SEMINA KWA WANAMAOMBI WA BAGAMOYO - MATESO NA MAUMIVU MAZITO KWA WACHAMUNGU YAYANGAZWA
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- SEMINA YA WANAMAOMBI WA BAGAMOYO KATIKA KUELEKEA KATIKA KONGAMANO LA MAOMBI, TOBA NA KUMLINGANA MUNGU KWA TAIFA LA TANZANIA
SEMINA IMEFANYIKA KIBAHA, PWANI 23/07/2023
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kufanikisha Kongamano hili:
LIPA KWA SIMU
M-PESA: 5143575
TIGO PESA: 6749284
JINA: UMOJA WA MAOMBI YA KITAIFA
BANK ACCOUNT
CRDB: 015 232 628 6200
NMB: 2461 0015 434
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
+255 769 515 808, +255 629 304 931
#HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
#0752001840
#0658901901 RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:
M-PESA: 0752 001 840
TIGO PESA: 0678 304 931
AIRTEL MONEY: 0694 331 055
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA AU KUPITIA BANK ACCOUNT
CRDB: 015 232 628 6200
NMB: 2461 0015 434
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
#HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
#0752001840
Mafundisho yako mtumishi nimagum sana ila na msgukilu Mungu Nina kuelewa Barikiwa sana mtumishi Tengwa
Nakuelewa sana Mtumishi,tusaidie tupate kupona.
Yesu nisaidie
Mungu tusaidie Mabaya tusaidie
SoMo zuri sana,tunapaswa kuwa sadaka kwaajili yawatu wengine,sikwaajili yetu,ndipo tutakapobarikiwa,
Asante Sana YESU KRISTO kutujulisha haya tusaidie yaliyoamriwa na mbingu tuweze kuyastahimili na imani yetu usitindike,, uwiiiiiiiii naskia kupiga yoweee yakilio mimi eeee BABA utusaidie wanao asante.
Asante Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Yesu Kristo aliye hai, mimi nipo newala mtwara naomba kujiunga na wanamaombi
Ameen Baba
Mungu akubariki
Ameen, Mungu akubariki sana
Mtumishi wa Mungu aliye hai
Amen Yesu akulinde nakukuhifadhi
Asante Yesu kwa neno lako
Mungu atusaidie
Mchungaji analazimisha tumjengee nyumba yakuishi,lakini sehemu yakuabudia hatuna,mvua ikinyesha hatuabudu,naumia lakini lakufanya Sina,tutahama dino Hadi lini??,Bora Yesu arudi tu ijulikane tu nani anaingia rahani!
Asante kwa mafundisho yako mema, Mungu akubariki sana. Naomba unijilishe Wana maombi wa Ubungo ili niweze kujiunga nao. Asante
Amen mtumishi, piga namba hii ya kiongozi wa maombi UBUNGO
0713 334 665
Tunakutana pale Big brother Urafiki siku ya alhamisi saa 11 jioni kila wiki.
Mungu akubariki sana mtumishi.
Ulikuwa ni wakati wa utawala wa shetani duniani sasa ni utawala wa Yesu duniani ni siku ya Bwana.
Mungu tusaidie
Mungu nisaidie kukujua kikamikifu
aise ingia lohon ndiko anako patikana
Mungu atukumbuke
Amen
Sasa nimeanza kukuuelewa Sana tegwa
Tunafanyaje ss
Hakika ni nyakati za mwisho nimeamini,yanipasa kuomba na kumlilia Mungu
mungu hataki ww uombe anataka usihesabu
Ameeeeen
Mbona mateso makali mimi nimeanza kupata zamani sana mpaka najiuliza haya mateso yaliyoandikwa ktk Ufunuo ni kwa ajili yangu tu
😂😂😂😂 sio wewe tu namimi nawaza hivyo hivyo tu
Amen mtu.....
Tuko wengi tunaopitia mateso kama hayo na mambo ya kishirikina na nyota ndo yamepamba moto
Tunaepkaje kWa watakatif na iktokea MTU akasain inamana haingii au itakuwaje tunashindwa kuelewa hyo ulyoyafunua tunaepkaje mana inatisha weng wako gzan mtumishi
+254Yesu tusaidie
Haleliya
thank you Yesu haya maono ya zombie confirmed
Tufanyeje sisi tunaotoa sadaka?
tafakali kwasababu mungu si masikin kwakuwa mumgu alikuja hanashida na sadaka anataka uache zambi ili uwe mutoto wa mungu
Tutapataje kupona kizazi hiki
Tunafanyaje ss