Kisa cha mzee ambaye akikwambia siku mbili haziishi unakufa unakufa kweli - Sheikh Othman

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Baraza la sheikh Othman Michael

КОМЕНТАРІ • 115

  • @HafsaShaban-mg3ti
    @HafsaShaban-mg3ti Рік тому +2

    Allah atupe mwisho mwema ndo pale unasikia pepon utaingia kwa rehma za mwenyezi Mungu subhan Allah

  • @mtalesophia3830
    @mtalesophia3830 Рік тому +2

    Inna lillahi waaina ilahi rajiuna Allah atujalie mwisho mwema sote tunaokufuatili shekhe

  • @mwnab1697
    @mwnab1697 Рік тому +6

    Inalilah wainal rajiun Allah tujalie mwisho mwema inshallah
    😭😭😭😭😭

  • @AlimaSadiki
    @AlimaSadiki Місяць тому

    Allah akuongoze shekhe wang

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Рік тому +2

    Innalillah Wa Inna Illah Rajiun
    Allah ampe kauli thabiti

  • @abdulzakaria4588
    @abdulzakaria4588 Рік тому +3

    Subhana Allah. Mwenyezi Mungu atujalie na mwisho mema. Amin. Amin. Amin.

  • @AsmahMakunge
    @AsmahMakunge Рік тому +2

    Allah akuongoze akusamehe na makosa yako

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 Рік тому +3

    Inna lillah wa inna ilaih raaji'u. Allah amrehem marehemu na Aturuzuku sisi mwisho mwema

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Рік тому +2

    Allahu Akbar!Allah atujalie sisi waja wake wepesi wa kutamka kalma,na atupe mwisho mwema InshaAllah

  • @AhmedHassan-zh8dd
    @AhmedHassan-zh8dd Рік тому +2

    😢 Alhamdilillahi Allah atupe mwisho mema

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому +12

    Subhana ALLAH! Allah Atupe Mwisho Mwema, Tufe Na Kalma La Illaha Illah ALLAH, Muhammadu Rassulu ALLAH. Allahumma Amiin

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Рік тому +10

    Inna lillah wa inna ilaihi radjiun, Allah amsamee na atuongoze tulio baki

    • @layleyla
      @layleyla Рік тому

      Alikua Ashamsamehe hio kutamka shahada ukiondoka duniani ni kheir kubwa mno maana Allah Ashasema Mwisho mwema ni kwa wale wamchao Allah Subhanahu wa ta ala kheir ambazo mja ametenda, ajuae ni Allah pekee

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Рік тому +2

    Subhanna allah Allah atujalie mwisho mwema
    Innalillahi wainalillah rajiun

  • @susans4490
    @susans4490 Рік тому +9

    Ustadh sivizuri kusema mtu alikuwa hana kheri ,hilo ni yy na Allah

    • @naslee1010
      @naslee1010 Рік тому

      Shekhe ana maanisha hakua mtu anaye swali sio mtu wa madrassa ispokua alikua na jina la kiislamu na alikuwa na imani juu ya uislamu hivyo imemfanya kua na mwisho mwema.

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 Рік тому

      Tatizo husikilizi vizuri,, kasema hana kheri yoyote iliyo kithirika sio hana kheri

  • @hadrandege
    @hadrandege Рік тому +1

    Yallah tunakuomb utupe mwisho mwema

  • @florencekawira2212
    @florencekawira2212 Рік тому

    Yesu alisema tusiogope, shetani Hana nguvu yeyote. Bora kuwa shupavu. Mwamini mwenyezi Mungu atakujalia mema

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Рік тому +1

    Subhannallah Ya Allah tusameh waja wako

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Рік тому +1

    Yaallha tujalie mwisho mwema waja wako Alahumma amin

  • @rukaiyalema7966
    @rukaiyalema7966 Рік тому +1

    Subhana llah 😭😭😭😭😭😭 allah atujalie mwisho mwemaa🤲🤲

  • @allymashaka3471
    @allymashaka3471 Рік тому +1

    Allah Atujaalie Mwisho mwema, Atusamehe pale tulipoteleza hasa kuingia ktk shirki tutafutapo suluhu za shida na matakwa yetu, Hakika nikutapatapa kibiinadamu tu

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Рік тому

      Aaamin kabisa, Allah atupe mitihani ya kiasi chetu, isije kutupeleka kwenye shirki

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Рік тому +1

    Allah atupe mwisho mwema

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990

    Shekh Allah akuthibishe na akuweke katika waja wake wema daima tunakupenda shekh wetu nafaidika sana na maawaidha YAKO,

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Рік тому +1

    Allah akbar Allah amrehem 😢😢 Allah amempa mwisho mwema mashallah

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 Рік тому +1

    Allah atujaalie kaul thabit

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Рік тому +2

    Innalilahy wainnaillahy rajun Allah atuongoxe yarrabh

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Рік тому +1

    Allah atujalie mwish mwem inshallah

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Рік тому +1

    وإلى الله ترجع الأمور !
    Ahsante Shiekh kwa darsi Allah akulipen Ameen!

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Рік тому +1

    Innalillah wainnailaih rajiun Yarab mola wetu tupe Mwisho mwema😰😭😭🤲🤲🤲

  • @zaituni-im6yk
    @zaituni-im6yk Рік тому +1

    Mungu atujalie mwisho mwema

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 Рік тому +1

    Allah akbar

  • @tambwefatuuma5378
    @tambwefatuuma5378 Рік тому +1

    Subuhanallah Mungu atupe mwisho mwema

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Рік тому

    Wallahi siwezi kukuamini hata kidogo kwn umesahau kuhusu zile video zako za udhalilishaji kwa wanawake wa kiislam hadi ukaitwa bakwata

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Рік тому +1

    Allhuma frllahu warhmahu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Рік тому +2

    Innalilah wainnailah rajiun

  • @nasermeme80
    @nasermeme80 Рік тому

    Yaan nashangaaga sehemu moja ikiwa tunafundishwa kuwa utakiwi kumuukum MTU kwa matendo yake VP wewe sheikh unasema alikua ana kher ata moja unajuaje hatima yake na mungu

  • @allykidundo4508
    @allykidundo4508 Рік тому +3

    inshaallah mungu atujaalie mwisho mwema

  • @akbarston5344
    @akbarston5344 Рік тому +2

    Allahuakbar allah tupemwisho mwema

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Рік тому +1

    Innalillahi wainnaillaihi rajiuun Subhaana llah

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess6190 Рік тому +1

    Innalilah waina ilaih irrajiun

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Рік тому +2

    Kisa kizuri lkn kina usanii ndani yake

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 5 місяців тому

    Allahu Akbar 😢

  • @darusinganziulenge9363
    @darusinganziulenge9363 Рік тому

    Tumpe Mungu baadhi ya wanaadamu wenzetu awajui wayatendayo

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Рік тому

    Jamani huyu ni msani hua anatnunga ili apate likes

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 2 місяці тому +1

      zainabu acha maneno machafu muamini mungu

    • @MuslimuAbdukahari
      @MuslimuAbdukahari 2 місяці тому

      Unaonaje naww ukitunga ili upate likes

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 Рік тому +1

    Subhanallah

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Рік тому +1

    Allah humuingiza peponi amtakaye ndo kama hivi

    • @mornasaidtindwa3622
      @mornasaidtindwa3622 Рік тому +2

      Kwakweli Allah atufanyie wepes tuu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Рік тому +2

      Ndio tunapoambiwa wkt ww ni muisilam si kafiri ima wa kuzaliwa au wakuritadi basi dhambi zote Allah anaweza kukuswamehe lkn si ushirikina.

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 Рік тому +1

      SubhanaAllah. Yarabi tupe mwisho mwema amin

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 Рік тому

      KACHUKULIWA MSUKULE, ALLAH HAUSIKI HAPO! YESU NI MOTO KWA WACHAWI WOTE.

  • @SumeimanAli-rd2qk
    @SumeimanAli-rd2qk Рік тому +1

    Allahu Akbar

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 Рік тому

    Allah akbari

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 Рік тому

    Susan Wacha kuangalia kasoro angalia mantiki ya mada

  • @Zafaabutterfly
    @Zafaabutterfly 4 місяці тому

    Tuombeni mwisho mwema

  • @SHININGFILMTV
    @SHININGFILMTV Рік тому

    Inasikitisha kwakweli

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Рік тому

    Sitii neno maana na ww unatakiwa uchunguzwe

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Рік тому

    🙏🙏🙏

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Рік тому

    As alykm, lakini sheikh hakuna anae jua lini kifo chatu

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 Рік тому

    Kwahiyo yeye ataishi milele hatakufa

  • @seharjan8523
    @seharjan8523 Рік тому

    Mbna mumeeka picha ya huyu mzee ndio huyu kweli

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Рік тому

    HUYU SHEKHE HUYU BANA UOVU UNAKITHIRI UMMA UNANGAMIA USHOGA UNAZIDI KUJAA KILA KUKICHA BAADA UONGELEE MAJANGA HAYO WEE WAPIGANIA KISOMO ILI UPATE PESA HUU SASA NDO MSIBA

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Рік тому

      Hata matatizo ya kishirikina yamekuwa mengi mno Kwa sasa, hasadi ni nyingi. Watu wana mitihani humu wee acha tu mdogo wangu

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Рік тому

      Hawaelewi hawa Kama shirki pia ni janga kubwa mno

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester2368 Рік тому

    Ila sheikh haimaanishi kila tiba ya kienyeji ni ushirikina na haimaanishi si kila tiba ya Sheikh ni halali. Maana kuna tiba za masheikh wengi zinakuwa za kishirikina.

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Рік тому

    Nimtihani wallahi.
    Allah atuhidi aote.
    Maana mchawi hudhania yeye hatokufa, kumbe ni muda tu unamgojea ukifika nae huyooo...
    Allah amuongoze mchawi huyo arudi kwa mola wake na ATUBIE.
    AAAMIIIN

  • @kabese6810
    @kabese6810 Рік тому

    Kwani yeye ni Mungu?

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Рік тому

    Muandaa makala hii umekosea sana kuweka picha ya huyo mzee wawatu nikumkosea sana ondoa picha ya mzee wawatu haraka.

  • @ghaniaame9895
    @ghaniaame9895 Рік тому

    Mm npo zanzibar nshapģa simu sana tuu spati mawasiliano nielekeze nije ulipo plz

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Рік тому

      Zanzibar matabibu wamejaa tele kwa nini upate tabu nenda mwera duka kubwa ipo dua nzuri tu Masha Allah kila jumamosi na jumapili asubuhi

  • @thomasa.kimwaga4161
    @thomasa.kimwaga4161 Рік тому +1

    Yesu anaokoa na kuponya,Mwaminini Yesu anyi watu mpate kuokolewa,hiyo dini yenu inawapoteza

    • @user-ql2om7qj3v
      @user-ql2om7qj3v Рік тому +2

      Kwavile wewe nizuzu ambaye unamuabudu yesu utabaki kuwa mshirikina.sisi twamuabudu mungu naye ni Allah

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Рік тому +2

      Ndio maana mnafunga hadi mnakufa kwa kukosa elimu

    • @hawamashauri1218
      @hawamashauri1218 Рік тому +2

      Mwenye uwezo wa kufisha na kuhuwisha ni Allah peke yake, Nabii Issa Alayhi Ssalaam alikuwa akihuisha na kufisha Kwa idhni ya Allah Subhaanu Wataa'la

    • @thomasa.kimwaga4161
      @thomasa.kimwaga4161 Рік тому +1

      @@hawamashauri1218 hakuna kitu kama hicho,huyo Allah ni Mungu wenu Wala sio Mungu wetu,sisi tuna Mungu mmoja Tu ana Jina lipitalo Kila Jina na ni Jina la Yesu Kristo Tu...huyo Issa hata sio Yesu wetu wala usimfananishe...tatizo lenu nyie waislamu mnataka kutufanya kama vile Mungu wenu na wetu ni mmoja,haiwezekani tukawa na Mungu mmoja afu tutofautiane kiasi hiki,huyo wa kwenu aliyemtuma Muhammad kuja kupinga Ukristo uliokuwapo miaka karibia 600 kabla yeye hajazaliwa sio Mungu wa kweli na nyie sio chochote ila waabudu miungu ya mwezi na nyota pamoja na jiwe la Macca mnaliita Kaaba,Kila siku mnafanya ibada kuabudu uelekeo Hilo jiwe lilipo,pia mnashirikiana na majini na unvyozidi kuwa mwislamu ndipo unazidi zaidi kuwa mgumi,katili,mbagua watu,chuki,kujitoa mhanga na kuanza kuua wengine,na waislamu wengi wenye dini ni washirikina wa kutumia majini na Kila namna ya uganga wa kisomo.Sisi Yesu tunayemjua ni tofauti kabisa na huyo Issa wenu Wala huyo Issa sisi hatumtambui pamoja na Muhammad wenu

    • @hujatswai5798
      @hujatswai5798 Рік тому

      Na unakubali kuwa alilaaniwa maana amelaaniwa aangikwaye juu ya mti? Hivi una akili kweli kukubali kuwa Mungu wako alitandikwa viboko?? Mwenyezi Mungu akuongoze.

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Рік тому

    Tafadhali shekhe vipi napata number yako,I have personal issues please!!

  • @user-tg9fu7mw7q
    @user-tg9fu7mw7q Рік тому

    Naomba namba yako shekhe othiman

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 Рік тому

    😭😭😭😭😭🇰🇪

  • @bakarisalimu8421
    @bakarisalimu8421 Рік тому

    Sheikh kua makini maana dunia ukweli haufichiki maana ghaibu ni allah peke yake mwenye elimu

  • @ISAALMASIHI9823
    @ISAALMASIHI9823 Рік тому +1

    ENDELEENI KUFA TU, MAJINI SI NDUGU ZENU, YESU NI DAWA, EPUKA KUFA KISHIRIKINA

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 Рік тому +2

      Kwani nyinyi hamfi?juzi kenya mmekufa 73 kwa kumuabudu mchungaji?kibwetere aliwachoma moto kwa kukosa akili, kwa mwamposa mlikufu kibao kisa kukanyaga mafuta,yule mchungaji wenu marehemu jengo lake lilianguka mkafa kibao

    • @abuuhafsin2224
      @abuuhafsin2224 Рік тому

      Kwani nyinyi majini sio Ndugu zenu?😅

    • @tendatanzania8358
      @tendatanzania8358 Рік тому

      @@choggysly3541 soma hapa zaburi 102:19-20 utaelewa nini maana ya kubatilisha roho ya mauti na yesu kristo anawafungua walio andikiwa kufa wasife kwa damu ya yesu ni damu ya ukombozi

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Рік тому

    Niharamu kuamini hiyo kitu sheikh kwa mujibu wa Quran hakuna anaweza kujua muda wa kufa mtu wala saa

  • @irenekaluse3213
    @irenekaluse3213 Рік тому +1

    Sasa hapo umeongea nn ?make hicho kisomo hakijamsaidia umekuja umusomee asiuliwe na huyo mzee km ndugu zk na umesoma na kafa Yesu ni uzima na ni njia yakweli na uzima

    • @hujatswai5798
      @hujatswai5798 Рік тому

      Binti, hakuna kisomo kinazuia mauti, na hajasema amemsomea kuzuia mauti bali kuponya maradhi na kama umeskiliza vizuri kijana alipona, mauti hayazuiliki binti, ukifika muda kila nafsi itaonja mauti hata umtaje yesu kwa sauti zako zote.

    • @thomasa.kimwaga4161
      @thomasa.kimwaga4161 Рік тому

      Amen amen...waje kwa YESU waachane na upuuzi huo usio na maana

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Рік тому

    Allah atupe mwisho mwema

  • @tukaeomary9485
    @tukaeomary9485 Рік тому +1

    Allah Akbar

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Рік тому +1

    Inalillah waina ilaihi rajiun

  • @ZainabuMohamed-rf9dd
    @ZainabuMohamed-rf9dd Рік тому

    Jamani huyu ni msani hua anatnunga ili apate likes

  • @jamilaallysaid-if1jf
    @jamilaallysaid-if1jf Рік тому

    Allah akbar

  • @daudimlapilwa0689
    @daudimlapilwa0689 Рік тому

    Allah Akbar