kuoga josho la hedhi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 40

  • @latiphafahim7357
    @latiphafahim7357 8 місяців тому +3

    Silazima kufumua nywele zakawaida ila hakikisha maji ya nafika kwenye nguzi yk

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Рік тому +1

    Shukraan sheikh wangu

  • @user-ro3ld6xo5z
    @user-ro3ld6xo5z Рік тому +3

    Shukran sana ila naswali naomba kuuliza kwamwanamke hatakiwi kuoga kuanzia upande wakulia alafu amalizia na wakushoto mana hapo natatizika wengine walinambia waanza kutawadha alafu uanzekichwa pekeake alafu uje mwilini ambapo ndowaanza naupande wakulia je hilinalo vp? Naomba kufahamu sheikh

    • @AllySalum-ce3ix
      @AllySalum-ce3ix Рік тому

      Kwanza unatakiwa kutawaza vizr Sehm za Siri, Alafu utashika udhu kama unataka kuswali zen utatia Nia ya kuoga Josho la Nifasi au Hedhi au Janaba, Kuoga kuanzia upande wa kulia zen kufuata kushoto Ni Suna, Lengo kubwa la Kuoga hilo Josho ni Kueneza Maji mwili nzima, Kama umemsikiliza vizr Sheikh akasema kama mwili wako Una mikunjo mikunjo hakikisha unanyanyua hizo Nyama za mikunjo hadi Maji yafike kila Sehm za mwili wako. NB: Kama unaoga Josho la Hedhi au Nifasi hakikisha unafumua Nywele zako kama ulikuwa umesuka

  • @ShamsaIsmaily-yq8kg
    @ShamsaIsmaily-yq8kg 3 місяці тому

    Me naswli kwaushauri wa madaktar wamekataza kuwekituchochot chakemikali ndaniyauke kamasabuni na vingin vipikuhusu iyomiski haidhuru

  • @NasiathiMlishidi-dk8yx
    @NasiathiMlishidi-dk8yx Рік тому

    Asante shehk nimejifunza kitu endelea kutufundisha

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Рік тому

    Mungu akuhifadhi

  • @FatumaShabani-l9r
    @FatumaShabani-l9r 28 днів тому

    H

  • @user-vz4sh6nw6b
    @user-vz4sh6nw6b Рік тому

    Inshallah tumejifunza mengi

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 7 місяців тому

    Kwan si lazima kunyoa sehem za siri na kukata kucha😢😢

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 місяці тому

    Shukran san shekhe

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj Рік тому +2

    Shukreen shekhe

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 7 місяців тому

    Sheikh Mbona hizo Nia Hamfundishi??

  • @user-eq8dd6sl7u
    @user-eq8dd6sl7u 3 місяці тому

    Shukran shekhe

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Рік тому +3

    Shukran 🙏 samahani Haina haja ya kuanza kutawadha! Na pia umezungumzia Rasta je ni halali kusuka Rasta? Please 🙏 naombeni jibu

  • @user-ge6sq2wd2f
    @user-ge6sq2wd2f 6 місяців тому

    Shukurani

  • @fatmarashid753
    @fatmarashid753 Рік тому +2

    Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

    • @bintrashid5108
      @bintrashid5108 Рік тому

      Kwa heidh ni lazima kufumua nywele

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Рік тому

      Nywele ambazo aziingizi mj vizuri. Kwenye kichwa.

    • @AliMwavwiro-so6ky
      @AliMwavwiro-so6ky Рік тому

      Mpka afumue nywele ndpo aoge kw sbbu maji yaingie mpka kwnye ngozi

  • @halimarahman1355
    @halimarahman1355 Рік тому +1

    Shukran

  • @SalmaCosmas
    @SalmaCosmas Рік тому +1

    Je kueka dread ni haram pia

  • @aishasamweli934
    @aishasamweli934 2 роки тому +1

    Shukulan

    • @fatmarashid753
      @fatmarashid753 Рік тому

      Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

  • @sifatiiman
    @sifatiiman Рік тому

    je jinsi ya kutia nia anatakiwa aseme nini?

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Рік тому

      Waeza sema hta kiswahili sio lazima kiarabu

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Рік тому +1

      Nanuia kuoga kwa kuondoa hadath kubwa ya damu ya heidh

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +1

      @@halimahbwelele694 sawa asante mpenzi ☺️

    • @NabilKassim-mn2il
      @NabilKassim-mn2il 4 місяці тому

      Nia inatoka moyoni sio lazima kusomwa ​@@sifatiiman

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z Рік тому

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?