Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri / Sheikh Hashimu Rusaganya
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
UA-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Mashaallah shekh hashimu Rusaganya.
Muhimu kumridhisha Allah na si kuridhisha watu ambao hawamiliki pepo wala moto.
Wacha kujifanya kua wewe ni mkamilifu, sh. Rusaganya anajielewa.
Hakika ni kweliii mamba kaamua kusema kweli hamna kuremba
Ukitaka kusema hivyo wale mashehe wote waliomsomesha na wamaulidi motoni maana walifanya yasiomridhisha mungu kwa mujibu wa maelezo yako ?
MAA SHAA ALLAAH!
رحمهم الله رحمة واسعة وأسكنهم الفردوس الأعلى
Mashaallah sheikh wangu umesoma kwa makuraiesh wa ujiji Allah akuhifadhi sheikh wangu .Naona wenye roho mbaya na kujiona wao ndo watu wa peponi povu linawatoka humu.Kwa kweli elimu ya kisufi na twariqa ina baraka sana na kuna mambo makubwa ambayo huyapati mpaka ambae anajibidiisha kuwa karibu kwa Allah na kwa watu wa twarika na hao masufi mwisho wakiona hizo kalama wanasema bidaa na uganga .
Maashallha Leo nimefurahi mnooo nikiwasikia mashekhe kama hivi wakiongea huwa nafarijika sana
Naam kaka hujanishinda Mimi. Kanifurahisha sana. Huu ndio ukweli.
Mashallah!! Allah atakulipa ujira wako kwa kila hatuwa!!!
Mashaaallah sheikh hakika umefunzwa vyema sana katika mji wa ujiji kwa masheikh wakubwa na alama kubwa ya mkoa wa kigoma
MashaAllah baba yngu Allah aendlee kukupa afya njema uendlee kutupa mazr yeny mafundisho jazzaqalah khery
Shekh amepinda kweli Allah amjaalie anyooke na atujalie na sisi njia iliyostahiqi.
Alichotufundisha Shekh ni kwamba hatutakiwi kupinga kile tulichofunzwa na mashekh wetu hata kama hakipo kwenye haqqi 😅na ni marufuku kuhoji 😃tufatilie mambo yanayotuhusu hatuna haqqi ya kuongozana njia stahiki 😅
Ahsante shekh nimekubali umepinda ila kila mtu ni mchunga na kila mchunga ataulizwa na Allah kwa alichokichunga
Siyo hivo nilazima kuaheshimu walio kusomesha Kwa kua ndo ilikua kiango Cha elimu Yao
ذلك مبلغهم من العلم
Uzushi ni kumchezea Allah eti uwesu dah Allah akusameh nimzee wetu tunakuheshim kwahapa utatusameh mzee anatangaza akida yake alafu amesema amepinda subhanallah Allah akuongoze katika njia sahihi
Kwn yupo ktk njia gn twembie ewe mtu wa peponi
Ma sha Allah...
Allah akuhifadhi shekh
Umefungua akili wengi wanaothamini Madheheb yao kuliko Uislam na kutaka radhi za Allah...
Pia umewapa ujumbe wanaodhereu na kutusi Mashekh....
Story ya huyo bwana nimeipenda
Nashukuru nimepata mafundishisho kutoka kwa sheikh mungu akueke na akupe afya
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allah akunawirishe akupe mema duniyani na akhera
Hahaha plastic
Allah akuepushe shekh.unaona watu wafanya shirk kisha mtu anyamaze
Mmmh ila hawa Ma sheikh wetu mtihani sana. Mwisho wana anza kumtishia ndg yao katika imani. Naamini lengo kuu la Sheikh Mohammed Bachu ni kutoa elimu kwa ummah wa Ki Islam hasa juu ya kitabu cha Barzanj. Tatizo elimu hii ime pokelewa vibaya na wengi miongoni mwa Ma Sheikh. Allah pekee ndio anae jua nani yupo sawa na nani kapotea katika hili In Shaa Allah
Nimekuelewa
Sasa kama jambo liko hivyo, tunajifunza hapa kua watu wawe na heshima wasiwatukane waalimu zao Wala watu walio na mtazamo tofauti.
Masha Allaah Sheikh, Alhamdulillaah Allaah amekutoa ktk Mila ile potofu. Mimi pia nilitokea huko huko, tulipotezewa time kulazimishwa kuhifadhi yasiyo sahihi. Laiti masheikh wangeitumia nafasi ile kutuhifadhisha Quran.
acha uongo wewe umesoma wapi?! sheikh Rusaganya ni Sufi tena kindakindaki, mimi ni mwanafumzi wake. zamani masalafi walikuwa wanajua ni mwenzao, baada ya masalafi kuanza kutukana masheikh hovyo na kuwakufurisha waislam wenzao sasa sheikh Rusaganya ameamua kuwafunguka na kuwaeleza wajue yeye sio mwenzao.
Shekh lusaganya Allah akuzidishie umri mlef zaid
Aksante sana sheikh hashimu lusaganya mwenyezimungu akuhifadhi ,
Mashaallah Allah akuifadhi
Allahu Akbar, Allah akuifadhi Sheikh wetu
Allah atujalie mwisho mwema, baada ya kusikia kutoka kwa mtu linganisha kwenye kitabu na sunna!
Mashaallah, Allah Akuhifadhi Sheikh na wanafik❤
Jazakallahu kheir sheikh Rusaganya!
Wewe huwezi kuwatukana masheikh wako,lakini mtoto wa marhuum Sheikh Nassor Bachu amemtukana baba yake kwa maneno makali.
Hatari sana.
Kamtukana vipi
Mm nnachoamini ujumbe umeshakufikia sasa ni juu yako kuufuata au kubaki na bidaa zako
Mashaallah maneno mazuri sanaa shekh mungu akubarik watu waufaham mchango wa mashekh walotangulia
Maa shaa allah
Elimu pamoja na adabu ndo funzo tunalochukua Kwa sheikh rusaganya
Allah akudumishe siku nidiriki darsa yako ya macho Kwa macho in shaa allah
Allah atawadhihirisha tu watu wa bidaa wote inshaAllah hiyo ni ahadi ya Allah والله مخرج ما" كنتم تكتمون"
Hauna kazi ya kufanya
Sahihi brother acha waumie ila bidaa wakifanya lazma waambiwe
Kwahiyo wewe Raha yako unataka akae hapo aanze kudhalilisha na kutukana masheikh.!!
Babullah ahmada bajata thanaa alayh❤ taraturbatu nnabatu nnabii ru’uyatallah alayh ❤. Maaashaallah
Umenikumbusha mbali maalim
Asalam Alaykum, nawapenda kwaajili ya allah, kipindikile una vuma sana redio imani
Mbona ulishawayi kusema asyatuni wa maryamu, haya maneno ya meongezwa tena haya maneno yako kwenye clipu, lu saganya to muogopeni
Allah, na hisi maneno ya allah yasha tuzuru, a lipo sema, kuna watu, mudhbi dhabina bayna dhalika huku tuko na Kule to ko
Wallahi shekh unasauti nzur yaan nmejiskia raha sana
MashaAllah sheikh
Shekhe. Unaposema shughulika na Yako na usishughulike na ya watu Mimi sikuelewi. Unaposhughulikia dini Moja Kwa Moja utashughulika na watu. Maana ndy walengwabwa dini hiii.
Mtihani huu,shekhe hata kama kakosea hataki ambiwe, hizo qasida unazoimba lusaganya shekhe wangu maana yake unajua, basi waambie waislam kama inafaaa kumuomba msaada au ukombozi mtu aliekufa, mtihani sana huuu sikutegemea kama unajeuri kiasi hiki
Akili huna kama kitu hujui maana yake kukaa kimya nibora kuliko kuwatuhumu watu
Asante e
Ongeza sauti rusaganya asikie,naona yuwaimba tuu,twaomba tafsiri ya hizo beti za nyimbo au qasoda
@@tanzaniaonmzamiloon8627 hakuna alietuhumiwa hapo ,lusaganya ni shekhe tena kasoma kwa hao mnaowaita mawahabi ,ila ataki kuacha itikadi za babu zake hata kama mbaya,atafsiri hicho alichokuwa anaimba wengine hue nda hawjui maana yake.alafu atuambie maiti anaombwa istikhatha
@@FarahJey kumbe elimu huna ndio maana unaomba tafsiri
Maashallaaa shekhe.Rusaganya Alla.akuweke maana watu kamanyinyi niwachache sana
Sheikh sasa anaaza kuheshimu watu wengine ...
Naam sheikh mashaa Allah nimefurahi qaswida unazijua
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh Mohammed Abdulwahab Mwenyewe amesomea Kwa Sheikh Abdulqadir Jeilani
Allah akuifadh sheikh Hashimu
Ma Shaa Allah Sheikh wangu upo sahihi
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Daaah mtiani huuu kwl ww umepindaaa xx km umepindaa sheikh bachu hata kunyoosha
Mashallah hiyo dhikri inifurahisha mpaka rohoni
Mzee kazungumza hekima kubwa sana
Sheikh Muhammad Bachu maashallah mungu amueke hakik anafanya kaz ngumu kwa kweli 😢 ila watu bado wametia pamba masikion 😭
Wee na bachu wako hamuoni mbali baadala yakutagazaa ndini ya kiislam bachu wako kakalia maulidi biidaa na anocho jua nihicho tuu bachu hana elimu
@@jamilahjamilah4157 Wee una ushahid gan kama bachu hana elimu kwan unamjua mtu mwenye elimu na alokuw hana nduguyangu.... 😢🤔 Au ndo unaishi kwa kufuata mkumbo na matamanio yako t yanakupeleka wap 😢
Si tusoelimu sijui tushike wapi jamani mbona mwatuchanganya
@@sadamakame7684 dg yangu waala usichaganyikiwe elim haina mwisho wee soma utaujua nayule lile swali kalikimbia kusudi alikuwa anajua akijibu basi nahuyo wanaye muita ibun temwe atakuwepo naataulizwa kasema nn ndio sababu yakukataa kusema
الله أكبر !
بارك الله فيك
Ostaz allaah atuongoze atujali namwishomwema
Shehe muhammad nassoro kigogo mwenyez mungu amfanyie wepes aliko 👏
Mashaallah shekhe Allah akuifadhi
Quran na Sunna FULL STOP ❤❤❤
Hili shekh nalo linabana pua! Amesema kweli imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu
huyo imam shafi na yeye mwenyewe ni sufi kama ulikuwa haujui.
Ww itakuwa umetumwa ni mshenzi tu huwezi kumsema muislam mwenziwe maneno km hyo
Mohd...huyo imamu shaafy mwenyewe alikuwa sufiii Sasa unasemaje.!!
@@swalehemrombo9301 ndio wanavyokudanganya mashekh wa kisufi?
Imaam Shafy hawezi kuwa sufi hata siku moja! Imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu.
Imaam Shafy yuko mbali na usufi (upumbavu)
SHEIKH HII DINI HUWEZI KUIBINAFSISHA!UISEMEE UNAVYOTAKA!!
UKITOKA KWA MSTARI TU LAZIMA UPIGWE NYUNDO ZA KUTOSHA!!
Kwel kabs
Unaumia Sana ndugu,pole sana
Kajiunge na Daymond una sauti mzuri dini ya Allah so ya mizumar, vinanda wala matarumbeta
Ulikuwepo wwkati Dini inaanzishwa au umefuata Mkumbo wa wazazi tu?
NDIO NYIE SIO😂
Nimesoma comments nyingi humu , nikichogundua baadhi ya waislamu au wengi wetu , hatuna tamyiz ya kupambanua haki na batwil, bali tunafata mkumbo
Kidogo shkh ume teleza
Mashaallah
Maulidi sheikh Hashimu ni bidaa hata km umepindaa ukwl umekufikia vzr tu
Hiyo stori ya mtume kuminywa na jibril sio kweli jribu kufikiria vzr
Shehe nakupongeza Allah akulinde.
شاء الله حفظك الله يا شيخ
Kuna sheikh na mzee ww ni mzee rusaganya endelea na hadithi za babu na wajukuu zake
Mm nilikuwa nakuona umesoma kumbe umefata mkumbo ila Allah atuongoze katika njia ya sawa sawa
Kw taarifa yko w Musa waulize hao unaowmini huyo rusaganya kasoma wpi watakwambia na ushabik wko up huyo Madina miaka iyo isiokuwa na mihemko ya kishabik y dini au shekh wako!
Tatizo we hujuwi halafu una mihemko huyo Rusaganya Sasa kasoma huko huko huko kwa hao hao wanaokuleteemi hiyo misimamo mnaojifanya mnayoo.!! Sasa yeye ndio kasoma huko huko uliza utaambiwaa.!! Acha ushabiki maandazii.!!
Mwalimu wangu, shekhe Rusaganya wakati nasoma masjid qubah ( kijitonyama Daressalaam)
Allah akuhifadhi
Masjid Quba umesoma mwaka gani
Mimi binafsi hata kama sijafika huo makamu, lakini najivunjari kuwa sufi Al hamdu lillah.
Mashaallah mashaallah maneno mzuri
MashaAllah Sadakta sheikh 100 kwa 100 asiyependa ajifungie chooni 🤣
Mashekhe wana fanya kazi ya kuelimisha nyinyi mnarejesha nyuma juhudi njema, mtalaaniwa na Mola Mlezi wetu ngojeeni tu
Wameanza kulaaniwa masalaf alafu ndio wengine
Umesikia kuwa mungu ni mjomba wako atowe laana kwa matakwa yako tu unavyotaka wewee.!! We mpuuzi kweli yani.!!
Sheikh Mungu akuzidishie nimependa sana maneno yako umeongea kizamani hasa karne hii hakuna mambo hayo vurugu tupu kwanza huwezi kujua mwalimu nani sheikh nani mwanafunzi nani ujinga ujinga tu
Haki ibainishwe jameni tusiifiche ndivyo yalivyo amrishwa na Allah na mtume wake
Watu watarika wengi wamekufa na shahada wanapata mwishomwema
Na kwanini wasife na shahada hali wao kutwa kucha ni lailaha illah Allah. Kila baada ya swala ni adhkaar tupu na lailaha illah Allah mara 165
chozi lataka kutoka nikiwakumbuka Masheikh wetu wameishi maisha yao yote kwa dhikiri tukufu
Na kubali twarika ukiishika na mafundisho yake unapata mwisho mwema twarika ni njia ilio nyooka🙏🙏🙏
Sio ukweli wewe ni muongo
@muktazimbuyu6569
Kwani wewe una Ilm ya ghaib kujua kama fulani ni muongo?
Nyie kwenu masheikh zenu wa kiwahabi hawana nuru na utulivu na kutwa kucha ni matusi na takfiri na magaidi ni zao na magaidi.
Hamuwafikii watu wa twariqa kwa adhkar na tahlil, huyo sheikh wenu mkuu hamfikii hata robo muridi tu wa chini kwa uchamungu na ibada
MAULIDI JUU ZAIDIIII MTUME ASIFIWE SANAAAAAAA
اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وصحبه أجمعين
Masha Allah
Sayyid Abdul qadiry jaylan
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar mashallah
😢😢 Allahu Akbaru Allah akulipe kheri
Book of qadiria shiekh
Masufi mna dhalilika hadharani bila kujielewa😅😅😅😅😅
Mashallah ❤
Mtu anatetea bidaah huyu daah, sio vizuri
قال الأمام أبيو بكر الطرطوشيء رحمه الله.
مذهب الصوفية بطلة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله صلى الله عليه سلم
Mngefundishwa vitu vya msingi mngekuwa mbali sana waafrika na watanzania ila mmefundishwa ujinga ambao hauwasaidii kitu katika maisha yenu.
Ni kweli wangefundishwa vitu vya maana wangekuwa mbali ila walifundishwa upuuzi na bid'aa na kubana pua
musiwe wajinga uislam haupo kimihemuko toeni dalili zinazoenesha kua maulidi ni bida'a
Masjid qubah nimesoma kuanzia 1987 ..... Mwalimu kaduguda, Yusuf Salim, Salim Awadh, shekh rusaganya ndio miaka hiyo nilimuona
Chungu cha busara hicho, ALHAMDULILLAH
Wao
Maa Shaa Allaahu
MASHA ALLAH 🇰🇪 💚 💚💚💚
HONEST IZ THE BEST POLICY... "ENJOY THE RITE FORBID WHAT IZ WRONG"
Aislam isomeni dini yenu muijue hapo ndo mtaijua haqi iko wapi vinginevyo mtaburutwa sana, ukisoma fiqhi ya imam shafiy rahimahullah ndo utagundua Imam Shafiy hakuwa sufi na mengi yanayofanywa na masufi yeye aliyapiga vita, tafuta kitabu kinaitwa safinatu nnajah au matin ghaya utajua mambo mengi.
Alhamdulillah
A.aleykum,naomba msaada namba ya shehe
Sheikh Rusaganya dheheb gani mbona hatumueliwi
mashallaa
mashaallah
Ingia bongo fleva utoe nyimbo utoboe maisha😂au kalia kaswida zako ufe masikini kwa kutegemea sadaka
Masheikh wa kisalafi wengi ndo wana maisha magumu sana kwa unafki wa kujifichia kigezo cha sunna
Kumbe ummoja wao 😢
KUWATUNA MASHEIKH WALIYOPITA SIYO SAWA! ILA KUWATETEA KTK YALE AMBAYO WAO WALIYAKOSEA NDILO KOSA!!
NA KUSIFU NA KUWASOMEA WATU MASHAIRI YA WATU WA BID'A KWA NIA YA KUWASIFU UNAHESABIWA AWE NI MTU WA BID'A!!
Sasa ndio umeongea ujinga gani
Jifunze ewe kijana ujinga ni aibu hakuna anayeridhia ujinga ila punda
Siku ya hukumu jitahidi ukae katika milango uwazuie watu wooote wa bidaa na maulidi masufi wasiingie peponi
@@mwalimumwanyongo880 hahaha 😂😂😂😂😂 hiyo kazi hata shetani ana roho mbaya lkn hataiweza
@@mhusinigau3231 haha 😃😃 ee Si masufi na watu wa maulidi ni makafiri kwahiyo watu wa suna na salafi siku hiyo wakae kwenye milango ya pepo ili masufi wasiingie peponi
Maashaallaah
Kumbe hili jamaa sufi. .jitu la twariqa.. doh Allah atuongoze. Hafai kabisa
Haya mnyime Pepo basi km unayo hiyo Pepo ya kumnyimaa.!! Maana watu km nyinyi si mnamiliki Pepo zenu za kuwapa watu na mnamiliki mioto yenu ya kuwaingiza watu haya fanya uwezalo Sasa.!!
Mimi niliota wale maulama sufi wala masuni wanahalalisha vitu zaharamu kama mira , tumbako, kuozesha wanake bila walii wao, wakiwa wanafamu wakona elimu watakuwa mahbuzi au prisoners (with uniform)ndani ya kaburi paka kiama , until the day of judgements... niliota nataka mtafsir hio ndoto yangu...
Rusaganya
عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها قَالَتْ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَى اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ ، رَضِيَ الله عَنْهُ ، وَأَرْضَى النَّاسَ عَنْهُ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَا النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ ، سَخَطَ اللَّهُ عَلَيْهِ ، وَأَسْخَطَ عليه الناس ) رواه ابن حبان "الإحسان في تقريب صحيح ابن حبان" (1 /510) ، والترمذي (2414) بلفظ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ كَفَاهُ اللَّهُ مُؤْنَةَ النَّاسِ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ وَكَلَهُ اللَّهُ إِلَى النَّاسِ ) .
وقد اختلف في رفع هذا الحديث إلى النبي صلى الله عليه وسلم ، ووقفه على عائشة .
وقد صحح الإمام البخاري ، كما في العلل الكبير للترمذي (332) ، وأبو زرعة ، وأبو حاتم ، كما في العلل لابن أبي حاتم (5/59) ، وغيرهم وقفه . وقال الدارقطني رحمه الله : " ورفعه لا يثبت" . انتهى، من "العلل" (14/182) .
وينظر " سلسلة الأحاديث الصحيحة " ، للألباني ( 5 / 392 ) .
ثانيا :
Shkh Rusaganya mim nataman uwe mwalimu wangu katika dini sikuwah kukaa darasani ila nasoma kama hiv nikiingia mtandao hiv
Wewe kweli umefikisha ya maana eeeh!!!!
Wameaminishwa hivyo indio hivyo hivyo tu
Masalafi wakwanza mabidaa wakubwa wanafuata na kuamini kila wanalosema wenzao Ila ma sheikh wengine wote hawajui
Alhmdulillah
Ndio zao hawa wanaabudu mtu mwenye elimu. Abdul Kadri Jaylani.
Halaf sheikh anamipasho hapo naona anawapasha wenye kanzu za watoto 😂😂