Majaliwa aagiza makandarasi MV Mwanza kunyang'anywa 'Passport' Mwanza
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Uhamiaji mkoani Mwanza kuchukua hati za kusafiria za wakandarasi wanaojenga meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu kutokana na kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba.
Majaliwa ametoa agizo hilo leo Jumamosi Mei 7, 2022 alipotembelea na kukagua ujenzi wa meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo unaotekelezwa kwa gharama ya Sh97.5 bilioni.
Hakika tunapata imani kubwa maana tangu baba jpm atutoke tulianza kuona giza kumbe bado mungu anatuonekania, kassim endelea kufuta machozi watanzania kwa uzarendo huo.
Kweli.
Big up Sana Waziri Mkuu.. I still have faith in you. Najua unatamani jembe mwenzio JPM lingekuwepo mpaka wakati huu! I'm sure Nchi hii by now mgekua mmeifikisha kwenye standard za Singapore au Dubai. Huko sahii kabisa Meli ingekua imeshaingia kwenye maji coz ni muda mrefu sasa umepita! Mama anazunguka tu kutengeneza movie🤣 🎥 mambo muhimu kama hayo kwakwe nikama usiku wa Giza. Sad Sana!! Hongera Sana Majariwa Wewe ni Jembe kama Mpendwa wetu John Pombe Magufuli. 💪 I am sure mama will not like that!😂😂 Hataki kufunikwa nawewe mpaka hapo umemfunika vibaya Sana.
Na ndio maana akawateua hao wasaidizi wamsaidie sio kila eneo awepo yeye sio lazima!!
Ni ukweli kabisa 💯🙏🏽
@@reubenkissinga5802 Mh.Kasim hakuteuliwa na mama. Mr. Kasim ni remnant wa JPM. Mh.kasim ni Jeshi la Mtu mmoja.
Hata Samia Suluhu alikuwa kwenye uongozi wa Magufuli pia,,, kwa hiyo hakuna shida kuona wakiendelea kufanya kazi pamoja na utaratibu ni ule ule mmoja bado anaendelea kuwa boss wa mwenzake kuanzia awamu ya late Jpm hadi sasa awamu SSH!!!na hizo ndio kazi za waziri mkuu kwa kuwa yeye ndio mtendaji mkuu wa serikali,,,kwa hiyo ulitaka Raisi akakague kivuko???Sasa hao watendaji wake walioteuliwa na kuchaguliwa kwa kufanya kazi zipi kama ukitaka kila kazi afanye Raisi??wakati kuna watendaji wake wengi wa kuchaguliwa na kuteuliwa ambao ndio wanatakiwa kufanya hizo kazi,,,Raisi ni Taasisi dogo haifanyi kazi kama unavyofikiri au utakavyo wewe,,,,ni kwa utaratibu wa kimantinki na protokali!!
Mwache acheze movies za kukunana vizuri , Watanzania tunataka kazi kazi.
Machozi ya kufiwa na baba mdogo wetu wa Taifa magufuli,anatufuta majaliwa,maana mrithi anacheza muvi
Kwakwer n 😭😭 sjui tumemkosea nn mungu 😭😭
🤣🤣🤣🤣
@@hussenmishamo1963 hamjui mmesahau mlisali mlifunga mliomba mkapewe na yoote mliyoyaomba Mungu aliwapa mkajifanya wana wa Israel matusi kejeli Dharau mara mwizi kwa kweli mlimkosea saana yule Baba Mwenyeezimungu amrehemu subirini Mwenyeezimungu ametuacha twende kwa akili zetu na bado bila toba maji tutaita mma
Cheki hao wakolea wanavyomuangalia wazili mkuu Kwa kutia huluma walifikili JPM kafa...JPM hajafa......😂😂😂😂🤔🇹🇿🙏
Bora magu angemfanya huyu mtu makamu wake saiv angekuwa rais na nchi ingekuwa salama...
Mchezesha mchezo wote anawachora tu katulia
Inatakiwa watanzania tuchukue na passport ya mama ili asiwe anasafiri asimamie miradi hii
😂😂🤣 wee! Mtanzania gani sasa anathubutu!
Haa haaaa haaaa wewe ni kiboko...
Majaliwa atakuja kuwa rais wa muungano wa jamhuri ya Tanzania inshallah
Amen pendekezo lako Mungu akipendezwa alipatie kibali
😂😂😂😂😂 Uko sahihi sana.. ILa nimecheka jinsi ulivyoyachanganya hayo maneno..
Watu wamevurugwa ndugu yangu kachanganya maneno hana hata habari haa haa.. Ila namuunga mkono..
Huyu waziri ananishawixhi niwe nacheki taarifa ya habari ,safi sana mkuu🙏🙏🙏🙏
Allah akulinde na akupe afya bora mzee wetu kassim majaliwa😭😭kwan namuona jpm ndani yako
Ameen.
Asante Sana Mh waziri mkuu. Tunakuomba utembelee na miradi mingine
2025 usipo pitishwa na chama chako upinzani wanachukua nchi,
Muda ufike haraka Mama akapumzike zanzibar, amuachie huyu mwamba amalizie safari ya JPM
😁umesema neno tamu,.
@ Saxan njo ndugu umeupiga mwingi 🤣🤣🤣😍🏃🏃🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Majariwa upo nyuma ya hayati jpm bibi sura nzito timu msoga walamba asali wamerudi miradi yote bwawa la umeme trein mwendo kasi daraja la magufuli kigongo busisi kiujumla miladi imesimama apo kwenyewe unaangaliwa tu mhe'majaliwa kassim na mcheza sinema msoga timu watakuangusha kimchongo wake mungu akujaarie utuvushe mzalendo majaliwa
Ndicho kilichofanyika kwa Tanzaniteone, kampuni iliuzwa juu kwa juu bila STAMICO kujua
Waziri mkuu wewe kwa Sasa ndo tengemeo la watanzania..
Hakika unakayaga kwa mshuwa saluti mkuu
Safi sana hii ndio watanzania tunataka
Nampenda sana huyu kiongozi
We need this kind of boldness from all of our leaders
Yeeees yeeees yeeeees kazi iendeleeee saaafi saaaana Mh.
Magufuli namba 2
Huyu ndie angefaa awe Rais wa nchi hii nibasi tu
Maajaliwa Mungu akulinde sana kazi unayoifanya ni kubwa sana, ndio kiongozi pekee mzalendo uliobaki madarakani kwa uchungu mkubwa wa jasho ka Watanzania. Mungu akulinde sana Kassim Majaaliwa kwa roho yako nzuri na Uzalendo uliotukuka 🙏🏽🇹🇿
Tutamkumbuka JPM madudu yanaendelea MSD na Leo meli,keshotutaona mengine
Nakupenda sana Majaliwa. Mungu akubariki sana. Tunafarijika na kazi zako
100%
Wewe ndie umebaki tz tafadhali endelea nasimamo huo
Uyo ndio mzalendo aliobaki kwa kweli
Majaliwa anatukumbusha JPM
Wanatoa macho kama wamebanwa namlango wa Korea🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Majaliwa ni mchapaka kazi na mzalendo lkn rais ndio bomu anamuagusha waziri wetu, hapo nimesikia hata kampuni iliyosaini mkataba enzi za jpm sio hiyo tena serikali ipo tu wamebakia kucheza filamu tu
Peleka jeshi na usalama wa taifa mara moja.asitoke mkorea hata mmoja.pia tuwasiliane na ubalozi wao
Waziri mkuuu tunakukubali Sana sema mama ndo shida
Mungu akulinde 🙏 maana wasije wakakuua na ww bure😭😭 maana had leo ukweli haueleweki JPM kafaje kwa moyo au korona. Dah. 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Never stop crying 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭
Ningekuwa nauwezo ww ndio unafaa urais wa nchi
Nakupongeza Waziri Mkuu kwa hili🇹🇿
Sio kwa hili tu!....mbona yapo mengi?.....huna habari wewe!?...... Hicho kidume Babu!! 🤪
Kikwete atanfanyia hila huyu majaliwa kikwete hapendi kuona watu wanamkubali mtu na kumpenda anataka yeye tuu ndio aonekane kidume
tunakuombea sana hawa mashetani washindwe
Kwani waziri wa ujenzi yuko wapi na naibu wake siku zote mauzo ya kampuni yamefanyika....katibu mkuu, mkurugenzi, OCD, Takukuru , na RC, DC n.k wako wapi hadi waziri mkuu ndio afike mmelala tu
Warioba nakuelewa Sana....hivi hawa viongozi wa chini hawajui kuwa Kuna kazi ya serikali inaendelea hapo. Assume waziri Mkuu asingekuja. Hao viongozi uliowataja wore are they sleeping?
Haaa.. Wamewapunguzaje wafanyakazi.. Jwtz si ilikuwepo hapo.. Ndo makamanda wa JpM tuliokuwa tunawategemea?
Ila nakuonea huruma sana waziri mkuu huenda ukafukuzwa maana wezio wa awamu ya 4 hawapendi miradi ya mpendwa wetu MAGUFULI ikamilike au iishe ndio maana kila kukicha wanamchafua ila wewe komaa nao hivyo hivyo na wakikufukuza MAGUFULI UMOJA PATI itakufaa tena sana na nakupa pongezi kwa uwamuzi huo mgumu unao uchukuwa huo ndio uzalendo kuipenda Tanzania 🇹🇿 yetu na watu wake sio ombi bali ni lazima 👍👍🙏🙏💪💪💪
Wallahi kweli Nchi imepata wajengaji, alisema mtanikumbuka ndio haya tunayaona. Wazir husika naona hana habar watu wemeshapiga mipesa yao. Masikini waziri mku nakuonea huruma maana upo kwenye serikal ya wapigaji pole sana mzee wangu.
Waziri Mkuu unatufuta machozi. Maana wasimamizi wa karibu wamelala au wamezikwa pamoja na Magu. Piga kazi usiogope tuna kuunga mkono
😂😂🤣🤣
😂😂😂
Nakushauri Dogo Karim,,,,kunywa maji ya kutosha vuta pumzi na kuishusha taratibu,,,ule ukojoe,,,alafu ukalale,,,Hiyo Nyongo isije ikakuua bure!!!
@@reubenkissinga5802 😂😂😂dah
Magufuli Jamani kila kitu hakiendi mbele Giza Nene 😥😥😥
Kwa utendaji huu wa waziri mkuu hafla utasikia Katengenezewa zengwe na wasaliti wanaojifanya washauri wa karibu wa chifu hengaya. watanzania tunatakiwa kufahamu kuwa maadui wa ndani na nje ambao wanapambana kuuwa maendeleo ya nchi yetu.
Nyinyi si mnajifanya wapole sasa subilini muibiwe mpaka muonbe poo
Safi Sana waziri 👍
We we ndo Rais wangu ulie baki Mungu akupe afya njema
Hivi certificate za kuruhusu malipo ya kazi zilizokamilika alitoa nani? Kwa nini fedha zimelipwa nyingi kuliko kazzi husika? Viongozi wetu waige boldness ninayoiona kwa Waziri Mkuu
Daah siamin kama bado kunawazalendo nchi hii maana tokea jpm atuache sijawahi kusikia kauli hizi,. HONGERA SANA WAZIRI MKUU
Ivi nakuona kama magufuri ivi
Natamani 2025 majariwa Aondoke ccm Wote twende umoja. Party ili ccm tuwaondoe Hawa waramba asali
Mungu ni mwema wapo tu watakaosimama na watanzania kuwatetea asante waziri mkuu wetu
majaliwa safi sana hakuna kuchekeana . bila kuwa mkali tanznia itachezewa sana.
dah kwahaya mahamuzi umetukumbusha Enzi zamakuguli tunakuombea majariwa sukumoja ushike patamu
Mungu akutunze na akupandishe daraja kwa ajil yetu watanzania🇹🇿
Anafaa kua raisi wa nchi atakama umri hauruhusu achukue fomu atapata urais anafaa asilimia 110
Asante majaliwa🙏🙏.
Nauliza tu uyu makamo yupo wapi jamani maana sioni pilika zake😀
Waziri mkuu, kiongozi wako ndiyo anakwamisha, waziri mkuu wewe ni mzarendo, unazofanya nao kaz ni mafisadi
Angekuwepo Magufuli ahiiiiiii wangekiona cha moto
...mzee ina2pa moyo sana unafaa kua rais
R.i.p Jpm😭😭😭😭😭🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Rest in hell 😭
Safi sana Wazir wetu uko sahihi Mungu akupe nguvu, endelea kufuatilia na bado kuna madudu mengi tu yanaendelea mfano kiwanda cha nyama mkoa wa Geita kimetelekezwa na kubaki gofu la nyasi na majoka ....marehem aliacha mradi huo uko mwishoni kukamilika lakin alipotutoka tu ndo kikaachwa kama kilivyo
Jicho la wanyonge lililo baki tz kasim majaliwa kazikazi . Mama anatengeneza move
asante majaliwa tumekuelewa sana baba
Safi sana Waziri Mkuu
Safi sana mzee wakizingua sukuma ndani😎😎😎
Mungu akubariki.kwa.kazi.nzr.unayofanya.na.wa.nchi.tunakupenda.sana.na.uendelee.kukumbuka.mameno.mpendwa.wako.mangu.mlivyokuwa.mnachapa.kazi.kwa.ajili.ya.wanyoge
Safi sana waziri mkuu tunahitaji viongozi wa namna hii God bless you
Ubarikiwe prime
Woyooo Asante mweshimiwa walijuwa tz shamba la bibi
Kuna viumbe vya ajabu SANA yaani havina woga na PESA za serikali ☹️☹️☹️☹️🙌🙌🙌
Congratrations Mr kasim
Duh ...mungu wangu...
Majaliwa baba, tulikupendekeza kuwa raisi baada ya kifo cha JPM ila katiba ya nchi hakuruhusu. 2025 jiandae tunakurudisha kwa kishindo Mama aende Hollywood rasmi akawe star wa Peter.
Baaada tu ya mzee baba kufariki,niupigaji kwenda mbele😡
Majaliwa mungu akulinde, unatufuta machozi,
Leo umerudi kuwa pm tulie mjua
Sometimes I wish I could be born in Tz when it comes in National Projects Resolutions. Tz has big part of perfect leaders
Majaliwaa sjuh tufanye nn uwe raisi😭
Mama akiweza kukutumia ipasavyo naamini mambo yataenda hawo wengine wanampotosha mama
Wewe jamaa endelea kununua mioyo yetu aina hiyo ya uongozi ndio msimu wake huu.chukua form next time.
Tuseme ukweli ...JPM...angekuwepo haya yangetendeka...Mama nakuomba uvae viatu vya JPM... Tumbua watu...nchi hii inataka hivyo ili Mambo yaende vizuri
I miss JPM😭😭
Kwa mara ya kwanz naweza sema kaz iendeleee
Rais ajae huyo?
Kongole Sana Kasaim Majaliwa mama playing the movie
We ndo unaupiga mwingi achana na wale kazi kutuona mazuzu tu
Mama yeye safari tu za nje 🤔
safisana raisi mtarajiwa
Kazi iendelee
Tunaomba wazir ufuatilie mradi wa kiwanda cha Nyama mkoa wa Geita kimetelekezwa na kubaki godown la nyasi ...wananchi wa mkoa huu wanakutegemea na Mungu akulinde ktk kaz nzr unayoifanya kufuatilia miradi ambayo haitekelezwi na viongoz wala pesa za wananchi, wakat huo wananchi hatuna hata unafuu maisha magum kila kona...
Mungu akulinde sana waziri mkuu, akupe ujasiri zaidi, tuna imani na wewe! Unajitahidi sana,
Safi sana Mh Waziri Mkuu ila kuwa makini Mh Waziri unapowafosi wafanye kazi wasije wakatutegea kitu kwa hasira kitakacho reta maafa siku za usoni chonde chonde🙏
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu taifa rangu kubwa la TANZANIA ripo mikononi mwako ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kumuongoza kumsimamia kumlinda na kuzidi kuimalisha afya yake waziri wangu mkuu ewe mwenyezi MUNGU
Serikali kazeni buti. Mkicheza na hao watu hamtafika. JPM alipenda kusema tunachezewa mno. Mkijifanya wapole mtavuna mabua. Achacheneni na safari za nje...simamieni miradi. Hii ni nchi yetu.
Nchi imerudi hatua Mia nyuma…. Mama Yuko bzy na Royal tour…akaombe mikopo baadae…..Cha ajabu mikopo yenyewe inafanyiwa missuse……wanatumia nguvu nyingi kupinga kazi Za rais aliepita,,,,hatupingi kazi kwa maneno bali tunapinga kazi kwa kazi…..Katiba Mpya yahitajika…..
Safi kabisa . Wanataka kutupiga kidole asee. Wanajisemea TZ JINGA SANA. sasa hapo wamekutana na kali yao . Ukinyang'anywa passport ni kama umekatwa miguu asee. dwu!
Pongezi kwako w.mkuu,Hapa kazi tu kazi iendelee
Safiiiiiiiiiiii boss
Nakukubali sana WAZIRI MKUU, copy ya JPM unajua kazi baba, huna baya...Big up
Dahh!! Hivi ndivyo tunavyofanyiwa waafrika,unawapa kazi halafu wakishachukua pesa wanauza kampuni hata mradi wa mwendokasi na Barbara ya kilwa walitufanyia hivihivi,,, Hongera WM kutusimamia
Acheni ufula. Jpm.jpm. jsb Basi. Sio kila kitu anasimamia rais hicho anachokifanya Mahalia niwajibu wake na ndiomaana yupo hapo
Nimeona wakorea warivyo nyongea hapo 😂😂😂 walijua yule mama tutamkazia tunasepa kwa bahati mbaya wamekutana na mwanaume mwenzao
Duh.iwe ni mkakati endelevu mtu ukija passport yako inachukuliwa wanaleta uhuni hao
mama anacheza film tu yaani samia hafaiiiiiii MAJALIWA WEWE ULIPASWA UWE RAIS