Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 жов 2018
  • #MapinduziHalisi #ProfessorJay

КОМЕНТАРІ • 352

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 роки тому +64

    Kimsingi nimesongwa na haka ka muda, nadhani mkichagua tena nitatekeleza kile ninachosema, 😁😁😁😁😁 gonga like kama unamkubali huyu legendary

  • @patrickmugo7249
    @patrickmugo7249 Місяць тому +3

    2024 and still lazima nisikilize ndio mzee na kikao cha dharura 😅😂

  • @david88.92
    @david88.92 4 роки тому +233

    Kama Hiii ngoma umeisikiliza 2020 tia like 😄

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 4 дні тому

    Classic classic classic song, nyimbo zinazoishi ... ⚘🌷🌹⚘🌷🌹🥀🌹🥀🌷⚘⚘🌷🌷🌺🌺🌺🌺🥀🥀🌹🌹...Chukua Maua yako Prof.Jay, Stay blessed.

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 3 місяці тому +7

    Nimefika hapa mwaka huu 2024 2025...

  • @Iman675
    @Iman675 Рік тому +6

    2023 ,huu wimbo na wakati wa Sasa katika serikali ya kenya😢

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 роки тому +24

    2022 minus 2 still feeling the hit. Legend

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 2 роки тому +24

    When music was composed by the taleted musician as opposed today’s rubbish. Reminds me of my high school days

  • @MG-wx8yx
    @MG-wx8yx 3 роки тому +11

    Kama huielewi hii ngoma, basi pumzika kidogo, kichwa yako itakuwa haiko sawa! Rudi tena baadae.
    2021 and still like yesterday.

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar 2 роки тому +10

    Tujuane ambao bado tunaukubari huu wimbo mpaka sasa! #2022 #GYPSY
    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura...Life time song.

  • @peterkutoh3699
    @peterkutoh3699 4 роки тому +104

    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura
    Prof Jay:
    Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura
    Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula
    Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu
    Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu..
    Naona watu ni wengi wananchi walio na maana
    Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!!
    Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu
    Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu
    Swali:
    ..Naitwa sajent Byemero kwa niaba ya jeshi la polisi
    Nilikuwa nauliza zile helikopta zetu vipi?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani
    Vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani.
    Baskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje
    Kila mtu aendeshe yake huko angani itakuwaje?
    Swali:
    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta
    Na siku zinayoyoma tu mbona haujayaleta ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Wakulima mngeendelea tu kutumia jembe la mkono
    Serikali haina hela bajeti imefika kikomo
    Naona kilimo cha mkono kiniendelea vizuri
    Jamani kazeni mikono endeleeni kukaza misuli
    KIITIKIO
    Wananchi tupo pamoja hapo. (siyo mzeeeeeee)
    Watanzania tunaerewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Washika dau na wapiga kura pale (siyo mzeeeeeee)
    Eeehh: siyo mzee....eti, (siyo mzeeeeeee)
    Wakulima tupo pamoja pale, (siyo mzeeeeeee)
    Wanafunzi tunaelewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Mabahamedi na mapolisi pale (siyo mzeeeeeee)
    VERSE 2
    Prof Jay:
    Mabaaamedi ondoeni hofu kilio chenu nimekisikia
    Ma benzi yenu yapo bandarini tayari yameshawadia
    Nimemchagua kiranja ili anipe idadi yenu
    Niwape funguo zenu muondoke na magari yenu.
    Swali:
    Ulituahidi utatujengea barabara tano tano juu na chini
    Hizo zote hatutaki tunataka moja tu ardhini
    Kila siku tunapita barabara zinakuwa mbaya
    Umeyafumbia macho mheshimiwa huoni haya?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Barabara ya makwekwe nimesha imwaga kifusi
    Baada ya wiki mbili itakuwa safi kama urusi
    Makandarasi wanafanya kazi kutoka china na madagascar
    Kuhusu vibarabara naomba muondoe shaka.
    Swali:
    Eeh vipi mzee mabomba kutoa maji na maziwa nchi nzima ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Jamani naomba muulize maswali ya utu uzima
    Mabomba kutoa maji na maziwa haiwezekani
    Mlinukuu vibaya nasisitiza haiwezekani
    Swali:
    Mzee hali ni mbaya si tungegawana vya kwako?
    Kwenye kampeni zako si ilikuwa moja ya ahadi zako ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Eeehh? kugawana vya kwangu hilo swala litakuwa gumu
    Familia itanitazama ebo? nina majukumu
    Imeandikwa kila mtu atabeba msalaba wake
    Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
    Mbona mnaniuliza maswali mengi kunikomoa
    Jamani watanzania tunajenga tunabomoa
    RUDIA KIITIKIO x2
    VERSE :3
    Prof Jay:
    Wafanyakazi wa serikalini sasa nyinyi magari ya nini?
    Daladala chungu mzima mnaweza kuwahi kazini
    Nasema mnapenda sana starehe kuliko kazi
    Na hiyo ndio sababu mnaharibu hiki kizazi.
    Wanafunzi niliwahidi mtafanyia practical mwezini
    Kabla ya kupeleka mi nilifanya utafiti
    Nimengundua huko mwezini kweli kuna baridi sana
    Na pia kunavitisho kuwepo kambi za osama
    Mkinichngua tena mtakwenda huko mapema
    Nanita tekeleza kila neno ninalo sema
    Sema nimesongwa na haka kamuda
    Mkiniongezea muda kila kitu babu kubwa
    Wengine kimya na maswali yamepungua
    Yeyote mwenye swali ningependa kumtambua.
    Naona mnanong'ona na wengi mmekunja sura
    Hii inaonyesha mmeridhika kunipa kura
    Nadhani ndugu zangu tuko pamoja...... (aagh wapi)
    Jamani tupunguzeni jazba basi kidogo...... (hatutaki)
    Sasa watanzania mbona mnaazisha vurugu
    Nadhani mmesahau watanzania wote ni ndugu
    Babu Ayoub:
    Eeeh? jamani nasema hivi kikao kimeahirishwa
    Jamani maafande..... Afande miraj.... Afande mzafalu,
    afande nani Gondwe njooni mtusaidie huku.

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 10 місяців тому +8

    This guy is so accurate in voicing for the common citizens I wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @chalimsupa6603
    @chalimsupa6603 3 роки тому +10

    hii wimbo inachekesha sana... ahsante professor Jay! wamekuzoea

  • @MOchieng85
    @MOchieng85 2 роки тому +5

    Jina lako PROFESSOR linakufaa na hadhi yako vile vile, na nina uhakika itachukuwa karne(centuries) nyingi sana, pengine hatapatikana mwenye kukung'atua kwa kiti chako cha Ufalme, kwa maana wewe ndiwe!!! Mungu akuzidishie maisha marefu na afya nzuri tu.

  • @jamesomondi4757
    @jamesomondi4757 3 роки тому +17

    Tanzanian icon...Respect sir🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Daily_Bible93
    @Daily_Bible93 9 місяців тому +4

    Ruto government amplified by two songs... first Ndio mzee and Kikao cha dharura later all by Prof Jay..... Kweli usanii kioo cha jamii.... This song was released in 2004/2005 and its 2023 and it reflects perfect with kenyan economy and government at the moment..... 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 5 років тому +46

    Hii imenifanya nikumbuke maisha ya zamani duuu!! Bongo frava umeitoa mbali sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻.

  • @abdifatahabdullahi729
    @abdifatahabdullahi729 2 роки тому +22

    The relevance of this song on Kenyan political context. Mnakumbuka stadiums, free wifi, etc nothing came of it. Prof J will remain one of the best rapper ever.

    • @PembaImani
      @PembaImani 2 роки тому +1

      Tablets for school going kids, guaranteed paid internships for university graduates, universal health care, big 4 agenda oh noo...😭😭. Ebo! What a scam!

    • @biggiesmalls5050
      @biggiesmalls5050 7 місяців тому

      This song is a living reference to Kenya's political class

    • @isaacquesney2732
      @isaacquesney2732 4 місяці тому

      Prof's song highlights the current situation in Kenya. The hustler government resonates with what Prof says in this song.

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 3 роки тому +16

    Kwa wanaoiskiliza hiingoma kipindi hiki cha uchaguzi kandamiza ma like teleee

  • @eddynando2522
    @eddynando2522 4 роки тому +25

    Living legend !! he prophesied of being an elected member of parliament now it has come to pass..... 2019 bado wimbo unahit

  • @petermuma1582
    @petermuma1582 Рік тому +11

    This guy is one of the best brains in music I have looked for this song since 2008. Prof J the legend in living

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 2 роки тому +3

    tuachane na diamond huyu mwamba wa bongo records big legendary

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 5 років тому +11

    Msanii wangu wa muda wote...mzee wa mitulinga

  • @guyokorma9211
    @guyokorma9211 Рік тому +6

    Prof Jay among the top prolific legend 🙌

  • @karanjakiarii6238
    @karanjakiarii6238 3 роки тому +10

    This was a true prophecy. That you were elected .. . and later.. maybe watu wakakwambia 'sio mzee'

  • @manassehjoseph3740
    @manassehjoseph3740 4 роки тому +12

    Maisha in jinsi uishivyo ulijiaminisha Leo umefanikiwa good,

  • @manisule7668
    @manisule7668 5 років тому +10

    Ukiskia prophecy ndio hii ulijua utakua kiongozi na mungu amekujalia big up sana mkubwa

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Рік тому +2

    Hip-hop na reggae ndo mziki wa kijamii

  • @yusufushabani691
    @yusufushabani691 5 місяців тому +3

    2024 here
    Hivi Babu Ayubu alipotelea wapi?

  • @mauriceogola9243
    @mauriceogola9243 5 років тому +25

    MC mkubwa sana . Nakukubali Eminen wa Africa

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 3 роки тому +4

    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta,nasiku zinayoyoma tu mbona hujahawajaletaa..loved this vibe,much love from 254 ❤️❤️❤️❤️

  • @davidkojo9525
    @davidkojo9525 10 місяців тому +2

    Sometimes it feels like Prof Jay understood the Kenyan political state inside out. But it seems, politicians are the same everywhere. Kazi safi sana hii.

  • @weezypaker7941
    @weezypaker7941 3 роки тому +4

    I can never get enough of Jay and I don't even speak swahilli nut I understand the most but I wish can understand it all do beautiful

  • @savimbialex8452
    @savimbialex8452 5 років тому +15

    Proff j zee...wametulinga...mti mkavu....your my legend...I will always love your music

  • @butchaureprisioneiro5873
    @butchaureprisioneiro5873 3 роки тому +6

    I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 2 роки тому +2

    Tunakutakia afya njema bro mungu ni mwema kila kitu kitakaa Sawa 🙏

  • @arshavine0
    @arshavine0 2 роки тому +2

    Continuation of song" 𝘯𝘥𝘪𝘺𝘰 𝘮𝘻𝘦𝘦" 2022 and still listening to this legend💯......kenyans vote wisley professor Wajacoyah afadhali can change our country August 9th vote wisely

  • @mussalugete5480
    @mussalugete5480 9 місяців тому +1

    Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako Ndugu Mheshimiwa Joseph Leonard Haule

  • @edgartv3322
    @edgartv3322 6 місяців тому +4

    Dedication to William Ruto and his hustler supporters

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge8416 5 років тому +35

    Safi sana ,,mzeee Wa ndio mzeee umekuja kivingine gonga like hapa kama umemuelewa huyu jamaa na bonge la creativity,,

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 3 роки тому +16

    Kama unampenda professor j gonga like

  • @mmunjaru
    @mmunjaru Рік тому +1

    2023...Reminds me of the empty blanket promises made to Kenyans in 2022

  • @user-tl1du5jl8j
    @user-tl1du5jl8j 7 місяців тому +1

    2023..still listeing from kenya much lov pr jay

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 роки тому +1

    Magufuli alikuwa anampenda sana Sugu! Sema tu maslahi ya Chadema ndiyo yaliyomuweka kando Pro. Jay tokea zamani.!!

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 4 роки тому +4

    Nafurahia sana nyimbo za huyu mwamba

  • @johngachuhi4776
    @johngachuhi4776 4 роки тому +20

    Tanzania finest ..am from kenya

  • @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij
    @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij 6 місяців тому +1

    This songs is masterpiece reflection of today's politicians..example being kenya

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 3 дні тому

    2024 na hali ya nchi ndo ilivyoo😂

  • @fremmangyemo200
    @fremmangyemo200 4 місяці тому

    Mpaka Sasa Nafata Iyi Song ! Kazeni Msuli Vijana. Bomba zakutowa Maji Na Maziwa. Que Dieu te bénisse Prof J Légende Vivante

  • @fedrickwilliam1721
    @fedrickwilliam1721 3 роки тому +4

    PROFESSOR JAY FOR PRESIDENT 2025

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 5 років тому +6

    Proff Jay had the so much talked about dream...EAfrica

  • @PeyaMutombo-nj5ri
    @PeyaMutombo-nj5ri 10 місяців тому +2

    Cette chanson m'a trop fait du bien vraiment

  • @kevyprimus5859
    @kevyprimus5859 5 років тому +4

    yaani huu wimbo ni applicable kwenyew ishu za 2018 kabisaaa 🙌🙌🙌🙌

  • @dishangib
    @dishangib Рік тому +1

    Oldskool Classic Hit 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @coldmama1714
    @coldmama1714 2 роки тому +1

    Ma producers wazamani wslikua na talent kweli

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 10 місяців тому +2

    This guy is so articulate in voicing for the common citizens I 4:04 4:05 4:05 4:06 wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @Narratoroflovestories
    @Narratoroflovestories Рік тому +1

    Dah nilikuwa naskiliza hii nyimbo nikiwa mdogo sna😊😊😊

  • @hezbonokoth5013
    @hezbonokoth5013 Рік тому +8

    I was raised by these legends, music was pure talented content. 2023 still a reflection of future

    • @ngenokipkorir9758
      @ngenokipkorir9758 Рік тому

      The song is relatable to the current govt in our country

  • @namieokapi9500
    @namieokapi9500 4 роки тому +3

    Namkubali P jay still number one in Tanzania 🔥🔥🔥

  • @omwamiofficialpage4913
    @omwamiofficialpage4913 4 роки тому +2

    Eeeish proooof , zaidi ya noma yaani, mkali wa mistari, hipo, hop Kali sana afro pop, ya kikweli 2020

  • @georgeprince7597
    @georgeprince7597 5 років тому +15

    I been looking for this song for long time finally you posted thanks a lot Mzee

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 3 роки тому +2

    Mbona kama hizi nyimbo ulijitabilia hatima Yako kwenye Siasa Prof Jay 😢😢😢😢

  • @mettanahonyo3345
    @mettanahonyo3345 Рік тому +2

    Living legend 💪

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 3 роки тому

    Sina shida na ww Proj j Mungu akupe ushindi japo mm ni ccm nakukubali

  • @teddyrevocatus1546
    @teddyrevocatus1546 3 роки тому +1

    Kuhusu vibarabara naomba muondoe Shaka🥰

  • @dylangivens17
    @dylangivens17 2 роки тому +3

    My all time favorite Bongo artist.
    In 2022 May and still feeling the same hit as 2004

  • @vickyshio8732
    @vickyshio8732 4 роки тому +5

    Kichwa kingne ich jaman. Nan ako hapa 2020??

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 3 роки тому +1

    Mwana hop anaepaswa heshima ni wew. Hukuan did q ,joh makin wala nn

  • @rashidmsengwa.4789
    @rashidmsengwa.4789 5 років тому +10

    #arijitabilia ivi sasa kiongoz wa mikumi.... daa" life baana🙂

  • @tabibuoptimist-kenya5335
    @tabibuoptimist-kenya5335 5 років тому +3

    ulishatabiri, na sasa unaishi ndoto yako. Big up

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 4 роки тому +1

    Jamaa uliona mbal asee

  • @daudisimwinga1324
    @daudisimwinga1324 5 років тому +3

    I wish pro jay atupe nyimbo moja inayozungumzia hali halisi ya kisiasa tz

  • @ErastoKavishe
    @ErastoKavishe Місяць тому

    Ebwana noma

  • @ramamkoko3572
    @ramamkoko3572 4 роки тому +2

    God is great !Bro sasa hv ni MH. keep moving #MIKUMI standup

  • @sylivesterkunbert8277
    @sylivesterkunbert8277 5 років тому +5

    Daaa kitambo sana but mistari yako mpaka sasa ni hot

  • @castronicodem1539
    @castronicodem1539 3 роки тому +1

    Good song. Nakukubali jay

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 2 роки тому +1

    Mzee wa bongo

  • @samsonmgeta2345
    @samsonmgeta2345 4 роки тому +1

    Shikamoo professor afande mzafaruuuuuu

  • @elvisngosia215
    @elvisngosia215 7 місяців тому +1

    This song has reminded me Kenya Kwanza promises Ruto promised kenyans heaven on earth, its now very tough 😂😂😂

  • @mtunecessary
    @mtunecessary 5 років тому +9

    Proffjize is back at it again... Lyrics zinashika sana
    #KisumuPresident

  • @lutebeatz20
    @lutebeatz20 3 роки тому +6

    I remember I bought this album that time I was too young

  • @basomakivodo3516
    @basomakivodo3516 4 роки тому +1

    Hiyi ngoma kilasiku Inakuwaga Mpya Kwangu Jamanii

  • @user-jl1cc2mr6y
    @user-jl1cc2mr6y 5 місяців тому

    Aiseee hii ngoma ilishika vibaya❤❤❤

  • @seniorminor3071
    @seniorminor3071 4 місяці тому

    my all time legend 💪🏾

  • @denniswambugu4219
    @denniswambugu4219 3 роки тому +7

    Real poetry.......

  • @iBraah257
    @iBraah257 8 місяців тому

    Mziki kama mziki na mwanamziki #pro

  • @samwelelias1532
    @samwelelias1532 4 роки тому +1

    Asnte kaka mkuu wa hii bongo flava kama tuko pamoja na wewe gonga like hapa twende saws

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 5 років тому +4

    Baba so Kwa utawala huu

  • @dominiquebirler7031
    @dominiquebirler7031 3 роки тому +3

    Wakenya bado tupo hapa 2020🇰🇪🇰🇪

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 4 роки тому +3

    wangapi bado tunaitazama iyi ngoma adi 2021 sasa tujuane

  • @johnnoel5849
    @johnnoel5849 3 роки тому +3

    2020 Bado inafanya vzur gonga like km na ww unaisikilza bado

  • @miriamdaniel3415
    @miriamdaniel3415 5 років тому +17

    hali mbaya tugawane vyakwako

    • @issamwahezi6236
      @issamwahezi6236 3 роки тому

      Hiyo itakua ngumu

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa Місяць тому

      Hilo suala litakuwa gumu, familia inanitazama eboo nina majukumu😮

  • @titusofficiall2926
    @titusofficiall2926 5 років тому +6

    #Legendary 🔥🔥🔥👊

  • @barakakimaro5135
    @barakakimaro5135 5 років тому +6

    swafi

  • @peterluther5830
    @peterluther5830 Рік тому

    Professor J mistari balaa wewe.Mpaka sasa bado hakuna aliyekukaribia,Kichwa vina kama mchanga wa bahari.

  • @masagara
    @masagara 2 роки тому +3

    True man💥💥ua fan from 🇰🇪🇰🇪

  • @getontokevin8894
    @getontokevin8894 4 роки тому +1

    That's what all politicians say, promises they won't keep, politics a dirty game, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ancelinhoonlinesport4235
    @ancelinhoonlinesport4235 5 років тому +7

    Fayaaaaaaaaaa😅🔥🔥

  • @levikipruto2562
    @levikipruto2562 2 роки тому +2

    This guy was ahead of time. Kenyan politics!

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 3 роки тому

    Kazi nzuri,japo kitambo lakini bado ina heat