kuoga josho la hedhi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 45

  • @latiphafahim7357
    @latiphafahim7357 Рік тому +5

    Silazima kufumua nywele zakawaida ila hakikisha maji ya nafika kwenye nguzi yk

  • @HALIMAMWINYI-g7e
    @HALIMAMWINYI-g7e 3 місяці тому +1

    Unaruhusiwa kuosha nywele hlf nd ukajitoharisha

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 2 роки тому +1

    Shukraan sheikh wangu

  • @رحيمةهاري
    @رحيمةهاري 2 роки тому +4

    Shukran sana ila naswali naomba kuuliza kwamwanamke hatakiwi kuoga kuanzia upande wakulia alafu amalizia na wakushoto mana hapo natatizika wengine walinambia waanza kutawadha alafu uanzekichwa pekeake alafu uje mwilini ambapo ndowaanza naupande wakulia je hilinalo vp? Naomba kufahamu sheikh

    • @AllySalum-ce3ix
      @AllySalum-ce3ix Рік тому

      Kwanza unatakiwa kutawaza vizr Sehm za Siri, Alafu utashika udhu kama unataka kuswali zen utatia Nia ya kuoga Josho la Nifasi au Hedhi au Janaba, Kuoga kuanzia upande wa kulia zen kufuata kushoto Ni Suna, Lengo kubwa la Kuoga hilo Josho ni Kueneza Maji mwili nzima, Kama umemsikiliza vizr Sheikh akasema kama mwili wako Una mikunjo mikunjo hakikisha unanyanyua hizo Nyama za mikunjo hadi Maji yafike kila Sehm za mwili wako. NB: Kama unaoga Josho la Hedhi au Nifasi hakikisha unafumua Nywele zako kama ulikuwa umesuka

    • @MariamAsudi
      @MariamAsudi 3 місяці тому

      Tia Nia,utakapo aanza sema Bismillah,alafu osha mikono alafu utupu,ukimaliza tia udhu kasoro miguu ,baada ya hapo ukimaliza kuosha masikio yako basi osha nywele zako utakapo maliza Kuga mwili mzima ila kwote anzia upande wa kuliya baada yake malizia kuosha miguu yako kama vile unatia udhu ,,utakuwa ushamaliza hedhi yako.. Hope itakusaidia...
      Maasalaam

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi 3 місяці тому

    Asalaam waaleikum ustadh vpi kuhusu mwanamke bikra jee anaruhusiwa kuweka miski kwa kitambaa na kuingiza kwenye utupu wakee???

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Рік тому

    Mungu akuhifadhi

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 Рік тому

    Kwan si lazima kunyoa sehem za siri na kukata kucha😢😢

  • @NasiathiMlishidi-dk8yx
    @NasiathiMlishidi-dk8yx Рік тому

    Asante shehk nimejifunza kitu endelea kutufundisha

  • @FatmaMuslim-l8g
    @FatmaMuslim-l8g Рік тому

    Inshallah tumejifunza mengi

  • @ShamsaIsmaily-yq8kg
    @ShamsaIsmaily-yq8kg 8 місяців тому

    Me naswli kwaushauri wa madaktar wamekataza kuwekituchochot chakemikali ndaniyauke kamasabuni na vingin vipikuhusu iyomiski haidhuru

    • @MariamAsudi
      @MariamAsudi 3 місяці тому

      Asalaam waaleikum, hapana miski haidhuru , ilaa badala ya kutumia sabuni sanaaaa,tumia maji motoo inaondowa harufu vzuri.
      Maasalaam

  • @RehaanAnderson
    @RehaanAnderson Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u Рік тому

    Sheikh Mbona hizo Nia Hamfundishi??

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 8 місяців тому

    Shukran san shekhe

  • @DaynessMasamba
    @DaynessMasamba 11 місяців тому

    Shukurani

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj 2 роки тому +2

    Shukreen shekhe

  • @jasminiIssa-y2q
    @jasminiIssa-y2q 8 місяців тому

    Shukran shekhe

  • @fatmarashid753
    @fatmarashid753 Рік тому +2

    Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

    • @bintrashid5108
      @bintrashid5108 Рік тому

      Kwa heidh ni lazima kufumua nywele

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Рік тому

      Nywele ambazo aziingizi mj vizuri. Kwenye kichwa.

    • @AliMwavwiro-so6ky
      @AliMwavwiro-so6ky Рік тому

      Mpka afumue nywele ndpo aoge kw sbbu maji yaingie mpka kwnye ngozi

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Рік тому +3

    Shukran 🙏 samahani Haina haja ya kuanza kutawadha! Na pia umezungumzia Rasta je ni halali kusuka Rasta? Please 🙏 naombeni jibu

  • @FatumaShabani-l9r
    @FatumaShabani-l9r 6 місяців тому

    H

  • @sifatiiman
    @sifatiiman Рік тому

    je jinsi ya kutia nia anatakiwa aseme nini?

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Рік тому

      Waeza sema hta kiswahili sio lazima kiarabu

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Рік тому +1

      Nanuia kuoga kwa kuondoa hadath kubwa ya damu ya heidh

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +1

      @@halimahbwelele694 sawa asante mpenzi ☺️

    • @NabilKassim-mn2il
      @NabilKassim-mn2il 9 місяців тому

      Nia inatoka moyoni sio lazima kusomwa ​@@sifatiiman

  • @halimarahman1355
    @halimarahman1355 2 роки тому +1

    Shukran

  • @SalmaCosmas
    @SalmaCosmas Рік тому +1

    Je kueka dread ni haram pia

    • @MariamAsudi
      @MariamAsudi 3 місяці тому

      Ndio, mwanamke hafai kuongeza nywele zake na zingine ,,na hata natural ya dread ni haramu kwani sheria lazima hadhi ioshwe nywele zikiwa wazi

  • @aishasamweli934
    @aishasamweli934 2 роки тому +1

    Shukulan

    • @fatmarashid753
      @fatmarashid753 Рік тому

      Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

  • @RehaanAnderson
    @RehaanAnderson Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @RehaanAnderson
    @RehaanAnderson Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @RehaanAnderson
    @RehaanAnderson Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?