Unakwenda kufanya mziki fanya kilichokupeleka uelewe umechukua pesa zao,na kama unataka kufanya kampeni ya siasa kafanye siasa usichanganye mambo!!!!!JITAMBUE KATIKA HILO NA UZINGATIE HILO
Lakini kwa zuchu hii ni.mara ya pili kurushiwa vitu hata festival iliyopita hivyo anapaswa atafakari kujua kwa nini watu wanamrushia kama kuna shida upande wake ajirekebishe maana huenda wakamuumiza siku moja
Chanzo kimeanzia pale zuchu alipo sema mama samia mitano tena ndo watu waka anza kufanya fujo kiuhalisia hio sio video kamili mgeanza mwanzo ndio mgeelewa chanzo Ni nini 🙏
Watu walipa kiingilio kwa ajili ya kuangalia show ya mziki yy kawaletea siasi kipind ambacho sio sahihi nawala siomahala pake hivyo wahini kama mlivyoona wa kasema weeeeeee usitutanie 😂😂😂😂 ndio waka anza vurugu zao 🤣🤣🤣. Ila mbeya 🙌🙌🙌
Msichanganye siasa na mziki hata mimi ningemtemea mate mama samia mitano tena kama hatutaki ninyi mnafaidi siai wanaichi hatukioni huyu mama akifanyacho afu mitano tena nyambafu
laia wao wanamtaka didi tu😊,,,sasa sijui watampata 😊,,,na Kuna uwezekano kaka yenu asifanye shoo bongo, mpaka ujumbe ufike kwanza😅,au awatandaze walinzi Chini muda wa shoo yake.
Wewe fala acha kuongea unazi Zuchu kakosea anachanganya siasa na tamasha watu Wana machungu anaasema mitano tena kwa mama Samia angalia sehemu ulipo Jimbo lile ni chadema kuwa makini au unafikiri wabunge wa ccm walishinda?
@@ismailmshana2828 Sasa huoni kwamba niko sahihi katika hili!? Watu wajinga siku zote ni watu wa kuendeshwa na emotion. Unadhani reaction ya vurugu ni sahihi sanaa na ndiyo best option yako na hakuna option nyingine zaidi ya vurugu?
acheni kuandika kama vile hamjui nn sababu...zuchu amepata anachostaili huwezi kupeleka siasa kwny burudan 📌📌📌 ety mama mi5 tn!!! watu wa mbea nacmama na nyny UBAYA UBWELA 📌📌📌 na ningepend hii iwe endelevu tz nzima kwa wasanii wt machawa wa ccm📌📌📌 WATANGAZAJI TOENI HABAR ZA UKWEL
Kuwa wakwel coz shida aliusisha siasa neno alilosema ni kusema Mama mitano tena acha kupindisha maneno ndo mjifunze siasa na burudani za aina yoyote usiusishe jifunze kupita clouds kwenye tamasha la Fiesta
Ila kwann wasingeenda na lokole kule kwa pdiddy 😂😂😂😂😂 wakaamua kwenda na kijana wa watu lukamba😂😂😂😂 ila anajutia hilo maana kaliwa halaf boss kapewa royzroyz 😂😂😂😂😂
Wangempaka na mafuta kabisa, waache kulipotosha taifa na raisi wao wa mchongo, promo kila sehemu kama wauza nguo za mtumba kila sehemu wamekazana mitano, mitano ,mitano tena shenzi ,😢 uyo nyau nchi imemshinda achen uchawa, hatupishe wtz tupumue
Meneja Bwana Eti Vibe Lilipitiliza Watu Hawajapendezwa Na Mambo Yaliyo Trend Kwa Sasa Kuhusu P.DIDY Sasa Vibe Ilo Vibe Sema Tu Ukweli Bwana Watu Wamemkataa.
Nyie wasanii acheni kutumika kama machawa kisiasa especially now days watu wanahasira maisha magumu etc etc. Pigeni muziki acheni siasa jukwaani mtapigwa chupa sana tuu 😂
Millard ayo tatizo yako na wewe utakangi useme ukweli kuusu CCM umebindisha maneno, yeye alisema mama samia mitano tena watu ndo wakamaindi awakupenda na unajua watu wanavyomchukia uyo Rais wako wewe
Nichukue nafasi ii kukuomba msamaha kwa niaba ya Wana mbeya coz watu wengi awaelewe kinacho endelea but wanamlaumu tu zuchu zuchu akuwanyoshea watu kidole wala kuwaambia watu wa mbeya habari za siasa but kitu kimoja tu mlicho kosea wasafi ni kuweka stage kalibu na mashabi na 20% ya mashabi walio kaa mbele ya stage walikuwa ni wamelewa izo. Serengeti zenu za ofa ndo kulusha makopo na chupa ndala na akukuwa na mawe kusema zuchu kapigwa mawe coz wasanii wote walilushiw makopo sababu ni Moja tu stage kuwa kalibu na stage. Mboss alitaka adi kuvuliwa mzura marioo alipolwa koti bila bodi guli lingekuwa limeenda but dada zuchu tu yeye aliwai ku panic na kusema kwa nn mlushe vitu stagini na kupanic ndo kutupa maik chini na mm ndo nilikuwa wa kwanza ku I record iyo video na ku post TikTok na ika enda viral but all ni all sio zuchu kwamba alikataliwa mbeya wala kusema mama mitano tena wala kunyosha dole all in all wasafi mlikosea ku weka stage kalibu na mashabi vichaa Wana mbeya tuna upendo na tunakupenda zuhura
Unakwenda kufanya mziki fanya kilichokupeleka uelewe umechukua pesa zao,na kama unataka kufanya kampeni ya siasa kafanye siasa usichanganye mambo!!!!!JITAMBUE KATIKA HILO NA UZINGATIE HILO
Huyo mama watu hawampendi kabisa yaani
Tofauti na nandi anapendwa bhuana si yey
Naona kama watanzania wanaanza kuamka vile msiwalaumu
Wanaamka kwa kumrushia zuchu vitu 😂😂😂
Kuamka kwa kipi sasa?😂
Sio kwake tu ata angekua mchungaji akisema mama samia mitano tena anakula ngumi
Kwel bwana
Lakini kwa zuchu hii ni.mara ya pili kurushiwa vitu hata festival iliyopita hivyo anapaswa atafakari kujua kwa nini watu wanamrushia kama kuna shida upande wake ajirekebishe maana huenda wakamuumiza siku moja
Hiyo ndio Mbeya 😂 sifa akafanye Zenji 😂
Imenifurahisha sana hiyo wanaingiza siasa kwenye kazi zao kama wanapenda siasa wasubiri kampeni ifike
Wasanii wangapi wameperform,,mpaka iwe kwake
Uyo kakosea Heshima ya stage ety waunii...na kidole cha kati ndani ya mbeya 😢😅😅😅ile Ni nchi nyingine 😅😅
Chanzo kimeanzia pale zuchu alipo sema mama samia mitano tena ndo watu waka anza kufanya fujo kiuhalisia hio sio video kamili mgeanza mwanzo ndio mgeelewa chanzo Ni nini 🙏
Watu walipa kiingilio kwa ajili ya kuangalia show ya mziki yy kawaletea siasi kipind ambacho sio sahihi nawala siomahala pake hivyo wahini kama mlivyoona wa kasema weeeeeee usitutanie 😂😂😂😂 ndio waka anza vurugu zao 🤣🤣🤣. Ila mbeya 🙌🙌🙌
na kuna sehem kaonesha dole la kati hawajaonesha video nzima zuchu amewatukana@@AngelMazola
Wewe umesikia mitani tena wapi, khaaa mmeshikilia kueneza uongo
Acha kuongea ushuzi mkundu wewe
@@AngelMazolaacha kuongea ushuzi wewe Kwanza inaonekana Kuma yako inAnuka utoko
Unaimbaga ushetan tu nyimbo zako hazina maadil.
Burudani na siasa kwani hapo wanapiga kura? Wasanii wote wanapaswa kutofautisha mambo.
Nimesikia et "mlete mke wa p diddy" 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂na Mimi nimesikia 😂😂😂😂😂😂
@@hammytototundu9292 Bongo noma sana 😂😂
Pia mmi sijui nmeskia vibaya ama maskio yangu ni machafu,😂😂
Wao wenyewe hawajielewi washamba sana 😮
Safiii bola aje P didy mwenyewe😂😂😂😂
Mke wa P diddy
Kama kweli yeye mwanamke wa shoka ashuke apigane nao😂
Mbeya watamvunja kule wababe mnoo kina mwaisa ni moto sana
Ww wata auliwe
Mbeya hawamtak uyo mama enu mkome
Wanakera sana ni bora tu
Mbona kuna vitu tumesikia vikitajwa hapo
Tumesikia didi didi
Mm nimeanza kusikia wanataka mke wa didi😢
Msichanganye siasa na mziki hata mimi ningemtemea mate mama samia mitano tena kama hatutaki ninyi mnafaidi siai wanaichi hatukioni huyu mama akifanyacho afu mitano tena nyambafu
Wakanza Leo like zangu
laia wao wanamtaka didi tu😊,,,sasa sijui watampata 😊,,,na Kuna uwezekano kaka yenu asifanye shoo bongo, mpaka ujumbe ufike kwanza😅,au awatandaze walinzi Chini muda wa shoo yake.
Hii kitu sijapenda na sikitu nzuri....mm Niko Kenya lakn sikupenda ata Kama kauli ya zuchu ilikua mbaya kwao
Ushetani, penda kinachukufanya uwe na afya njema mpende mungu na maagizo yake utainjoy
Wewe fala acha kuongea unazi
Zuchu kakosea anachanganya siasa na tamasha watu Wana machungu anaasema mitano tena kwa mama Samia angalia sehemu ulipo Jimbo lile ni chadema kuwa makini au unafikiri wabunge wa ccm walishinda?
@@ismailmshana2828 Sasa huoni kwamba niko sahihi katika hili!?
Watu wajinga siku zote ni watu wa kuendeshwa na emotion.
Unadhani reaction ya vurugu ni sahihi sanaa na ndiyo best option yako na hakuna option nyingine zaidi ya vurugu?
Why wamesahau kumwagia mkojo awashwe atulize ngebe😂😂😂
acheni kuandika kama vile hamjui nn sababu...zuchu amepata anachostaili huwezi kupeleka siasa kwny burudan 📌📌📌 ety mama mi5 tn!!! watu wa mbea nacmama na nyny UBAYA UBWELA 📌📌📌 na ningepend hii iwe endelevu tz nzima kwa wasanii wt machawa wa ccm📌📌📌 WATANGAZAJI TOENI HABAR ZA UKWEL
kwakweli
😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe alileta ushambenga safi sana wangemtia navibao kabisa nakofia lake mfyuuuu
Samia hakubaliki kivile,huo ndio ukweli, acheni kufunikafunika hapa
Hila hii channel bora nikamsikilize mwambukusi crown
🇹🇿.. kumeanza kuchangamka..😂🔥🔥
Kuwa wakwel coz shida aliusisha siasa neno alilosema ni kusema Mama mitano tena acha kupindisha maneno ndo mjifunze siasa na burudani za aina yoyote usiusishe jifunze kupita clouds kwenye tamasha la Fiesta
Hayo ni majibu ya mungu. Kwa kumkosea katika hizo nyimbo zenu na bado atawaaibisha sana. Ona anavyowaaibisha kina mond. P didy na wengine wengi
Safi sana zoezi hili liweendelevu,kwanini wanakuwa uchi
MBEYA SIO YA CCM ,UKIENDA MBEYA USIFANYE SIASA
😂😂😂mwambie ajui
Unasema mitano tna kwa samia watu tunapitia magumu huku mtaani hujui
Kweli jamani
Kisa didy wa malekani...si inasemekana wamewala wakina tazanate na lukamba😂😂😂
Ila kwann wasingeenda na lokole kule kwa pdiddy 😂😂😂😂😂 wakaamua kwenda na kijana wa watu lukamba😂😂😂😂 ila anajutia hilo maana kaliwa halaf boss kapewa royzroyz 😂😂😂😂😂
P diddy 😂
Kwann aite wahuni
Watu wanahasira na Samia haraf analeta Usenge wa kumtaja Samia mamae angepigwa mpaka afe
Safi Wana nchi
Me nilikua nimesubilia apost Millard no nicoment
Wangempaka na mafuta kabisa, waache kulipotosha taifa na raisi wao wa mchongo, promo kila sehemu kama wauza nguo za mtumba kila sehemu wamekazana mitano, mitano ,mitano tena shenzi ,😢 uyo nyau nchi imemshinda achen uchawa, hatupishe wtz tupumue
Waache kusifia akina samia watu tunatekwa barabara zina haribika wao wanasema samia mitano tena jinga nyie wasanii
Mm Niko live KUTOKEA Xiexia
Mnaupoteza mziki WA Tanzania . Apo mnampoteza msaan kisaikolojia . Sio poa kulusha chupa sitejin akat MWENZIO anapafom . Huyo nae ni binadam anajisikia vby . Sjapenda
Wafanye nini sasa wakati hamna mawe
Yani wamemtia haibu mpakaaa
@@heaventv4668😂😂😂🙌
😂@@heaventv4668😂😂😂😂😂 umetisha
@@heaventv4668 😂😅😅 Dah 😂😂
KAWAKOSEA NINI?? MTU KUJA KUJA KUWABURUDISHA NDO MALIPO?? TOO BAD😢😢AFRICANS DO WE LOVE AND SUPPORT EACH OTHER??
Kwani akisema mitano tena ndo itapunguza kura za chadema au wameshakata tamaa 😊😊😊😊😊
amuulize mr blue mwaka 2003 -2004 kilichomkuta Arusha Triple A.
Meneja Bwana Eti Vibe Lilipitiliza Watu Hawajapendezwa Na Mambo Yaliyo Trend Kwa Sasa Kuhusu P.DIDY Sasa Vibe Ilo Vibe Sema Tu Ukweli Bwana Watu Wamemkataa.
Ccm watu hawaipendi usirudie
Kwani kuna shidooo😊😂
Safi sana...😂😂😂
Et watu wote wanaohojiw wanapndxha maneno wakat sababu zko waz kabsa
Nyie wasanii acheni kutumika kama machawa kisiasa especially now days watu wanahasira maisha magumu etc etc. Pigeni muziki acheni siasa jukwaani mtapigwa chupa sana tuu 😂
Millard ayo tatizo yako na wewe utakangi useme ukweli kuusu CCM umebindisha maneno, yeye alisema mama samia mitano tena watu ndo wakamaindi awakupenda na unajua watu wanavyomchukia uyo Rais wako wewe
Mitano atampa yeye na diamond
Je akuumizwa zuchu
Jamn sielewi hpa iv zuchu anamwitaje p did
Sababu ni kwamba basha wake pia ana basha kuko marekani anamtambalia 😅
Yan mtu awe na vaibu had akupige😂...hebu tuo maelezo yalio nyooka
Duh ni mwendo wa mawe tu hadi wasanii wajifunze jambo waimbe nyimbo za jamii sio hane
Mbna hamuoneshi za mario na mboso na diamond 😂😂 nikama zuchu ndo alirushiwa
Bado awaja sema😅😅😅
Analeta siasa kwenye mziki ndo chanzo
Shida siyo kidole shida ni kumtaja samia na watu hatumuelewi kmmk
Zuchu anaimba upuuz
Saf sana
Tumpe nchi tundu lisu au mbowe hahahaaa (?)
😂😂😂daaaaaah
Yajayo
Ushamba wa mwaisaaaa
Watu wanalipia kuburudika wao wanaleta siasa
😂😂😂😂😂 pumbavu sana
Wabongo.mnashda.ata.asipo.sema.mitano.mtabdirisha.kitugani
Wanakyusa awapend utoto....
Sasa unawaonhesha je kidole cha kati, ata kama alikua anamnhoshea ntu moja tasfiri amewaonhesha watu wiliekua mbele yake
Aibuuu
Fala uyo anazinguwa
Mshamba uyoo nao wasafi wote mashoga wana waimbia wauni ushoga etiy siendi wauni wana kupeleka2 awajali
mnge kapga mayai viza kakanukie mbele uko
Kuvaa nusu uchi mpumbavu huyu mtoto ulikuwa utiwe na Dole .
Hiyo mitano tena ndo tatizo kama hakuwa na chakusema bora angeenda marekani kwa kubwa la maadui 😅😅😅😅
Kweli kabisa mkuu angeenda kwa P didy mume wao😂😂😂😂😂😂
Wew.nawe.ufkiri.ataimba.wakati.wanarusha.mawe.ao.wambea.atajinarso.uoni
Sister alizingua kunyoosha kidole cha kati
An hiki kitu kimenikera sana watu wanachezea kaz za watu
Watu hawamtaki samia na wamemchoka. Maana alisema samia mitano tena
Kweli tuamkeni mabadiliko yanaanza na sisi
Nichukue nafasi ii kukuomba msamaha kwa niaba ya Wana mbeya coz watu wengi awaelewe kinacho endelea but wanamlaumu tu zuchu zuchu akuwanyoshea watu kidole wala kuwaambia watu wa mbeya habari za siasa but kitu kimoja tu mlicho kosea wasafi ni kuweka stage kalibu na mashabi na 20% ya mashabi walio kaa mbele ya stage walikuwa ni wamelewa izo. Serengeti zenu za ofa ndo kulusha makopo na chupa ndala na akukuwa na mawe kusema zuchu kapigwa mawe coz wasanii wote walilushiw makopo sababu ni Moja tu stage kuwa kalibu na stage. Mboss alitaka adi kuvuliwa mzura marioo alipolwa koti bila bodi guli lingekuwa limeenda but dada zuchu tu yeye aliwai ku panic na kusema kwa nn mlushe vitu stagini na kupanic ndo kutupa maik chini na mm ndo nilikuwa wa kwanza ku I record iyo video na ku post TikTok na ika enda viral but all ni all sio zuchu kwamba alikataliwa mbeya wala kusema mama mitano tena wala kunyosha dole all in all wasafi mlikosea ku weka stage kalibu na mashabi vichaa Wana mbeya tuna upendo na tunakupenda zuhura
Acha porojo zako wewe hazina maana hizo tena!
Sababu inajulikana ni mama mitano tena.acha kupindisha .na wewe si msemaji wa wanambea.
😂😂😂😂 mwambie huyo!! Yy syo msemaji wa wa mbea@@dianaleo6067
Kama alileta siasa alikosea sana zuchu ila kama si hivyo basi mbeya tulikosea sana angeumia je ingekuwaje?
Angeumia kesi ilikuwa nzito kumtambua mhusika, maana nikundi utakosa hata wa kumshitaki
@@mwasoprince3459 ni kweli
Tatizo kanaleta siasa sehem ya burudani shenzi kabisa
Shida.ya.watu.wabara.washmba
Mbeya tabia chafu
Alionyesha dole la kati kwa mashabiki
Kidole cha kati ndio kimeleta shida
Amekosea kuwajibu kwasababu tayari akili zao zilishabadirika
Duuuuh so poa kabisa
Mitano tena kwani uko kwenye kampeni
Ubaya ubwera eyatimba njooni huku tuwashugulikie
Ww ungewka video nzima watu wakaangalia hakn mtu anaweza kufanya jambo bila sababu
Jmn uyu dada c ndo yule bwanaake nae p did ni bwanaake
Ana haki ya kusema anachokipenda na nyie semeni mbowe atashinda
Sawa anahaki ,lakini je, ni mahalipake kuongelea hilo,, watu wamelipia burudani hivyo toa burudani nasiyo vinginevyo .
Watu wanachangamoto za naisha nyie mnaleta mapenzi mgemleta ney angeua hapo