Naapa siwadanganyi wananchi wenzangu huyu jamaa simkubali kabisaaaa toka alivyoteuliwa kuwa waziri wa wizara hii nilijua kinachofata ni maumivu tu kwetu mtakuja kuona baadae. Waziri alietolewa ndio alikuwa jembe namkubali kinoma ww mfano mdogo kwa wakazi wa dar kumbukeni enzi ya utawala wa marehemu umeme dar ulikuwa unakatika kama sasa hv? Yy aliwezaje wao washindwe sasa ataweza mradi mkubwa kama huu wa gesi kusimamia kweli mtakuja kuona pesa matrillioni yamekwenda na hakuna gesi wala nini haya ok tunamuachia allah
Alianza rais kikwete akafata marehemu akautupilia mbali baada kupotea mabilioni ya pesa sasa hv tunaendelea tena pale pale tupoteze matrillion ya pesa na rais ajae aseme huu mradi haufai kiufupi MUNATUYUMBIZA WANANCHI HATUWASOMI
Watu wa Tanzania bado hawanunui umeme kwa gharama nafuu na wanachaguliwa wa kupewa kwa gharama nafuu awali yaani kuunganishiwa hao hao wana hali ngumu za utafutaji wa rizki ya kila siku, serikali haifikirii kupunguza gharama za unit za umeme? Serikali itafakari sana inakusanya kodi kupitia mfumo bora huu wa manunuzi ya umeme lakini bado kuna watanzania wanalia hata kibanda/ardhi hajui atamiliki lini kipande chake tafakkuri tu hii
Msishangae ni masharti ya pesa za COVID 19 mlizojengewa madarasa ya uviko kwani mzungu ni mjinga yaani akupe chanjo bure na pesa juu yake mnafikilia mzungu ni kichaa
Kwa nini yalikua yana anza yanaishia kati kati na iweje yaanze sasa hivi ya kaende haraka haraka na Kwa nini mtumie washauri wa nje kama kampuni kubwa duniani zikihonga hiyo kampuni ya washauri ili wasuke mkataba wenye loophole zenye interest za hayo makampuni ya nje kuliko taifa then zishinde Tenda watupeleke mkenge mbona mmekaa kidili dili mheshimiwa halafu hatujiamini na wasomi wetu wandani Sasa Hawa ma professor na ma doctor wetu wamesoma ili nini fashion au😔
Hataukiomba kazi lazima utaulizwa kama unaujuzi wa miaka mingapi, sasa unataka tuchukue wasomi wa ndani wasio na ujuzi wowote, hapo ni kama kuchezesha yanga na man city.
Haaaaya... Tunasubiri tuone.. Maana kwenye makinikia tuliambiwa ni udongo tu hauna kitu.. Mzee Magufuli akaja akawashitukia.. Wakamdhuru hadi kifo... Tunasubiri sasa hili limradi likubwa.. Tuone kama kweli litawaokoa watz...
Nina imani nawe Makamba... Chapa kazi, miradi hiyo yaliyokwama kwa muda mrefu ifufuliwe, Wananchi tunufaike na maliasiri zetu tulizojaliwa na Mwenyezi Mungu...
Umefafanua vizuri Mhe Waziri,tatizo haya masuala ya Gas Asilia ni mageni kwa baadhi ya Wananchi ndiyo maana unaona baadhi ya wachangiaji wanaunganisha mradi wa Umeme Rufiji na mradi wa LNG.
Waliiba gas sana ,,alipokuja magufur walimkimbia Sasa wamerudi tena
Mnasaini vpi wakati mazungumzo bado yanaendelea?
Jambazi makamba hapo kesha iba pacent yake hapo mama alikosea sana kumchagua huyu jambazi mkubwa na fisadi kubwa kama papa
Malizia bwawa la mwalimu nyerere jicho la watanzania sasa hivi atuoni hata kinachoendeleya
Mzee wa dili
Hapa hamna kitu
Mh waziri anasema mazungumzo yanaendelea.Inamaana tumesaini mkataba kabla ya kumaliza mazungumzo?Je kama maewano hayatafikiwa mnavunja mkataba?
Hawa sio wachimbaji ni washauri
Lait serikali ingesoma comments humu za wananchi wangejua nn kinachotuumiza wananchi tunaumia jamani
We makamba ungemalizia kwanza bwawa la mwalimu nyerere umeme upunguwe bei ndiyo mulukie hayo madili yenu
Makamba ilibidi anyongwe
Naapa siwadanganyi wananchi wenzangu huyu jamaa simkubali kabisaaaa toka alivyoteuliwa kuwa waziri wa wizara hii nilijua kinachofata ni maumivu tu kwetu mtakuja kuona baadae. Waziri alietolewa ndio alikuwa jembe namkubali kinoma ww mfano mdogo kwa wakazi wa dar kumbukeni enzi ya utawala wa marehemu umeme dar ulikuwa unakatika kama sasa hv? Yy aliwezaje wao washindwe sasa ataweza mradi mkubwa kama huu wa gesi kusimamia kweli mtakuja kuona pesa matrillioni yamekwenda na hakuna gesi wala nini haya ok tunamuachia allah
Kwani kuna shida gani hasa ?
Ujenzi wa kiwanda cha LNG cha Lindi umefikia wapi?
Hapa ni dili juu ya dili percent juu ya percent kwaajili yao na sio kuionea huruma taifa mateso tunayopata tuombe mungu sana ndugu zangu wananchi 😭😭😭😭
Alianza rais kikwete akafata marehemu akautupilia mbali baada kupotea mabilioni ya pesa sasa hv tunaendelea tena pale pale tupoteze matrillion ya pesa na rais ajae aseme huu mradi haufai kiufupi MUNATUYUMBIZA WANANCHI HATUWASOMI
Watu wa Tanzania bado hawanunui umeme kwa gharama nafuu na wanachaguliwa wa kupewa kwa gharama nafuu awali yaani kuunganishiwa hao hao wana hali ngumu za utafutaji wa rizki ya kila siku, serikali haifikirii kupunguza gharama za unit za umeme? Serikali itafakari sana inakusanya kodi kupitia mfumo bora huu wa manunuzi ya umeme lakini bado kuna watanzania wanalia hata kibanda/ardhi hajui atamiliki lini kipande chake tafakkuri tu hii
Msishangae ni masharti ya pesa za COVID 19 mlizojengewa madarasa ya uviko kwani mzungu ni mjinga yaani akupe chanjo bure na pesa juu yake mnafikilia mzungu ni kichaa
huyu kijana mwizi jamn wew mungu anakuona yutakoma siku ya mwisho
Kwa nini yalikua yana anza yanaishia kati kati na iweje yaanze sasa hivi ya kaende haraka haraka na Kwa nini mtumie washauri wa nje kama kampuni kubwa duniani zikihonga hiyo kampuni ya washauri ili wasuke mkataba wenye loophole zenye interest za hayo makampuni ya nje kuliko taifa then zishinde Tenda watupeleke mkenge mbona mmekaa kidili dili mheshimiwa halafu hatujiamini na wasomi wetu wandani Sasa Hawa ma professor na ma doctor wetu wamesoma ili nini fashion au😔
Hataukiomba kazi lazima utaulizwa kama unaujuzi wa miaka mingapi, sasa unataka tuchukue wasomi wa ndani wasio na ujuzi wowote, hapo ni kama kuchezesha yanga na man city.
Tanzania. Ni koti la Babu kwa sasa
Hebu tuambieni bwawa letu la Nyerere limefikia wapi. Wahuni sio watu wazuri
Haaaaya... Tunasubiri tuone.. Maana kwenye makinikia tuliambiwa ni udongo tu hauna kitu.. Mzee Magufuli akaja akawashitukia.. Wakamdhuru hadi kifo... Tunasubiri sasa hili limradi likubwa.. Tuone kama kweli litawaokoa watz...
Mikataba isome live
Nimadili tu hapo taifakufaidika hakunakitukamahicho bwawalanyelele mbonahutujuzi maendeleoyake? Yaanikimyaa naccwtz tulishazoeya kupatataalifa zamladiule malakwamala kwaniukikamilika kwamuda uliopngwa nimkombozikwauchumiwanchi
YAAN SI GESI ISIPOSHUKA BEI MBONA TUTAKATAGA MISITU HIYOHIYO YAAN MTUSAIDIE YAAN
Waziri fisadi Makamba, kuleni nchi sasa siku moja mtaondolewa Kama Shan, Saddam Hussein, eventually watu watachoka kudanganywa.
Sawa kabisa
Nina imani nawe Makamba... Chapa kazi, miradi hiyo yaliyokwama kwa muda mrefu ifufuliwe, Wananchi tunufaike na maliasiri zetu tulizojaliwa na Mwenyezi Mungu...
Huyu mtu ni fisadi Sana na rais alimweka kulipa fadhira kwa msoga,,,, Ila wananchi wanaelewa vile mnawachezea Ila 2025 tutakuwa huru kufanya yetu
Hiyo mikataba inafaa kuwekwa wazi watanzania waisome waijue
Haya wizi uendee na pia nawasalimu kwa kumuuwa mzee baba mzalendo wa ukweli indigo children
Umefafanua vizuri Mhe Waziri,tatizo haya masuala ya Gas Asilia ni mageni kwa baadhi ya Wananchi ndiyo maana unaona baadhi ya wachangiaji wanaunganisha mradi wa Umeme Rufiji na mradi wa LNG.
Ni Lindi bhana na sio Mtwara .
huu mradi ndio maalum uliomtoa,uliomuweka,na uliompeleka..yuko uliomtoa,na yuko uliompeleka na yuko
aliyetangulizwa mbele za Haki.
Safii sana
Huyu dogo kichwa ipo speed
Gesi yote hiyo Leo unatanza umeme wa mugao ningekuepo Mimi ungekua umesha jihuzu asubuhi sana
Mhh