RC Chalamila awaacha hoi Maaskofu na Mapadre / ''Visasi muachie Mungu mwenyewe'' Tuikwamue Kagera

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 290

  • @michaelkasogela7219
    @michaelkasogela7219 2 роки тому +9

    Kuungama ni muhimu sana mh Chalamila Mungu akubariki sanaaa

  • @justinemugwewa1583
    @justinemugwewa1583 2 роки тому +5

    Toka itiryo tarime mara tanzania Nawafuatilia online radio mbiu.

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 2 роки тому +8

    Yaani mnyalukolo Mwachalamila ninakukubali sana utendaji wako wa kazi. Yaani Inguluvi yikutangage hilo na yikulongolelage hilo bela

    • @kelvinmtavangu7701
      @kelvinmtavangu7701 2 роки тому

      Mnyalu ulonzile wunofu Hilo. Huyu MH. Challamila Mungu Ampe Afya njema hapo Kagera. Nyongise Hilo.

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 Рік тому +1

    Kuungama Huleta faraja na Baraka ya maisha. Hata zakayo mtoza ushuru alimuungamia Yesu

  • @GetfordMasehe-g2p
    @GetfordMasehe-g2p Рік тому +1

    Mbona Kama Magufuli vile jamaan mnyongemnyongeni haki take mpen huyu mwamba namkubali Sana mnyalukolo piga kazi tu tunakuombea mema siku zote

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 2 роки тому +3

    Hongera

  • @GetfordMasehe-g2p
    @GetfordMasehe-g2p Рік тому +1

    Duh huyu mwamba alikua wapi siku zote mbona Yuko vizur had siyo poa mnyalukolo nakukubali Sana Mungu awepamoja nawe

  • @tumainmasuki7110
    @tumainmasuki7110 2 роки тому +5

    Powerful

  • @GilbertModest-t3x
    @GilbertModest-t3x 6 днів тому

    Tunakuombea sana bwana

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 2 роки тому +8

    Anaongea kama JPM. Anazijua Takwimu kama JPM. Namkubali sana tena sana mh. Albert Chalamila.
    Maybe, the President to be.

  • @FelixMkini
    @FelixMkini Місяць тому

    Unamkubali kwa lipi?

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 роки тому +1

    Point sana chalamila

  • @nyikaaron3324
    @nyikaaron3324 2 роки тому +3

    Kweli nimekuelewa

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 роки тому +1

    Hakika mh ,charamira Ni kiongozi

  • @GregoryMlay
    @GregoryMlay 2 роки тому +5

    Ktk top 5, inashika nafasi ya 26? Hapo sijaelewa vizuri.

    • @charleschagu7818
      @charleschagu7818 2 роки тому

      Yaani katika mikoa mitano ya mwisho kimaendeleo kagela ni ya 26

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 роки тому

      Kwamba una wasomi wengi lkn maendeleo bado. Kamaanisha wasomi wapo mjini lkn kwao kupo nyuma

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Рік тому

      Kati ya top 5 mikoa masikinibna kagera IPO na Niya 26 Kati ya 30 YENYEWE ya 26 kwabhiyo top 5 mikoa maskin kagera IPO aibu mkoa wa wasomi

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 2 роки тому +2

    Wengine wanaungama kwa waganga wa kienyeji

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 роки тому +1

    Nimeneno ya msingi baba asikofu

  • @FelixMkini
    @FelixMkini Місяць тому

    Huyu naye anaunga mkono utekaji na mauaji?

  • @mankacharles4559
    @mankacharles4559 2 роки тому +2

    Hakuna toba kwa mtu anaeonekana kwa macho,toba ya kweli na ya haki toba ni kwa aliteumba asie onekana kwa macho

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Рік тому

      Huna sababu ya kubishana suala la Imani ni la binadamu na muumba wake. Hiyo unayodai ndiyo Toba ya kweli utaithibitishaje? Kumbuka Toba yahitaji dhamira ya dhati ya mtu binafsi kujutia dhambi ikiongozwa na imani. Hivyo mdhambi anayemwendea Padre kwa kitubia akiwa na dhamira thabiti ya kutubu na Imani kwa mang'amuzi thabiti ya kwamba Padre ni mpakwa mafuta , mtumiahi wa Mungu aliyepewa kazi ya kulichunga Taifa la Mungu, basi kama alivyopewa mamlaka ya kuwabatiza watu ili wapate kuzaliwa upya na kuwa wana wa Mungu basi anasimama vile vilë akifanya kazi ya ukuhani ya KUWAPATANISHA wanadamu na Muumba wao. Hii kazi hawajajipangia Mapadre kwa matakwa yao bali ni kazi waliyopewa na Mungu Mwenyezi kama mojawapo ya majukumu ya makuhani. Soma kitabu Cha wakali!

  • @grationkato7253
    @grationkato7253 2 роки тому +2

    Chalamila tusadie wana Kagera tupo nyuma yako

  • @reganantony8913
    @reganantony8913 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 роки тому +5

    Safi mheshimiwa utawala unauweza kagera wamepata jembe

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka Рік тому

    Je wewe hauiamini madhabahu ya Mwaposa?

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 2 роки тому

    RC KAGERA haina stendi ni vema ukalianza na hilo

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 роки тому

    Wako huku mjini kwao wamepasahau kabisaa

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 2 роки тому

    Mnyalukolo kamwene

  • @rafaelpaschal2245
    @rafaelpaschal2245 2 роки тому +1

    Nimekupandisha cheo Sasa umekua dkt charamila

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 2 роки тому

    Hapo mh umechemka utakapotubu mbele ya binadamu mwenzio unategemea nini yeye mwenyewe mjadhambi huo ni ukichaa tu

    • @davidchambulila6318
      @davidchambulila6318 2 роки тому

      Padri nimuongozaji tu wamaungamo pia ni shahidi tu wamaungamo anayeondoa zambi ni mungu

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 2 роки тому +1

      Bahati mbaya hujui vizuri! Siyo kutubu kwa mwanadamu. Chukua muda kujifunza jambo ili uliongelee

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 роки тому +1

      Imeandikwa.Akawavuvia akawaambia.Pokeeni Roho.Mtakao waondolea dhambi wameondolewa.Je,wewe unapingana na maandiko matakatifu?
      Ishu tu alipoingiza udini hapo ndipo amekosea.Maandiko yanasema mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi sio kwanjia ya dini. Hakuna dini iliyoingia mkataba na Mungu kuwa yenyewe ndiyo dini sahihi na pekee. kuwapeleka watu mbinguni.

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 2 роки тому +1

      Pole na hongera

    • @grationkato7253
      @grationkato7253 2 роки тому

      Fata imani yako