Professor Jay - Ndio Mzee (Official Audio Song)
Вставка
- Опубліковано 13 лис 2014
- Buy it from iTunes: geo.itunes.apple.com/in/album...
Listen and share Ndio Mzee by Professor Jay. Professor Jay is a Bongo Flava artist from Tanzania.Loved this song? Subscribe to Professor Jay's official UA-cam channel today. Click here to subscribe: ow.ly/zzCMM. Like Professor Jay on Facebook: / professorjaytz and follow Professor Jay on Twitter: / professorjaytz .
Wale wa 2024
Ruto Ruto ndiye huyo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kama bado unamuelewa professor jay tuende sambaba
HEAVY WEIGHT MC - Legend, Pioneer, Father, Leader
Listening 2024
am a Kenyan but prof j is my best East Africa musician
Ndiyo mzee
Nimekubali
Naam ndugu wananchi, MC wenu Babu Ayubu,
Ninawaleteeni habari japo kwa kifupi kuhusiana na huyu mgombea wetu bwana Joseph Haule
Mpeni kura za ndiyo kwasababu yeye ni mpenda watu, ni mpenda amani,
Na ni mtu mwenye huruma kwa wananchi wote,
Kwa hivyo basi nawaomba ndugu wananchi, mumpe kula ili aingie.
Naam basi, hivyo basi ndugu wananchi,
Eeh tafadhali *namkalibisha mgombea wetu,
Bwana Joseph Haule, ili aje aweza kuzungumza na wananchi,
Karibu.
Oke Oke,
Naitwa Joseph Haule,
Mwana wa Msulopo Kianzi,
Nadhani nimeletwa niokoe hiki kizazi,
Mimi ni mwanasiasa niliyebarikiwa na Mungu,
Nimeletwa kwenu na Bwana niwapunguzie machungu,
Mimi ni mteule kusini mwa jangwa la sahara,
Ndiyo maana nimetunukiwa cheti cha juu cha utawala,
Na hekima kuliko Mfalme Suleiman--msiwe na wasi
Na hili nitalidhihirisha pindi mtakaponipa nafasi,
Actually, mimezamiria kuwasaidia,
Taifa lenye nguvu duniani liwe Tanzania,
Jamani, makofi tafadhali basi jamani!
[makofi, shangwe, nderemo na vifijo]
Ni mambo madogo tu,
Nadhani nitarekebisha mkinipa visiku vichache tu,
Uchumi utapanda ile ghafla bin-vuu,
Nataka mpaka Matonya afundishe chuo kikuu,
Nchi ya Tanzania itang’ara ile kishenzi,
Na nitahakikisha kila baamedi anamiliki benzi,
Si mtafurahi dada zangu jamani?
Ndiyoooooo
Basi endeleeni kunisifu kwa nyimbo na mapambio,
Nipeni hiyo nafasi jamani, hamwoni hali ni mbaya?
Nataka kuigeuza Tanzania kama Ulaya,
Cha kwanza nitakachofanya nitafuta umaskini,
Wanafunzi mkafanyie practical mwezini,
Kwenye mahospitali nitamwaga dawa kama mchanga,
Na nitafungua akaunti kwa kila mtoto mchanga,
Mabomba yatatoa maji na maziwa nchi nzima,
Watu wa vijijini mtasahau habari za visima,
Nitafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege,
Kila mtu awe na yake Makonda na wapiga debe.
Si mtafurahi watanzania jamani?
Ndiyo mzee
Si ni kweli nakubalika jamani?
Ndiyo mzee
Basi mimi mkombozi wenu jama,
Ndiyo mzee
Na nitafuta shida zenu zote,
Ndiyo mzee
Hivi ni naninii, ni vijimambo,
Ndiyo mzee
Na vinanikera kwelikweli mimi,
Ndiyo mzee
Basi hali itabadilika, sawa?
Ndiyo mzee
Na hatamu tutaishika oke?
Ndiyo mzee
Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari,
Yaani hata mikweche, hehe! Hii ni hatari,
Ninampango wa kuongeza mishahara iliyominono,
Mara mia ya ile ya mwanzo iliyofanya mfanye migomo,
Nitawapa nyumba nzuri na magari ya kifahari,
Watu watashangaa mtakapopita kila mahali,
Mkulima kila mmoja nitampatia trekta,
Nadhani hiyo kidogo itasaidia kunyanyua sekta,
Mtauza nafaka zenu bilioni kwa mabilioni,
Watu midomo wazi kama wamekamatwa ugoni,
Walimu zawadi zenu oh nimezificha moyoni,
Nadhani mtazimia siku mkizitia machoni,
We acha tu, mtafurahi nyinyi,
Ila hapo hapamfai mtu mwingine niwekeni mimi,
By the way, polisi wote mi nawasifu,
Jinsi mnavyokwenda sahani moja na wahalifu,
Sasa kila mmoja nitampatia helikopta,
Nadhani hiyo wote hapo hamjawahi kuota,
Raia wa Tanzania mtalala milango wazi,
In fact, nina uhakika wa kudhibiti ujambazi,
Nitajenga barabara tano-tano juu na chini,
Nitajenga kumbi nyingi sana za starehe baharini,
Ninaupendo kuliko mshumaa, kumulikia wenzangu,
Mtakaoyumba kiuchumi, tutagawana vya kwangu.
Si mtafurahi wa Tanzania jamani?
Ndiyo mzee
Si ni kweli nakubalika jamani?
Ndiyo mzee
Basi mimi mkombozi wenu jama,
Ndiyo mzee
Na nitafuta shida zenu zote,
Ndiyo mzee
Hivi ni naninii, ni vijimambo,
Ndiyo mzee
Na vinanikera kwelikweli mimi,
Ndiyo mzee
Basi hali itabadilika, sawa?
Ndiyo mzee
Na hatamu tutaishika oke?
Ndiyo mzee
Ndugu wananchi, kuna mtu ana swali kutoka kwa mgombea?
Nauliza hivi, kuna mtu ana swali? Basi ajitokeze ili aweze kuuliza swali
Nyie ndugu zangu huyu msimpe uongozi--siyo vizuri,
Muongo tu, mfakini na kiburi kimsuli,
Anaongopea saana! Sijui kazaliwa muda gani, alfajiri au alasiri?
Wakati mvua zile, za kipendi kile?
Amepita pita skuli lakini mambo yake si mazuri,
Wala tusimtetee, atatuangamiza,
Labda tusubiri kwanza uchaguzi umwekwisha,
Tumemfuma wenyewe kwa kalumanzila anasafishwa,
Kalumanzila akamwambia, ehe, shida yako?
Elezea fasta fasta kabla jini hajapanda,
[chafya]
Hajakaa vizuri mashetani si yakamuanza!
‘kamsukuma kwa kasi ya kimbunga amejichanja,
Tulimsikia akisema kwa sauti kubwa ya kukarikia,
Waungwana! Munisaidie! Ndiyo, sitamwelewesha!
Uongo mtupu babake ameibiwa,
waungwana wamempeleka chau mpaka kaibiwa,
Yupo-hamna gepu na pugu! Amewehuka! Hajatulia huyu mpepeeni!
[uphh uphh]
Ni sauti iliyosikika kutoka kwa mzee wa pembeni,
Sijui msaidizi mganga au mpelelezi,
Na kwa taarifa yako uongozi hupati ng’o!
Labda urudi kwenu uende ukavunje tunguri,
Na hao waganga wako waeleze hupati kitu apa,
Hata utoe chapaa
[makofi, shangwe, nderemo na vifijo]
Je wananchi mmenisikia?
Ndiyo mzee
Kwa huyu jamaa hatufai,
Ndiyo mzee
Haina vibaya uchukia,
Ndiyo mzee
Hatumtaki aondoke zake,
Ndiyo mzee
Tusimkubali na maneno yake,
Ndiyo mzee
Tunahakikisha ‘atumchagui,
Ndiyo mzee
Kwasab’ jamaa ni mnafiki,
Ndiyo mzee
Asitufanye tuwe na dhiki,
Ndiyo mzee
[makofi, shangwe, nderemo na vifijo]
Upo vizur sana
Promises za Zakayo
I am From Kenya But Prof is My Best East African Rapper.
2021 nani anaisikiliza ii ngoma now
hii ngoma ni kali.
maisha ya hv sasa ndio inanifanya naisiliza
2024 niko hapa like twende kazi
King legendary bongo hiphop we love u brother stay blessed in Jesus name
Hasora wa Kenya ndiye amedhihirika hapa
Listening this in 2022.. Professor Jay your song they will never get old
he is great rapper...honour from rest of the world
Nimemis sana nyimbo zako
I remember this song when I was high school in Kenya
SAUTI UNAYO BIG UP PROFESSOR JAY ILOVE ALL COMMENTES
hapa juba tunampenda mwanamzk professor jay
magufuli did it ameifanya Tanzania kua ulaya kama profesa j alivyosema
Mwana Kenya mukamba natabua professor j
Mie ni mkenya but jay ni moto sana
whatever man think can achieve, he revealed this
Jay big up kweli mzee w.w bila kukana kura zote qwako,
Unajuuuuuuaaaa Prof u deserve to be called suchlike name
Ulimtabili Magufuli J!!!
am frm kigoma profesa jay is best rap in Tanzania
yes sir, prof your among the kings of Africa. hope we link up for great stuff. some real Art/poetry to transform society.
January 2020 here we go.
Ndio hio imefika
Pro jay ni balaa nimerud tena hapa ili song linanipaga uhalisia wa viongozi wetu bongo ni kwa namna gan hawafany majukumu yao,,, jay 🙏🙏🙏🙏
Nakukubali hadi naumwa
Duh 🙄 😂🤣hii kalii, haya mashairi sasa genius 🙌🏽
2023
kama umeskia john pombe, ur genious😇
Ulitabili sana kaka fanyakweli
23 June 2024
From Kenya nakukubali mweshimiwa
Am a Kenyan but Jay I really like ua songs..... Jamii naona unaheshimu... #Bravo
Ndoto zimetimia.Nakuaminia sana....kazi safi.Paulo to kenya.
I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏
god bless u bt ngombea tena utaingia
2021 Sept 5 still amazing. Hongera Prof Jay
Radio free Africa them days.
I salute... Nikiwa Kenya ningeisikia mida ya usiku usiki dem days
Professor Jay is my second best bongo artists after John woka. Kazi nzuri
Yani mpaka leo 14/10/2019 namuenzi baba wa taifa na nyimbo yako kaka nyimbo yako ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
ulikua u anajitabiria aise yametimia
....haya ushachaguliwa timiza
Odhiambo Ogola
Anayatimiza kwaBidii..🤷♂️🤷♂️
Naipenda Sana hii nyimbo 2023
big up xana profesa bongo dar es salaam uliumiza kichwa sana
ndoto yako ishatimia brother,heshima kwako
2022 still rocking 🔥🔥🔥
2020 we here!
This is hip hop
22 September 2020
12:18 am, j'3
My favorite artist professor jay
Am after ruto did this to us😢😢😢😢
Tulia mzee
Professa jay ..big dad
Was hit hoat 🔥 by the time
Hii ilikua Ni nyimbo yake ya kweli ambayo inafaa kuitwa ndoto iliokua kweli , Mana aliota kuitwa kiongozi na akawa kiongozi kweli .
04/13/2019 here I am, mziki mzuri unaishi. Utabaki kuwajuuu kileleni Mh #JosephHaule
👊👊👊💪💪 ndio mzee
Kali!.
2020 we love it. 🔥🔥
Ndotoyako yakoishatimiya j
Unajua sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
he is my best
This song still makes sense until now.... Profesa jay is a genius when it comes to music
Professor Jay 🗣🗣🗣🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Huyu ndo mwanahalakati
July 19th of 2021 am here representing USA 🇺🇸
Alimanisha na ikawa kweli
Umefanikiwa pr.j keep it up.
kazana mzee
Tujuanee tunaoichekiii kipindi Cha uchaguzii 2020
We're back. Is. Very. Good. Song.
legend
ME: who trana DISLIKE this HIT?Professor jay : 1:03
ME: Sure,EVEN tho views still count.
2019 tujuane
I love prof songs
2023 tuko wangapi😅
Safi Sana mkuu
kudadeki aliyoyasema sasa yametimia ishi kwa ndoto zako za kweli.amaa kweli haya timiza
uko juu xana jay
Prof jay napenda mistari yake kwasababu imekoma
👍💯
Oyooooooooooooooooooooooooooooooo
wale wa 2002 tujuane
Prof.💯
December 2021 am still here
2021 we're still here
The best actually
unaweza kuta hivi ndivyo ulivyo ahadi kwa peples zilizokupa dhamana uziongoze
Respect!
Nataka hata matonya afunze chuo kikuu daah,, matonya hapo vipi 😁😁
Dreams become true
am a Kenyan but jay is a bleesd gay n c an my goob bleed you jay
sawa Mzeeee..
Tunaomba Video za hizi nyimbo Tafadhali J mwana wa Haule. kuanzia song la Ndiyo mzee, kikao cha dharura na Nang'atuka/ Tafadhali sana sisi fun zako tunaziomba sana.
From I safi sana jay
love from kenya uon
Legend..Those days when Bongo flavour is Bongo flavour
Safi sana hii haule
great rapper