KUTOKA NYUMBANI KWA MARIOO JAIVA AFUNGUKA, PAULA KABADILI DINI, MTOTO WAO KAFUATA YA BABA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 80

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 15 днів тому +23

    Mungu ni mmoja hajazaliw walla hajazaa walla hafananishwi na chochote

    • @joycepatofondo
      @joycepatofondo 13 днів тому

      Inategemea Kuna Mungu mmoja n miungu tofauti

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 13 днів тому

      @@joycepatofondo mie.najuw mungu ni mmoja tuy hao miungu unao wajuw mie namjuw mungu ni mmoja tuy hafananishwi na chochote

    • @joycepatofondo
      @joycepatofondo 13 днів тому

      @@omanoman2044 Mungu wa kweli n Mungu wa Israeli alieumba umba mbingu n nchi hao wengine walikuja baadae sana n chanzo chake kilitokea babeli

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 13 днів тому

      @@joycepatofondo mungu wa kweli alitoka wap ? Eeh haya

    • @joycepatofondo
      @joycepatofondo 13 днів тому

      @@omanoman2044 hyo n siri iliyofichika n Mungu mwenyewe anajua pale utakaposhinda n kuingia katika ufalme wa mbinguni kupitia Yesu kirsto basi utapata majibu ya swali lako

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc 15 днів тому +11

    Mhhhh naona watu mnatiririsha maneno kweli inaonekana mme jikamilisha hongera kwenu watoto mlio barikiwa msio kua wa zinah ila kila aliye zaliwa na mwanamke amekuja duniani kwa kusudi la Mungu na kila aliye chini ya jua amekuja kwa njia ya mwanamke na ataondoka kwa njia ya kaburi Mungu awabariki

  • @drsilo
    @drsilo 15 днів тому +15

    Zinaa banaa inatambulika kama ni dhambi ya kawaida tubuniiiiii waja wa Allah

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 15 днів тому +12

    @George chitemo nani kakudanganya km Kuna Mungu wawili. Binadamu tuliyeumbwa kwa udongo Mungu wetu ni ☝️

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 14 днів тому +5

    Karibuni sana kwenye Dini ya Hakki

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 15 днів тому +7

    Kaka anaongea mstaarabu sana akili mingi 🙌🏼🌹

  • @mohammedkassimngokolo3285
    @mohammedkassimngokolo3285 13 днів тому +2

    Jamaa kafanana xana na Kayumba aisee

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 15 днів тому +5

    Bora uamini mungu yupo ukenda usimkute kuliko kuamin mng hayupo ukenda ukamkuta🙌

  • @joycepatofondo
    @joycepatofondo 13 днів тому

    Waislam na wa Kristo wanabudu Mungu tofauti msidanganyane na paula n mkatholic n bwana n muislam mungu wao n mmoja

  • @user-kg2lm3nz1z
    @user-kg2lm3nz1z 14 днів тому +1

    Mungu ni mmoja,

  • @Expertz01
    @Expertz01 15 днів тому +1

    Pesa ndo kila kitu

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 13 днів тому +1

    Akili kubwa sana, jamaa anaongea kikubwa sana,

  • @user-sf1tz6mo7m
    @user-sf1tz6mo7m 15 днів тому

    Aweee

  • @fatumaayubu6470
    @fatumaayubu6470 15 днів тому +1

    ❤❤❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 15 днів тому +2

    Kwenye iyo harubain, ndio vizuri wangefunga ndoa ingedamshi?

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 14 днів тому

    Safi Jay 🎉🎉🎉🎉

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 14 днів тому

    Mungu mmoja awezi kua na utaratibu mingi katika dunia hivyo fatilia vizuri ujue haki iko wapi uifate usije jiraumu wakati lawama aito kusaidia

  • @user-ok4jk7tk3d
    @user-ok4jk7tk3d 13 днів тому +1

    Kwan token hapo mm najua Paula ni muislam kwa kuwa Farida n muislamu na majani pia ni muislam

    • @natanaaly7486
      @natanaaly7486 13 днів тому +1

      Kajala mkatoliki pia majani anaitwa Paulo kwahyo ni mkristo pia

  • @majidisaidi4667
    @majidisaidi4667 14 днів тому +1

    mnashadadia uzinifu kafiru kabisaa😏😏😏😏😏😏😤😤🙄🙄

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 15 днів тому +3

    Lazima ataenda kwenye din hiyo hatutaki ujinga

  • @user-ik5pw9ju8h
    @user-ik5pw9ju8h 14 днів тому

    Anabadili dini kisa mwanaume,hawana ndoa hao zaidi ya kiki

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 15 днів тому +10

    Mungu wa waislamu hawezi kuwa yesu hata siku moja kwahiyo nyie mna mungu wenu na sisi tuna mungu wetu period

    • @mishihassan9035
      @mishihassan9035 15 днів тому +7

      Pole ndugu yangu ila yesu si Mungu ni mtume

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 15 днів тому +1

      Tofauti ya mitume n mungu upo dunia gan😂

    • @EDDY4D
      @EDDY4D 14 днів тому +1

      Bro hujafahamu sio wakristo wote wana amini yesu nimungu wao wana amini yesu ni mtoto wa mungu kwa sababu hakupatikana na baba wanaamini mungu yupo na sio yesu wana amini yesu ni mtoto wa mungu

    • @user-gi1ez6fc1y
      @user-gi1ez6fc1y 14 днів тому

      ​@@mishihassan9035Wanajikutaga wajuaji Hawa miungu watu😂😂😂

    • @KassimSaid-vp4zz
      @KassimSaid-vp4zz 14 днів тому

      Hahahaha kmbe wachristo mngu wenu ni yesu ooooh jaman

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o 15 днів тому

    Uyoo nae ni msanii au chawaaa

  • @Zenny89
    @Zenny89 15 днів тому +1

    Duh!!! Vidovidoxx hatumii after shave au?? Mbona manundu mwengi

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 15 днів тому +1

      Huyu atakua kma mme wngu zaman alikua akitumia viwemve vya kawaida ila alipojigundua saiv anatumia mashine bas hawafanyi na akimaliza ana tumia facial inasaidia pia after shave pia haimpend

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 15 днів тому +4

    Mtt wakiisilam unazalishwa watt waxinaa naupo tuy hapo haujui kufa kupo duuh

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 15 днів тому +1

      Watto wazinaa ndo watto gani???

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 14 днів тому

      @@checkcheck5191 ww mwenyew wazinaa utajulia wap

    • @nuruamry
      @nuruamry 14 днів тому

      Kitanda hakizai haramu elewa hilo jitahidi ku pevuka kiakili usome na maandiko vzr

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 14 днів тому

      Andiko gani linalo sema ivo​@@nuruamry

    • @user-db1fb7ob8b
      @user-db1fb7ob8b 14 днів тому

      Ukiachana na zinaa hiyoo uloibebea bango unauhakika umekalika?

  • @majidisaidi4667
    @majidisaidi4667 14 днів тому

    ubwa nyie

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 15 днів тому +3

    Akumae zenu mevaa kanzu za allah kwaajili yakwenda kutunza mitoto ya laana amabayo nimitoto ya zinaa du hii dunia sijui wap tunaelekea kwakweli da

    • @annajoseph9955
      @annajoseph9955 15 днів тому

      Kumanyoko mbwa wew ukute wew mwenyew mtoto wa nje ya ndoa kujifanya mungu mtu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 15 днів тому +2

      Mtt kahusikaje hapo? Wenye makosa ni hao wazazi usimtie mtt kwenye dhambi za mtu mwingine

    • @jackiefredrick586
      @jackiefredrick586 15 днів тому +3

      Kumbe Allah anavaaga kanzu na hukutuambia

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 15 днів тому

      Aaah we jamaaa ni shetani kabisa si dhani hata kama dini unaijua ww

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg 15 днів тому +1

      Hakuna mtoto walana hataowa waliozaliwa ndani yandoa ndio wanakuua mashoga wanje yandoa hutokea shekhe

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 15 днів тому +2

    Hakuna Mungu mmoja Mungu wa kristo ni mwingne na mungu wa Kislam mwingne

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 15 днів тому +2

      Kwan waisilam mungu wao ni nani na wakirsto mungu wao ni nani duuh

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 15 днів тому +3

      Duh we mzeeee pole sana

    • @SubiraMohammed-ks6qg
      @SubiraMohammed-ks6qg 15 днів тому +2

      Mmmmh iyo ndo kwanza nakusikia wewe kama kuna mungu wawili

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 15 днів тому

      Hawa wakina George mungu. Wao ni yesu kwani hamjui

    • @OmanOman-vb4uj
      @OmanOman-vb4uj 15 днів тому +2

      😂😂😂😂 subhanallah mmh

  • @majidisaidi4667
    @majidisaidi4667 14 днів тому

    ubwa nyie