Huna sababu ya kubishana suala la Imani ni la binadamu na muumba wake. Hiyo unayodai ndiyo Toba ya kweli utaithibitishaje? Kumbuka Toba yahitaji dhamira ya dhati ya mtu binafsi kujutia dhambi ikiongozwa na imani. Hivyo mdhambi anayemwendea Padre kwa kitubia akiwa na dhamira thabiti ya kutubu na Imani kwa mang'amuzi thabiti ya kwamba Padre ni mpakwa mafuta , mtumiahi wa Mungu aliyepewa kazi ya kulichunga Taifa la Mungu, basi kama alivyopewa mamlaka ya kuwabatiza watu ili wapate kuzaliwa upya na kuwa wana wa Mungu basi anasimama vile vilë akifanya kazi ya ukuhani ya KUWAPATANISHA wanadamu na Muumba wao. Hii kazi hawajajipangia Mapadre kwa matakwa yao bali ni kazi waliyopewa na Mungu Mwenyezi kama mojawapo ya majukumu ya makuhani. Soma kitabu Cha wakali!
Imeandikwa.Akawavuvia akawaambia.Pokeeni Roho.Mtakao waondolea dhambi wameondolewa.Je,wewe unapingana na maandiko matakatifu? Ishu tu alipoingiza udini hapo ndipo amekosea.Maandiko yanasema mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi sio kwanjia ya dini. Hakuna dini iliyoingia mkataba na Mungu kuwa yenyewe ndiyo dini sahihi na pekee. kuwapeleka watu mbinguni.
Kuungama ni muhimu sana mh Chalamila Mungu akubariki sanaaa
Toka itiryo tarime mara tanzania Nawafuatilia online radio mbiu.
Yaani mnyalukolo Mwachalamila ninakukubali sana utendaji wako wa kazi. Yaani Inguluvi yikutangage hilo na yikulongolelage hilo bela
Mnyalu ulonzile wunofu Hilo. Huyu MH. Challamila Mungu Ampe Afya njema hapo Kagera. Nyongise Hilo.
Kuungama Huleta faraja na Baraka ya maisha. Hata zakayo mtoza ushuru alimuungamia Yesu
Mbona Kama Magufuli vile jamaan mnyongemnyongeni haki take mpen huyu mwamba namkubali Sana mnyalukolo piga kazi tu tunakuombea mema siku zote
Hongera
Duh huyu mwamba alikua wapi siku zote mbona Yuko vizur had siyo poa mnyalukolo nakukubali Sana Mungu awepamoja nawe
Powerful
Tunakuombea sana bwana
Anaongea kama JPM. Anazijua Takwimu kama JPM. Namkubali sana tena sana mh. Albert Chalamila.
Maybe, the President to be.
Kichaa kabisa
Exactly 💯
Unamkubali kwa lipi?
Point sana chalamila
Kweli nimekuelewa
Hakika mh ,charamira Ni kiongozi
Ktk top 5, inashika nafasi ya 26? Hapo sijaelewa vizuri.
Yaani katika mikoa mitano ya mwisho kimaendeleo kagela ni ya 26
Kwamba una wasomi wengi lkn maendeleo bado. Kamaanisha wasomi wapo mjini lkn kwao kupo nyuma
Kati ya top 5 mikoa masikinibna kagera IPO na Niya 26 Kati ya 30 YENYEWE ya 26 kwabhiyo top 5 mikoa maskin kagera IPO aibu mkoa wa wasomi
Wengine wanaungama kwa waganga wa kienyeji
Nimeneno ya msingi baba asikofu
Huyu naye anaunga mkono utekaji na mauaji?
Hakuna toba kwa mtu anaeonekana kwa macho,toba ya kweli na ya haki toba ni kwa aliteumba asie onekana kwa macho
Huna sababu ya kubishana suala la Imani ni la binadamu na muumba wake. Hiyo unayodai ndiyo Toba ya kweli utaithibitishaje? Kumbuka Toba yahitaji dhamira ya dhati ya mtu binafsi kujutia dhambi ikiongozwa na imani. Hivyo mdhambi anayemwendea Padre kwa kitubia akiwa na dhamira thabiti ya kutubu na Imani kwa mang'amuzi thabiti ya kwamba Padre ni mpakwa mafuta , mtumiahi wa Mungu aliyepewa kazi ya kulichunga Taifa la Mungu, basi kama alivyopewa mamlaka ya kuwabatiza watu ili wapate kuzaliwa upya na kuwa wana wa Mungu basi anasimama vile vilë akifanya kazi ya ukuhani ya KUWAPATANISHA wanadamu na Muumba wao. Hii kazi hawajajipangia Mapadre kwa matakwa yao bali ni kazi waliyopewa na Mungu Mwenyezi kama mojawapo ya majukumu ya makuhani. Soma kitabu Cha wakali!
Chalamila tusadie wana Kagera tupo nyuma yako
🙏🙏🙏
Safi mheshimiwa utawala unauweza kagera wamepata jembe
Je wewe hauiamini madhabahu ya Mwaposa?
Hapana..hiyo ni ya mwanadamu..
RC KAGERA haina stendi ni vema ukalianza na hilo
Wako huku mjini kwao wamepasahau kabisaa
Mnyalukolo kamwene
Nimekupandisha cheo Sasa umekua dkt charamila
Hapo mh umechemka utakapotubu mbele ya binadamu mwenzio unategemea nini yeye mwenyewe mjadhambi huo ni ukichaa tu
Padri nimuongozaji tu wamaungamo pia ni shahidi tu wamaungamo anayeondoa zambi ni mungu
Bahati mbaya hujui vizuri! Siyo kutubu kwa mwanadamu. Chukua muda kujifunza jambo ili uliongelee
Imeandikwa.Akawavuvia akawaambia.Pokeeni Roho.Mtakao waondolea dhambi wameondolewa.Je,wewe unapingana na maandiko matakatifu?
Ishu tu alipoingiza udini hapo ndipo amekosea.Maandiko yanasema mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi sio kwanjia ya dini. Hakuna dini iliyoingia mkataba na Mungu kuwa yenyewe ndiyo dini sahihi na pekee. kuwapeleka watu mbinguni.
Pole na hongera
Fata imani yako