Shida Ya Aina Yoyote Amka Usiku Mkabizi Allah/Soma Nyiradi Hizi X 16641 Kil/Sheikh Hashimu Rusaganya
Вставка
- Опубліковано 26 лют 2024
- Shida Ya Aina Yoyote Amka Usiku Mkabizi Allah / Soma Nyiradi Hizi X 16641 Kila Alfajiri / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Shida Ya Aina Yoyote Amka Usiku Mkabizi Allah / Soma Nyiradi Hizi X 16641 Kila Alfajiri / Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
UA-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Розваги
❤ Allah akuongezeyeumurimurefu sheikh rusaganya
Jaazzaqallah khaillah
Ameen.
Shekhe Rusaganya hapo mwisho eti kila mtu asepe na mambo yake Wallah umenichekesha sanaa 😅😅 Allah akuhifadhi.
Ameen
My best sheikh,Allah akupe mema sheikh hachim
Mie nampenda shekh huyu hakukopeshi hao hapo hapo anakupa tunampenda from uk🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Hahaha et hakopeshi nn sasa
Mashallah tabaraka Allah sheikh Mola akuajalie la kila la heri akuajalie afya na mwisho mwema inshaAllah aminthumaamin
Maa shaa Allah. Jazakalau kheiry
Mashallah, Allah akulip kheyri na atuwezeshe in sha Allah
MashaAllah
Kukithirisha dua na kumtaja Allah pia wataka dalili,je mambo waliofanya maswahaba mtayaweza au mtachagua
Mungu akuzidishiy kilalakher Shekh wetu unatupa burdan mpaka bas wallah 😂
Asalam Aleykum Warahmatullah wabaraqatuh
Shukran saan kwa duaa
Nimependa sana Sheikh Lusaganya yuko vizuri sana Allah Amhifadhi In shaallah
Naomba Number yako ya simu 🙏🙏🙏
+255715915008
MUNGU ATUJALIE KHER
Shehe nakuelewaga sana
Safi sana😂
Ma sha Allah
Mashaallah ❤❤
Anaejua iyo aya jaman
Enyi mnaouliza maswali ya kinafiki mbona nyinyi hamfundishi watu nanma gani wanaweza wakajikinga na mambo kama hayo mnakaa kimy mnasubir mafundisho ya watu wengingine ndo mnaanza mijadala ya maswali huo ni unafiki
Allah akuhifadhi sheikh❤
Km ww huamini unayetaka dalili .unalazma gani kumfuatilia shekh.kwann wapenda kuwa mpinzani
mashallah
Assalamualaikum warhamatulah wabarakatuh! Jaman niliomba namba ya shekh Rusanganya sijapata bado
+255715915008
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,samahani sheikh nina nyumba yangu ninaiuza huu mwaka karibu wa sita hainunuliki je nisome dua gan ili ipate kununuliwa?
ua-cam.com/video/lYK4qa7fiYw/v-deo.html
Ya nabii yunusi au ipo swala unasali saa tisa mchana
Mimi naomba namba zako za simu shekh
+255715915008
Iyo aya tuandikie anaejua
Shekhe tupe dalili ya namna uradi huo ulivyofanyika km unavyoelekeza
Ni muhim tuonyeshe ni wapi umechukua hayo usemayo
Najua ni ugomvi huo nstafuta lkn ni kwa ajili ya Allah
tupe dalili kwanza wewe ya kuowana wazaz wako ukapatikana wewe kisha tukupe nasi dalili
Kumekucha 😂watanzania toka mjue mambo ya dalili bas Kila kitu mwataka dalili😂 Achen ubishi usiokua na maana na pia tafuten elimu sio kubisha Kila kitu
16641 ibada hio hata maswahaba hawaiwezi, dini hio kazi kweli ,fundisha kitabu uwe na dalili, ya latwif ya latwif, ya latwif uradi huo haupo kwa ismu mufradi
Wewe usisome mwache atakae some. Muna utashi mpaka kwa utajo wa Allah. Sheikh haja kwambia lazima wala haja kushika koo kukulazimisha. Hutaki usisome
Watu wanakesha katika maasi, unashangaa watu kukesha kwa ajili ya kumbembekeza Allah.
@@jamalkishangu kweliii kabis
Mwenyezi mungu akulipe @@jamalkishangu
Mbona masharit magumu mkipewa mnayafanya tena kwa Siri?
MashaAllah