ROSE MUHANDO: ''NIMEPITA PAGUMU SANA, NILIISHI KAMA MTUMWA, NIMEBAKI MIFUPA, BAHATI BUKUKU,WAONGO''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • #Mchezakwao #Rosemuhando #Startv
    Fatilia mahojiano haya yakwake Rose Muhando kupitia kipindi cha Mchezakwao ambapo ameweka wazi mikasa na mazito yote aliyopitia katika maisha yake mpaka hapa leo alipo akiwa amefanikiwa kusimama tena.

КОМЕНТАРІ • 657

  • @costanciamwita7532
    @costanciamwita7532 3 роки тому +329

    Kama unaamini Rose atainuka mara 7 zaidi gonga like hapa

  • @benjaminchristopher8766
    @benjaminchristopher8766 3 роки тому +135

    Kama unampenda Mungu wako naunaamini kuwa ndie mtetezi wetu katika magumu yote gonga like hapa👍

  • @jannyrose5367
    @jannyrose5367 3 роки тому +46

    Tunakupenda Sana Rose
    Hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Рік тому +2

    Asante sana Rose nimebarikiwa sana na maelezo yako kwamba si chini ya miaka miwili ulikaa chini kijifunza neno la Mingu. Ni ukweli kwamba bila kulijua neno la Mungu kwa muimbaji yoyote wa injili si rahisi kujiendesha kwa maana ya kutunga mwenywe na kuimba mwenywe na jumbe nzito. Hongera sana Rose

  • @steventhomas672
    @steventhomas672 3 роки тому +10

    Huyu mama hafeki,real woman,real voice,real praise

  • @goldenbazaars
    @goldenbazaars 3 роки тому +30

    Rose muhando stands in the heart of Kenyans, twampenda Roosi sana sana 😘❤

  • @Edith-ni4dy
    @Edith-ni4dy 7 місяців тому +1

    Rose nakupenda sana wewe ni mwanamke jasiri sana your my mentor in music ata kama sijawai toa wimbo kipaji ninacho na wakati ukifike nitaimba Mungu akutiie nguvu sana Kwa huduma nitafurahia sana siku Ile nitakupata macho God bless you

  • @gipsonmosha1857
    @gipsonmosha1857 3 роки тому +20

    Ase jamaa ni bonge la mwandishi nimekubali style yako ya kuhoji... Kama umemuelewa mshakj gonga like. Rose ur the best😍💕

  • @jeps.e4305
    @jeps.e4305 3 роки тому +20

    I was very happy to see Rose back on her feet..Rose much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
    Tunakupenda Maami

  • @rosewanda2484
    @rosewanda2484 3 роки тому +73

    So sorry Rose 😭. I'm glad I never believed those drug stories and happy that God has restored you. Much love from Kenya

    • @lizmass4253
      @lizmass4253 3 роки тому +2

      Me too I never believed it

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 роки тому +22

    Mamamaaaaaaaaaaaa huyu ndie rose muhando nimpendae hajui kumung'unya big up Sana rose ww ni balaa la shetani

  • @samwellwiza466
    @samwellwiza466 3 роки тому +8

    Huyu mama ni mnyenyekevu sana na hakika aliamua kufuata Yesu....ukimsikiliza Rose utagundua kuna mambo mengi tuliyoyasikia tumedanganywa sana kuhusu Rose.....

  • @bishopjustusngota4417
    @bishopjustusngota4417 3 роки тому +2

    Nimefurahishwa na mazungumzo ya Rose kutoka ulipo toka kwa uislamu mpaka vile meneja wako alivyo ku tesa . Nafurahishwa vile haukufa moyo na umesimama wima kwa wokovu. Wewe ndiwe mwimbaji mashuhuri wa kike katika Afrika mashariki.Wimbo wako wa uwe macho ulini bariki Sana .Nilikua miongoni mwa watu wa Kwanza kuinunua Kama mkenya.Mungu aku bariki zaidi .

    • @charlottenjangali3363
      @charlottenjangali3363 3 роки тому

      Nimefurahi sana to know you Rose i loved your music many years ago. Ubarikiwe sana wacthing from Italy

  • @annmwangi7239
    @annmwangi7239 3 роки тому +20

    Rose naitwa Ann from Kenya.. Mungu alie Mbinguni akubariki sku zote.. Tunakupenda na hua unatubariki kwa njia zote..

    • @lucymutisya8287
      @lucymutisya8287 3 роки тому

      Rose mungu atakuinua na akurundishie yote ilikuliwa na nzike

    • @richardomare3764
      @richardomare3764 2 роки тому

      Rose nakupenda no naked nyimbo na Saudi yahoo
      Kwa heshima niruhusu uje. kwangu

  • @hildanyambura8703
    @hildanyambura8703 3 роки тому +11

    Am so encouraged by Rose. God bless her so much.

  • @claudiaedward3899
    @claudiaedward3899 3 роки тому +6

    Dada yangu Rose mungu akulinde kwa damu yake iliyomwagika msalaban tuendelee kufanya kazi yake ubarikiwe

  • @winniengugi4559
    @winniengugi4559 3 роки тому +3

    I love this Woman. She is full of wisdom she is called of God. No one can thwart Gods plan in her life. When she was in the hospital here in Kenya l had a burden to pray for her. Moyo wangu uliumia.. kama kanisa la Bwana niliumia... sasa hivi nikona venye amenenepa kweli Mungu ni Mungu! No place for arguement. Winnie Kenya

  • @beatriceamagove7592
    @beatriceamagove7592 3 роки тому +5

    Hello hello nakupenda Sana roce muhando God bless you Niko hapa Kenya nimekupata vinzuri Sana mungu awape nguvu yake

  • @michaelwilliam7313
    @michaelwilliam7313 3 роки тому +4

    Rosi nakupenda Sana, Mungu aendelee kukuinia juu zaidi, Kama mnaniunga mkono like hapa.

  • @moraaontiri4082
    @moraaontiri4082 3 роки тому +23

    May God bless you dear sister we love you rose from Kenya 🇰🇪

  • @noelolairivan6450
    @noelolairivan6450 3 роки тому +3

    Kama MUNGU akisema ndiyo nani wakusema siyo? Love so much Rose GOD continue to bless you more and more

  • @pastormarymigot1509
    @pastormarymigot1509 3 роки тому +4

    Songa mbele na injili ya Yesu mama Rose Muhando I am so happy to see that you're back on your feet, may God be glorified forever with love from NBO Kenya

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 3 роки тому +6

    Barikiwa rose . I love and respect you soo much. Nyimbo zako nilikuwa nasisikiza nikiwa shule ya upili maana maisha yalikuwa mazito mno.. hata kama ulibadilisha roho moja , tayari kubadilisha na kutafuta kondoo mmoja wa Mungu kupitia kwa njia ya uimbaji hio tosha, kama vile mtakatifu Augustina alivyo badili miendo yake kupitia njia ya uimbaji na kusema ,alichelewa kumjua Mungu , zidi kutamba mama..

    • @masungadonard9000
      @masungadonard9000 3 роки тому

      Rose nakupa axlimia 💯 ubarikiwe sana mungu amtie nguvu

  • @phylisjacob5701
    @phylisjacob5701 3 роки тому +14

    Hongera mama ulishida vita Kali kweli

  • @paulondiek4355
    @paulondiek4355 3 роки тому +2

    Rose you are just amazing Angel you are my best gospel artist may God continue to uplift you

  • @rosemuhazi9542
    @rosemuhazi9542 3 роки тому +10

    Ukweli kabisa my sweetheart uwezi tumikia mabwana wa wali be blessed 🙏

  • @Lee_Stanley
    @Lee_Stanley 3 роки тому +8

    My sister Rose 🌹 you such a gifted singer from God. Your voice whenever I listen to it,my soul feels fresh.Whenever I feel low,your songs encourage me. May God bless you and give you long live for you change many lives🙏

  • @shaletmzee9748
    @shaletmzee9748 3 роки тому +4

    Rose muhando napenda sana nyimbo zako, Mungu akubariki sana na akutangulie kwa kila jambo.

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 3 роки тому +10

    She is too genius
    Hakika kusudi la Mungu haliwez zuilika, asante Mungu

  • @ashleypetertv5894
    @ashleypetertv5894 3 роки тому +14

    I enjoyed the interview and learnt alot..God blesss you Rose.

  • @wahinyaabiah
    @wahinyaabiah 3 роки тому +9

    This beautiful lady. We love you here in 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @GETERI
    @GETERI 3 роки тому +9

    rose muhando my all time favorite artist. since 2005

  • @mildredkhagali8357
    @mildredkhagali8357 Місяць тому

    Mungu akuhinue na akubariki rose muhando na uwasemehe waliokukosea mungu yuko pamonje na wewe katikati ya mateso.

  • @roselynenzaichama3501
    @roselynenzaichama3501 3 роки тому +8

    May you live long Rose and continue serving the Living God

  • @janewanjy7598
    @janewanjy7598 3 роки тому +8

    Wow.. sauti ni ile ile. Welcome back Rose Muhando

  • @daisykyungu3109
    @daisykyungu3109 3 роки тому +9

    Rose nakuombea tu kwa Mungu,akuongezee Kibali zaidi kwa Huduma yako,nakupenda sana Rose,na Mungu akuongezee miaka ya kuishi Duniani 😍#TRM

    • @EliMsuya
      @EliMsuya 3 роки тому +2

      #TRM tuko mbele aisee

  • @apostlejohnmakhoha3742
    @apostlejohnmakhoha3742 3 роки тому +1

    I like this rose,nimeupokea ushuhuda wako,unainua imani sana.mungu akubariki zaidi

  • @husseinjohn532
    @husseinjohn532 2 роки тому

    Dada Roza MUNGU akubariki unajuwa MUNGU akitaka kuku inuwa lazima upitiye mahisha ya jangwa nahayo ndo yalikuwa mahisha yako ya jangwa .unanibariki sanaaaaaa MUNGU azidi kukuinuwa viwango hadi viwango amen

  • @kerenhappuclamotechmid7843
    @kerenhappuclamotechmid7843 3 роки тому +5

    Yesu christo aliku chagua zamani tangia mtoto ubarikiwe da Rose❤❤

  • @BOBJONES-cx2ht
    @BOBJONES-cx2ht 3 роки тому +1

    One thing i know in this world is : 1. God will always be God no matter what, 2. when God wants to use you to touch lives of people no one can stop it, Sister Rose your Testimony is grate may the almighty use you through out the world . we love you and Uganda loves you , East Africa loves you and above all God loves you ........ Amen

  • @joseymanyara6282
    @joseymanyara6282 3 роки тому +6

    About marriage I concur with her completely.. She is indeed a genius

  • @amosbarchok3570
    @amosbarchok3570 3 роки тому +5

    yaani i need to be recharged like you mama.... i like your energy.. God does not give us what we cannot handle... he give us the energy to carry on....its evident that he walked with you all along for you to believe and others to trust in your God... may you be recharged over and over again

    • @goshenuniforms4174
      @goshenuniforms4174 3 роки тому

      As long uliimba shujaa wa msalaba, 🥰🥰🥰you are heaven legend. God's own. I pit walio kudhulumu. Your battles are Lords. Sit back and just watch at them.

  • @raphaelotieno888
    @raphaelotieno888 3 роки тому +5

    Glory to God for uplifting Rose's life and restoring her strength and golden voice. May she soar higher in God's ministry. She is back much wiser.

  • @cuhgds4320
    @cuhgds4320 3 роки тому +7

    Apostle Dunstan Maboya hello we love you from Kenya of Apostle Mukadi wa Mukadi ameni jameni living in the usa now, hello Rossy amazing sister God bless.

  • @fredmwanzu9105
    @fredmwanzu9105 3 роки тому +4

    Angelic voice! Rose Muhando is the best!

  • @virginianganga2556
    @virginianganga2556 3 роки тому +2

    Our God is able, kweli Dada Rose tumemuona Mungu kupitia mapito yako, sisi kama wanadamu hatungekuelewa ni Mungu

  • @josephinem4324
    @josephinem4324 3 роки тому +1

    Safari ya ukristo ina mapito makuu. Maadui wakakuwekea vigogo, ukavivuka, sauti ikabaki ile lie, Asante Mungu. Rose, Mungu hamwachi mja wake, akushike mkono utimize mahitaji yako. Hugs from London.

  • @happygamnazi8435
    @happygamnazi8435 3 роки тому +1

    Maneno ya nguvu
    1.sijawai kukata tamaa
    2.kuangua na kuinuka na kuendelea
    3.karama ya mtu ipo mikononi mwake
    4.hatuishi kwa rumasi tunaishi kwa uharisia
    5.mari upotea sio kupawa💪💪💪
    6.mtu Ni Nani na Mungu Ni Nani🙏🙏
    Nampenda Sana rose jamani mungu ni mwaminifu Sana am in love with u♥️♥️💪🛐

  • @anjelinamukabane664
    @anjelinamukabane664 2 роки тому +1

    Rose mungu anakupenda sana zidi kumutumikia siku zote za maisha yako God bless u all the time 🙏🙏🙏

  • @jmkeys1892
    @jmkeys1892 3 роки тому +2

    You have encouraged me Rose. Through your testimony I know in my heart how to support my daughter to her God given gift of loving street children and building a home to support them. God has spoken to me in your testimony

  • @annsmall5110
    @annsmall5110 2 роки тому +1

    This woman is just blessed... nothing more...God loves her..and we love you

  • @laurianmwita4503
    @laurianmwita4503 3 роки тому +1

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rose kuimba umebarikiwa, nyimbo zako zá Kwanza zilkuwa zinabeba ujumbe kuliko nyimbo nyingi na wewe ni Genius kweli sio uongo. God bless you.

  • @ninayamat8213
    @ninayamat8213 3 роки тому +3

    Pole sana rose umepita pagumu mnoooo hakika Mungu atukuzwe kwa kukuvusha ktk mapito yako

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 3 роки тому +4

    🇰🇪mom we love you keep going you're unstoppable🔥🔥🔥

  • @elyseebyukusenge2597
    @elyseebyukusenge2597 3 роки тому +1

    Mungu asifiwe sana kwa kukuwezesha kumtumikia tena. Nguvu zake zikufurike Mtumishi Rose Muhando. Tunakupenda sana na nyimbo zako pia

  • @iswinfred8631
    @iswinfred8631 3 роки тому +5

    Am so sorry Rose for what you went through 😭😭😭May God deal with those evils... I still love your songs till the date much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @Wakwetujitu
    @Wakwetujitu 3 роки тому +1

    Amina Sana mama etu kipenzi rozimhando

  • @naomijebichii6898
    @naomijebichii6898 3 роки тому +5

    Lots of love from Kenya

  • @lydiangutuku
    @lydiangutuku 3 роки тому +3

    Long life Mama..much love from kenya😍😍

  • @paulowiliamusilayo2717
    @paulowiliamusilayo2717 3 роки тому +3

    YESU yupo ndugu zangu waislamu YESU NI MWANA WA MUNGU mtabisha mpaka lini

    • @dottnatt7110
      @dottnatt7110 3 роки тому

      Mbona mnatushangaza Yesu ni mungu au mwana wa Mungu?

  • @norahmwenyewe.2799
    @norahmwenyewe.2799 3 роки тому +3

    Pole Sana bt through all we still love you my sister Rose 👏,barikiwa sana

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka7091 3 роки тому +7

    Huyu dada nyimbo yake ya kwanza ilinifanya niwe na hofu ya Mungu Sana 2004 nikiwa mitaani ile albam mteule huwa napenda kuisikiliza Sana paka sasa

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba9070 3 роки тому +3

    Mtumishi Rose Muhando may God richly bless you as a true servant of God,it's just through the hand of God
    You are a true testimony

    • @electineokoyoh8627
      @electineokoyoh8627 2 роки тому

      Rose mm napenda vile wewe waimba bibilia tu. Nakuombea Mungu uinuke Tena wewe ni mshindi

  • @dorrymmba7828
    @dorrymmba7828 3 роки тому +7

    Oh my goodness look what the Lord has done see how he did it!!! Much love from me here in Kenya. Thank God for restoring you nd reviving you too. Kabla hujafa kweli hujaumbika

    • @annieprincess499
      @annieprincess499 3 роки тому

      rose may GOG

    • @annieprincess499
      @annieprincess499 3 роки тому

      SO TOUCHING rose that you managed to manoeuver with alot of challenges resulting from those with jealous hearts.we thank GOD for protecting and concecreting you with his precious blood. much love from toskin from kapchorwa district uganda.be blessed rose

  • @jephtebanza2931
    @jephtebanza2931 3 роки тому +2

    Je vous dis vraiment j'aime cette sœur. Nampenda kweli uyu dada rose, na mungu ata saidiya nitamuita RDC.

  • @florencenanzai3113
    @florencenanzai3113 3 роки тому +10

    I tap into this healing Rose

  • @karimimiriti3827
    @karimimiriti3827 3 роки тому +2

    Rose muhando nakupeda tuu bure
    Kwaza hiyo album ya kwaza niliisikiliza nakulia kwi kwi kwi 😭😭 nikijiangalia
    Mungu akubariki tena sana

  • @monicalewisky4925
    @monicalewisky4925 3 роки тому +3

    There's power in the name of Jesus!
    I never knew Rose was once a Muslim but saved by the power of Jesus.
    God bless you as you unlock more doors

  • @ndiritukahoe565
    @ndiritukahoe565 3 роки тому +4

    Glory to God a new beginning in the name of Jesus u are blessed Rose.

  • @dorryfinebarongo394
    @dorryfinebarongo394 2 роки тому +1

    A'm sorry Rose for what you went through 😭 in life.you have encouraged me so much,may God bless 🙏 you sister and keep on in praising God through singing.

  • @SJL1v37
    @SJL1v37 3 роки тому +7

    God bless you Ms Rose. Your Grace and destiny is great.. continue to serve God. ❤💕🎷🎷

    • @winniemueni6928
      @winniemueni6928 3 роки тому

      You are a living testimony Rose mungu akubariki na akuinue...nyimbo zako huwa zanitia moyo sana.

  • @edwardsemwenda1751
    @edwardsemwenda1751 Рік тому

    🌹 Rose mhando ni rais wa nyimbo za injili

  • @kenyannews4753
    @kenyannews4753 2 роки тому

    Rose mama u are So wise and u have great knowledge ......thanks genius u are and u will make great things mama

  • @cantcan1644
    @cantcan1644 3 роки тому +7

    Nakupenda yesuuuuuuu nakupenda sana yesuu wangu

  • @esthernduta5112
    @esthernduta5112 3 роки тому +4

    Thank you so much Rose I didn't know am an altar.My marriage broke but you have given me the answer

  • @lilianmwinamila9506
    @lilianmwinamila9506 3 роки тому +2

    Hallelujah ....."nimepoteza mali nyingi lakini sijapoteza kipawa 👏🏽" what an answer 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @eunicetheophilus454
    @eunicetheophilus454 3 роки тому +4

    This woman is a blessing from God

  • @fredrickwandera9810
    @fredrickwandera9810 3 роки тому +2

    I just love Rose Muhando for her love for God..despite everything she has gone through she is still very strong. Here in Nairobi kenya we celebrate you.

  • @alainmiancho9215
    @alainmiancho9215 2 роки тому

    Mungu akubariki rose,unanijenga sanakiroho Niko Congo mani naishi Uganda naitwa pasta devid

  • @jamshedpurwambuh9327
    @jamshedpurwambuh9327 3 роки тому +2

    Rose Muhando may God bless and maintain you. Ata kama madui wanakupiga Mungu yuko.

  • @josphatgitonga1716
    @josphatgitonga1716 3 роки тому +2

    I love Rose mohando, May God give her long life, as am believing God kufanya collabo naye,

    • @brunomwakibolwa7662
      @brunomwakibolwa7662 3 роки тому

      Rose nakupongeza na naomba utukumbuke Mito ya Baraka maana bado umefanya makubwa ktk kujenga kanisa la Kristo . Kumbuka ushirikiano wetu kihuduma

  • @kambuatitus896
    @kambuatitus896 3 роки тому +6

    Wow! Am blessed and encouraged... From 254....

  • @princessofthe-most-high-go5947
    @princessofthe-most-high-go5947 3 роки тому +1

    Rose is so respectful may God bless you Woman of God

  • @meshacknchingo5651
    @meshacknchingo5651 2 роки тому

    Rose muhando kiukweli huwa unanibariki mno naposikiliza nyimbo zako mungu was mbinguni akufunike kwa damu take naitwa meshack John Nchingo kutoka Itigi Singida

  • @winfredangastin2117
    @winfredangastin2117 2 роки тому

    Dada Rose wewe tayari no shujaa wa imani, nashukuru Mungu kwako we shuhuda zako zinabariki zinainua zinatia nguvu, Dada niwakati wako sasa maana umepumilia hayo yote had I yakapita so ni wakati wako sasa Mungu akupanguze machozi, mwaka was 2014 ndio mwaka niliokuona December kwa crusade chini y mtumishi wa Mungu Pius muiru Uhuru park hapa Nairobi na kutoka hapo watoto wangu wakakupenda sana n kupenda kundazi kupitia CD yko y kwanza mteule uwe macho so I wish one day will meet u thanku, I'm Winnie Nairobi Kenya stay calm

  • @electineokoyoh8627
    @electineokoyoh8627 2 роки тому +4

    Rose wewe si wakawaida napenda unapoimba bibilia tu. Mm napenda wewe sana haijalishi mapito yote hii ndio safari ya wokovu.

  • @mariemerimuluka8096
    @mariemerimuluka8096 3 роки тому +11

    May God grant you a miracle in Jesus Christ mighty name.

  • @janemkala1822
    @janemkala1822 3 роки тому +5

    This is encouraging...Rose when you were hospitalized in Kenya I also really prayed for you dada...God is great!!🙏🙏

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Рік тому

    Mti wenye matunda mema hupopolewa mawe, Rose ni mti ulio na matunda mema wakati wote ndiyo maana yalimpata hayo. Mungu hawaachi walio wake, Rose kapaishwa zaidi. Mungu ni mwema. Tuache roho mbaya wanadamu tupendane

  • @moureenChemtaikalenjin
    @moureenChemtaikalenjin 3 роки тому +3

    Mungu Atabaki kuwa mungu, I love you rose

    • @elizabetjulias8315
      @elizabetjulias8315 3 роки тому

      Kweli tumedanganywa uyu dada wewe ni mtumishi wamungu aswa???? Jifiche mbawani mwa mungu siku zote za maisha yako ninakupenda sna ujamkana mungu wako kabisa ao walio tutenda Ayo yote awajui fimbo ya mungu we subir na uwone

  • @yeremiarichard4755
    @yeremiarichard4755 3 роки тому +1

    Hongera sana Rose na wale waliokutia nguvu wabarikiwe sana na ubarikiwe sana ulinzi wa Mungu uendelee kuwa juu yako

  • @romeosamuel1599
    @romeosamuel1599 3 роки тому +3

    I love you rose.. God bless you

  • @G.S985
    @G.S985 3 роки тому

    Hongera mwandishi nimependa ulivyo muhoji Da Rose,Mungu endelea kusimama Da Rose watu !

  • @leonardanzurunipombi2499
    @leonardanzurunipombi2499 3 роки тому +1

    Wooow nakupenda sana Dada rose we ni jeshi kubwa Mungu akulinde dada

  • @thomasmuyya7221
    @thomasmuyya7221 3 роки тому +1

    Rose Mungu akubariki. Chunga sana watu wa Media watakutumia kukuza channels zao. Simamia wito wako wa kumtangaza Mungu kwa Injili ya Wokovu kupitia sanaa ya kuimba. Muziki ni nyenzo wala sio taaluma bali Mungu alikuita, amekutenga kuwa Mtumishi wake. Nadhani sasa mahojiano ya kuchokonoa mapito yako. Hawa walikuwa wamekaa kimya wakati unanyanyaswa. Mungu akupe hekima utumize ahdi. Mambo yako usiwape wanahabari kazi yao kutafuta mambo ya watu. Wasije kukuingiza kwenye mitego ya adui maana hutumia tasnia ya habari. Nashukuru mahojiano haya umesimamia kweli. Nilitamani kukuona tangu 2010 wakati unapita katika majaribu nimebaki kukuombea. Nafurahi Mungu amekuinua. Zidisha muda wako na Bwana Yesu Kristo uihubiri Injili. Omba Injili kama ulivyoanza.

  • @mosesmwaura2716
    @mosesmwaura2716 2 роки тому

    Rose ni wetu twampeda Saana🇰🇪

  • @danielochoki7136
    @danielochoki7136 Рік тому

    Mm naomba mungu anisadie Kama we Rose Kwa maana pia mm nkona kipawa lakin Sina mtu wakunishika mkono naomba mungu Sana ajibu maombi yangu pole sna Rose mungu akunariki zaidi

  • @mardotakataka3182
    @mardotakataka3182 3 роки тому +2

    Rosa ubarikiwe sana nyimbo zako zina onya sana miyo zawatu . Mimi apa Congo Kinshasa

  • @sambonangamasawe5230
    @sambonangamasawe5230 3 роки тому

    Nimeshukuru sana Rose kwa kueleza kishujaa yaliyokupata. Pole sana. Unayozungumza hapo no ukweli mtupu, endelea kuhubiri na kumshuhudia Kristu mfufuka. Mungu akubariki sana. Nyimbo zako zinanijenga sana kiimani. Keep it up Rose!

  • @official-karis
    @official-karis 3 роки тому +9

    Karis from Kenya nampeeeenda mama aiiiish🔥🔥🔥🔥