#AfyaYako
Вставка
- Опубліковано 21 вер 2024
- Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu ni miongoni mwa magonjwa yanayoisumbua jirani kwa kiasi kikuwa. Taasisi ya Moyo ya Jakaya kikwete (JKCI) kupitia kwa mkurugenzi wake, Profesa Mohamed Janabi inakuletea baadhi ya dalili za ugonjwa wa moyo.
Asante Dr mimi kg zimeshuka from 76 to 43.5kg😢moyo kupiga kwa kasi kila mara(PR 146-150😢 HB 92/64 some time napoteza fahamu now kuumwa na spinecord 1week mguu wa left kuisha nguvu once nakuvibrate😢nimepimwa sukari sina,ukimwi negative😢shida ni nini
Loh, Mwenyezi Mungu tutie nguvu, kumbe. ..
Somo zuri hongera sana doctor
Asante sana doctor kwa somo lako ila Nina maumivu makali chini ya titi upande wa kushoto sijui inatokana na nini
WhatsApp +255 625 780 510
Napata maumivu pia chini ya ziwa upande wa lushoto
Wahanga tupo wengi
Ata mimi jmn@@mackrinakelvin3997
Aya mim jamani naumwa chini ya ziwa
Shukran sn dr
Naombeni namba ya huyu doctar nina mgonjwa ana hali mbaya 😢
Pigo yamoyo yanaenda mbio haf miliunasikia uchovu sijui tatizo nn
Mm dalili zingne sijaziona tofaut na upande wa moyo kuwa mzito kila kukicha Kuna kipnd kunaumwa asa kifua upande wa kushoto na kunawakat nikilala miguu inakuwa Kama imeisha nguvu kabisa swala la kifua upande wa kushoto kuuma la siku nying Sana Sasa cjui inaashiria nn na nipo kijijin
Dr kukakamaa kwa mishipa ya dam
Janabi ulinisaidia Sana Mungu alikuwa mbele yng,lkn nawe ulipigania maisha yng.
Nawe uliumwa moyo?
Na mimi pia ubavu waekushoto chini ya titi unaniuma mno
Docta plz tupe namba tunatembea tunaumwa tusije anguka
Dokta je kama una volvu iliyajikunja unatibika ? naomba unijibu tafadhali
WhatsApp +255 625 780 510
Asant sana Doctor lakin mim nina swali je kuhc kam kichom kinakuchom kila mahal kinawez kikachom juu ya bega au mgongon au mguun au kifuani tatizo linakua nin
Iyo Ni dalili ya vidonda vya tumbo
Mim na matatizo san sijajua nitapta msaada kwel mim ,nasumbuliwa nauvimbe shingon lakin nimeaza doz toka mwezi wa7 lakn dawa nikinywa naumwa San sijajua shida nin navimba nimepima ini liko Safi figo pia liko Safi sjajua sasa nashida gan
Moyo kuuma ukipita kwenye sehemu ya bamsi ni ugonjwa?
Ushapata suluhisho?maana hii kama mimi
WhatsApp +255 625 780 510
Namba tafadhali mwenye namba ake huyu docta anipe jamani
Jmn me mapigo ya moyo yanaenda mbio sanaaaa kila sk uck cjui tatizo nini
Km mie
Ushapata tiba
Jamani na mm pia umepata au
Naomba namba yako ya cm inashida ya moyo natumia dawa lakini hakuna unafuu nisaizie Doctor
Pole mwaya
Nenda muhimbili
Doctor upande wa kushoto juu ya ziwa Kuna muda nahisi maumivu makali Sana,,mpaka mkono nahisi unaganzi,,
Kama mimi yaani.
Nashida ya moyo
Doctor moyo wangu unaenda mbio mpaka Kuna mda nashindwa kuhema naomba unisaidie mnapatikana wapi Mimi nipo Arusha,halafu nikila vitu vya nafuta najiskia vibay sana
Doctors no please
ACHENI KUTISHA WATU TOETI TOENI MATIBABU WATU WAFANYEJE ILI WAJITIBU SIO KUWATISHA MKAISHIA HAPO
Docta me nna swali inakuaje mtu nimenene sana kam mm lakini nikipima presha iko normal hii ni kwasababu gani
WhatsApp +255 625 780 510
Mutusaidie nnamba🙏🙏🙏
Samahani navipi kuhusu kufura chini ya ziwa la kushoto nakuuma
Vp Docta wakenya wanaruhusika kutibiwa uko
Wanaruhusiwa mbona watu wanatoka Kongo Sudan Zambia nk wako JKCI
Dr.naomba msaada mtoto wangu wa miaka sita Kuna wakati moyo unaenda mbio Sana na kuna wakati anasema anahisi maumivu, Je anaweza akawa na shida ya moto?
Samahani sio moto namaanisha moyo
Nenda muhimbil my atapata huduma
Moyo wangu unashituka
Hiyo hsptl ya moyo iko wap
IPO muhimbili dar
.
Inaambukiza au
Doctor tunaomb no plz
Hongera Doctor
mm moyo unalipuka afu naishiwa nguvu
shoga angu kama mom sijuwi tufanyenn
Yaaan
Pigeymasc
Hivi kuna dawa kwa mtu mwenye tatizo la moyo kupanuka na kamaipo garama kuhusu matibabu ni kias gani
WhatsApp +255 625 780 510
Munapatikana wpi
Na mm nipo na dalili izo nataka kuangalia afiya yangu zaidi
@@mohdikra7154 WhatsApp +255 625 780 510
@Tinner healthcare docta unapatikana wap
Doctors no please
mwenye namba yadokta anisaidie nashida sana
dokta tupe nambayako tunataka kukuuliza kabla hatujafunga safari yakujahuko