ZANZIBAR SI SHWARI - 01

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Hali ya kisiasa si nzuri kwa Rais Hussein Mwinyi. Hii ni sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa hali hiyo. Sikiliza.

КОМЕНТАРІ • 266

  • @fahmisaid6758
    @fahmisaid6758 6 місяців тому +10

    Shukran Ansbert kwa kutuelimisha, Zanzibar kuna mengi na mazito endelea kutufahamisha.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 місяців тому +5

    Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 6 місяців тому

      Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 6 місяців тому +11

    KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE"
    MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Місяць тому

      @@kenedyrocky4641 Maneno ya kuambiwa ....

  • @user-zx9mk6pr1c
    @user-zx9mk6pr1c 6 місяців тому +2

    Wazanzibar wakaze ngoma siku zote maisha Yana maumivu!

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 6 місяців тому +12

    Bora ujiuzulu fadher mungu atakupa riziki ako kesho kiama upate pepo kazi mbaya sana

  • @myself4128
    @myself4128 6 місяців тому +8

    Zanzibar leo hii Inatangaza Kuishiwa Pombe basi ujue Utalii umeleta Majanga! na Msisahau Mashoga na Ushoga! Nchi itanuka Mavi mkikaa Kimya!😊

  • @stanslausmchonde7892
    @stanslausmchonde7892 6 місяців тому +11

    Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.

    • @batrumbeziks5946
      @batrumbeziks5946 4 місяці тому

      Huyo aliyejifanya "Mzanzibari" uliyempa kizungumza sio Mzanzibari. Sie Wazanzibari hatuna Kiswahili kibovu kama hicho.

  • @naimaabdu8012
    @naimaabdu8012 6 місяців тому +2

    Huo muziki unatuchanganya. Unatutoa katika kusikiliza na kutafakari linaloongelewa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 6 місяців тому +6

    Afrika tuna uhaba wa viongozi bora.Tunaongozwa na watawala wasio na uwezo,bora liende.

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o 6 місяців тому +2

    Asante mchambuzi mahili wangu umenidadafulia vizuri saaana

  • @user-iu3th3my7k
    @user-iu3th3my7k 6 місяців тому +2

    Napenda sana melody ya huu wimbo 💕

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 5 місяців тому

    ❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 6 місяців тому +8

    Zanzibar tunatawaliwa na mtanganyika kwa maagizo ya uengereza na marekan ..hatu mumunyi maneno..

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому +2

      Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama

    • @myself4128
      @myself4128 6 місяців тому

      sisi wote ni Nchi moja acheni ujinga

    • @user-gd2xj3xd1b
      @user-gd2xj3xd1b 6 місяців тому

      ​@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 6 місяців тому +2

      Na tanganyika tunatawaliwa na mzanzibar kwa mamlaka ya nani

    • @barakanyamafu5937
      @barakanyamafu5937 6 місяців тому

      Wewe ni mwongo

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 6 місяців тому +8

    Mchambuzi makini, aksante

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 6 місяців тому

      Mchochezi makini yeye Ngurumo yuko Ulaya likitokea varangati hayumo atafuhia sababu yuko Ughaibuni

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому +1

      Atakama yuko wapi watawala wanao watu wao ukouko

  • @jafarindande5574
    @jafarindande5574 6 місяців тому +1

    Urais 2030 kazi ipo, naona Dr Mwinyi anawanyima usingizi.

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura 5 місяців тому

    Una weledi mkubwa sana Ngurumo.

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 6 місяців тому +2

    Tunakuza sana mambo madogo

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 6 місяців тому +3

    Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA.
    HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Ndio ila ilo ni Moja Kati ya mambo muhimu lakini tungelimpata Mt mzalendo engerekebisha yote ayo

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 місяців тому

      ​@@user-et9vf2ro2k Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 6 місяців тому +7

    Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar

    • @omarkapula588
      @omarkapula588 6 місяців тому

      Sio kweli hilo ni jambo dogo msipotoshe watu zanzibar inazidi kuwa maarufu duniani

    • @RioIpo
      @RioIpo 6 місяців тому

      Hufai weye

    • @giovannir.restone182
      @giovannir.restone182 6 місяців тому

      @@RioIpo I don't have to !

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 6 місяців тому

      Zanzibar imekwisha na ishazama waliobaki majeruhi.

  • @yudamtewele2006
    @yudamtewele2006 6 місяців тому +2

    Nakuelewa Sana mkuu I wish one day uje kugombea hata uenyekiti wa Kijiji . Example

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 6 місяців тому +2

    Raisi mwiny umeongea point kubwa kwel kama angekufuata kwanza angetenda kitendo cha kiungwana si vizur kutangaza mtandaon kwanza bila kukufata

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 6 місяців тому +8

    Jamaa kaangalia mbali Sana utalii unamambo mengi kwa Imani yake ameona kazi haifai

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 місяців тому +1

      Ni vita tu ya maslahi. Waziri yule alikuwa ndie anaeuza pombe yote Zanzibar kama alivyosema Rais.

    • @user-hx8yd9gp2q
      @user-hx8yd9gp2q 5 місяців тому

      Kwahuu uliowepo zbar ndio haufai kwasababu umebeba kila aina ya maasia

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 6 місяців тому +1

    my prophetic mzee ngurumo

  • @amesalum3636
    @amesalum3636 6 місяців тому +1

    Well done My SIR ❤

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 5 місяців тому +1

    Muda utasema! Tusubiri.

  • @ChabAlly-jq6oo
    @ChabAlly-jq6oo 5 місяців тому

    Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 6 місяців тому +1

    Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena .

  • @user-ev3pw5me1w
    @user-ev3pw5me1w 6 місяців тому +1

    Huyu sio rais huyu ni gavana wa Zanzibar

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 4 місяці тому +1

    Urais wa kumwaga damu za wasio na hatia ili awe rais dhulma haidumu na ikidumu inadamirisha

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 6 місяців тому

    Huyu baba kweli tunakulenda sana

  • @user-qv7nx2tx6t
    @user-qv7nx2tx6t 6 місяців тому +1

    Uyo raix wa zanzibar anakula hela tuu alafu aondoke mchezo uishe

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 6 місяців тому +8

    ngurumo nimekukubali kuichambua Zanzibar ni ombi langu kwa muda mrefu huku ni shamba la bibi mwinyi anakipakulia minyama tu

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 5 місяців тому

    WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....

  • @zapauzapau-ts7se
    @zapauzapau-ts7se 6 місяців тому

    Sahihi usemayo

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 5 місяців тому

    Hii familia ya mzee mwinyi inajua faida ya biashara ya pombe.ndo maana tangu zamani wanaipenda hii biashara

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck 2 місяці тому

    Asante sana.

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 6 місяців тому +4

    Kila mtu na kipaji chake kweli, kwa upande wa chaneli hii, uchambuzi yakinifu wa kisiasa ndio mahali pake, safi kabisa ndugu, barikiwa, tunainjoi.

  • @humuodkindi4926
    @humuodkindi4926 6 місяців тому +1

    Zanzibar kuko shuwari kabisa. Haya maneno ni kawaida upande wapili wakiona shuwari hawapati usingizi

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 місяців тому

      Tena shwara kweli kweli We acha unafiki na kutia watu wasiwasi

  • @patrickmarwa9587
    @patrickmarwa9587 6 місяців тому +2

    History of Gaddafi of Libya

  • @issayahya1640
    @issayahya1640 6 місяців тому +2

    Mwinyi watu wengi hawamjui ila ni fisadi sana na ana ujamaa sana. Ulizia kampujimya Tronic ni ya nani

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 6 місяців тому +5

    Uyo simai anauza pombe na mwinyi anaitk biashara ya pombe, kiufupi wote wanapigania matumbo Yao.

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому +1

      Una uhakika gani tupe uhakika sasaiv ili tujiridhishe ili tuingie mzigoni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 місяців тому +1

    Hayo ni ya kawaida mbona Lowasa slijiudhuru Mungu amlaze mahali pema peponi

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 місяців тому

      Lowasa amekujaje hapa 2naongelea kuhusu Znz

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 6 місяців тому

      Kwa sababu Luwasa ni Mtanzania wa kupigiwa mfano.

  • @froma3732
    @froma3732 6 місяців тому +1

    Ukiwa unaongea hizo nyimbo hazihitajiki inakuwa unatuchanganya

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 6 місяців тому +5

    Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 6 місяців тому +1

      Ametumwa huyo

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому +3

      Wewe hujui kitu tulia unacho kiona wewe ni mshahara wako t

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 6 місяців тому

      @@user-et9vf2ro2k Wewe pia unachokiona ni chuki
      roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa

    • @user-gd2xj3xd1b
      @user-gd2xj3xd1b 6 місяців тому

      Mkereketwa kanena hhhhh

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Місяць тому

      ​@@R10_Rajab jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 5 місяців тому

    There must be a very crucial issue,so huwezi kusema eti Zanzibar si shwari. Lazima KUNA sababu

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b 6 місяців тому

    Safi sana

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 6 місяців тому

    Ni vibarak wa ccm kuiangamiza Zanzibar tu

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 6 місяців тому +12

    kama ni kweli Rais Mwinyi amegawa tenda za pombe kwa upendeleo kwa ndugu zake, basi huyu ni Rais bomu na Z'bar inaelekea kuzimu.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 місяців тому

      Shabib.... mzigo uliwekwa

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Una Dhani nini wewe

    • @w4058
      @w4058 6 місяців тому +1

      Majambazi tu hao CCM wakosefu wa utu imani hawana jengine washenzi wakubwa

    • @w4058
      @w4058 6 місяців тому

      Allah atuhifadhi Ansberten kipenzi chetu wapenda haki

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 6 місяців тому

    Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  6 місяців тому

      Zanzibar ni nchi inayotegemea sana UTALII. Ule si utalii wa kidini. Eleweni.

  • @leotvke.
    @leotvke. 6 місяців тому

    Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia,
    2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama

  • @ismaeldiwani1595
    @ismaeldiwani1595 6 місяців тому +2

    Fanyia utafiti mambo mengine unayoyawasilisha. Ukiendelea hivi utajivunjia heshima ya umakini

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 6 місяців тому

    Huyu Mzee SAA ingine kama hazimtoshi kabisaa! Yeye ni mwandishi wa kizamaani ! Sasa hapa znz huwa hatubahatishi!

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 6 місяців тому +6

    Huu mziki unakeraaa

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 місяців тому

      2lia ww ndo unaleta stim ya kusikiliza vizuri kinacho ongewa

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому +2

      Ndio ila kwa wengine unafurahisha maana kwaya wanazipenda Sana hawa

    • @godsson5954
      @godsson5954 6 місяців тому +2

      bora umeongea ni heri awe anaongea bila mziki au bora waweke beat tu

    • @stanslausmchonde7892
      @stanslausmchonde7892 6 місяців тому

      Huo mziki ndio kitambulisho Cha chanel hii ya SK MEDIA

  • @momylaviel
    @momylaviel 6 місяців тому

    ❤❤❤

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l 6 місяців тому +1

    Bora ujiuzulu zanzibar sinchi hii mkoa tu huu wewe waziri unaweza kwenda tia saini Kenya waje Kenya waje aekeze watu

    • @user-gd2xj3xd1b
      @user-gd2xj3xd1b 6 місяців тому +1

      Zanzibar ni mkowa wenye tarehe yake ya uhuru,katiba yake,Sheria zake,mipaka yake ni tofaut na mikoa ya Tanganyika kama vile Tanga,Daresalam,Dodoma nk

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Kweli tumshauri huyu Mt kwa Hali ilivo bora a hie t akafanye mwengine yabinafsi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 місяців тому

      ​@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 5 місяців тому

    Duuh! Kama ni HIVYO basi ni balaa. LAKINI hii haitoshi kusema Zanzibar si shwari

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 місяців тому +1

    👊✌👍.

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 6 місяців тому +1

    😒 Muziki sauti punguza please

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 6 місяців тому

    huo muziki kstska tsarifa zako unakera

  • @HhhTt-vl9ct
    @HhhTt-vl9ct 6 місяців тому

    Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.

    • @RioIpo
      @RioIpo 6 місяців тому +1

      Mercury na 6 degrees zote zake

  • @muuminsaid-bd6cm
    @muuminsaid-bd6cm 6 місяців тому

    Mm namkubali raisi wangu mwinyi pija kazi

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 місяців тому

    Kagame anaivamia nchi moja ya Africa mashariki Ndani ya wiki mbili hizi...fuatilia hii...it is serious

    • @user-mn7zq7cd5t
      @user-mn7zq7cd5t 6 місяців тому

      Inchi gani

    • @freduallughano2301
      @freduallughano2301 6 місяців тому

      Mmmh Kagame anajua madhara ya vita labda apigane na Burundi lkn kwa tz au kenya hawezi labda alazimike kupigana.

  • @user-ly7yx2be1p
    @user-ly7yx2be1p 6 місяців тому

    Wewe ngurumo unapandiwa kumbeee

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 6 місяців тому +1

    Serekali si ndo baraza la mawaziri au anaongelea nn Mwinyi wa mkulanga

    • @mwanalelee6
      @mwanalelee6 6 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 6 місяців тому

    Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!

  • @alvinbernad6549
    @alvinbernad6549 6 місяців тому

    Kimeumana😂😂

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 6 місяців тому +4

    Duuu urafi wa madaraka

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 6 місяців тому

    Hahaha serikali ya kifalme baba mwana

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 6 місяців тому

    Eeeheee

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 місяців тому

    😮😮Kaja bila ya WAZANZIBARI kujuwa nani raisi na yeye katumia kupiga watu na kuuwa alikuwa zaidi ya kujiuzuzu lakini kaganda na damu za watu 😮😮😢😢😢😮

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 місяців тому +2

    Acha uchonganishi Mzee miyeyusho

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 6 місяців тому +1

    Kumbe kisa ulevi?

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 місяців тому

    😮WAZANZIBARI HATUTAKI MUUNGANO HARAMU USIO NA MSINGI WA KIMAADILI WAZANZIBARI NA NCHI YAO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 6 місяців тому +1

    Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r 6 місяців тому

    Eti anataka kugombea urais Bara na siumesema Bara ndiokwao kwani akigombea anaizuia chadema kushinda, jinga Sana wewe

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 6 місяців тому +1

    Akioshwa Kwa Damu ya Yesu atatakata na kung'aa kabisa.

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому +1

      Au sio ulijuaje

    • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
      @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 6 місяців тому +1

      Imeandikwa ktk Isaiah.1:18.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 6 місяців тому

      ​@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu?
      Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa?
      ##Waebrania 5:7

    • @mrishojuma4695
      @mrishojuma4695 6 місяців тому

      Mjinga wewe we mwenyewe hujaoshwa na Yesu kwamaana hakujui Yesu mwenyewe kwamaana humuabudu Mungu Bali unawaabudu wazayuni

    • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
      @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 6 місяців тому

      Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 6 місяців тому +2

    Zanzibar ni shwari na amani

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 6 місяців тому

      Ngurumo anachuki sana sana sana na Tanzania

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 6 місяців тому

      Huyu mzee ametumwa

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Alokwambia Nani au kimya cha njaa ndio tunagugumia acha masihara yako wewe

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan4689 6 місяців тому

    Hakuna tatizo lolote zanzibar ni salama nchi imetulia hizo ni fitna zenu.Rais mwinyi piga kazi na tunakutakia kheri afya njema umri mrefu wenye afya na uzima uwendele kutuongoza mpaka 2030 kwani ufanya vizuri sana Amin.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 6 місяців тому +1

    Presidaar uko vizuri Baba piga kazi uko vizuri achana na wanafiki hao

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 6 місяців тому +3

    MIMI SIONI TATIZO HAPO RAISI YUKO VIZURI TU

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 6 місяців тому

    Naona nikiendelea kufurahia bando langu

  • @pherdsonmasansi3068
    @pherdsonmasansi3068 6 місяців тому +1

    Biashara ya Bia

  • @benedictmichael2425
    @benedictmichael2425 6 місяців тому

    Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Tunausubiri huo mshindo....

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 місяців тому

    HUYU RAISI SI MUISLAMU HATOKI MISIKITI I MBONA ANAJIHUSISHA NA POMBE POMBE AU MLEVI KAMA KARUME HAWA WATU HAWANA IMANI YA UISLAMU PESA MBELE WAMEWEKA SIO WATU WAZURI 😮😮😮 .

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 місяців тому +2

    😮SHAMTE MPUMBAVU MNAFIKI MUONGO HAJIJUWI WAPI YUPO 😮😮😮😮

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 6 місяців тому

    Viongozi wa Africa ni shida

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 місяців тому

    😮

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 6 місяців тому

    Manyan yakipigana nyas ndio zinaumia

  • @mohamedally5544
    @mohamedally5544 6 місяців тому

    Nahitaji mawasiliano yako mkuu Nina hitaji kuongea nawewe.

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r 6 місяців тому +1

    We fyatu Sana umejaa ukabila fitna uzandidu, mnafiki mkubwa wewe

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 6 місяців тому

    Huyu si mchambuzi. Ni mzushi tu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 6 місяців тому

    Kwani serekali ni nani si pamoja na huyo aliyejiuzulu?? Kama ana mawazo tofauti ndo ajiuzulu😢😢

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 6 місяців тому

    Rais Hussein si mlevi wala mnywaji wa vilevi

    • @rashidkihunga2938
      @rashidkihunga2938 6 місяців тому

      kama haukili wache wakile.kama hanywi ache wanywe

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 6 місяців тому +1

    Muongo hukutaka kujiuzulu muongo

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 місяців тому

      Eeee we Nani unaejiamini ili na sisi tupate ujasiri

  • @godsson5954
    @godsson5954 6 місяців тому +1

    UCHAMBUZI UFANYIKE BILA HUO WIMBO(BACKGROUND MUSICS SUCKS)

  • @user-tk8nn2tu3u
    @user-tk8nn2tu3u 6 місяців тому

    Iko wapi Zanzibar tunayoijuwa?

    • @user-jq7cf9qe8o
      @user-jq7cf9qe8o 6 місяців тому

      😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 6 місяців тому

    Kazi ipo kubwa sana Kwa Tanzania hii?

  • @alikhamis2692
    @alikhamis2692 6 місяців тому

    Mzee baba umesema ukweli mtupu upo sahihi

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 6 місяців тому

    Hivi ni kweli channel hii haijaona mema kwenye Serikali hizi mbili?

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 6 місяців тому

    We mpumbavu huyu ni daktari unayemuongelea ,acha uchochezi unajifanya una akili sana sio, na unaipenda Zanzibar!!!???