👌
Hongereni juffe Muko VIZUR ila naomba movie zenu ziwe ndefu
Mwakombo umecheza ukiwa na madili mema na anayopaswa kua nayo mmke. Jitengeze hivyo kitabia utadumu ktk ndoa yako ya kweli
Masha allah semu mwakombo
I love my island Pemba and their people
Mwakombo weeee mtoto wa kipemba sema baba samahani hayo ndo maadili ya kwetu pemba
#NAJIVUNIA KUWA MPEMBA
huadui ela na stering sie mwinyi achekesha
sharti baya . kuwa wa mwanzo awe huyo huyo mara waletewa mwanga . Tobaaa kumbe mganga wenyewe mwizi 🤣🤣🤣🤣
Naomba like za kachara
maa shaa Allah nzur nlikuwa naisubiria kwa hamu......
😀😀😀😀 kiswabi umevunja mbavu Kaz yako naikubali 💯 kwa💯
Dah uyo aziza namtaka mm jamani nimuoe aje akae unguja
Kazi nzuri
Kiswabi
Move kali sanaa
Njoo mm nitakuoa
Jufe nyie mahodali mashallah😍
Hawa jamaa nawakubali sanaaaa
Hayo ndo maadili ya kwetu watoto wa kipemba
#NAJIVUNIA KUWA MPEMBA
Jamani namtka uyo aziza mimi
Hongereni washiriki wote, ila tamaa mbaya
Yp
Kweli ina mafunzo makubwa sana, kweli Majuto mjuukuu.
Nzur sana nimeipendaa hongereni nyote washiriki Allah awape ujuz zaid
Amin amin
Amin amin
Mchezo nzuri sana, nautazama taratibu lakini kila kipande ninachoangalia kinamzidi mwenzake kwa uzuri
Mtu ataona kanaowa nzungu kumbe...kanaowa chungu🤩
Doa&Mum W
Kachara haaaa😂😂😂😂
Nakubali kazi yenu
Duuuuh😨zongo la vumba kali
Asanteni nyote jufe 👍
Aaa baba hapa hapataki ulinz pana mijibwa chungu nzima
Masha Allah
Jitahidini muwe mnatoa filam ndefu kama hii sio mnatoa vipande vipande tunakuwa hatuinjoi
Dah Kama Kuna watu wanawatoa kafara watoto wao kw ajili ya utajiri Wataenda kujibu kwa Allah
Nawapenda sana haya watu
hili ndio tatizo mwanamke atadoda hakuna amuulizaye , lakini siku ajayoolewa tu wale wale watamuona mzuri na kumtamani .
Hawa jamaa nawakubali sana maana unaweza kuangali hii video ukiwa umekaa na wazee bila ya shida yyote
Siku zote tukitafutia watoto wetu wake hutafuta wenye maadili mazuri , jee wewe mwenye mtoto wa kiume na wako ana maadili pia ?
Tamaa mbaya saana
First to comment from Pemba
I live mtwara from pemba island kengeja
Fami , Zanzibar kwanza Mkengeja mwenzangu, wewe wa Kengeja ipi alooo
@@salimkhamis3638 makhuduthi
Kitatange mwenzio waniacha hoi na hilo recode la kihindi
Nawakubar sana mk vzl sana
Amini kwamba ikopowa sana
macho kama dudu vuli huyu mwinyi hachekeshi akata mbavu hasaa