Maashaallah ukhty wangu nmekupenda kwa ajili ya Allah taala kwa hakika umetoa somo zuri sana Allah akuhifadhi ukhty wetu na akusamehe ulipokosea amiiin allahumma amiiin
*📌Maoni ya kwanza,...naonelea nguo ya kumuoshea maiti, isiwe cotton, bali iwe ya mpira / nylon. Itakua rahisi kwa waoshaji na yeye maiti. Hata ikichafuka, nylon ni rahisi kuiosha na ku recycle. Lakini cotton ikiingia maji kama tulivyooneshwa **22:35**, itawapa waoshaji na maiti tabu kisha kubadilisha tena mara ya pili, na pia itamuonyesha uchi wake maana inashika mwili. Ikiwa washonaji wataweza kushona kama raincoat isiyokuwa na mikono kama nguo za hospital itakua bora. Maoni ya pili,... Pia kitanda cha kumbebea maiti kinafaa kitengenezwe cha chuma. Chuma ni durable. maana mna maiti wanene na mbao huweza kuvunjika. Niliona video ambayo mbao ilivunjika na kidogo kimtupe maiti. Maoni ya tatu,...Waoshaji wanapovaa gloves, wavae pia mask, gumboots, na manila apron. Nataraji tutayazingatia maoni haya. Shukran* ❤
Assalamualaikum Allah akulipe kheri dada kwa nia yako ila tumia jina ukhty Asia au dada badala ya sister Asia hili jina la sister wanatumia sana wagalatia
Jamani mi naona si vibaya kama alivyosema mwenzetu tutajitahidi kujirekebisha tunapokosea ingawaje hatukumaanisha vibaya bt tutatumia ukhty ama dada turudi kwa utamaduni wetu na dini yetu,shukran
Allah atupe husnulkhatima na qaulu thabbit,shukran sister asya Allah atupe fahamu mzuri tunapofikwa na msiba tusiwe ni wenye kuchanganyikiwa upande wa kustiri wenzetu,jazakumullahu khayran.
Subhaan Allah 😭😭😭 yaraaaab tunakuomba tujarie mwisho mwema Amiiin thum Amiiin kwasote yaraaaab shukran san dada Naweza kuipata iyo krep samaan naomba kuipata nataka nitumie kwa familia yangu samaan sana
Waaleikum msalam warahmatullahi wabarakatu mamangu katika iman shukran sana wallahi jazaa yako.kwa Allah utaipata,,yani nmefurahi kujua kukufini maiti kwan najua kumswalia ila sikua najua anavyaoandaliwa hadi kufikia kwa swala,,shukran sana jazakallahu kheyr
Jazzakkah Allah kheir dadangu.umefanya jambo lisilo fanywa na wengi.somo hili ni muhimu sana waama kwa wale walio silimu na wapo maeneo ya bara.nipo sehemu za bara maeneo ya Lugari,mbali na kuwa misikiti ni michache elimu hii niadhimu.
Shukran for sharing this clip. alhamdulillah i have learnt quite a number of things and the reasons behind them. subhanallah.... mwisho mzito sana huu. Alllah asituchukue ile ameridhika na sisi, na awarahamu wenzetu walotangulia mbele za haki... Allahumma ameen.🤲
Alhamdulillah MashaAllah Tabaraka'Allah shukran sanaa kwa somo zuri la dino,Allah akulipe khery Duniyani na kesho akheera, Allah atujaalie mwisho mwema ya rabby tuwe miongoni mwa watu wema tukutane peponi na kipenzi chetu mtume mohamad s.w.a.
Masha Allah dada Asia somo zuri sana 🎉na nilamaisha yetu sote tunapitia haya.allah akubarik ❤na atujalie mwisho mwema 🤲
Shukran Jazzakkah Allah kheir, vzr sana mama kutukumbusha na nimejifunza kitu kimoja likua sijui nimejulia kwako
😢😢😢 mashaallah mama umetupa ukumbusho nzuri mungu atujalie kila la heri
Maashaallah ukhty wangu nmekupenda kwa ajili ya Allah taala kwa hakika umetoa somo zuri sana Allah akuhifadhi ukhty wetu na akusamehe ulipokosea amiiin allahumma amiiin
Amin Yarab
M/Mungu atupe mwisho mwema
Amin ya rrwabby 😢😢
Allah atustiri hpa Duniani na Kesho Akherra😢....
Atupe na mwisho mwema Yaa Raabb Alaamiiin
Amiiiiiiiiin
Amin ya Rabbil alamin
Amin amin amin ya rabby
Subhannaallah Subhannaallah 😭😭😭Allah atujalie mwisho mwema 😢😥
Mashalah uhty umenifundiaha Jambo jema na muhimu kwakila mwiialam
*📌Maoni ya kwanza,...naonelea nguo ya kumuoshea maiti, isiwe cotton, bali iwe ya mpira / nylon. Itakua rahisi kwa waoshaji na yeye maiti. Hata ikichafuka, nylon ni rahisi kuiosha na ku recycle. Lakini cotton ikiingia maji kama tulivyooneshwa **22:35**, itawapa waoshaji na maiti tabu kisha kubadilisha tena mara ya pili, na pia itamuonyesha uchi wake maana inashika mwili. Ikiwa washonaji wataweza kushona kama raincoat isiyokuwa na mikono kama nguo za hospital itakua bora. Maoni ya pili,... Pia kitanda cha kumbebea maiti kinafaa kitengenezwe cha chuma. Chuma ni durable. maana mna maiti wanene na mbao huweza kuvunjika. Niliona video ambayo mbao ilivunjika na kidogo kimtupe maiti. Maoni ya tatu,...Waoshaji wanapovaa gloves, wavae pia mask, gumboots, na manila apron. Nataraji tutayazingatia maoni haya. Shukran* ❤
Umri wangu wote naona watu wakitumia cotton na haonekan coz watu wanakuja joshon Kwa makin
Alhamdullilah nimejifunza ipo siku notapitia haya yarrab nipe mwisho mwema mimi mja wako dhaifu😭😭
Shukran sister Asya Allah akulipe ujira mwema na uendelee kutufunza❤❤❤❤❤❤❤nakupenda sana
Mashallah mashallah mwenzi mungu hakulipe mamii ❤
Assalamualaikum Allah akulipe kheri dada kwa nia yako ila tumia jina ukhty Asia au dada badala ya sister Asia hili jina la sister wanatumia sana wagalatia
Nikweri kabisa hata mim nilitaka kusema hivyo
Tafauti ya majina Ukhty Dada au sister maanake nini
Sister ni kiingereza but ni sawa majina yote yamaanisha dada, ukhty pia the same
Majina yoote ni sawasawa
Sister ni dada ukht
@shamzone388 kwa Nini usitumie lugha ya mtume mnamtumia lugha yamagharibi
Allah atupe mwisho mwema sisi sote pamoja na wewe ukhty Asiay.... insha'Allah
Jamani mi naona si vibaya kama alivyosema mwenzetu tutajitahidi kujirekebisha tunapokosea ingawaje hatukumaanisha vibaya bt tutatumia ukhty ama dada turudi kwa utamaduni wetu na dini yetu,shukran
Allah atupe husnulkhatima na qaulu thabbit,shukran sister asya Allah atupe fahamu mzuri tunapofikwa na msiba tusiwe ni wenye kuchanganyikiwa upande wa kustiri wenzetu,jazakumullahu khayran.
Tabarakallah sister Asya wa jazakallah kheir. Allah akuhifadhi na hii sadaqa iwe sababu ya wewe kupata Rehma zake Allah. Shukran
Shukran shukran shukran San dada yetu endlea kutufundisha kheri zaid inshallah naiman Allah atakulipa Ameen 🤲 thumma Ameen 🤲
Shukran ALLAH atujalie mwisho mwema yarab😢
Jadhakallah kwa Elimu mzuri ya kuosha maiti ustadhati Asya mungu Akulipe mbadala kwa hakika umetuelimisha vya kutosha
Maasha Allah dada etu Asya shukran sana Allah akulipe kheri duniani na Akhera nimejifunza mengi Alhamdulilah
JAZAKI ALLAH KHAYRA KIPENZI UKHTY ASYA, WAJINA WANGU MIMI.
YAA RABBI TUNAKUOMBA KHATMA NJEMA AAAMIN
Allahumma Amiin yaraab
Shukran jazzila ukhty Asya
Hongera kwakazi nzuri balikiwa waislam mnapamba vizur
Shukran dada Kwa elimu uliyo tupatia
Mwenyezi mungu akulipe kheri pamoja na kizazi chako
Ma Shaa llah tabbaraka llah,, Mwalimu mzuri sanaa nimejifunza vzr naelewa sasa
Wallah mwenyez MUNGU atujaaliye mwisho mwema😢🙏
Shukran jazakAllahu kheir kwa mafundisho ya kukafini maiti alhamdulilah.wengi watapata kujua shukran.
Mashallah 🙏 🙏 🙏
Vazi lisilo na garama uwe masikini uwe tajiri 😭😭😭😭
Assalaam Aleykum Dada Asya. Asante sana kwa darsa
Mashaallah allah akulipe heri somo zuri mno wengi wetu hatujui .
Mashaallah allah atupe mwisho mwema vazi la binadam wote dunian😢😢😢😢
Subhaan Allah 😭😭😭 yaraaaab tunakuomba tujarie mwisho mwema Amiiin thum Amiiin kwasote yaraaaab shukran san dada
Naweza kuipata iyo krep samaan naomba kuipata nataka nitumie kwa familia yangu samaan sana
Masha Allah mungu akuzidishie heri
Allah atujalie mwisho mwema allahumma amiin 🤲
Mwenyezi Mungu akuhifadhi na kila shari akulipe kulingana na ambalo unayofanya
Mashallah ukhty asya allah akulipe kheir kwa kutufundisha. Allah sw atakulipa inshaallah
Shukran sana sana kwa kutufunza kukosha maiti Allah atakulipa kila la kheri na atakuzidishia elmu ameen
Allah atujaalie mwisho mwema Amiin
Assalam aleikum warahmathulla wabarakathu shukran Allah akujaze sister Asya.
Allah atupe mwisho mwema yarabbi ameen
Mungu akulipe kwa somo lako mungu akubarik
Mungu Akulipe kila la kheri.
Jazzakiy llahu kheir😢😢Allah atujalie mwisho mwema
Waaleykum ssalaam Warahmatullahy Wabarakatuh sister Asya,
Jazakillahu Kheyraaan😢
Waaleikum msalam warahmatullahi wabarakatu mamangu katika iman shukran sana wallahi jazaa yako.kwa Allah utaipata,,yani nmefurahi kujua kukufini maiti kwan najua kumswalia ila sikua najua anavyaoandaliwa hadi kufikia kwa swala,,shukran sana jazakallahu kheyr
Jazzakkah Allah kheir dadangu.umefanya jambo lisilo fanywa na wengi.somo hili ni muhimu sana waama kwa wale walio silimu na wapo maeneo ya bara.nipo sehemu za bara maeneo ya Lugari,mbali na kuwa misikiti ni michache elimu hii niadhimu.
Masha'Allah Mafundisho mazuri. Mungu awajazi kheri 🤲🏽
Mashaallah mungu akulipe Kila la kheri
Barakallahu fiyk yaa Ukhty Asia ❤❤❤
Mashallah ❤️ ❤️ mara yangu ya kwanza kujuwa kuosha maiti ni leo from Kenya 🇰🇪 mombasa 🇰🇪
Shkran sana kwa kutuelimisha Allah atujalie mwisho mwema
Asante sana ukty wetu mungu akukalie Afyah fill duniya wal akhera Insha Allah,mungu atujalie mwisho mwema
Nimejipuzaa kitu alhamdulilah 🙏 Mungu akupee mri mrefu inshallah 🤲
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh. Shukran sana mama yetu kutupa kisomo kizuri chakheri. Allah akuzidishiye inshaAllah na akupe umri mrefu
Yaaa Allah tujaalie mwisho mwema
Subhanallah 🥺 allah atupe mwisho mwema 😢😢😢😢
Asalamu Aleikum mashallah shukran sana Mungu akuli jaza yako na akupe umri uzidi kutuelimisha
Allah atujaalie mwisho mwema asante bi Asiya kwa kutukimbusha
Ukumbusho mzuri allaakuzindishie imani mashallaa
Shukran for sharing this clip. alhamdulillah i have learnt quite a number of things and the reasons behind them. subhanallah.... mwisho mzito sana huu. Alllah asituchukue ile ameridhika na sisi, na awarahamu wenzetu walotangulia mbele za haki... Allahumma ameen.🤲
Asalakyum Asante dada yangu Mungu Antankuripa
Maashallah 🎉 Allah akulipe kheri duniani na akhera aamin yarabbi
Jazakallahu kheir dada umenitoa kizani somo lako zuri sana endelea kutufunza inshaallah Allah atakulipa wema wako
Waaleikum salam warahmatullah.Allah akutunze mama yetu mzuri❤
Masha'Allah TabarakaAllah ❤ Allah atujaalie mwisho mwema yarabi 🙏
Shukran...jazakhallah kheir..... mashaallah kwa mafunzo mema ....
Nakuombea maisha marefu Allah akupe umri akuzidishie matatizo uzidi kutufundisha mengi zaidi
Mashallah.. Asante ukhut kwa darasa nzuri Allah akulipe kheri nyingi
MashaAllah tabarka Allah mamangu kipenzi leo umenifunza nisiyo yajua, Allah akulipe mema na akujalie umri tawili inshaAllah 🤲❤
Long life my lovely 🎉aunty'asya Sunkar.saida your best daughter ❤️ 💖 jazallahkheiran
Mashaaallah tabarkaallh mungu athakabali Dua Kwa Kaz yko hhbty
Shukran sana kwa mafundisho mazuri Allah akupe baraka Ameen
Shukran Jazakallahu kheir. Allah akubarik
Mashaallah Allah akujalie umri mrefu Inshaallah
Asante sana mama etu kwa funzo bola allah atakulipa inshallah
Anima mungu atupe mwisho mwema❤❤❤
Samahani nimekose kusema amin
Alhamdulillah MashaAllah Tabaraka'Allah shukran sanaa kwa somo zuri la dino,Allah akulipe khery Duniyani na kesho akheera, Allah atujaalie mwisho mwema ya rabby tuwe miongoni mwa watu wema tukutane peponi na kipenzi chetu mtume mohamad s.w.a.
WOW 😲 mom 🥰 mashaallaah naitaji kujua saidi
MashaAllah nakupenda sana mama yetu aunty Asya
Shukran sana Leo nimejifunza vitu vingii Allah atuhifadhi sote
Mashaallah tabarakallah clear.jazakallah kheir
Mashaallah Mashaallah Mashaallah baarakkallahufiik yaa ukhty nimepata faida allhamdullh
Shukraan funzo nzuri Allah akupe kila la kheiri uzidi kutufunza❤
Jazakallah khair mam ,we should be having this class most of the time watching frm Norway
Asante kwa somo zuri na ukumbusho kwa mwanaadam
Ma shaa Allah
Shukran sana habibty kwa somo zuri
Allah akulipe
Alhamdullillah Allah akupe mwisho mwema.
Mashallah..mungu akulipe inshallah 🤲
Allah Atujalie mwisho mwema.
Mwenyez Mungu atupe Mwisho mwema
ALLAH atujalie mwisho mwema shukran barakallah ALLAH ❤❤❤
jazak kheri Ukty Asya
Jaman sijaona kuoshwa ungeanza kwenye kuosha jmn😢
Mashaallah Shukran kwa ilmu
MashaAllah. Jazakallahu khayr
Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutaregea😢
Shukran dada Allah akulipe kheri kwa somo nzuri
Mashallah habbth ww n mwalimu mzur inshllh Allah ajaalie elmu yako❤
جزاكم الله خير❤
Assalamu alaykum warhamatullah wabaratu shkran dd Asia atkulipa kwa mafnzo yko