SEMINA KWA WANAMAOMBI WA BAGAMOYO - MATESO NA MAUMIVU MAZITO KWA WACHAMUNGU YAYANGAZWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • SEMINA YA WANAMAOMBI WA BAGAMOYO KATIKA KUELEKEA KATIKA KONGAMANO LA MAOMBI, TOBA NA KUMLINGANA MUNGU KWA TAIFA LA TANZANIA
    SEMINA IMEFANYIKA KIBAHA, PWANI 23/07/2023
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kufanikisha Kongamano hili:
    LIPA KWA SIMU
    M-PESA: 5143575
    TIGO PESA: 6749284
    JINA: UMOJA WA MAOMBI YA KITAIFA
    BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
    WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
    +255 769 515 808, +255 629 304 931
    #HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840
    #0658901901 RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:
    M-PESA: 0752 001 840
    TIGO PESA: 0678 304 931
    AIRTEL MONEY: 0694 331 055
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA AU KUPITIA BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    #HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840

КОМЕНТАРІ • 38

  • @isayasanga1069
    @isayasanga1069 6 місяців тому

    Mafundisho yako mtumishi nimagum sana ila na msgukilu Mungu Nina kuelewa Barikiwa sana mtumishi Tengwa

  • @angellumato
    @angellumato Рік тому +1

    Nakuelewa sana Mtumishi,tusaidie tupate kupona.

  • @roseswai5961
    @roseswai5961 10 місяців тому

    Yesu nisaidie

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Рік тому

    Mungu tusaidie Mabaya tusaidie

  • @MariaJuma-q2k
    @MariaJuma-q2k Рік тому

    SoMo zuri sana,tunapaswa kuwa sadaka kwaajili yawatu wengine,sikwaajili yetu,ndipo tutakapobarikiwa,

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Рік тому

    Asante Sana YESU KRISTO kutujulisha haya tusaidie yaliyoamriwa na mbingu tuweze kuyastahimili na imani yetu usitindike,, uwiiiiiiiii naskia kupiga yoweee yakilio mimi eeee BABA utusaidie wanao asante.

  • @danielambonisye6261
    @danielambonisye6261 Рік тому

    Asante Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Yesu Kristo aliye hai, mimi nipo newala mtwara naomba kujiunga na wanamaombi

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 Рік тому

    Ameen Baba
    Mungu akubariki

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 Рік тому

    Ameen, Mungu akubariki sana
    Mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki6775 Рік тому

    Amen Yesu akulinde nakukuhifadhi

  • @innocentkituma2714
    @innocentkituma2714 Рік тому

    Asante Yesu kwa neno lako

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 Рік тому

    Mungu atusaidie

  • @MariaJuma-q2k
    @MariaJuma-q2k Рік тому +1

    Mchungaji analazimisha tumjengee nyumba yakuishi,lakini sehemu yakuabudia hatuna,mvua ikinyesha hatuabudu,naumia lakini lakufanya Sina,tutahama dino Hadi lini??,Bora Yesu arudi tu ijulikane tu nani anaingia rahani!

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Рік тому

    Asante kwa mafundisho yako mema, Mungu akubariki sana. Naomba unijilishe Wana maombi wa Ubungo ili niweze kujiunga nao. Asante

    • @tengwatv
      @tengwatv  Рік тому

      Amen mtumishi, piga namba hii ya kiongozi wa maombi UBUNGO
      0713 334 665
      Tunakutana pale Big brother Urafiki siku ya alhamisi saa 11 jioni kila wiki.
      Mungu akubariki sana mtumishi.

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Рік тому +1

    Ulikuwa ni wakati wa utawala wa shetani duniani sasa ni utawala wa Yesu duniani ni siku ya Bwana.

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 Рік тому

    Mungu tusaidie

  • @taimumwaibako8385
    @taimumwaibako8385 Рік тому

    Mungu nisaidie kukujua kikamikifu

  • @roseMbwanbo
    @roseMbwanbo Рік тому

    Mungu atukumbuke

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 10 місяців тому

    Sasa nimeanza kukuuelewa Sana tegwa

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 Рік тому

    Tunafanyaje ss

  • @fabianmkimbu880
    @fabianmkimbu880 Рік тому +1

    Hakika ni nyakati za mwisho nimeamini,yanipasa kuomba na kumlilia Mungu

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 Рік тому

    Ameeeeen

  • @GgSaw-vi4mo
    @GgSaw-vi4mo Рік тому

    Mbona mateso makali mimi nimeanza kupata zamani sana mpaka najiuliza haya mateso yaliyoandikwa ktk Ufunuo ni kwa ajili yangu tu

  • @GgSaw-vi4mo
    @GgSaw-vi4mo Рік тому

    Tuko wengi tunaopitia mateso kama hayo na mambo ya kishirikina na nyota ndo yamepamba moto

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 Рік тому

    Tunaepkaje kWa watakatif na iktokea MTU akasain inamana haingii au itakuwaje tunashindwa kuelewa hyo ulyoyafunua tunaepkaje mana inatisha weng wako gzan mtumishi

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki6775 Рік тому

    +254Yesu tusaidie

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 Рік тому

    Haleliya

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Рік тому

    Tufanyeje sisi tunaotoa sadaka?

    • @ananiasimoni6750
      @ananiasimoni6750 2 місяці тому

      tafakali kwasababu mungu si masikin kwakuwa mumgu alikuja hanashida na sadaka anataka uache zambi ili uwe mutoto wa mungu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Рік тому

    Tutapataje kupona kizazi hiki

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 Рік тому

    Tunafanyaje ss