Role Model Wangu | Hayati Askofu Dr. Stefano Moshi na Ujenzi wa Hospitali ya K.C.MC
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Sehemu ya Mahubiri niliyohubiri Jumapili ya tarehe 16 june 2024, yenye kichwa cha somo UMOJA WETU NGUVU YETU
Siku hii ilikUwa ni maalum kukumbuka kuanzishwa kwa Kanisa la KKKT, kwa upande wangu niliona vyema kumzungumzia Askofu wa kwanza wa Kanisa letu, Hayati Dkt Stefano Moshi ambaye alibeba maono makubwa ya ujenzi wa Hospitali ya K.C.M.C, na mimi namchukulia kama mtu wa mfano kwangu 'Role Model' kwa kazi kubwa aliyofanya
Asante sana Mchj Kimaro, vizazi vijavyo wewe ni Tunu kwao. Barikiwa sana BABA.
Amen,
Inspiring and challenging sermon, thanks Pastor
Asante sana mchungaji kwa historia hii barikiwa sana
Asante kwa elimu hii
We africa we can operratig ourcommunity not Araabu nothings anding abdalusia weekends aready and andalusia on theress instead off to famillys forevermore instead polish enginnerrigs ontoontology
Asante.baba
Ameeen pastor