❤❤❤❤❤❤❤Much love to you mbwela 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Masha'Allah yan apo mwisho mwisho ndo patamu zaid ak unanifunza xan kaka asante xan ❤❤❤❤❤ napenda movie zako yan zinauhalisia wa maisha laeima tue na msimamo kwnye mapenzi hongera xan mbwela
Wamaume wote duniani wanaakili yaziada joomana Mungu akasema tuumbe mtu kwa mfano wetu mwana mke sio mtu kwamfano wa Mungu mwanamke ni binadamu ametoka mbavuni mwamwanaume awezi kuwa naujaja kuzidi mfano wa Mungu
KAKA MBWELA KARIBIA MESSAGE ZOTE...ZOTE NI SIFA JUU YAKO...HII YOTE NI JINSI MUNGU ANAVYOKUPENDA NA KUKUOA MAARIFA..KATIKA KAZI ZAKO. KIPAJI CHAKO KAKA KIWEKE MIKONONI MWA MUNGU ILI AKUWEKE JUU ZAIDI YA KILELE. BIG UP BROTHER.
Mbwela balance sauti inayocheza inakuwa juu mnaongea tunapitwa,mnapoongea sauti ya muziki iwe chini tafadhal lkn uko juu hongera shabiki wako kutoka kenya
Wahenga wanasema usikosee kuoa lakini kaka mbwela umekosea kuoa sijui wanawake wanataka nn kwakweli hili ni somo wanawake tulieni bc mmmmh 😮😮😂😂❤❤❤🎉🎉🎉😢
Big kaka Mungu akupe nguvu kaka na kupenda bur❤❤
Mbwela ana plani B ambayo wanaume wengi hawana dàah hongera sana kaka ni zaidi ya mwànaume sahihi
Nice movie ❤❤
Mbwela uko vzr mola akuzidishie 🎉🎉🎉❤ natizama nkiwa Saudi Arabia
Big kaka pia mm huyo msemo wako sijauelewa na kwa sahii sina akili ya kufafanua naomba unifafanulie😢😂❤❤❤🎉🎉
nime kukubali sana kaka mbwela imetupa mafunzo mazuri ❤❤❤❤
Kweli Rafiki sio MTU mzuri kbs yn anaweza kukuua
❤❤❤❤Kabxa rafiki yako ni adui yako tuu
Mafundisho mazuri hongera sana Bwela 🎉🎉🎉
Wa kwanz jaman...naomben likes km unamkubali mbwela❤❤❤
Toweni maoni acheni mambo na like hapa...kwani mnataka like za nini😮😮😮
Upewe like umeigiza cini gani ujinga tu
❤❤❤ mbwela umetisha sana
Mbwela ❤
Kaka mbwela unatumia akili nyingi sana movie zako mjingaa awezi kukuelewa❤❤❤
❤❤❤Nkxel kbxa ak mm namuelewa xan uyu kaka Masha'Allah mafunzo mazuri xan mbwela endlea kutufunza kaka
Wewe ni mnafiki umefurahi Sana kusikia mbwela amekufa ujuwe mwisho wa ubaya aibu
Kabxa ❤❤❤❤😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤Much love to you mbwela 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Masha'Allah yan apo mwisho mwisho ndo patamu zaid ak unanifunza xan kaka asante xan ❤❤❤❤❤ napenda movie zako yan zinauhalisia wa maisha laeima tue na msimamo kwnye mapenzi hongera xan mbwela
Jamani naipenda movi zako mbwela ila sipendi nywele zako Zina kukomaza zikate basi
Waah nimejifunza kitu kaka mbwela big up sana broo ❤❤❤❤
Hongera big kaka🎉🎉🎉ni wanaume kidogo sana wangefanya maamuzi kama yako#wengi ni wale wakisikia tetesi tu uamuzi ni kuacha au kufukuza mke!
I love your work,keep it up mbwela👍
Hata nami nipewe like natoka Nairobi
Mbwela una moyo wako,kazi njema from kenya 🇰🇪
Bwelaa umefanya mpka nimetamani Embe akii😋😋
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉 mungu akusahidie ufike malengo yako kaka mbwela ❤❤
Hongera kaka kazi nzuri ila sio vizuri kusingizia kifo, naona ata kwenye big kaka umefanya hivyo
Kazi nzuri 🎉🎉🎉
Movie kaliiiii 🔥🔥🔥
Big up sana
Nakupa hongera mbwela kabla sijamaliza kuangalia mna move zako ni ndefu vizuri halafu za mafunzo
😢😢😢😢nice movie..msaliti jina mzuri ya hii movie
Dah shida dada uliomba duwa mwenyeo mme wako apate ajali kashaipata walia nn
Usaliti unauma sana😢😢, hongera kwa mafundisho
Tem Bwela Tuko Bega Kwa Bega Na Wwe Love From Qatar❤❤❤❤❤❤
Wanawake mashetani anapopambana mbwela
N nzuri hongera Sana kaka mbwela, Ila ushauri wangu punguza muziki hasa wakat mnaongea
Kwa kweli mbwela uko sawa bwana🎉❤
Ongeza bidi kaka
Kama unaona mbwela ana tufatiji kwa movie zake..tujuane😊
❤❤❤❤❤❤Xan tuu ak
Safi sana mbwela mambo ya kulazimisha sio mazuri
Never give up,i love you always big kaka ❤❤
Jamani wenye wakiona moves za mbwela hawaezi pita bila kuangalia kama mm weka commenty yko hapa❤pamoja likes
Kaz nzur
Brother Mbwela Masha Allah I always love your movies
Sauti inakera sana iwekeni ya chini isizidi sauti y mazungumzo
Kali sana
Kaz saf n uwa nkupendea roho saf n mawazo saf sn,,, Allah akuongoze ktk kaz zko zjayo inshallah
Mbwela bwana nimuingizaji mzuli sana nanaweza sana
Like
Good work🎉🎉🎉
Ya moto sana 👊
Uyo mdada alokuw anachota maji saut yake kama ya Riyama
Wamaume wote duniani wanaakili yaziada joomana Mungu akasema tuumbe mtu kwa mfano wetu mwana mke sio mtu kwamfano wa Mungu mwanamke ni binadamu ametoka mbavuni mwamwanaume awezi kuwa naujaja kuzidi mfano wa Mungu
KAKA MBWELA KARIBIA MESSAGE ZOTE...ZOTE NI SIFA JUU YAKO...HII YOTE NI JINSI MUNGU ANAVYOKUPENDA NA KUKUOA MAARIFA..KATIKA KAZI ZAKO. KIPAJI CHAKO KAKA KIWEKE MIKONONI MWA MUNGU ILI AKUWEKE JUU ZAIDI YA KILELE. BIG UP BROTHER.
Kazi nzuri ila mziki upo juu kuliko maongezi
❤❤❤❤
Kaka mbwela uko vizuri
Saf san kk mbwela mung akubarik
Mwanamke mnafiki ww sijui watu wa you tube wanaruhusu kucomment mara ngapi kwasababu mm najihisi kucomment tu leo😂😂😂😂😂
Big up sana Mbwela
Keep going 💪
Mbwela namkubali
😅😅😅😅apo powa muache uyo tafuta akupendae
Mimi kilio changu kwa waigizaji ,wanatukela na miziki kwenye cinema zao
Nzuri 🙌👏👏😍😍
Kazi nzuli bwela ❤❤❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉 jaman mie nampendaga jamani ❤❤❤ aitaki tuingiliane nshamwai
Haya twakuaciya usigombe😂😂😂😂😂
My Man miss you and good Job 😢 love you mbwela
Yan mie ni shabiki wa mbwela lakini hajawai nipa ata like 😢😢
Like Yanni bwana mie nataka anioe😅😅😅😅 nanimemwai sitaki tuingiliane 😂😂😂❤❤❤
@@Professor.Irene95 🤣🤣🤣 oyi mbwela ukuje bas harusi tunayo mbona
😂😂😂😂😂😂@@Professor.Irene95
Jamani nyiye😂😂😂😂😂
@@RizikiZiki mie ndie na shika pesa ya mchango ya mwanangu mbwela oyi bibi harusi mwanangu mbwela kama muhindi mahari una lila wewe imeisha iyo
Subhanalah we dada unamuciti mmeo alafu unamuombea nakifo juu😢iyo nizaidi ya unyama kama humpendi siubora umuace tu pakumuombea kifo🤭
Yaan cjamalza kuangalia lakn nahc huo wema ndio fimbo yako 😢
Nimekuwa wa 8 ila so mbaya nipe like 1 tu
Honger san nataman sku moj nifny kaz na wew
🔥🔥
Dah shida kweli
Kaka ommy unaupiga mwingi🎉🎉🎉
Ila mbwela wakati wa mazungumzo zima mziki plz move tamu
Mbela anajuwa sana
Mbwela kama mbwela
Daaa sisi wanawake cc mungu anatuonaa kwakweli 😢😢😭😭
Good work mbwela...
Kazi safi kaka Mbwela ila tu hujai like my comments sijui shida wapi ila mm penda ww sana❤❤❤❤❤
Duh mbn mm Nalike comments zote kila movie nikiachia Na wakat mwengne najibu comment. Ndg yng
Mbwela balance sauti inayocheza inakuwa juu mnaongea tunapitwa,mnapoongea sauti ya muziki iwe chini tafadhal lkn uko juu hongera shabiki wako kutoka kenya
Ila mbwela unajua kutunga muvis we jamaa unajua mpaka unajua tena ila cjui Sasa apa umejitoa kwa madebe
Kazi nzuri sana bwela duhh
Movie nzuri sana yenye mafunzo ❤ila weeeh nimechukua masaa 2 kuiyangalia sijui nyie wenzangu 😂😂😂😂
😂😂😂😂nishida hadi uvivu ju niubora aigawe marambili kama Donta TV wanavyofanya ndo powa
Big kaka much love wallah❤❤
Mbwela Onqera Cna From Oman naitwa somoe kaka mbwe la apo ni wapi kilwa au mlandizi
Ila wanawake bnee tuna shida sana unamuacha mkaka mzuri unaenda kuchepuka na 🤐😂😂 Anyweis Acha watu wapendane tu. But Good Job Mbwela❤️🔥.
Mbwela sai nsipo angalia movie zake sijihisi kamili uko sawa
Bwele nakukubali sana
good movie
Jamani Ebu Toeni Mziki Bhana Unaboaa Tunakuwa Atusikiii Mnachoongea Mnatuumiza Masikiooo😢
Kweli sisi wanawake walimu wetu vipofu 😢
Jaman uyu kaka ako na sauti nzuri❤
Kaka yup? Huyo
@@mbwelamedia3469 mbwela
Safi sana kbs ❤❤❤❤
Big up kaka mbwela
Niurumasana kwa sisi wanawake tunazindi kuwa waongo
Kwn kijijin pia watu wanaitana baby👌
Junga watu wenyu wasifanye ufunge kz
Yaan hii move somo tosha kwakwel
Kambi ni msaliti kwa rafiki yake mbwela ni Bora unamuacha huyo mkeo Hana uaminifu kwao
Unajuwa mbwela
Kaka tupe muendelezo