Meja Kunta - MAMU (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025
  • #MejaKunta #Mamu #SlideDigital
    MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/mejakunta
    Follow Meja Kunta on
    / mejakuntaofficial
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 956

  • @vitalisneymar7097
    @vitalisneymar7097 10 місяців тому +13

    22 MARCH 2024...STILL BEST OF BEST OF MEJA KUNTA💥

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 5 місяців тому +32

    Kama unaangalia nyimbo hii 2024 gonga like hapa

  • @magangakiyabo3429
    @magangakiyabo3429 5 років тому +16

    Kutoka ufaransa nasikiliza singeli najivunia kuwa Mtanzania ♥️ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    Big up kazi nzuri

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 7 місяців тому +7

    Umamu 2024 hii ndio flavour kamili ya singeli #meja power

  • @halemaalamri3989
    @halemaalamri3989 2 роки тому +5

    Hii nyimbo inanikumbusha kipindi nipo tz dah kweli miaka inasonga naipenda hatali

  • @johnsamweli4160
    @johnsamweli4160 3 роки тому +2

    Kaka nakuelewa vzur sana kaka😋😋😋😋🙋🏻‍♂🙋🏻‍♂🙋🏻‍♂

  • @gracegilbert5296
    @gracegilbert5296 5 років тому +16

    kwa kweli nilikuwa simjui,ila nimekujua baada ya kifo feki
    kwa kuwa unaimba vizur Mimi kuanzia Leo ni shabiki wako.safiiiiiiiiiiiiiii.

  • @HoseaMfumbilwa
    @HoseaMfumbilwa 2 місяці тому

    Mungu akukumbuke fundi wetu😢😢😢😢😢

  • @HadijaOmary-t1s
    @HadijaOmary-t1s Місяць тому +4

    Gonga like kama unaangalia hii nyimbo 2025🎉❤️❤️

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 4 роки тому +10

    Nimerud kuona kaziba pengo kias ganii😂😂😂 meja bwana

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 4 роки тому +4

    Sijawahi kupenda ngoma za kihuni hii ya kwanza

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm 8 місяців тому +39

    Wanaoiangalia hii ngoma mpaka leo like hapa

  • @NyandwiJeanClaude-d1i
    @NyandwiJeanClaude-d1i Рік тому +4

    Meja karibuni na kwetu Rwanda unatixha jamani

  • @saidisaidi4341
    @saidisaidi4341 5 років тому +143

    Walio kuja bahada ya kusikia kunta mzm bado gonga like twende sawa😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ngido255
    @ngido255 2 місяці тому +1

    Meja mahit kila mwaka lzm atoe jiwee haswaa oya 2024 still mamu tunamsikiliza

  • @jumamkumbi3277
    @jumamkumbi3277 5 років тому +40

    Sipendagi miziki ya visingeli ila hapa nimenyoosha mkono , one love bro 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Місяць тому +1

    Noma sana❤

  • @mohammedshaban1498
    @mohammedshaban1498 5 років тому +37

    UMEJITAIDI KWA VIDEO 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏nakwambia kaza buti tu 👏👏👏👏👏

  • @KornellyCosmassy
    @KornellyCosmassy 4 місяці тому

    Meja ana andika sana 🔥🔥🔥🔥 2024 tupo live

  • @EBK95
    @EBK95 5 років тому +3

    Aaah mi sio mpnz wa hiz song ila meja kunta we ni fuuuuundiiiiiiiiiii....unajua mzee baba...
    @team meja kunta

  • @allyhamoud5914
    @allyhamoud5914 5 років тому +1

    Hatari sana hii sengeli si sengeli mdundiko sio mdundiko vanga si vanga nilikua nishaacha sikiliza nyimbo za hivi sema mamu imenirudusha,safi sana Meja piga kazi

  • @nongwanorbertnongwa8821
    @nongwanorbertnongwa8821 4 роки тому +6

    Nakupenda sana Meja Kunta, endelea kuhit kijana

  • @OswardTweve
    @OswardTweve Рік тому +1

    Jamani napenda hi nyimbo ❤❤❤

  • @mosiwaziri1621
    @mosiwaziri1621 4 роки тому +3

    Jimbo pambe sana bonge la song ww mkali wao

  • @qrrrqtqt9976
    @qrrrqtqt9976 4 роки тому +3

    Mashaallah meja Punta nimependa hii nyimbo nakukubali

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 5 років тому +9

    Mimi sio mpenz wa singeli kabisa, ila nimesikiliza huu wimbo wako nimeona mabadiliko makubwa kwenye aina hii ya uimbaji umeleta changes bigup wimbo mzuri unaelimisha pia

  • @josephmgema9044
    @josephmgema9044 4 роки тому +1

    Meja kumbe anamwanya

  • @doreenjamhuri3985
    @doreenjamhuri3985 5 років тому +67

    😍😍Umejua kunikosha jaman Ww ngoma tamu sanaa big up😜😜

  • @gedamchipalile1526
    @gedamchipalile1526 4 роки тому

    Heeee Mzee baba wewe ni machine hatari

  • @BrantonixAfrica
    @BrantonixAfrica 5 років тому +15

    Kali sana yaani Konki fire 🔥🔥❤️ pambana baba ... Sisi kina dogo twaja. muziki wa singeli
    Ndo nyumbani
    Mamu

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 3 роки тому +1

    Basi tuu vingoma vya humu vinanifurahishaga!

  • @khaithamrubea5109
    @khaithamrubea5109 5 років тому +3

    Nimekuja kuona nyimbo zake baada ya kuskia amekufa

  • @barakathomas7814
    @barakathomas7814 4 роки тому +1

    Sichok kuskiza huu winbo,,, mashair mazur

  • @victorisaya8296
    @victorisaya8296 5 років тому +3

    Dah saf sana Mwanangu sauti unayo na unaitendea haki sambamba na kipaji chako NAKUONA MBALI sana aisee ongeza juhudi zaid support zetu kwako 100% mzee

  • @jeneralAthanoel
    @jeneralAthanoel 2 роки тому

    Mashairi yamesimama hatari..., beat sasaaa, ni kurudia tu nyimbo

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 роки тому +3

    Meja kunta ana sauti nzr balaaa. Ni firee

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri3410 4 роки тому +1

    Yaani hapa Meja umemaliza

  • @maryamkyando3956
    @maryamkyando3956 5 років тому +163

    Hakika umejua kuomba msamaha wa dhat kabisa ngoja mamuuu nirud kama unataka nirudi gongaaa like za kutosha hapaaa Ila usirudie Tena makosaa mume Wangu

    • @stevenurioofficial4165
      @stevenurioofficial4165 5 років тому +4

      Maryam Kyando kaomba adi uruma jamani rudi tu mke

    • @omarmatuta7709
      @omarmatuta7709 5 років тому +1

      😃 we chiz ujue

    • @maryamkyando3956
      @maryamkyando3956 5 років тому +2

      Steven urio Official narud hakika kajutia makosa sana kwel Mume Wangu kachakaaa ngoja nikamng`arishe

    • @maryamkyando3956
      @maryamkyando3956 5 років тому

      Omar Matuta uchiz Wangu nini imeandikwa samehe7×70 ndio kajua kosa acha nimsamehe

    • @salimnamburi7322
      @salimnamburi7322 5 років тому

      Maryam Kyando oya dogo pambana yaelaa yote

  • @bukharykhassim9359
    @bukharykhassim9359 4 роки тому +1

    We noma sana meja kunta

  • @jamesdelicious3957
    @jamesdelicious3957 5 років тому +41

    Video is Very Gooooood nilichokiwaza ndicho kilichokuwaaa Hongera 😍🤗🔥🔥

  • @WinneyEmmas
    @WinneyEmmas 8 місяців тому +1

    Naipenda sana hii nyimbo ❤❤❤❤

  • @wilsonnyitika6454
    @wilsonnyitika6454 4 роки тому +3

    Hatari Sana umenikumbusha mbali sana

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 роки тому +1

    Kweli Wolper alienda HAPA, pombe mbaya

  • @sadiknzembe1724
    @sadiknzembe1724 Рік тому +9

    "A talented soul"we r proud of you mejakunta, big up bro,much love from Kenya👍👍👍👍👍👍

  • @glorygoodlucky4831
    @glorygoodlucky4831 5 років тому +2

    Tulio mjua meja kunta baada ya kifo tujuane apa 👇👇kwa like

  • @عليمحمد-و6ي9غ
    @عليمحمد-و6ي9غ 5 років тому +7

    Upo vizur😍😍sauti MashaAllah

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 3 роки тому +1

    Hongera kwake kwa aliyepiga biti hii

  • @salmamshana1928
    @salmamshana1928 5 років тому +8

    singeli ya kwanza kupendwa namimi haswaaaaaaaaa

  • @mariamhuhossen3352
    @mariamhuhossen3352 5 років тому +1

    Daaah kaka angu siamin macho yangu kama aupo duniani

  • @edwins5804
    @edwins5804 5 років тому +11

    Sijawah kupenda mziki wa singeli but this one is incredible!!👏🏾👏🏾

  • @KarimuKhalid
    @KarimuKhalid 19 днів тому +2

    kama unaangalia nyimbo hii 2025 like hapa

  • @hajrarkuziwa730
    @hajrarkuziwa730 5 років тому +13

    Kama ulikuja huku baada ya kuskia kifo cha kunta afu yupo hai bado gonga like twende sote ila kiki mbaya Sana 😂😂😂😥😥😥😥😥😥

  • @florampeka
    @florampeka 2 роки тому +2

    Meja chanzo cha mm kupenda singeli💞💞💞.,

  • @ambaely23
    @ambaely23 4 роки тому +6

    Kila mmoja aende kwa mamuu wake akaombee msamaha 😀😀😀now 2020 like twende sawa

  • @mudyngwale7487
    @mudyngwale7487 4 роки тому +1

    Dah umekuaa Sana lazma mamuu akurudiee

  • @jiggamanqatada911
    @jiggamanqatada911 5 років тому +29

    Tisha sana mwanang tunatarajia makubwa zaid ya haya tunaka kuwa elimisha km singel si mzk wa kihuni bal ni mzk wa kila sampuli... Jah bless dam yang

  • @maryamisa9743
    @maryamisa9743 5 років тому +2

    Wanao ombwa msamaha wote kama mm na meja kuntu jamani tutafutane

  • @nuruspicy3968
    @nuruspicy3968 5 років тому +57

    Kazi kubwa sana,, Shout out to the Big Boss #Dozeeeeee

  • @shamilamuhogo7542
    @shamilamuhogo7542 5 років тому

    Meja kunta utaishi miaka mingi, walimwengu wabaya kazi yao kuzusha tu mambo mabaya

  • @nianaalphonce2309
    @nianaalphonce2309 5 років тому +34

    Wewe jamaa noma..... Nyimbo za singeli sizielewagi ila hiii.. Uhuhu yani ina hisia. Mpaka najikuta natoka na chozi 😥😥😥

  • @khadijasarahani5867
    @khadijasarahani5867 4 роки тому +2

    Tamuu kamaa nn!!!

  • @monikisongo2771
    @monikisongo2771 5 років тому +20

    Meja wauweeeeeeh 🙌🙌🙌

  • @jumajumajuma1592
    @jumajumajuma1592 5 років тому +1

    Meja Kunta yuko juu kinoma

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza6504 5 років тому +70

    Dogo unajua saaana, hii ngoma inabamba sana huku mtaani kwetu

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 4 роки тому

    Safi mwanangu kaza buti umeshinda

  • @erickcantonxnomahiingomada3742
    @erickcantonxnomahiingomada3742 4 роки тому +20

    Mwanangu hii nyimbo ulipatia kinoma inasaidia sana hii 😂 Kwenye migogoro

    • @jumajuma3710
      @jumajuma3710 4 роки тому +1

      unatakiw uwe na moy wa hurum kam haun haot kaa na wt

  • @rehematukai6084
    @rehematukai6084 Рік тому +1

    Ishi sana chaliangu umeuwaaaa

  • @ridahmainde7508
    @ridahmainde7508 5 років тому +4

    Waoooh nzur sanaaaa nasauti pia imetulia hadi raha.

  • @3rafahom40
    @3rafahom40 3 роки тому

    Mwazo nilijuwa sauti ya khadija kopo

  • @yadugobz8214
    @yadugobz8214 Рік тому +3

    Hili dude halijawah kuchuja 3/1/25 ila ni 🥵

  • @halimams2127
    @halimams2127 5 років тому

    nyimbo nzuri utatoka tuu sio lazima utakua kiki zakunuiwaaa ungekua karibu ningeshakutia kofi umeboa sana

  • @zulfaimrani7900
    @zulfaimrani7900 5 років тому +5

    Nakubl ki2 Cha meja kunta jamn ooooh Mamu kam hunaikubali bx gonga like yako wahuni wa singida

  • @antonymassawe3775
    @antonymassawe3775 5 років тому +1

    Nilipata huzuni et umekufa duh!! Mara ya tano natazama video hii ,pata maisha marefu meja

  • @kareemkassim2319
    @kareemkassim2319 5 років тому +9

    mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hapana chezea mam

  • @joniblak7267
    @joniblak7267 3 роки тому

    Buloooo apa umetishaaaa kinomaa

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 5 років тому +27

    **"""dundo kari ile mbaya respect sana boy ...all the best ...🎤🎧📻📢📣📯🎺🎻📞🎶🎶🎶

  • @mustafamatata3795
    @mustafamatata3795 4 роки тому

    Mamu mungu anakuona.......kubembelezwa Kote huko lakini....labda part two ....utaelewa

  • @reginamjema1997
    @reginamjema1997 5 років тому +3

    Can't believe the way I love Ur music, wale tulioletwa huku baada ya kuskia kifo chake tujuane

  • @linnadeo4056
    @linnadeo4056 5 років тому

    Meja kunta hilo deni kubwa sana inabid utoe nyimbo kubwa zaidi ya hii maana umeanzia levo za juu sana SISI TUNAKUDAI

  • @aminahassan6536
    @aminahassan6536 5 років тому +14

    Nkupenda bure yani we kaka❤❤❤❤😘😘daaah

  • @anasaratoga5806
    @anasaratoga5806 5 років тому

    Vile moyo huwa inaniluka nikiisikia hii nyimbo mngenionea huruma Ngoma tamu hii jamn

  • @asamunique5174
    @asamunique5174 5 років тому +13

    nlkua naisubr kwa hamuuu... big up kwako Mr mamu😂😂

  • @AlexMbilinyi-su5nc
    @AlexMbilinyi-su5nc 9 місяців тому +1

    Meja ni atengwe

  • @jamesjonh4471
    @jamesjonh4471 5 років тому +11

    Aiseeee ngoma kaliiiiii sanaaaaaa .Huyu jamaaaa akitulia ,he can bring changes kubwaa sanaaa kwenye singeli .

  • @baynittv8804
    @baynittv8804 5 років тому +2

    Fundii!!!! meja junta n kama #mondi

  • @alphredmlelwa8270
    @alphredmlelwa8270 5 років тому +6

    Alifarik kafufuka twende kazi Sasa like Kama mnamkubali meja kunta 👊👊👊👊

  • @salmeenramadhan8265
    @salmeenramadhan8265 5 років тому

    Tuungane hapa kumuombea meja alale mahal pema pepon🖑🖐 Ameen

  • @msellah1717
    @msellah1717 5 років тому +3

    Pumzika kwa Amani Baba 😭😭😭🙏🏻

  • @motsolamotsolasanga1965
    @motsolamotsolasanga1965 Місяць тому

    Jamaa asaiv Kawa sitaa anasuka na nywele

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Рік тому +8

    29/07/2023 Still #Hit hii ngoma asante #Meja_kunta

  • @abdulkarim3897
    @abdulkarim3897 4 роки тому +1

    Uko pow kaza kamba

  • @pascalandrea9053
    @pascalandrea9053 5 років тому +3

    Naipendraa sanaa safi sana kaka

  • @AllyOfficiall9
    @AllyOfficiall9 5 місяців тому +2

    Kama Bado unamkubali hii ngoma gonga like kubwa hapo👍

  • @merrynyodi44
    @merrynyodi44 5 років тому +4

    Mamuuu iko poah sana mirindimo ya segeree ❤❤💯

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 роки тому +2

    Ooh mamuuuu.oooh mamuuuu.mejakunta.love from Zanzibar.

  • @partypatriez4871
    @partypatriez4871 6 місяців тому +6

    Who's watching this in 2024

  • @art.ib6
    @art.ib6 5 років тому

    Nmeamua niirudie Leo nmestuka kifo chake kumbe hajafa

  • @mwajumachao9151
    @mwajumachao9151 5 років тому +7

    Nani mwengine yuko hapa baada ya taarifa za kifo..! Like

  • @issaissa2611
    @issaissa2611 4 роки тому

    Team meja kunta star wangu iviii inakuajeee kuajeeeee yaniii

  • @babymansouth1164
    @babymansouth1164 5 років тому +52

    sipendani miziki hii Lakin huu 💯💯🔥🔥