INTERVIEW YA MWISHO Sam wa Ukweli ataja KIFO, Wengine watalia Bila UCHUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Hii ni interview ya Sam wa Ukweli aliyofanya kwenye The Playlist Times FM mwezi January mwaka huu.
    Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com

КОМЕНТАРІ •

  • @boygold8749
    @boygold8749 6 років тому +146

    uchawi sio kwenda kwa sangoma pekeake ata cuki na vijicho pia gonga like twende msibani

  • @davidmuraya.2643
    @davidmuraya.2643 4 роки тому +14

    Am so saddened that this guy passed on.
    He was straight to his ambitions. And his music was moving and Nice .May His Soul Rest in Peace

  • @alfredodira9739
    @alfredodira9739 5 років тому +8

    May Sam Wa Ukweli RIP ..aliuwawa na wenzake katika biashara, ila siku ya kiama ipo. Was a very smart gentleman full of insight and creativity ..I'll miss him a lot!

  • @anthonykamaukuria
    @anthonykamaukuria Рік тому +11

    Listening to this interview for several times utaelewa Sam wa ukweli alikuwa mtu ambaye alikuwa sharp sana na maisha.mtu mkweli na asiye penda kula vya bure.RIP Sam.

  • @melissalabronde5516
    @melissalabronde5516 6 років тому +11

    Jamani mungu alitufica kitu kimoja tu kifo 😭😭😭samu mungu akulaze mahali pema peponi 🙏amin

  • @aishakhatib4686
    @aishakhatib4686 6 років тому +17

    Innalillah wainahilajiun daah Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti ndugu yangu katika imani Salumu

  • @samuelmwita4242
    @samuelmwita4242 12 днів тому

    Salute sana kaka, umeongea kwa kodi sana bila kuwa muelevu huwezi elewa.🎉🎉🎉🎉

  • @panteranera2973
    @panteranera2973 6 років тому +6

    Innalillah wainna ilayhi rajiuun, Allah akuhifadhi pema peponi Sam

  • @kapolesyaba3133
    @kapolesyaba3133 6 років тому +6

    YOUNG HANDSOME BOY& INTELLIGENT MAN
    GONE TO SOON! may your soul rest in peace!!!

  • @abdubakar5428
    @abdubakar5428 6 років тому +7

    Really Talented Young Man, RIP SAM

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 10 місяців тому +1

    Best interview 😢 RIP Sam🙏

  • @annaswedy5712
    @annaswedy5712 6 років тому +56

    Sam alikua mcheshi mungu ailaze roho yko mahali pema Inshallah

  • @elkapitan1941
    @elkapitan1941 6 років тому +3

    he was humble and loved God. thats why God will not leave him too. mbele kuzuri. dunia hii wendawazimu.

  • @davidkebo7391
    @davidkebo7391 6 років тому +10

    Am really crying 😢
    May you rest in peace brother

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 років тому +7

    Kila ck Allah anatukumbusha kwa njia tofauti In Lilahi Wahinailahi Rajeehun

  • @johncosmas9877
    @johncosmas9877 6 років тому +13

    R.i.p bro sam wa ukweli ameondoka na vityu vizr san hakika pngo lake litakuwa kubwa san nakuombea uwende salm koz nac tyu nyuma yakoo

  • @aleieonkizenga377
    @aleieonkizenga377 6 років тому

    Polesana sam wa ukweli mungu akulaze mahali pema nilikuwa napenda nyimbo zakwako sana kabisa ndugu yangu ila mimi ni nkongomani tena siunajuwa pole sana kbs ndugu axante

  • @nestorymsacky6838
    @nestorymsacky6838 6 років тому +6

    Bless up lil Ommy , always good work man

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 6 років тому +15

    maskin 😢😢😢Rest in peace my brother

  • @asiakhamis9584
    @asiakhamis9584 6 років тому +6

    Allah akufanyie wepes katika kabur lako

  • @jacklinevosevwa6863
    @jacklinevosevwa6863 6 років тому +2

    Sam alikua anasema ukweli kabisa nina uzuni sana mungu ailaze roho yake mahali pema amen

  • @rockysultan5874
    @rockysultan5874 Рік тому +4

    I'll always be a big fun of him he was the best love from London

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 4 роки тому +2

    Innalillahi Wainnailaihi Raajiuun Jamani kifo ndio ndoto muhimu ambayo utake usitake utaifikia ndotohiyo chamuhimu ni kujiandaa nahuko tunako kwenda 🙏

  • @mutilestella3164
    @mutilestella3164 Рік тому +1

    Keep on resting legend ❤

  • @shakilakingazi2552
    @shakilakingazi2552 5 років тому +4

    Kumbe ulikua unatuanga kaka 😭😭😭puzika kwa amani ndungu yangu Sam bado tuna kukumbuka

  • @estheroyondi4908
    @estheroyondi4908 2 роки тому +2

    Naumwa sana,,, continue resting in peace 😭😭

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 6 років тому

    Daah mungu ilaze roho ya Sam Mahala pema peponi amina"

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 6 років тому

    MASHALLAH. INNALILLAH WAINA ILAYH RAJIUNI. ULALE PEMA BROO.

  • @almisfahcs8255
    @almisfahcs8255 6 років тому +2

    R.I.P kamanda Allah akurehemu na akulaze mahari pema peponi

  • @salmakea7797
    @salmakea7797 6 років тому +9

    Napenda sana maneno yako sam. R. I. P

  • @alysimbaatena7392
    @alysimbaatena7392 5 місяців тому

    MANAGEMENT NDIYO WALIVYO, KWELI HAKUNA CHA BURE ILA SALAMU💯💯

  • @eddieeddie5189
    @eddieeddie5189 6 років тому +9

    The man looks intelligent RIP

  • @petrojohn9204
    @petrojohn9204 6 років тому

    mungu amlaze alipema peponi bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana liimidiwe pia uweza wake ni waajabu na mapezi yake lazima yatimie amina

  • @jrozzejay807
    @jrozzejay807 6 років тому +3

    Aawww his smile😍😍😍😍😍😍

  • @binameir2719
    @binameir2719 6 років тому +21

    wasanii wa kiislamu na hata kama sio muislam,kumbukeni kurudi kwa mola wenu kabla hamjarudishwa kwa mola wenu,munajisahau sana fanya mziki ikiwa unahitaji kufanya ila usisahau kutubia na kutaka radhi za Allah kabla haujakufika umauti,na msife halim ya kua ni waislamu,azabu za mungu ni kubwa hakuna kiumbe aziwezae...Wabillah Taufiq.commet ikiwakera mtafuta ila message dlvrd

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Рік тому

    Mungu amupumuzishe kwa amani sana💔💔🕊❤❤

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 3 місяці тому

    Amen ❤❤❤❤

  • @marydzame4347
    @marydzame4347 2 роки тому

    😢miss him so bad,...RIP...😢Sam wa ukwel

  • @imaginetvonline6701
    @imaginetvonline6701 6 років тому

    Rip sana dogolangu.huyu kijana aliifahamu Sanaa,Sanaa ni ucheshi katika mazungumzo.

  • @savelacosrltatine9471
    @savelacosrltatine9471 4 роки тому

    Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @rosemaiko9405
    @rosemaiko9405 6 років тому +10

    Nimelia machozi jamani Sam bado Mdogo

  • @angerpeter8591
    @angerpeter8591 6 років тому +3

    Jamani kaka samu

  • @Careylov1
    @Careylov1 6 років тому +2

    humble guy

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 6 років тому +6

    Innalilah wainnailaih raj'iun dah sam wewe nikikuangalia kama bado upo vile

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 роки тому

    Allh akurehemu samu

  • @UstadhSamor
    @UstadhSamor 23 дні тому

    Inna Lillah waina eleih rajiun
    Rest in peace somo yngu

  • @BadeuxMariamu
    @BadeuxMariamu 6 років тому +6

    Rest in peace Sam

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 років тому +8

    Rip sam waukweli

  • @zakariajoseph7312
    @zakariajoseph7312 6 років тому

    duhhh kiukweli kudai haki yako na kua mkweli katika maisha ndo vitasababisha ufe jamaa alikua mkweli na mpenda ukweli r I p mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina

  • @Gatjang9079
    @Gatjang9079 Рік тому +1

    May your soul continues RIP💔🙏🏼

  • @jeftakatunzi5019
    @jeftakatunzi5019 Рік тому

    Rip sam😢

  • @francistsii7885
    @francistsii7885 6 років тому +2

    kizazi Sana Lil omy

  • @wemakalam8696
    @wemakalam8696 6 років тому +4

    kweli hakuna ajuae kesho yake dunia mapito R.I.P

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 років тому +6

    mungu akupe kauli thabit

  • @priscilahkasoha6168
    @priscilahkasoha6168 6 років тому

    mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 6 років тому +1

    Innalillah wainnah illah rajiuna, maashallah hata akiongea kawaida saut yake nzur maashallah umeimba vyote ila mm usiniguse Sam wa ukweli

  • @alysimbaatena7392
    @alysimbaatena7392 5 місяців тому

    Mwenyezi mungu SUBHANNA WATALA AKUPE JANNAH FRIDOUS

  • @salyminhopelleglen3005
    @salyminhopelleglen3005 6 років тому +3

    Daaah Inauma Sana ameondoka bado Malena

  • @amandasilver4941
    @amandasilver4941 2 роки тому

    Innalilaih wainailaih rajuun mung🙏mungu mkuu akupe kaur sabt inshallah

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 4 роки тому

    Bado tunakukumbuka Sam 2021 nimekuja kuona😭😭😭

  • @lamarsdm2054
    @lamarsdm2054 6 років тому +3

    Inna rillah waina irah rajjiun

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 6 років тому +5

    Resting easy Sam wa ukweli hao wanga hata kwetu wapo

  • @suzanmoses2875
    @suzanmoses2875 6 років тому +1

    sam mungu akulaze mahali pema peponi ..loved your music saana we won't forget you kabisaa innali lahi

  • @godgiver100
    @godgiver100 6 років тому +1

    Sauti ya Samu ilibadilika sana.... R. I. P bro

  • @washantiekerry945
    @washantiekerry945 4 роки тому +1

    Rip bro ur songs remains in my heart

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 років тому +6

    R.I.P man

  • @justinkibonge8426
    @justinkibonge8426 6 років тому

    mungu amlaze mahali pema pepon

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 2 роки тому

    MUNGU anajua zaidi....lala kwa amani samm ila naumia jamani😭😭

  • @jaredwere8196
    @jaredwere8196 6 років тому

    Still can't come to terms ...over this info..

  • @awashii2313
    @awashii2313 6 років тому +3

    Innalilah wainaillah rajiunn

  • @christophermgimba6966
    @christophermgimba6966 6 років тому +7

    alikuwa anaongea vizuri sana, ana akili sana, ana-composure anajibu maswali vizuri, sikuwahi kumfuatilia na kumjua kwa ukaribu. Ila ana speech tamu sana. Gone too soon brother.

  • @athumaniabdi502
    @athumaniabdi502 6 років тому +4

    Rest in Peace Sam wa Ukweli

  • @Mayeyetz
    @Mayeyetz 2 місяці тому

    Kuna baadhi ya maneno kayaongea ata diamond platnumz alisha semegana ila Sam wa ukweli alikuwa msani safi sana

  • @realability4189
    @realability4189 6 років тому +5

    R.I.P SAM WA Ukweli

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 років тому +2

    Mungu skulaze magali pema pepuni hakika inauma kila nikisliy mziki wako wa sina raha au wenye majungu yani sam kma nakuna jmn m8ngu mpokey uyo mjaa wKo

  • @luteking
    @luteking 6 років тому +6

    R.I.P bro

  • @saidalove6892
    @saidalove6892 5 років тому +1

    Rest In Peace babe 😢😢😢😩😩😩

  • @modernthika3140
    @modernthika3140 6 років тому

    Lil Lil omy unaninisigi sana

  • @salomedarema304
    @salomedarema304 3 місяці тому

    Tunaomwangalia Sam wa ukweli after his death Oct 2024😢😢

  • @jasmenejuma6025
    @jasmenejuma6025 6 років тому

    Mungu akupe kauli sabiti kakaangu

  • @amandasilver4941
    @amandasilver4941 2 роки тому

    Ila mungu 🙏 ana waona malipo yapo apa apa dunian 😭😭sotee waja wa mungu 🙏 kwake tutarejea

    • @IreneRene-wp8or
      @IreneRene-wp8or Рік тому

      Kweli kila KT chenye mwanzo akikosi mwisho malip APA ap pumzika kwa amani

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 6 років тому +4

    Rest in peace my brothr

  • @ramamakelo5374
    @ramamakelo5374 Рік тому

    D.J yuko sawa saana. Anajuwa jinsi ya kuhoji

  • @ezydboyezydboy
    @ezydboyezydboy 2 роки тому

    Yan?

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 6 років тому +6

    Masikin kweli mucangamushi kweli rip

  • @jumamasanjabusehwa8523
    @jumamasanjabusehwa8523 6 років тому

    voice wonder

  • @lexflani
    @lexflani 5 років тому +2

    Rip to this bro

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 років тому +4

    Lala salama kaka.

  • @johariabubakari9496
    @johariabubakari9496 6 років тому

    yani umcheshi hadi raha uko vizuri

  • @yusufmkilya8218
    @yusufmkilya8218 6 років тому +3

    Shughuli ishaingia mvua watu wanakula wima, RIP

  • @zahoorzozo2241
    @zahoorzozo2241 6 років тому +4

    Maskiniii R.I P . Sam

  • @sibilinasule9322
    @sibilinasule9322 6 років тому +5

    R I P

  • @هلااهليني
    @هلااهليني 6 років тому

    Yah Allha malehem sam

  • @savannad9696
    @savannad9696 5 років тому +1

    Sam wangu alikuja akakonda jamanii,,wachawi kweli😭😭

  • @jaymp51
    @jaymp51 6 років тому +2

    R.I.p my kaka mwnyz mng akupokee vema

  • @damariskweyu7135
    @damariskweyu7135 6 років тому +2

    Such an intelligent guy. Rip Sam,😭

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому +1

    Rest in peace Bro sam, ila una mashair
    Mpaka bac.

  • @vadekny
    @vadekny 6 років тому

    He saw it coming boss

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 6 років тому

    Sam nakukubali maneno yako.
    Mola akueke pazuri

  • @mretamreta8058
    @mretamreta8058 6 років тому +8

    Mungu akuepushe na adhabu za huko uendako inshaalah